NILIKUWA NAUZA MADAWA YA KULEVYA NILIPIGWA NIKAFUFUKIA MOCHWARI |TULIKUWA WEZI |MAITI IMEFUFUKA

  Рет қаралды 25,976

Maximum Tv Online

Maximum Tv Online

2 жыл бұрын

Пікірлер: 78
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Huyu mwandishi nampenda sana Anahoji kwa hekma sana Kweli kz ya yk unaiweza👍👍
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
Tunajifunza hasa
@mrsliverpool4235
@mrsliverpool4235 2 жыл бұрын
yupo vizuri sana
@Johanah7721
@Johanah7721 Жыл бұрын
Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️
@noors7030
@noors7030 Жыл бұрын
Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk
@uredipeter412
@uredipeter412 5 ай бұрын
Pole Sana bro
@sitiabubakar2892
@sitiabubakar2892 2 жыл бұрын
Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani
@fathimamct232
@fathimamct232 2 жыл бұрын
Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
@jumanassoro1552
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako
@zidadumbepo1486
@zidadumbepo1486 Жыл бұрын
labda bange Ila siyo heroen
@rajabu4692
@rajabu4692 Жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili
@naomysalim6477
@naomysalim6477 2 жыл бұрын
kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼
@nancyg8664
@nancyg8664 11 ай бұрын
Maskin dah
@officialdoablej6455
@officialdoablej6455 2 жыл бұрын
Maskini huyu kaka anaumwa hayuko sawa kabisa 😔😔
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Jamani anakiri makosa Anatakiwa asaidiwe sio kuhoji tuuu
@nahyialetomia9284
@nahyialetomia9284 2 жыл бұрын
Apime damu kwanza
@phibijuilus7748
@phibijuilus7748 2 жыл бұрын
hongereni madoctor kwa kz zuri
@ruthjohn4317
@ruthjohn4317 2 жыл бұрын
Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.
@mecksaloon81
@mecksaloon81 2 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 жыл бұрын
Jamani huyu mkk asaidiwe jamani Anatia huruma
@Tinatana30
@Tinatana30 2 жыл бұрын
Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??
@marryjonas6973
@marryjonas6973 2 жыл бұрын
Pole sana
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Жыл бұрын
Mdomo sasa huruma
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 Жыл бұрын
@@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha
@jovanafidelis2802
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
@@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua
@najmamosha7443
@najmamosha7443 2 жыл бұрын
Pole kaka
@comedywaves1091
@comedywaves1091 2 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu
@josemsafimusic3389
@josemsafimusic3389 2 жыл бұрын
YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA
@victoriankanue7849
@victoriankanue7849 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍👍👍
@jacquilinenoah949
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
nmecheka sanaa😂😂😂
@judithmelvinealuchio8968
@judithmelvinealuchio8968 Жыл бұрын
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia
@matishomateso4639
@matishomateso4639 2 жыл бұрын
Nice
@hawa45kisula34
@hawa45kisula34 3 ай бұрын
Pole
@zeddydaqueensy4612
@zeddydaqueensy4612 2 жыл бұрын
Duuh maisha haya jamani hadi huruma
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 2 жыл бұрын
S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 жыл бұрын
Subuhanallah polekaka
@rukiasaid2039
@rukiasaid2039 2 жыл бұрын
Uwache sasa kazi iyo
@rukiasaid2039
@rukiasaid2039 2 жыл бұрын
Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu
@josphatmwai1994
@josphatmwai1994 Жыл бұрын
Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu
@asmarajabu5786
@asmarajabu5786 2 жыл бұрын
pole
@beathamahatane2205
@beathamahatane2205 2 жыл бұрын
Mungu anakuhitaji umtumikie sasa
@mwastimsingi9373
@mwastimsingi9373 2 жыл бұрын
Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu
@fatmaally7252
@fatmaally7252 2 жыл бұрын
Kweli
@jasmineeomary2041
@jasmineeomary2041 2 жыл бұрын
Sema wanawake tuna huruma sana🙌
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
Kwann 🙄
@aminakipande5645
@aminakipande5645 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🙈
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
@@aminakipande5645 😅😅😅
@hejmabohejhej9
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
😅😅😅😅
@stevenkapanga7156
@stevenkapanga7156 2 жыл бұрын
Jaman maisha haya
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 2 жыл бұрын
Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana
@user-hp7rx4zk4t
@user-hp7rx4zk4t 10 күн бұрын
Weken namba zao tuwasaidie
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Inaoneka hanavidole maskini
@janethkomba4485
@janethkomba4485 Жыл бұрын
daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"
@saifal-harthi2080
@saifal-harthi2080 2 жыл бұрын
Kaka yangu namuonea huruma
@jaharaoman6478
@jaharaoman6478 2 жыл бұрын
Dua pole kaka mapito hayo
@tatoorashedi1787
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww
@neemazee1864
@neemazee1864 2 жыл бұрын
Sasa usharudi kwa Mola wako
@fatumakhalidi7066
@fatumakhalidi7066 2 жыл бұрын
We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊
@mamafau9806
@mamafau9806 2 жыл бұрын
Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Hee
@mouwanahamisi8216
@mouwanahamisi8216 2 жыл бұрын
Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 жыл бұрын
Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru
@kadeejadxbdxb5043
@kadeejadxbdxb5043 Жыл бұрын
Siyo Auwahu akibaru bi hadija
@aishaally8062
@aishaally8062 2 жыл бұрын
Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.
@gracehamishamisikitundu7998
@gracehamishamisikitundu7998 2 жыл бұрын
Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali
@fatmamsiliwa8485
@fatmamsiliwa8485 2 жыл бұрын
Dubai sehem gani upo
@dottojafet9153
@dottojafet9153 2 жыл бұрын
Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo
@maryhaule3665
@maryhaule3665 Жыл бұрын
Ni kweli
@stellah3844
@stellah3844 Жыл бұрын
Kheee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mishwanwanmish8803
@mishwanwanmish8803 2 жыл бұрын
Pole
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 2 жыл бұрын
Inaoneka hanavidole maskini
WALITAKA KUNIUA KUNITUPA KWENYE MAJI | NIMEENDA NCHI 15 KIBAHARIA
38:51
Maximum Tv Online
Рет қаралды 24 М.
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedy
00:25
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 37 МЛН
NLITESEKA NA KIDONDA KWENYE KALIO KWA MUDA MREFU
23:54
THE CAREN SHOW
Рет қаралды 314
PART 1: UTASHANGAZWA NA UWEKEZAJI HUU/ NG'OMBE ANAUZWA MILIONI 30
31:59
Maajabu ya Mochwari // wanaotaka maji ya kuoshea maiti kuchapwa viboko
25:33
Now THIS is entertainment! 🤣
00:59
America's Got Talent
Рет қаралды 36 МЛН