Enjoy the Nikki Wa Pili's latest video song "Hesabu" featuring Joh Makini & S2kizzy. Follow Me: Instagram: / nikkwapili Twitter: / nikkwapili
Пікірлер: 313
@stevejames10706 жыл бұрын
Watu wa kaskazini sema oyoooo usipite bila kugonga like
@issakiba62124 жыл бұрын
Oyoooo
@berthakapelle97502 жыл бұрын
Yan hawa jamaa huwa wanaimba kisomi na mistari yao unatakiwa kuisikiliza kwa makini na kuitafakari ndo uielewe.....! Nawapenda daima hawa jamaa weusi!💖
@rachelchiwanga8020 Жыл бұрын
I love you guys, S2kizzy you're killing it bro. This is the best song ever
Huwa nafuatilia na kuwakubali sana hawa jamaa. Ila huu wimbo ni noma. ¶¶Kupenda penda ni kutokujua kupenda bali kupenda chini hiyooo..... ....Kisa mitungi na mdudu, kisha miguu juu, kujizolea waduduu si nikufanya maduduuu.....¶¶
@youngkillermsodoki76645 жыл бұрын
**Dah hii ngoma iko vizuli**
@jembenijembelive73296 жыл бұрын
Tangu mwaka uanze hii ngoma (hesabu) ndo kali kuliko zote zilizotoka big job Nikki wa pili
@abdillahimahamed18145 жыл бұрын
I love weusi...and N2N all the way from USA... ni ILE ILE....ni mchizi wa kaloleni...Arachuga mwazo mwisho...keep it up
@frankkimm45626 жыл бұрын
comment ya kwanzaa kichupa kikaliii....gonga like kama umeikubali
@aifamlmbizcoach84056 жыл бұрын
FRANK KIMM Pata Uhuru wa kifedha kwa Siku mpaka tsh 300,000+. WhatsApp me 0674116695, mkazi wa DAR ES SALAAM kwa maelezo na maelekezo zaidi.
@floradereck8126 жыл бұрын
FRANK KIMM Frank alphonce kimm
@christinanan4576 жыл бұрын
Mambo yeni hayo
@leonardoharold3496 жыл бұрын
Video ni fire...hyo background full ma equation mpaka nkakumbuka pure maths ya advance. Creativity 100%. Mastaa kibao yan firrrrrreeeee
@innocentsteven25636 жыл бұрын
Kweli kaka n kaka tu💪🏻 Hizo hesabu za joh n kuntu balaa🙌🏻🙌🏻🔥🔥💯💯
@4yayasmusic3946 жыл бұрын
Nikiwa msanii ntakuwa napenda mavazi ya Niki wa pili
@mortishavida22736 жыл бұрын
Eti Joh Makini anabebwa? (Young Killer) Eti anatengenezwa?( Chidi Beenz) wakasema. Sikia mistari yake hapa ndo mutajua ukweri.noma sana
@jumaissa62296 жыл бұрын
Chorus kali beat kali, the real definition of wimbo mkali! Hongera joowzey chupa nzuri
@obacktv44686 жыл бұрын
kazi nzuri weusi nawakubalii
@joesimba6 жыл бұрын
Kisa mitungu na mduudu Kisha miguu juu Kujizolea waduudu Si ni kufanya maduudu ...Ey
@bawizyzedon81116 жыл бұрын
Ngoma ni 🚒
@samobicon31956 жыл бұрын
kama umemuona Ben poul gonga like na quick laka
@calvinmessi32436 жыл бұрын
hii ngoma imenifanya niwashe moto kwa kutumia remote ya tv...hatarrrr tupu
@utdforever9236 Жыл бұрын
254 approves ❤❤❤❤
@merryn48916 жыл бұрын
ngoma tamuuu sana
@jonathanmnale66276 жыл бұрын
Niki umetisha
@vailethngela31344 жыл бұрын
Iko poa joh makini makini kwel
@hadijapazia6846 жыл бұрын
Nyie jamaa mna akili sn ila mshamba haelewi mamae
@marcomatiasmatiasmarco66013 жыл бұрын
Kuma kwl
@jxamir12396 жыл бұрын
Kichwa kichwa uciingiie
@allymtapera53704 жыл бұрын
K k s noma sana
@kiamakinuthia34456 жыл бұрын
hatarrrrrrr sana
@boniphacetv7396 жыл бұрын
Team #team #WEUSI mpo wapi machalii wa chuga like
@benjaminndossy68506 жыл бұрын
Hakuna zaidi ya kumimina like kila mstar ni habar tosha na kuijumlisha yataka kujua hesabu....twende kwapamja mapenzi ni kama una dem.....................na kuchit ni km una dem........
