Siku ya tatu ya mkutano uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Tambuka Reli vilivyopo Singida Manyoni katika maadhimisho ya miaka 85 ya TAG Idara ya Uinjilisti
Пікірлер: 133
@Alexander-xp9zd3 күн бұрын
Ameni Mungu akubariki mtunmishi WA Mungu.
@Soni-lt6oi2 ай бұрын
Hallelujah napenda jina Yesu jina Hilo Lina nguvu sana mapepo wakisikia hio jina wanasarenda praise God
@user-eb3dw3uh2t2 ай бұрын
Baba MUNGU akubariki nabarikiwa sana na injili Yako,uishi Kwa utukufu wa MUNGU afya idumu kwako amen
@user-dn6tu7zq2h20 күн бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza sana sana mtumishi wa Mungu alie hai
@upendokikwelele6202 күн бұрын
Karibu Mbeya Mtumishi
@winnifridasimba725710 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mch
@lidamudy28429 күн бұрын
Kumbe unajua na Kirundi ndamutinya ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
@suzanmichael3 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu nmebarikiwa na mafundisho Yako Leo🙏🙏
@princessprecious699510 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@eliethmwanguya71183 ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu hafananishwi na chochote.
@marychristiansen29902 ай бұрын
Kwa kweli siboeki kamwe kukuskiza mtumishi wa Mungu...kujifunza pia,Mungu azidi kukubariki na kukupigania🙏
@absalimlufyagile497415 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
@user-pz4tw8uy4v28 күн бұрын
Mchungaji Amiel Bwana Mungu akubariki Sana,injili yako na ipenda sana.ubarikiwe kabisa
@MaikoAlex-l1y14 күн бұрын
Mungu akubariki
@NajiethKagoАй бұрын
Bwana Yesu asifiwe asante mtumishi wa Mungu kwa kutuvusha namshukuru Mungu nimepona kwa sababu niko na Yesu kristo jamn me shetan alikuwa amenikamata nikaumwa vidonda vya tumbo kumbe vilikuwa vy kipepo lakini ahimidiwe Bwana Yesu mpaka sasa siwemwi tena hilo gonjwa kwasababu nina Yesu kristo ambaye yuko ndani yangu
@RachelEmid-jq6eo25 күн бұрын
nabarikiwa sana na neno lako Mtumshi Mungu azid kukuweka dunian ili tuzid kushuhudia matendo ya Bwana yalivyo makuu hakika Mungu amekutuma wewe Ameeen 🙏🙏
Amina, mchungaji Mungu akubariki kwa kutupa siri za adui
@nallymwamba13304 ай бұрын
Amen hongereni sana Kwa Injili ya YESU
@user-pe3jq4ti8c3 ай бұрын
Amen,,Nabarikiwa na mafundisho Yako ...Maana Siri hizi nilikuwa sizijui ,,,Ah M ungu ni. Mwema
@BenardMwangosi-vf8od2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nabarikiwa sana nawee
@jeniphatemu29373 ай бұрын
Komando wa YESU umependeza SANA na mavazi YAKO. Umebarikiwa na familia YAKO.
@getrayakoyi91852 ай бұрын
Asante Kwa kutufundisha ili tutoke Kwa vifungo vya dini
@violetnasimiyu87183 ай бұрын
Unanikumbusha wakati fulani nilikuwa na vita kubwa sana na mtu wa free mason, walinishambulia kwenye ndoto ila nikawashinda kisha nikasikia mmoja wako alisema huyu tumfanye abackslide ndio tumweze. Hapo ninajua kumbe shetani atakuweza tu ikiwa haujasimama vema katika wokovu wako.nilijifunza kutengeneza na Mungu wangu kila siku.
