Na mji wake wa kingamboni upo wapi 😂😂😂 mzee anapenda kick za bure
@MembeMohamedАй бұрын
Huna cha kujiproud kwa watanzania live jpm legacy
@philipombwambo1980Ай бұрын
Huyu mzee mwongo sana
@jolitabukabengwe3070Ай бұрын
Mzee ukiwa unafanya mambo Yako, Jaribu kuwa unatukumbuka na watanzania wenzako wa hari yachini Mzee.. Ulitujengea daraja la kulipia pale kigamboni. Tunateseka sana pale Mzee Kikwete. Mzee tunateseka kulipia pale. Ni watanzania walewale tunaotumia Lile daraja ndiyo tunaouumia Mzee. Jaribu kutupndolea hiyo shida. Nakushauri chukua fungu mara moja ukalipe Hilo deni ili tupite Bure pale Mzee. Kumbuka kwamba nchi hii miundombinu mingi nchi hii inajengwa kwa pesa za walipa Kodi wote bila kujari ukanda.... Hivi ulifikiria nn Mzee mpaka ukaaamua pale tuwe tunalipia ili Hali madaraja mengine tunapita Bure???
@Anza_tzАй бұрын
Huyu mzee sindiyo alishindwa kuwadhibiti tanesco daaah nakumbuka tuliteseka sana umeme enzi zake
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
TANZANIA NZIMA LINAKOMBA MABILIONI YA WANYONGE LINAKURA YEYE NA FAMILIA YAKE
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
WEWE MZEE NI MUUNGO SANA MZEE MZIMA
@bakarijumakupaza4351Ай бұрын
Na BRT, TERMINAL 3 Dar ni miradi ya JK. Sisi hatuna kumbukumbu za kuku kama wewe.
@hajimgwami5224Ай бұрын
@@bakarijumakupaza4351 HAWAZI KUJUA MASKNI ZAO NI CHUKI TU, FLYOVER YA UBUNGI NA TAZARA MKATABA ULIINGIWA WAKAT WA JK NDIO MAANA ALIPOINGIA TU JPM AKAANZA NAO, MKOPO ALIOMBA LINI, TENDA ALITANGAZA LINI, SO WATU WENYE CHUKI NI CHUKI TU KAKA, MROGANZILA, BARABARA KIBAO MIKOANI, SECONDARI NCHINZIMA NA MSINGI, RAIS KWEMWE UWELEWA UWA ANAANZA NA VITU MUHIMU KWENYE TAIFA SIO KUKURUPUKA
@user-qx4pc3rx8gАй бұрын
Acha uongo mzee relie yako ilikua Ile ya kawaida yy akasema hapana anajenga ya umeme na wewe uliwai kukiri
@birianination7097Ай бұрын
Bongo kwa ubishi bwana, mbona hili hata halija jificha, tena mbali na mradi kuanzwa na Jakaya pia aliweza pata mkopo bora wa ujenzi ambao Magu alizingua mpaka tuka kopa ndani
@birianination7097Ай бұрын
Ila pia Magufuli ndio aliye lazimisha iwe ya umeme, jambo litakalo tunufaisha wote
@mangobaseАй бұрын
Hata bandari ya bagamoyo nayo ulimkabidhi... JPM... Hata sisi tunajua
@michaeljpm5597Ай бұрын
Mzee JK kaongea vzr sana, kampa maua JPM na kanena vzr👏👏
@ototek8037Ай бұрын
Huyu ndo mshenz mwenyewe, akifa huyu nchi itakaa sawa
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
LINAPENDA KURA MAISHA YEYE NA FAMILIA YAKE TOKA HAPA MUONGO MKUBWA.WEWE SASA KUNAMITANDAO UNAYOSEMA YAKO KATIKA KUMBUKUMBU
@@dominic4727 Waziri wa ujenzi sio planner. Master plan alikua Kikwete, na ndie aliyeenda IMF na world Bank. Waziri wa ujenzi hajulikani nje ya nchi kuomba mikopo.
@lazarombuze9776Ай бұрын
HUYU MZEE ANAPENDA SIFA HATA AMBAZO HANA😂😂😂
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
KWELI UKIWAMZEE UNAKUWA KAMA MTOTO
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
liangalie linanuka damu za jpm na mawaziri
@malcomx4067Ай бұрын
Kwa upole wakiunafiki wa huyu mzee unaweza kufikiria kondoo kumbe mbwa mwitu.
