No video

SIKIA KINACHOTOKEA HUKO KUZIMU PALE WALOKOLE WANAPO OMBA.

  Рет қаралды 64,912

NY TV

NY TV

4 ай бұрын

Siku ya tatu ya mkutano uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Tambuka Reli vilivyopo Singida Manyoni katika maadhimisho ya miaka 85 ya TAG Idara ya Uinjilisti

Пікірлер: 133
@Alexander-xp9zd
@Alexander-xp9zd 3 күн бұрын
Ameni Mungu akubariki mtunmishi WA Mungu.
@Soni-lt6oi
@Soni-lt6oi 2 ай бұрын
Hallelujah napenda jina Yesu jina Hilo Lina nguvu sana mapepo wakisikia hio jina wanasarenda praise God
@user-eb3dw3uh2t
@user-eb3dw3uh2t 2 ай бұрын
Baba MUNGU akubariki nabarikiwa sana na injili Yako,uishi Kwa utukufu wa MUNGU afya idumu kwako amen
@user-dn6tu7zq2h
@user-dn6tu7zq2h 20 күн бұрын
Bwana YESU azidi kukutunza sana sana mtumishi wa Mungu alie hai
@upendokikwelele620
@upendokikwelele620 2 күн бұрын
Karibu Mbeya Mtumishi
@winnifridasimba7257
@winnifridasimba7257 10 күн бұрын
Mungu akubariki sana Mch
@lidamudy2842
@lidamudy2842 9 күн бұрын
Kumbe unajua na Kirundi ndamutinya ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
@suzanmichael
@suzanmichael 3 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu nmebarikiwa na mafundisho Yako Leo🙏🙏
@princessprecious6995
@princessprecious6995 10 күн бұрын
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
@eliethmwanguya7118
@eliethmwanguya7118 3 ай бұрын
Hakika Mungu ni mkuu hafananishwi na chochote.
@marychristiansen2990
@marychristiansen2990 2 ай бұрын
Kwa kweli siboeki kamwe kukuskiza mtumishi wa Mungu...kujifunza pia,Mungu azidi kukubariki na kukupigania🙏
@absalimlufyagile4974
@absalimlufyagile4974 15 күн бұрын
Ubalikiwe mtumishi wa mungu
@user-pz4tw8uy4v
@user-pz4tw8uy4v 28 күн бұрын
Mchungaji Amiel Bwana Mungu akubariki Sana,injili yako na ipenda sana.ubarikiwe kabisa
@MaikoAlex-l1y
@MaikoAlex-l1y 14 күн бұрын
Mungu akubariki
@NajiethKago
@NajiethKago Ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe asante mtumishi wa Mungu kwa kutuvusha namshukuru Mungu nimepona kwa sababu niko na Yesu kristo jamn me shetan alikuwa amenikamata nikaumwa vidonda vya tumbo kumbe vilikuwa vy kipepo lakini ahimidiwe Bwana Yesu mpaka sasa siwemwi tena hilo gonjwa kwasababu nina Yesu kristo ambaye yuko ndani yangu
@RachelEmid-jq6eo
@RachelEmid-jq6eo 25 күн бұрын
nabarikiwa sana na neno lako Mtumshi Mungu azid kukuweka dunian ili tuzid kushuhudia matendo ya Bwana yalivyo makuu hakika Mungu amekutuma wewe Ameeen 🙏🙏
@bavurecopain2673
@bavurecopain2673 3 ай бұрын
Shukrani baba mcungaji. MUNGU akuzidishie upako
@MatildaMakawia
@MatildaMakawia 3 ай бұрын
Barikiwa pastor kwa injili iliyo hai
@sabastiansaba-js6hs
@sabastiansaba-js6hs 3 ай бұрын
Amen in Jesus name thanks my deer Fred.
@JojinahKuyah
@JojinahKuyah 3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu aliye hai.
@InjeeAa-vd4ez
@InjeeAa-vd4ez 3 ай бұрын
Uyo yesuuuuu uyomwana wimana yadufiriyekumusaraba jewe ndamuvuga hose yaranyemeje aminaaa
@user-qk9iz5lt8q
@user-qk9iz5lt8q 10 күн бұрын
AMENI MT.WA MUNGU
@EricMaingi-f8b
@EricMaingi-f8b 20 күн бұрын
Amina, mchungaji Mungu akubariki kwa kutupa siri za adui
@nallymwamba1330
@nallymwamba1330 4 ай бұрын
Amen hongereni sana Kwa Injili ya YESU
@user-pe3jq4ti8c
@user-pe3jq4ti8c 3 ай бұрын