@rich.kizza102 жыл бұрын
Motoooo
@davidalex84116 жыл бұрын
S2kizzy umetikisa sn chorus tsha sn mzee baba
@georgeinnocent43605 жыл бұрын
Nima sana
@kedyjohn18486 жыл бұрын
S2kizzy Zombie kawaka munooo:beat, chorus, confidence, swagger, all. 💪🏿
@zawadisimoni73235 жыл бұрын
Ukipenda chini ...huezi kwenda...juu...nikwenda chini tuu... hahaha
@amranakinyuma76885 жыл бұрын
S2kizy umeuwa
@angelbaraka28276 жыл бұрын
daaaah noma
@yusuphmonya48545 жыл бұрын
Kinapanda huelewi hahaha hatareee
@dninabina6 жыл бұрын
I always love the creativity. You guys don't just do art for fun or money but seat your brains and make them work
@muzafarsuluhu34756 жыл бұрын
Kisa mitungi na mduduuuuu....kisha miguu juuuu....HABARI HIYOOOO
@alexntweve84066 жыл бұрын
kufunga ndoaa nkutafuta thamn ya X fumbo hilooooo
@martinmendrad35316 жыл бұрын
NIkk huwa unapenda sana kuangalia jamii iliyokuzunguka safi sana ngoma kali watoto hawataelewa hapo .daaah mwana kaua coras kali saaaaaanaaaaaaaaaa
@_____gef3326 жыл бұрын
Makini kama joh ....fireeeeeeeeeeeeee!
@challitz3276 жыл бұрын
iko pw
@chunyaone26186 жыл бұрын
Kama unajua una mswaki (F) wa math ujue hapa hausiki. Hii ni kwaajl ya sisi wenye mabanda (A)
@shabanmkenga31546 жыл бұрын
Weusi hamkoseagi Hii Kali imesimamia kucha Kinouma noumaaaaaaa......
@lockedaway46663 жыл бұрын
S2kizzy I love his style❣️❣️
@ezekiakiswaga80996 жыл бұрын
Kazi ya maana hyoo like kama unaikubalii
@donathlekewe72386 жыл бұрын
Ezekia Kiswaga m
@ablysedate33096 жыл бұрын
lulu diva aandikwe kwenye noise makers analeta fujo class
@mbalejackkatumbi41786 жыл бұрын
Nakubali
@jaffarabubakar53436 жыл бұрын
joh umeua baba
@terrieblieyz48186 жыл бұрын
Wa nne kukoment.hesabu hiyo
@gabrielurasa985710 ай бұрын
🔥🔥🔥
@shamilaseif53193 жыл бұрын
I can't never stop loving this song
@bilewaneesembe21966 жыл бұрын
All way from mineapolis Minnesota, its a king of vina john makini and nikiwa Wapili , I'm the first one to play this shit in USA , fire 🔥 , bilo tiger from mineapolis Mn
@g.p.ubandusa75646 жыл бұрын
Kama unapenda hii ngoma like hapa
@nyotamy36786 жыл бұрын
Weusi..... Ni fireee
@fahimhassan95126 жыл бұрын
Weusii nomaa nakubalii sana kiraru kinapanda huelewi kiraru
@eddyeddy29076 жыл бұрын
Weusi mko juu hamjawahi kuniangusha.. Ila eeh Ebitoke tena 😀😀
@pascopablo53286 жыл бұрын
Saport mziki mzuri bonge LA chupa hili✌✌👑👑👑
@moisemelard215 жыл бұрын
NGOMA KALIIIIII
@kassmkarimu99956 жыл бұрын
saf saana
@bigboysclubfx_6 жыл бұрын
s2kizz katishaaaa😂😂🙌🙌🔥🔥🔥
@mwajumaadam14846 жыл бұрын
Mwenye masikio na asikie na kuelewa pia.nice
@zuberimsuya82412 жыл бұрын
🔥🔥
@jumashwaibu9 ай бұрын
Kaliiiii ngoma inapaaaa
@kambonamajaliwa46775 жыл бұрын
Nikki hii ngoma naikubali kuliko ngoma zajo zote man