@i_prime317Ай бұрын
“Dead men tells no tell” 😢R.I.P Magufuli🕊️
@LoftyattorneysАй бұрын
😂😂😂 dah aisee am speechless
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
PUMBAVU LIUJUMU UCHUMI
@willymdeka6034Ай бұрын
Ni bora angekaa kimya tu
@daviddonatus8121Ай бұрын
Hacha story zako hakuna anaye jua hayo maana wote wameshafariki lakin nakupa big up pia ulifanya yako mazuri pia
@hamadsaburi3569Ай бұрын
Maneno meeengu. Vitendo hamna
@makelemohuya2723Ай бұрын
Huyu Mzee alitakiwa awe mganga wakienyeji maana ni muongo na munafiki haijawahi kutokea
@liberatedpeople6054Ай бұрын
Wewe unaweka mataluma wenzako wanaleta kitu cha mchongoko huyu mzee bhana
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
UTAIACHA MIBILIONI PUMBAVU
@MedardMushoboziАй бұрын
Rais wangu Mpendwa Jk .sikuoingi lkn wewe ulikuwa Rais wa mipango lkn hukuwa na uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa.Uliacha mipango ya umeme wa gesi lkn hatukkuona, hiyo reli hukufhubutu, kuhamia dodoma hukuweza, meli mv bukoba ulituahidi 2005 hukuweza,,Bwawa la Nyerere hukuweza,kuhamia dodoma hukuweza,hata daraja la kwenu wami hukuweza,fryover hukuweza,Kila kitu wewe ilikuwa ni mipango tu, ATCL uliacha ndege moja tu lkn ulikuwa na mipango,mipango, mipango tuuuu??! Tunakushukuru Kwa UDOM, MLONGANZILA na taasisi ya moyo ya JK.WEWE Mzee wangu uliweza sana diplomasia,Kwa kweli hapo hakuna ubishi lkn mambo mazito mazito Mwamba wa chato JPM alikuwa na kifua kipana..hakwepeki❤❤
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
HAYO MAWANI ALIOVAA UYU JAMBAZI MUUAJI NI YANAMAFINI YA TANZANITE HICHO NDICHO ANACHOKIPENDA
@chriskudilla5355Ай бұрын
Mhhh kazi kweli kweli
@mimiraia2531Ай бұрын
Standard gauge Iko kwenye VISION 2025 ya Mkapa. Huyu alitaka avenge kwa mkopo wa Wachina kama Kenya tena iwe ya diesel. Alivyokuja Magufuli akawakataa Wachina na akaenda kwa Waturuki na akasema hajengi reli ya diesel, atajenga reli ya umeme na atapata umeme kwa kujenga bwawa la Umeme RUFIJI na Umeme wa Gesi Kinyerezi
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
LINAKUONGOPEA JIZI LINA MADA KESI ZA MAUAJI JPM NA MAWAZIRI
@WilbertChambilo-yl1kcАй бұрын
Huna baya, ishi daima
@HajiKlein-so1rkАй бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏
@florencemeza6540Ай бұрын
Kwani lazima kumusema magufuli?
@mkalimala3564Ай бұрын
HAPO NDO NACHEKA ETI ANAKUULIZA SWALI KISHA ANAKUJIBIA MWENYEWE ALIYEULIZA 😂😂😂MANIPULATOR [ VIVA MAGU FIRE VIVA ]
@NedjadistАй бұрын
Sisemi kitu, maana nitatukana tu. Hali za Watanzania ni duni hata kuliko Wacomoro, Wamalawi au Wamsumbiji....pamoja na mipesa mingi mliochukua. Ubinafsi, kusafiri....hmna huruma hata kidogo na Watanzania nyie...pam acha nisitukane!
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
UTAWALA WAKO UNACHOCHOTE ULICHOKIFANYA ZAIDI YA WIZI NA UJAMBAZI
@MsanangoMwalabu-rx1ooАй бұрын
Mmefuta comments
@temekepamoja2757Ай бұрын
Muongo muongo sana uyu mzee
@omaryngitu2443Ай бұрын
Sijui kwanini huyu mzee watu wanamponda sana wakati amefanya mengi sana,nahisi wengi ni vijana wadogo,ameongeza shule za kata,ameongeza mtandao wa barabara nchini,amejenga mwendokasi,ameongeza vyuo vikuu tanzania,aliajiri watumishi wengi,aliongeza mishahara kutoka hali ya chini sana kufikia angalau,alijenga daraja la malagarasi,kigamboni,na tazara ambalo alilifungua hayati magufuli,hata mradi wa reli alikuwa akiuzungumza wakati wa utawala wake,ifike wakati vyombo vya habari vioneshe kazi zilizofanyika tawala zilizopita ili vizazi vya sasa vijue,vingine tutakuwa tunafuata mkumbo na kuharibu sifa za watu.
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
LINABADILISHA HISTORI YAKE ALIOSEMA WAKATI JPM YUPO DONIANI UNAONA TUMESAAU NINI
@jumanuru2656Ай бұрын
Ili zee bwabwa kweli sijui kwanini liko hai
@user-dk8uf8ho9sАй бұрын
Kwann mnamuita mzee muongo while yeye ndie alikua mwenyekiti wa chama,na magufuli alitekeleza ilani aliyopewwa na ccm ambae bosi alikua Jakaya?? Acheni kutokana viongozi wenu
@MeenaHassan-fd9vvАй бұрын
Kwenda huko wewe mzeee na acha uongo wako , wewe na kundi lako mlimchukia magufuli saaana labda watoto wadogo ndiyo utawadanganya voetsek
@gilbertwerema9870Ай бұрын
Ukweli ni kwamba wazo la SGR lilibuniwa na kutayrishwa katika kipindi cha awamu ya nne, serikali ya awamu ya sita ikaanza utekelezaji. Serikali hizi huwa zinapokezana kijiti
@gilbertwerema9870Ай бұрын
..........sorry, awamu ya tano wakaanza utekelezaji
@Patriot_kenyanАй бұрын
Muongo wewe baba nchi ilikuwa corrupted during your time
@KingBuddah-nx3uiАй бұрын
HUYU MJINGA WA MAWAZO UUZEE UNAKUTIA UJINGA
@salmanmagwe222Ай бұрын
SISI WATANZANIA HATUJISHUGHULISHI NA UTAFITI NA HATA KUJISOMEA,NA TUNAENDESHWA NA HISIA,HATUELEWI NAMNA SERIKALI INAVYOENDESHWA. MNAFIKIRI KUNA CCM MBILI?KWA NN UKAE MTANDAONI UKIUMIZA KICHWA CHAKO ETI HUU MRADI NI WA KIKWETE AU MAGUFULI,HUKU UKIJUA WAZI KUWA SERIKALI NI HIYO HIYO MOJA YA CCM?