Amen,,Nabarikiwa na mafundisho Yako ...Maana Siri hizi nilikuwa sizijui ,,,Ah M ungu ni. Mwema
@BenardMwangosi-vf8od
@BenardMwangosi-vf8od 2 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi nabarikiwa sana nawee
@jeniphatemu2937
@jeniphatemu2937 3 ай бұрын
Komando wa YESU umependeza SANA na mavazi YAKO. Umebarikiwa na familia YAKO.
@getrayakoyi9185
@getrayakoyi9185 2 ай бұрын
Asante Kwa kutufundisha ili tutoke Kwa vifungo vya dini
@violetnasimiyu8718
@violetnasimiyu8718 3 ай бұрын
Unanikumbusha wakati fulani nilikuwa na vita kubwa sana na mtu wa free mason, walinishambulia kwenye ndoto ila nikawashinda kisha nikasikia mmoja wako alisema huyu tumfanye abackslide ndio tumweze. Hapo ninajua kumbe shetani atakuweza tu ikiwa haujasimama vema katika wokovu wako.nilijifunza kutengeneza na Mungu wangu kila siku.
@geitandelwa299
@geitandelwa299 3 ай бұрын
Ameni ni kweli hao watu ni hatali sana ILA YESU NI KIBOKO YAO
@JoyfredNdolo
@JoyfredNdolo 3 ай бұрын
Yesu ni dawa
@anthonyyalanda11
@anthonyyalanda11 3 ай бұрын
Asante kwa neno zuri mno
@neemataris3273
@neemataris3273 Ай бұрын
Mungu atusaidie yaani kukaa vizuri na Mungu ni jambo la maana sana
@SelestinaHamis-dw1gs
@SelestinaHamis-dw1gs Ай бұрын
Hongera Sana
@user-jv8ev5ol6y
@user-jv8ev5ol6y 3 ай бұрын
Hongera mtumishi, kumbe ww ni muha💞💞ulakoze
@DanielOdack
@DanielOdack 2 ай бұрын
Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana nikiwa kenya
@jenithambwanji7963
@jenithambwanji7963 3 ай бұрын
Hongera kwa kumtambulisha kristo Yesu
@JaneKuyokwa-ng2qf
@JaneKuyokwa-ng2qf 4 ай бұрын
Asante amieli katekela mungu akubaliki
@christinemwembe1910
@christinemwembe1910 2 ай бұрын
Hallelujah napenda jina yesu, jina na nguvu zote
@neemalekey4138
@neemalekey4138 3 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mchungaji Yesu amekuokoa kwa kusudi lake zidi kutumika kwake unatufundisha ya sirini
@SamMapiji-rf8zb
@SamMapiji-rf8zb 4 ай бұрын
Ahsante yesu kwa damu yako ya samani
@user-bw1mq4en7h
@user-bw1mq4en7h 4 ай бұрын
Sabini na tisa tuli omba Mungu afanye miujija kwa kufungua watu wa mefungwa na shetani ha tu kujua kama tu tapataji sa ushida huu umenipa jibu Mungu apewe sifa na utukufu ju ya ushida huu
@e.a.g.tmsongola293
@e.a.g.tmsongola293 4 ай бұрын
Ameen.True Gosple
@PetroMakao
@PetroMakao 2 ай бұрын
Mungu akubariki sana karibu mlimba❤
@DIGNAJASTIN-dl8yj
@DIGNAJASTIN-dl8yj 3 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@andjelaabonga7137
@andjelaabonga7137 3 ай бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wamungu
@annissdaprincess3846
@annissdaprincess3846 3 ай бұрын
AMINA KUBWA ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU
@user-kf6ox4pe5b
@user-kf6ox4pe5b 4 ай бұрын
Hallelujah amen amen amen amen
@christinechilambo686
@christinechilambo686 4 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
Bwana Yesu atukuzwe sanaaa.
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 4 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe. MCHJ AMIELI KATEKELA NAKUAMINIA KABISA MUDA MREFU. HERI YA PASAKA 2024
@user-tb6gv1xx9j
@user-tb6gv1xx9j 2 ай бұрын
Amen yesu akubaliki sana
@user-iw1yq3op8f
@user-iw1yq3op8f 4 ай бұрын
Ameen and ameen be blessed
@anthonyyalanda11
@anthonyyalanda11 3 ай бұрын
