Wow ni kizuri sana huko,yaani mie bora tu kama kuna huduma muhim
@MelaniaFuime6 ай бұрын
Woow
@cleopatrahenry75414 ай бұрын
Natamani huko nipate hata wazee wa kulea , naimani ukifanya kazi maeneo ya huko maisha ya takuwa rahisi
@fauziasultanikilewa760211 ай бұрын
Qjijini quna maghorofa jmn mashaallah
@EstherWawanji11 ай бұрын
Beautiful village
@salvinahassan877811 ай бұрын
Sio pazuri sana, nilienda Kwa wadatch kijijini ni kuzuri sana
@OfficialDatingAssistance11 ай бұрын
Je ni sawa na vijiji ambavyo jamii yetu nyumbani wanafikiria ambao hawajafika kwa wa Dutch ?
@mwekesomamrema74169 ай бұрын
Bravo beautiful. Ni vyema kabisaa unavyojieleza - sio vizuri mwanamke kutegemea wanaume. Chapa kazi na ujibambe mwenyewe my friend 😂😂
@WitnessShamba-wm4tq9 ай бұрын
Jamani hii si masaki na mbezi beach kabisa 😂
@mathayofesto942111 ай бұрын
Wenzetu wanazingatia mipango miji sana ndo maana nyumba zao zimekaa kwenye mpangilio mzuri sio kama huku aiseeee 😂
@khadijaabdulaziz829711 ай бұрын
Dada shena nakushaur vaamtandio
@vero5711 ай бұрын
Kila mahali kijijini ni kuzuri sanaaa!!!
@KilengaJoseph11 ай бұрын
hata vijiji vyetu vizuri sana shena kama kwetu kilimanjaro ni full kijani cha ndizi😅
@gracekagoma323111 ай бұрын
Exactly
@OfficialDatingAssistance11 ай бұрын
I agree
@marrypius57611 ай бұрын
Yan natamani kuishi huko jamn Mungu sikia maombi yangu
@glorymasy768710 ай бұрын
Huku ndio masaki 😂😂😂😂😂😂
@emarycianakitwenga98139 ай бұрын
Pazuri sanaa
@lujuomjanja286611 ай бұрын
ni wapi huko?
@sellysang750411 ай бұрын
Hi beautiful very nice yes very clod here too ❤❤
@agnesandrew274211 ай бұрын
❤❤❤❤
@joslinchuwa129811 ай бұрын
Kuzuri sana❤
@mwanahamisimwelesi66829 ай бұрын
Kijiji kama masaki dah
@sleeprelaxation843111 ай бұрын
life ya kijijini kwenye nchi zilizo endelea ni raha zaidi,
@nahlahassan-fd6le11 ай бұрын
Kijijini lkn kuzur sanaaa❤❤❤
@MneneNicodem-zd9sh9 ай бұрын
Mambo! KWA HIYO dada TZ utarudi lini? Au ndo basi wazungu wamekung'ang'ana!
@NeemaAbdon11 ай бұрын
Uko poa mdg wangu?
@maryamrashid849911 ай бұрын
Umenichekesha sana😂😂😂
@StephanJimmy-uj7rw11 ай бұрын
Shena me cjui kiingereza hyo ndo changamoto
@annasolomon985511 ай бұрын
Kijiji? Mbona kijiji ni kizuri kuliko hata Arusha mjini 😅😅
@officialdaynesskavishe414311 ай бұрын
Kabisa jaman.mana Arusha sipaelewagi ramani yake.
@valenakomba921811 ай бұрын
Aunt wangu ujuwe hicho kijij hapo kama mwenyewe unavyokiita kinajitegemea kwa mengi . Uslinganishe ulaya na vijiji vya Tanzania ambavyo mahitaji yao meengi yanatoka mjini. Lakini hapo naamini wanakila kitu. Maofisi , mjini (centrum) wao na wenyewe, hosipitali yao mashule yao nk. Hawahitaji kwenda kutafuta kazi mjini, wao na wenyewe hapo watemetengene 3:05 😢za ajira zao . Kwa hiyo hicho siyo kijiji kama vijiji vyetu mi.aamini hako ni kajimbo, na huno ndani kunavijiji.
@OfficialDatingAssistance11 ай бұрын
Lakini nyumbani na jamii yetu inaamini kijiji basi mi kijiji zaidi ya Nyumbani na pengine wanachinja watu.. ndiomana nimewaletea hapa ili wasafishe Macho na watoe mawazo mabaya waliyokua wanafikiria