@sirmagger6 жыл бұрын
Joe verse yake nomaaa! Big up sana kwa huyu mtu
@raphaelgadau27836 жыл бұрын
Nakupenda kushuka chini sio kwenda juu
@kalvinprotas21315 жыл бұрын
Salute kwenu nyiee n mafundii
@lovenesskasikizi58096 жыл бұрын
ngoma kali imepenya hyo
@yoseymeja34646 жыл бұрын
Bongee la ngomaa !!!at michepuko kuwa na madem watatuu
@simonkiwal95676 жыл бұрын
Kiruu hatari sana jomba nairudia rudia kuisikiliza saut juu hadijiran zangu wananiona chizi hata hawaielewi Kwan nipo nchi Zawatu hila Hawa wazungu wameikubali mdundiko kwani ipo kiswazi kinoma
@emanuelmtinangi90943 жыл бұрын
Creativity
@gracecute33066 жыл бұрын
mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥shwari kabisa
@bertrandahishakiye30516 ай бұрын
kichwa usiiengie .. good song #gochelsea i live in canada .. lived in kenya 11 years .. come from rwanda
@innocentmushy98482 ай бұрын
Hi bro from Tz here. I really wish to fly to Canada and live there. If you can help me get there i will be happy
@shaphyvuai68056 жыл бұрын
Mimi cjaelewwa chorus s2kizz anasema kichwa usiiingiiieee wapi sasa?
@ibrahimsadru23336 жыл бұрын
Kichupa kikaliiiiii laana👍
@bonchrisgissey69756 жыл бұрын
Imetendewa haki hii ngoma aisee kila corner
@traplyfe6816 жыл бұрын
nakumbuka baada ya kuskiliza hii ngoma niliscore "A" math subject😎
@barakamtatiro30476 жыл бұрын
Trap Lyfe nikuri
@husseinkakema66996 жыл бұрын
makiniiiii
@youngtz61846 жыл бұрын
S2 umetishaa coras mzee wa kazi
@fridahkiilu11206 жыл бұрын
Ni vita ukishikwa na dem wanne!
@evamday28966 жыл бұрын
Kiwaruuu waruuu waruuuu... waruu
@machedaboy25206 жыл бұрын
Ngoma kali san na s2kizzy kauaaaaa
@kwshabamwambagi74686 жыл бұрын
S2kizzy kama alikamia sana ili chupa atali
@yedb12873 жыл бұрын
November 2020 like hapa
@anthonysonda61826 жыл бұрын
nimewaelewa weusi ni hataleeeeeeeeeeeeeeee
@luckmarko50935 жыл бұрын
🙌🙌🙌🙌🙌🙋
@jumbejumbe99382 жыл бұрын
Goma la mweshimiwaa💥💥
@salimmwakuchengwa32416 жыл бұрын
kaliii...kazi nzuri nikki
@eliahpatson6 жыл бұрын
Whozu kabaniwa af whozu doja sana class cjamuona apo😂😂😂🙅
@yotekulwajr59466 жыл бұрын
kama hesabu zote@2+8℅
@swaielisante82766 жыл бұрын
kazii nzurii brathee
@glover25536 жыл бұрын
Umekuwa bisho sana ndugu yang kweny hili chupa
@mpokiibrahim89266 жыл бұрын
Kichwa kichwa siingiii!!
@80SarahSeraph3 жыл бұрын
👍🏻 👍🏻 👍🏻 👍🏻 👍🏻 👍🏻 👍🏻 👍🏻
@aishaasunshine58996 жыл бұрын
Nawakubali Nikki and Mpenzi Joh Makini😍😍😍
@testarguy86096 жыл бұрын
Ni kwere hii ngoma big up weusiiii
@charlzstans79876 жыл бұрын
Chunga usije kufail. NAELEWA "salute guys".
@patrickmbaya27476 жыл бұрын
dula makabil
@mwadusaveli6 жыл бұрын
Hiii video ni kaliii Mmeonyesha Ukogwe Wenu wa Music. Ila jomakini katisha zaidi.