NIMEPOTEA ULAYA NIKATOKEZEA KIJIJINI | ANAISHI KIJIJINI NAOGOPA KUCHINJWA

  Рет қаралды 9,828

Official Dating Assistance

Official Dating Assistance

Күн бұрын

Пікірлер: 49
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 11 ай бұрын
Napenda sana life la kijijini❤❤❤
@jessicamwasandube944
@jessicamwasandube944 11 ай бұрын
Wow ni kizuri sana huko,yaani mie bora tu kama kuna huduma muhim
@MelaniaFuime
@MelaniaFuime 6 ай бұрын
Woow
@cleopatrahenry7541
@cleopatrahenry7541 4 ай бұрын
Natamani huko nipate hata wazee wa kulea , naimani ukifanya kazi maeneo ya huko maisha ya takuwa rahisi
@fauziasultanikilewa7602
@fauziasultanikilewa7602 11 ай бұрын
Qjijini quna maghorofa jmn mashaallah
@EstherWawanji
@EstherWawanji 11 ай бұрын
Beautiful village
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 11 ай бұрын
Sio pazuri sana, nilienda Kwa wadatch kijijini ni kuzuri sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 ай бұрын
Je ni sawa na vijiji ambavyo jamii yetu nyumbani wanafikiria ambao hawajafika kwa wa Dutch ?
@mwekesomamrema7416
@mwekesomamrema7416 9 ай бұрын
Bravo beautiful. Ni vyema kabisaa unavyojieleza - sio vizuri mwanamke kutegemea wanaume. Chapa kazi na ujibambe mwenyewe my friend 😂😂
@WitnessShamba-wm4tq
@WitnessShamba-wm4tq 9 ай бұрын
Jamani hii si masaki na mbezi beach kabisa 😂
@mathayofesto9421
@mathayofesto9421 11 ай бұрын
Wenzetu wanazingatia mipango miji sana ndo maana nyumba zao zimekaa kwenye mpangilio mzuri sio kama huku aiseeee 😂
@khadijaabdulaziz8297
@khadijaabdulaziz8297 11 ай бұрын
Dada shena nakushaur vaamtandio
@vero57
@vero57 11 ай бұрын
Kila mahali kijijini ni kuzuri sanaaa!!!
@KilengaJoseph
@KilengaJoseph 11 ай бұрын
hata vijiji vyetu vizuri sana shena kama kwetu kilimanjaro ni full kijani cha ndizi😅
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 11 ай бұрын
Exactly
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 ай бұрын
I agree
@marrypius576
@marrypius576 11 ай бұрын
Yan natamani kuishi huko jamn Mungu sikia maombi yangu
@glorymasy7687
@glorymasy7687 10 ай бұрын
Huku ndio masaki 😂😂😂😂😂😂
@emarycianakitwenga9813
@emarycianakitwenga9813 9 ай бұрын
Pazuri sanaa
@lujuomjanja2866
@lujuomjanja2866 11 ай бұрын
ni wapi huko?
@sellysang7504
@sellysang7504 11 ай бұрын
Hi beautiful very nice yes very clod here too ❤❤
@agnesandrew2742
@agnesandrew2742 11 ай бұрын
❤❤❤❤
@joslinchuwa1298
@joslinchuwa1298 11 ай бұрын
Kuzuri sana❤
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 9 ай бұрын
Kijiji kama masaki dah
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 11 ай бұрын
life ya kijijini kwenye nchi zilizo endelea ni raha zaidi,
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 11 ай бұрын
Kijijini lkn kuzur sanaaa❤❤❤
@MneneNicodem-zd9sh
@MneneNicodem-zd9sh 9 ай бұрын
Mambo! KWA HIYO dada TZ utarudi lini? Au ndo basi wazungu wamekung'ang'ana!
@NeemaAbdon
@NeemaAbdon 11 ай бұрын
Uko poa mdg wangu?
@maryamrashid8499
@maryamrashid8499 11 ай бұрын
Umenichekesha sana😂😂😂