Ushuhuda wako mtumishi nauelewa sana,ingawa sijafika huko ulikokuwa,mimi Yesu ameniokoa sana.
@WalingileMwasimuke
@WalingileMwasimuke 5 күн бұрын
Habari ya mjini ni kuokoka
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 3 ай бұрын
Mtumish karibu dodoma
@AshilatAbas-qe4fh
@AshilatAbas-qe4fh 4 ай бұрын
Nakupata baba
@SindimwoCesile
@SindimwoCesile 25 күн бұрын
Karibu kambini kambiyawarundi kibondo
@tumainsanga7014
@tumainsanga7014 2 ай бұрын
Amina mtumishi wa Yesu
@MsafiriMakata
@MsafiriMakata 2 күн бұрын
Ameen
@annenakhumicha4194
@annenakhumicha4194 3 ай бұрын
Amen AMEN nimebarikiwa sana kwa mafundisho yako Mtumishi wa Mungu tafadhali naomba nambari yako ya simu Mtumishi Katekela maana nasumbuliwa sana na pressure kwa miaka kadhaa ningependa kuomba pamoja nawe please
@LuckyMountainRange-lk4iq
@LuckyMountainRange-lk4iq 4 ай бұрын
Mahubiri yako ni mazuri sana kwangu nabarikiwa sana
@madahaboytz
@madahaboytz 3 ай бұрын
Amina mtumishi
@JemaMbwilo
@JemaMbwilo 3 ай бұрын
Amen mtumishi wa Mungu watu hatutaki kusoma Neno Ili tupate nguvu ilioko kwenye Neno Mungu Akubariki sana sana uendelee kutututoa kwenye ujinga wa kuamini mafuta kuliko nguvu ya Mungu iliotuokoa
@GraceSambula
@GraceSambula 3 ай бұрын
Mungua Akubariki baka siku yamwisho ubate uzima wa milele
@oscanyakunga
@oscanyakunga 4 ай бұрын
AMEN🎉🎉🎉🎉🎉
@AtupokileKashililika
@AtupokileKashililika 3 ай бұрын
Ndio mwanaume mumoja tu aliyeshinda kifo na mauti,mwamba wa miamba,ubarikiwe pasta
@getrudengani8376
@getrudengani8376 3 ай бұрын
Nasema Amina kubwaa
@micahnjoroge3685
@micahnjoroge3685 2 ай бұрын
Haku kaa hapo birikani miak38. Alikua naugojwa nda ya mwili wake kwa miaka 38. Wewe soma Bibilia il uelewe.
@milkahkale9031
@milkahkale9031 Ай бұрын
Una shida naona
@dorothykarimi7293
@dorothykarimi7293 3 ай бұрын
Karibu Kenya,
@ChristianChebet-lu3yq
@ChristianChebet-lu3yq 3 ай бұрын
Amen 🙏
@SHAMAELISHA
@SHAMAELISHA 3 ай бұрын
Amina
@JuneJune-xf4pc
@JuneJune-xf4pc 3 ай бұрын
AMEN
@InjeeAa-vd4ez
@InjeeAa-vd4ez 3 ай бұрын
Aminaaaaa
@user-zq9dm2kw6c
@user-zq9dm2kw6c 4 ай бұрын
Amen
@user-bw1mq4en7h
@user-bw1mq4en7h 4 ай бұрын
Ume ni fulahisha ume changanya kiha na ki swahili ubalikie sana
@kenedyjoseph1044
@kenedyjoseph1044 4 ай бұрын
amenii
@HelenKodi
@HelenKodi 2 ай бұрын
Natamani kukusikia ana kwa ana karibu kwetu voi Kenya
@PaskalinaNgiliule
@PaskalinaNgiliule 4 ай бұрын
Ameeen
@valenakomba7686
@valenakomba7686 3 ай бұрын
Ameeeen
@SindimwoCesile
@SindimwoCesile 25 күн бұрын
MUNGU ukurinde na akubebe
@janetkithi775
@janetkithi775 3 ай бұрын
Asante Sana mtumishi Kwa ujumbe mzuri
@SindimwoCesile
@SindimwoCesile 25 күн бұрын
Sasa mutumishi mbona🎉warikata mudawakuomba bado haujatu ombeya kwakusimamisha nyota naminiritamanikuombewa nakudayi uniombeye MUNGU akuongoze
@violetnasimiyu8718
@violetnasimiyu8718 3 ай бұрын
Ila usiwe unatoka kutenda dhambi kisha uitishe huo moto, utachomeka mwenyewe.
@raelnangila3006
@raelnangila3006 3 ай бұрын
Aleluyaaaah muchungaji.... Ubarikiwe
@SamwelMagala
@SamwelMagala Ай бұрын
Amieli ushuhuda wako umenitoa machoz
@NicholausMahembuke
@NicholausMahembuke 3 ай бұрын
Huyo,mimi bado nina shaka naye! Mafundisho yake ya kinyota nyota,na za kimajini majini! Huyu,aendelee kufundishwa Imani hii,bado anachanganya maneno.