@geitandelwa2993 ай бұрын
Ameni ni kweli hao watu ni hatali sana ILA YESU NI KIBOKO YAO
@JoyfredNdolo3 ай бұрын
Yesu ni dawa
@anthonyyalanda113 ай бұрын
Asante kwa neno zuri mno
@neemataris3273Ай бұрын
Mungu atusaidie yaani kukaa vizuri na Mungu ni jambo la maana sana
@SelestinaHamis-dw1gsАй бұрын
Hongera Sana
@user-jv8ev5ol6y3 ай бұрын
Hongera mtumishi, kumbe ww ni muha💞💞ulakoze
@DanielOdack2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana nikiwa kenya
@jenithambwanji79633 ай бұрын
Hongera kwa kumtambulisha kristo Yesu
@JaneKuyokwa-ng2qf4 ай бұрын
Asante amieli katekela mungu akubaliki
@christinemwembe19102 ай бұрын
Hallelujah napenda jina yesu, jina na nguvu zote
@neemalekey41383 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji Yesu amekuokoa kwa kusudi lake zidi kutumika kwake unatufundisha ya sirini
@SamMapiji-rf8zb4 ай бұрын
Ahsante yesu kwa damu yako ya samani
@user-bw1mq4en7h4 ай бұрын
Sabini na tisa tuli omba Mungu afanye miujija kwa kufungua watu wa mefungwa na shetani ha tu kujua kama tu tapataji sa ushida huu umenipa jibu Mungu apewe sifa na utukufu ju ya ushida huu
@e.a.g.tmsongola2934 ай бұрын
Ameen.True Gosple
@PetroMakao2 ай бұрын
Mungu akubariki sana karibu mlimba❤
@DIGNAJASTIN-dl8yj3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@andjelaabonga71373 ай бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wamungu
@annissdaprincess38463 ай бұрын
AMINA KUBWA ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
@user-kf6ox4pe5b4 ай бұрын
Hallelujah amen amen amen amen
@christinechilambo6864 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@valenakomba76863 ай бұрын
Bwana Yesu atukuzwe sanaaa.
@rahabnkya82764 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe. MCHJ AMIELI KATEKELA NAKUAMINIA KABISA MUDA MREFU. HERI YA PASAKA 2024
@user-tb6gv1xx9j2 ай бұрын
Amen yesu akubaliki sana
@user-iw1yq3op8f4 ай бұрын
Ameen and ameen be blessed
@anthonyyalanda113 ай бұрын
Ushuhuda wako mtumishi nauelewa sana,ingawa sijafika huko ulikokuwa,mimi Yesu ameniokoa sana.
@WalingileMwasimuke5 күн бұрын
Habari ya mjini ni kuokoka
@elbaricktv16323 ай бұрын
Mtumish karibu dodoma
@AshilatAbas-qe4fh4 ай бұрын
Nakupata baba
@SindimwoCesile25 күн бұрын
Karibu kambini kambiyawarundi kibondo
@tumainsanga70142 ай бұрын
Amina mtumishi wa Yesu
@MsafiriMakata2 күн бұрын
Ameen
@annenakhumicha41943 ай бұрын
Amen AMEN nimebarikiwa sana kwa mafundisho yako Mtumishi wa Mungu tafadhali naomba nambari yako ya simu Mtumishi Katekela maana nasumbuliwa sana na pressure kwa miaka kadhaa ningependa kuomba pamoja nawe please
@LuckyMountainRange-lk4iq4 ай бұрын
Mahubiri yako ni mazuri sana kwangu nabarikiwa sana
@madahaboytz3 ай бұрын
Amina mtumishi
@JemaMbwilo3 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu watu hatutaki kusoma Neno Ili tupate nguvu ilioko kwenye Neno Mungu Akubariki sana sana uendelee kutututoa kwenye ujinga wa kuamini mafuta kuliko nguvu ya Mungu iliotuokoa
@GraceSambula3 ай бұрын
Mungua Akubariki baka siku yamwisho ubate uzima wa milele
@oscanyakunga4 ай бұрын
AMEN🎉🎉🎉🎉🎉
@AtupokileKashililika3 ай бұрын
Ndio mwanaume mumoja tu aliyeshinda kifo na mauti,mwamba wa miamba,ubarikiwe pasta
@getrudengani83763 ай бұрын
Nasema Amina kubwaa
@micahnjoroge36852 ай бұрын
Haku kaa hapo birikani miak38. Alikua naugojwa nda ya mwili wake kwa miaka 38. Wewe soma Bibilia il uelewe.
