Huyu mwandishi nampenda sana Anahoji kwa hekma sana Kweli kz ya yk unaiweza👍👍
@mouwanahamisi82162 жыл бұрын
Tunajifunza hasa
@mrsliverpool42352 жыл бұрын
yupo vizuri sana
@Johanah7721 Жыл бұрын
Sanaaaaa adi raha ♥️♥️♥️
@noors7030 Жыл бұрын
Mashaallah anastahili kua muandishi hongera kk
@uredipeter4125 ай бұрын
Pole Sana bro
@sitiabubakar28922 жыл бұрын
Anavyoelezea ugumu wa maisha mpaka inaskitisha wallah maisha magumu jamani
@fathimamct2322 жыл бұрын
Ila inaonyesha madawa hajaacha kutumia sababu hiyo midomo ilivyoharika mtamgazaji mshuri huyo jamaa awe anampenda kutafuta Carrot 🥕 na awe anampenda kupika Cabbage 🥬 na alitie vitunguu vingi hiyo Hali itakwisha humor midomoni.
@jumanassoro1552 Жыл бұрын
Asante sana kwa ushauri wako nazani utawasaidia watu wengi ushauri wako
@zidadumbepo1486 Жыл бұрын
labda bange Ila siyo heroen
@rajabu4692 Жыл бұрын
Naomba namba yako ya simu nahitaj elimu Zaid katika hili
@naomysalim64772 жыл бұрын
kuna story ya mkaka mmoja alikua anafanya kaz mochwari,alisema mwizi alipigwa wakajua amekufa bwana akafufuka..kumbe ndo uyu jaman🙌🏼🙌🏼
Kiukweli huyu mkaka anaakiri basi tu jamn ugumu wa maisha kweli kila jambo linasababu kbs Mungu amkumbuka tu.
@mecksaloon812 жыл бұрын
Mungu akufanyie wepesi
@skjjsj18892 жыл бұрын
Jamani huyu mkk asaidiwe jamani Anatia huruma
@Tinatana302 жыл бұрын
Sawa tumewasikia na Polen sana ila sasa sisi kama wanafamilia wa Maximum Tv tunafanyaje ili kuwasaidia Hawa ndugu zetu ??
@marryjonas69732 жыл бұрын
Pole sana
@khadijakdj8640 Жыл бұрын
Ww mwenyewe unakunywa pombe uruka inaonyesha 😂🤣
@aminakipande5645 Жыл бұрын
Mdomo sasa huruma
@judithmelvinealuchio8968 Жыл бұрын
@@aminakipande5645 hiyo ni mouth cancer kiss zinaambukiza na kuna hizi pombe kali pia husababisha
@jovanafidelis2802 Жыл бұрын
@@judithmelvinealuchio8968 ni cancer au makovu ya kuungua
@najmamosha74432 жыл бұрын
Pole kaka
@comedywaves10912 жыл бұрын
Pole sana ndugu yangu
@josemsafimusic33892 жыл бұрын
YESU PEKEE TU NDO ALIYEFUFUKA KUTOKA KWENYE KIFO HAO WENGINE WALIPITIWA NA USINGIZI MZITO WATU WAKAJUA WAMEKUFA
@victoriankanue78492 жыл бұрын
🤣🤣🤣👍👍👍
@jacquilinenoah949 Жыл бұрын
nmecheka sanaa😂😂😂
@judithmelvinealuchio8968 Жыл бұрын
kenya nikiwa mdogo sana kuna muchungaji alimuua muchungaji mwenzie sababu ya cheo na aliua mwenye alikuwa ameokoka kabisaa maziko muuaji mwenyewe akawa ndio anamusomea ile ya fumbi kwa kwa vumbi jeneza lilitoka likamukaa kichwani wakatwaa wote wakapotelea kwa mawingu haya mambo yapo ila mungu akiwapea second chance huwa wanaokoka huyu tuseme labda alipitiziwa na maumivu sio hata usingizi na ilikuwa njia ya kujiokoa mungu alimuokoa ubaya anatusi watu mungu ndiye mwamuzi siku zote
@stellah3844 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣Huyu alizimia
