#NONDO

  Рет қаралды 11,813

IsleBlogTv

IsleBlogTv

Жыл бұрын

#isleblog Profesa Patrick Loch Otieno Lumumba kutoka Kenya kwa mada ya umuhimu wa Muungano na umoja katika bara la Afrika.

Пікірлер: 32
@user-gp1hi7sw5k
@user-gp1hi7sw5k 4 ай бұрын
Lumumba nakupenda kuliko watu wote
@RobertPaul-cg3rl
@RobertPaul-cg3rl 10 күн бұрын
Congratulations 👏 to you pro.honnorable Patrick Lumumba,,, for the good Job And to show you the good participate in Tanzania by really And in actually we are supporting to be a one things forever and i needs support to you and African in general by my notion states that " MANJALA LIBERATION OF AFRICAN ASSOCIATION LEGACY (LAAL)2024 which have the main purposes; to advocate of human rights and their resources, to emphasize the people of Tanzania and African in general to refusion corruption, to maintain peace, unity, independence, solidarity and responsibilities in case of continue to make our economy improvemen especially poorly living standard people in Tanzania and African in general
@user-ig2ol6oi9k
@user-ig2ol6oi9k 2 ай бұрын
Huna mfano kaka Lumumba. Tunazidi kukuombea uzidi kuwaelimisha waafrika kwa ujumla wake. Pogenzi kaka wangu
@magangajosephat9919
@magangajosephat9919 Жыл бұрын
Prof.unaongea kiswahili fasaha. Hongera sana! Wewe ni mahiri katika matumizi ya Msamiati na misemo ya Kiswahili. Hakika wewe ni Profesa kweli kweli. Mungu akubariki sana katika uelimishaji wako.
@georgeantonisempeho1991
@georgeantonisempeho1991 Жыл бұрын
Very eloquent presentation from a true Pan-Africanist. It's very touching to listen to this Kenyan, who speaks very grounded Kiswahili Kiswahili fasaha), just he does speak very elaborate English! Amazing 😊. Big up Prof -- I am one of your admirers and I sincerely hope you will have the energy to keep educating the African elite on Pan- Africanism, whenever and wherever you get the slightest of opportunities. May God bless you Sir 😊.
@LushidulaDula-np5md
@LushidulaDula-np5md 8 ай бұрын
Afirika nzima Hana wakumfikia
@homeboybeyondtheborders4935
@homeboybeyondtheborders4935 Жыл бұрын
Profesa Lumumba ana hoja na anaongea kiswahili kizuri sana
@patriotkenya
@patriotkenya Жыл бұрын
Kiswahili kizuri profesa.umejieleza kwa ufasaha sana.pongezi
@LushidulaDula-np5md
@LushidulaDula-np5md 8 ай бұрын
Siugombe ulaisi mbona unafaa Sana baba yetu
@danforddavid6023
@danforddavid6023 Жыл бұрын
very strong , speech ,
@daudimlamka1239
@daudimlamka1239 Жыл бұрын
Kizazi Cha Prof Lumumber kinapotea ,Sasa kizazi hiki Cha Leo Cha smart4n kinabaki bila maono ,RIP wazarendo mliotangulia ,Ahsante pro Lumumba
@user-xo3td4uh8r
@user-xo3td4uh8r 9 ай бұрын
Mjomba nimekuelewa kwa kiinnnaa asante mjomba
@chriskimaro942
@chriskimaro942 Жыл бұрын
Mwanaujamaa mwenye uchungu na bara letu la Africa
@user-co7bs2sm8g
@user-co7bs2sm8g 11 ай бұрын
I wish to meet you
@mahammoudhaji
@mahammoudhaji Жыл бұрын
Jembe limeongea kiswahili bila ya kutumia neno au sentens ya kiengereza
@johnsonprosper4073
@johnsonprosper4073 Жыл бұрын
Najiuliza sisi wa Tz kiswahili sahihi kama hiki tunashindwa nini???
@KenyanDailyGossip
@KenyanDailyGossip Жыл бұрын
Tunajivunia prof lumumba kama wakenya
@karisakwicha223
@karisakwicha223 Жыл бұрын
Bro unite is the answer
@abuuahmadabdul-rahman9025
@abuuahmadabdul-rahman9025 Жыл бұрын
Kiswahili sanifu huwezi amini mwanaujamaa Alie na uchungu na bara la Afrika mwenye uzalendo
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Жыл бұрын
Daudi mlamka kizazi kisichopenda kufikiri hakukosea raisi Mkapa un reasoning minds
@josephsebe5857
@josephsebe5857 6 ай бұрын
Wewe unganisha Ruto na Laila isije kuwa BIBLIA😂
@mwinyimwinyimkadam9948
@mwinyimwinyimkadam9948 Жыл бұрын
Karume mwenyewe ulimshinda katangaza hadharani kuuvunja wakamvunja yeye
@solomonwanjala7182
@solomonwanjala7182 Жыл бұрын
Huyu ni ngwinji na falsafa zake ni za busara mno.
@jumamuhd620
@jumamuhd620 Жыл бұрын
WAZANZIBAR hawataki MUUNGANO hata kuona
@ahmednuhu2386
@ahmednuhu2386 Жыл бұрын
Hakuna hata MTU mmoja wa bara anaetaka muungano kwasabu sisi pia hatutegemei chochote kutoka kwenu
@ibrahimkhamis9699
@ibrahimkhamis9699 Жыл бұрын
Sikilizeni hotuba kwanza, Ili muweze kuzitafakari fikra zenu
@chriskimaro942
@chriskimaro942 Жыл бұрын
Kama huutaki muungano katuletee ule mchanga uliochangabywa uugawanyishe ule wa zanzibar na wa Tanganyika hapo utaweza kuugawa muungano.
@yudahwa-ta-seti6075
@yudahwa-ta-seti6075 17 күн бұрын
Muungamo mpya was Afrika jameni😮
@NassorHassan-no1cr
@NassorHassan-no1cr Жыл бұрын
Muungano gani huu ?? Zanzibar ipo Tanganyika imejizika ktk kivuli cha muungano
@nicodemashaggite8429
@nicodemashaggite8429 Жыл бұрын
Acha ubinafsi hizo ndo siasa za kihuni
Kenya Hakuna Upinzani, Ni Ubabaishaji - Prof PLO Lumumba
34:15
Radio Maisha
Рет қаралды 4,5 М.
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 68 МЛН
Who has won ?? 😀 #shortvideo #lizzyisaeva
00:24
Lizzy Isaeva
Рет қаралды 62 МЛН
I CAN’T BELIEVE I LOST 😱
00:46
Topper Guild
Рет қаралды 118 МЛН
Character is the Essence of Life WITH PROF PLO LUMUMBA
45:26
Rev Lucy Natasha
Рет қаралды 421 М.
PATRICE LUMUMBA SPEECH AT TANZANIA NATIONAL PRAYER BREAKFAST-DODOMA 2023
26:24
Family of friends Tanzania
Рет қаралды 8 М.
PLO Lumumba's submission at the Supreme Court
21:30
Nation
Рет қаралды 5 МЛН
Episode 23 with Jorum Nkumbi: Mtaalamu (Mlumbi) wa lugha ya Kiswahili.
1:30:48
What is Magufulification of Africa ? by Prof  PLO Lumumba
25:36
MAGUFULIFICATION OF AFRICA
Рет қаралды 9 М.
Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995
14:17
Joseph Mabima
Рет қаралды 3,6 МЛН
A clash of kindness and indifference #shorts
00:17
Fabiosa Best Lifehacks
Рет қаралды 68 МЛН