@milkahkale9031Ай бұрын
Una shida naona
@dorothykarimi72933 ай бұрын
Karibu Kenya,
@ChristianChebet-lu3yq3 ай бұрын
Amen 🙏
@SHAMAELISHA3 ай бұрын
Amina
@JuneJune-xf4pc3 ай бұрын
AMEN
@InjeeAa-vd4ez3 ай бұрын
Aminaaaaa
@user-zq9dm2kw6c4 ай бұрын
Amen
@user-bw1mq4en7h4 ай бұрын
Ume ni fulahisha ume changanya kiha na ki swahili ubalikie sana
@kenedyjoseph10444 ай бұрын
amenii
@HelenKodi2 ай бұрын
Natamani kukusikia ana kwa ana karibu kwetu voi Kenya
@PaskalinaNgiliule4 ай бұрын
Ameeen
@valenakomba76863 ай бұрын
Ameeeen
@SindimwoCesile25 күн бұрын
MUNGU ukurinde na akubebe
@janetkithi7753 ай бұрын
Asante Sana mtumishi Kwa ujumbe mzuri
@SindimwoCesile25 күн бұрын
Sasa mutumishi mbona🎉warikata mudawakuomba bado haujatu ombeya kwakusimamisha nyota naminiritamanikuombewa nakudayi uniombeye MUNGU akuongoze
@violetnasimiyu87183 ай бұрын
Ila usiwe unatoka kutenda dhambi kisha uitishe huo moto, utachomeka mwenyewe.
@raelnangila30063 ай бұрын
Aleluyaaaah muchungaji.... Ubarikiwe
@SamwelMagalaАй бұрын
Amieli ushuhuda wako umenitoa machoz
@NicholausMahembuke3 ай бұрын
Huyo,mimi bado nina shaka naye! Mafundisho yake ya kinyota nyota,na za kimajini majini! Huyu,aendelee kufundishwa Imani hii,bado anachanganya maneno.
@ScolaMwanjoka3 ай бұрын
Pole ata biblia imesema weng wataskia lakini awatahamini..
@NicholausMahembuke3 ай бұрын
@@ScolaMwanjoka Hujui unachokisema
@angelamugoywa49173 ай бұрын
ameen Bwana yesu abewasifa
@yohanessphilemon70064 ай бұрын
We
@aminakyungu84144 ай бұрын
Amenii kubwa
@user-si5wk9gq1e4 ай бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
@andjelaabonga71373 ай бұрын
.uwe munatuombeya nasisi tunahomba msahada
@geitandelwa2993 ай бұрын
Tunaomba no yakoo
@BetriceMwawalo-qr4qpАй бұрын
Tunaomba na Namba yako
@elbaricktv16323 ай бұрын
Baba yangu anateseka kitandani naomben namba ya katekela 😢
@trophywilson72113 ай бұрын
Pole saana
@RehemaGodfrey3 ай бұрын
Jaman mwezenu naombeni namba ya mchungaji nimechoka naaya mateso.
@user-nf1nk7mv1b3 ай бұрын
Nitumie yakwako mimi pia takusaidia
@neemakanani43463 ай бұрын
Nenda mwaya promova tv utapata namba yake
@geitandelwa2993 ай бұрын
Pole sana MUNGU AKUSAIDIE NA KUKUVUSHA NA YOTE
@RoseKimishabhalemi-oz9bn2 ай бұрын
Maomba ya wazazi wako ndiyo yaliyokuokoa
@LucyKapinga-fg4dk2 ай бұрын
Sawa Ila Nayeye ILIBIDI AMTAKE YESE MWENYEWE. BAADA YAKIMUONA UMAUTI UTAMJIA AKIRUDI KUZIMU BILA KUIFANIKISHQ KAZI ILIMBIDI AOMBE MSAADA kwa YESU Amsaidie nakumtetea
@elbaricktv16323 ай бұрын
Ukija dodoma ntakua wa kwanza kuokoka
@mumbijpearl50603 ай бұрын
OKoka saa hii kabla hajaja, aliyohubiri humu yatosha wewe kumpa Yesu maisha yako. Akija huko wee hudhuria mkutano Kama mlokole.
@leahdaniel11174 ай бұрын
Video haina sauti
@evastanley98714 ай бұрын
Cm yako ndo itakua haina sauti
@micahnjoroge3685Ай бұрын
Wewe ni muongo wa kweli hakuna kitu Kama hio ati eti ulikua umekaa kuzimu? Acha Uongo. Uongo. Mtupu
@AdiosMalobo-st9peАй бұрын
Subiri Siku ukifa ndo utajuta
@mariahyera37374 ай бұрын
Aminaaaa!! Hakika Yesu ni Bwana.
@marionoti57603 ай бұрын
Uwongo , hadaa miujiza feki na hadithi za Abunuasi ndio mnataka kuwarithisha vijana wetu? Badala ya kujitawala wengi wao hugeuzwa mazombi wakidai ndio roho mtakatifu. vijana tumieni vizuri akili zenu ili muijue kweli na kuwa huru.