@matishomateso46392 жыл бұрын
Nice
@hawa45kisula343 ай бұрын
Pole
@zeddydaqueensy46122 жыл бұрын
Duuh maisha haya jamani hadi huruma
@telaamtauta22272 жыл бұрын
S sahihi kabisa lakini hamkuweka no yake tukitaka kumsaidia chochote
@hanifatanzania72582 жыл бұрын
Subuhanallah polekaka
@rukiasaid20392 жыл бұрын
Uwache sasa kazi iyo
@rukiasaid20392 жыл бұрын
Umeamshwa ili utubu mwenyezi mungu kakupa muda ili utubu
@josphatmwai1994 Жыл бұрын
Jesus Christ mtembelee huyu ndugu. Nairobi tupo
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Dah pole sana huyu atakuwa ana ukosefu wa vitamin ndio maana mdomo huko hivyo 🤲🤲
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Huyujamaa akiongea anakaamgonjwaalafu pia anaupungufuwa afraid damu
@asmarajabu57862 жыл бұрын
pole
@beathamahatane22052 жыл бұрын
Mungu anakuhitaji umtumikie sasa
@mwastimsingi93732 жыл бұрын
Wanatakiwa wasaidiwe sio kuwauliza tuuu
@fatmaally72522 жыл бұрын
Kweli
@jasmineeomary20412 жыл бұрын
Sema wanawake tuna huruma sana🙌
@mouwanahamisi82162 жыл бұрын
Kwann 🙄
@aminakipande5645 Жыл бұрын
🤣🤣🤣🙈
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
@@aminakipande5645 😅😅😅
@hejmabohejhej9 Жыл бұрын
😅😅😅😅
@stevenkapanga71562 жыл бұрын
Jaman maisha haya
@fatmaalnabhani36092 жыл бұрын
Wacha na hizo sigara pia zote ni madhara makubwa sana
@user-hp7rx4zk4t10 күн бұрын
Weken namba zao tuwasaidie
@aminaabdalla99492 жыл бұрын
Inaoneka hanavidole maskini
@janethkomba4485 Жыл бұрын
daaa inasikitisha Sanaa MH hi Dunia inachangamotoo pole Sanaa"
@saifal-harthi20802 жыл бұрын
Kaka yangu namuonea huruma
@jaharaoman64782 жыл бұрын
Dua pole kaka mapito hayo
@tatoorashedi1787 Жыл бұрын
Ipo siku mungu atakupa usikate tamaa mungu yuko na ww
@neemazee18642 жыл бұрын
Sasa usharudi kwa Mola wako
@fatumakhalidi70662 жыл бұрын
We ni Eric mtoto wa herieti chumila mdogo wa rucy na caro na mashana?? Nijibu moyo wangu upoe mana kama ni wewe nimekukea sana pale yombo 😊😊
@mamafau98062 жыл бұрын
Mbona kama mteja uyoo avuti unga kwer uyoo mmm
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Hee
@mouwanahamisi82162 жыл бұрын
Mung mwema mochwar kabisa 🙄🙄🙄
@kadijahajali39182 жыл бұрын
Auwahu akibaru mtihani mkubwa mungu atunusuru
@kadeejadxbdxb5043 Жыл бұрын
Siyo Auwahu akibaru bi hadija
@aishaally80622 жыл бұрын
Bonde la Muhimbili Hilo Nimekaa sana hapo Maisha Usikie mpaka Sasa hivi nipo Dubai namshukuru sana Mwenyezi mungu zaidi ya Sana.
@gracehamishamisikitundu79982 жыл бұрын
Pole na mm nipo Dubai tukuane kama hutajali
@fatmamsiliwa84852 жыл бұрын
Dubai sehem gani upo
@dottojafet91532 жыл бұрын
Huyo Kaka Ni mkorof sn! Anapita kkoo akiombaomba ukimwambia sina anakutukana matus makubwa mpaka unakimbia,mshesz sn huyo