Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM

  Рет қаралды 65,032

MAGUFULIFICATION OF AFRICA

MAGUFULIFICATION OF AFRICA

10 ай бұрын

#Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM. Alipokuwa waziri wa ujenzi na usafirishaji.
DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II Jul 19, 2013
Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

Пікірлер: 48
@christophertanu1880
@christophertanu1880 2 ай бұрын
Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭
@nyandaephraim4039
@nyandaephraim4039 Ай бұрын
Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹
@godfreyhiza1075
@godfreyhiza1075 10 ай бұрын
Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!
@MzunguNamungu
@MzunguNamungu Ай бұрын
Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia
@user-vv6ox9xh9k
@user-vv6ox9xh9k 2 ай бұрын
Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu
@mamboshepea8888
@mamboshepea8888 10 ай бұрын
Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!
@sonnyr1899
@sonnyr1899 10 ай бұрын
Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢 Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Roho mbaya na uroho
@toymadebho7048
@toymadebho7048 Ай бұрын
aise namm nashangaa kwnn ha2elew
@Jumacharlesmadale2958
@Jumacharlesmadale2958 2 ай бұрын
Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais
@awadhally1052
@awadhally1052 Ай бұрын
Kweli
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840
@zakariapaulowiliamuwiliamu1840 Ай бұрын
kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi
@user-dk6rc9kb3f
@user-dk6rc9kb3f 20 күн бұрын
Huyu Mzee alikuwa ni mtu wa kutekeleza angepewa uraisi akiwa kijana tungeshafika mbali sana Tanzania na Africa kwa ujumla✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
@stevinmwanzaa1785
@stevinmwanzaa1785 26 күн бұрын
Hapo bado ni wazir
@davykisabo875
@davykisabo875 Ай бұрын
Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 Ай бұрын
Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm
@joelmnzava
@joelmnzava 10 ай бұрын
Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi
@geey7893
@geey7893 2 ай бұрын
Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂
@ananiachelesi1486
@ananiachelesi1486 2 ай бұрын
Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.
@johanesitembe2440
@johanesitembe2440 2 ай бұрын
Hapa kazi tu
@jamalnaheka1131
@jamalnaheka1131 7 күн бұрын
yaani hyu mzee alikuw powerful toka yupo waziri.
@innocent91044
@innocent91044 Ай бұрын
Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.
@shakaurembo477
@shakaurembo477 10 ай бұрын
Msema kweli Rip 🎉
@user-vf8wv8hi5b
@user-vf8wv8hi5b Ай бұрын
Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani
@DaudiSaid-bj7dh
@DaudiSaid-bj7dh Ай бұрын
Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba
@mrliverpoolynwa7641
@mrliverpoolynwa7641 Ай бұрын
R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭
@kaayafred3545
@kaayafred3545 10 ай бұрын
Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba
@geraldndila5172
@geraldndila5172 Ай бұрын
Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee
@babajohn8308
@babajohn8308 10 ай бұрын
Dah😢😢
@robertphilip385
@robertphilip385 Ай бұрын
Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari
@user-sh3tr8cm1v
@user-sh3tr8cm1v Ай бұрын
Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...
@bennie7239
@bennie7239 Ай бұрын
Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎
@onesmomwakasege5215
@onesmomwakasege5215 2 ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@JohnMongi-gp2zj
@JohnMongi-gp2zj Ай бұрын
Hatar sana magufuli
@kalokolamulumbe8445
@kalokolamulumbe8445 Ай бұрын
Jaman jpm .
@Bless-sk8uv
@Bless-sk8uv Ай бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@bogoheidaso2628
@bogoheidaso2628 Ай бұрын
Tshet za jpm zinapatikana wapi
@ElishaKalinabhene-mm2fr
@ElishaKalinabhene-mm2fr Ай бұрын
👊
@mussahancy6591
@mussahancy6591 Ай бұрын
R.I.P
@user-yq4wf4qo9t
@user-yq4wf4qo9t Ай бұрын
Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.
@josephnyalomba860
@josephnyalomba860 Ай бұрын
Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M
@HamadiRamadhani-y2n
@HamadiRamadhani-y2n 27 күн бұрын
Hapakazi tu
@YoakimMsuha
@YoakimMsuha 29 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa
@edwardmwambene3748
@edwardmwambene3748 Ай бұрын
RIp jpm
@kalokolamulumbe8445
@kalokolamulumbe8445 Ай бұрын
Jaman jpm .
@ELISHAPHILLIPO
@ELISHAPHILLIPO Ай бұрын
Baba tutakukumbuka
@kalokolamulumbe8445
@kalokolamulumbe8445 Ай бұрын
Jaman jpm .
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН
Clown takes blame for missing candy 🍬🤣 #shorts
00:49
Yoeslan
Рет қаралды 44 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
makabidhiano ya ofisi kati ya Rais Magufuli na JK Novemba 12,2015
6:39
Sababu za madini kutoroshwa hizi hapa
16:08
Azam TV
Рет қаралды 107 М.
بدترین اشتباهات رایج نوشیدن آب که باعث مشکلات گوارشی، سکته قلبی، خلط پشت حلق، ناباروری و... میشود! ⛔
22:42
BREAKING: JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere
13:30
Global TV Online
Рет қаралды 240 М.
NAPE ATINGA IKULU/AMUOMBA MSAMAHA RAIS MAGUFULI.
2:58
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 71 М.
MWAMBA HAJANUNUA V8 ZA KUTEMBELEA ANAWAWEZESHA MASKINI WAKULIMA
10:14
UKUU WA MWAFRIKA (IBM)
Рет қаралды 111 М.
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016
17:24
Gym belt !! 😂😂  @kauermtt
00:10
Tibo InShape
Рет қаралды 17 МЛН