@StephanJimmy-uj7rw
@StephanJimmy-uj7rw 11 ай бұрын
Shena me cjui kiingereza hyo ndo changamoto
@annasolomon9855
@annasolomon9855 11 ай бұрын
Kijiji? Mbona kijiji ni kizuri kuliko hata Arusha mjini 😅😅
@officialdaynesskavishe4143
@officialdaynesskavishe4143 11 ай бұрын
Kabisa jaman.mana Arusha sipaelewagi ramani yake.
@valenakomba9218
@valenakomba9218 11 ай бұрын
Aunt wangu ujuwe hicho kijij hapo kama mwenyewe unavyokiita kinajitegemea kwa mengi . Uslinganishe ulaya na vijiji vya Tanzania ambavyo mahitaji yao meengi yanatoka mjini. Lakini hapo naamini wanakila kitu. Maofisi , mjini (centrum) wao na wenyewe, hosipitali yao mashule yao nk. Hawahitaji kwenda kutafuta kazi mjini, wao na wenyewe hapo watemetengene 3:05 😢za ajira zao . Kwa hiyo hicho siyo kijiji kama vijiji vyetu mi.aamini hako ni kajimbo, na huno ndani kunavijiji.
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 ай бұрын
Lakini nyumbani na jamii yetu inaamini kijiji basi mi kijiji zaidi ya Nyumbani na pengine wanachinja watu.. ndiomana nimewaletea hapa ili wasafishe Macho na watoe mawazo mabaya waliyokua wanafikiria
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 9 ай бұрын
Kijiji kama masaki
@mwanahamisimwelesi6682
@mwanahamisimwelesi6682 9 ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistancenikutumie namba yangu namaongezi yamuimu
@milkaboaz1244
@milkaboaz1244 11 ай бұрын
Mbona kizuri jamani
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 ай бұрын
Mnooo
@estambaryokohler3649
@estambaryokohler3649 11 ай бұрын
​@@OfficialDatingAssistanceHabari yako dada nimefurahi kuona unavyoelimisha jamii.hongera sana sana ,Mungu akubariki, salaam toka Nürnberg ❤
@estambaryokohler3649
@estambaryokohler3649 11 ай бұрын
Naishi na mimi Kijijini
@edwardlubega5428
@edwardlubega5428 11 ай бұрын
Me like your
@saphinamarwa8360
@saphinamarwa8360 11 ай бұрын
Yaan pazuri kama mjini 😂
@NiceWatson-y7e
@NiceWatson-y7e 11 ай бұрын
Aan kama nje ya mji kizur sana
@dorcaskarago2876
@dorcaskarago2876 11 ай бұрын
Wazungu awapendi kuona mweusi kijijini kwao
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance 11 ай бұрын
Kwanini ? Mimi nimeona wako Poa tu Na wanatabasamu hawana habari
@edgarelikana7204
@edgarelikana7204 11 ай бұрын
Kijijini kuna msauzi 😂😂😂
@Lizzyktd
@Lizzyktd 11 ай бұрын
Kunzur kama usukuman vile😂😂😂😂
@deborampagama5950
@deborampagama5950 11 ай бұрын
Nitafute rafiki huko
NILILALA STENDI SIKU 7 KUSUBIRIA VISA | NILIKUA FUNDI GEREJI NA SAIDIA FUNDI WA UJENZI
55:00
NILIAMBIWA NISIENDE INDONESIA WATANIKATA VIUNGO | FURSA KUBWA YA MASOMO INDONESIA
45:26
Official Dating Assistance
Рет қаралды 4,6 М.
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН
Osman Kalyoncu Sonu Üzücü Saddest Videos Dream Engine 275 #shorts
00:29
Человек паук уже не тот
00:32
Miracle
Рет қаралды 1,9 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 22 МЛН
NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI
1:21:05
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 11 МЛН