@ScolaMwanjoka
@ScolaMwanjoka 3 ай бұрын
Pole ata biblia imesema weng wataskia lakini awatahamini..
@NicholausMahembuke
@NicholausMahembuke 3 ай бұрын
@@ScolaMwanjoka Hujui unachokisema
@angelamugoywa4917
@angelamugoywa4917 3 ай бұрын
ameen Bwana yesu abewasifa
@yohanessphilemon7006
@yohanessphilemon7006 4 ай бұрын
We
@aminakyungu8414
@aminakyungu8414 4 ай бұрын
Amenii kubwa
@user-si5wk9gq1e
@user-si5wk9gq1e 4 ай бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
@andjelaabonga7137
@andjelaabonga7137 3 ай бұрын
.uwe munatuombeya nasisi tunahomba msahada
@geitandelwa299
@geitandelwa299 3 ай бұрын
Tunaomba no yakoo
@BetriceMwawalo-qr4qp
@BetriceMwawalo-qr4qp Ай бұрын
Tunaomba na Namba yako
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 3 ай бұрын
Baba yangu anateseka kitandani naomben namba ya katekela 😢
@trophywilson7211
@trophywilson7211 3 ай бұрын
Pole saana
@RehemaGodfrey
@RehemaGodfrey 3 ай бұрын
Jaman mwezenu naombeni namba ya mchungaji nimechoka naaya mateso.
@user-nf1nk7mv1b
@user-nf1nk7mv1b 3 ай бұрын
Nitumie yakwako mimi pia takusaidia
@neemakanani4346
@neemakanani4346 3 ай бұрын
Nenda mwaya promova tv utapata namba yake
@geitandelwa299
@geitandelwa299 3 ай бұрын
Pole sana MUNGU AKUSAIDIE NA KUKUVUSHA NA YOTE
@RoseKimishabhalemi-oz9bn
@RoseKimishabhalemi-oz9bn 2 ай бұрын
Maomba ya wazazi wako ndiyo yaliyokuokoa
@LucyKapinga-fg4dk
@LucyKapinga-fg4dk 2 ай бұрын
Sawa Ila Nayeye ILIBIDI AMTAKE YESE MWENYEWE. BAADA YAKIMUONA UMAUTI UTAMJIA AKIRUDI KUZIMU BILA KUIFANIKISHQ KAZI ILIMBIDI AOMBE MSAADA kwa YESU Amsaidie nakumtetea
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 3 ай бұрын
Ukija dodoma ntakua wa kwanza kuokoka
@mumbijpearl5060
@mumbijpearl5060 3 ай бұрын
OKoka saa hii kabla hajaja, aliyohubiri humu yatosha wewe kumpa Yesu maisha yako. Akija huko wee hudhuria mkutano Kama mlokole.
@leahdaniel1117
@leahdaniel1117 4 ай бұрын
Video haina sauti
@evastanley9871
@evastanley9871 4 ай бұрын
Cm yako ndo itakua haina sauti
@micahnjoroge3685
@micahnjoroge3685 Ай бұрын
Wewe ni muongo wa kweli hakuna kitu Kama hio ati eti ulikua umekaa kuzimu? Acha Uongo. Uongo. Mtupu
@AdiosMalobo-st9pe
@AdiosMalobo-st9pe Ай бұрын
Subiri Siku ukifa ndo utajuta
@mariahyera3737
@mariahyera3737 4 ай бұрын
Aminaaaa!! Hakika Yesu ni Bwana.
@marionoti5760
@marionoti5760 3 ай бұрын
Uwongo , hadaa miujiza feki na hadithi za Abunuasi ndio mnataka kuwarithisha vijana wetu? Badala ya kujitawala wengi wao hugeuzwa mazombi wakidai ndio roho mtakatifu. vijana tumieni vizuri akili zenu ili muijue kweli na kuwa huru.
@gordonomondi7161
@gordonomondi7161 2 ай бұрын
Tafuta Yesu akuokoe tafadhali.
@clementinerrwekiti5147
@clementinerrwekiti5147 2 ай бұрын
Wewe sauna tofauti na rusifa
@AgnesKalinga-if3uf
@AgnesKalinga-if3uf 3 ай бұрын
Katekela wewe ni mkweli kabisaa
@sarifusteven4634
@sarifusteven4634 3 ай бұрын
Ubarikiwee sana
@AlexandaryMbumi
@AlexandaryMbumi 4 ай бұрын
MUNGU awabariki kwa injili
@subirasimbeye5389
@subirasimbeye5389 3 ай бұрын
Amina
@nazarenajoseph2695
@nazarenajoseph2695 4 ай бұрын
Amen
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 43 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 98 МЛН
MAKOSA UNAYOYAFANYA WAKATI WA MAOMBI YAKO // REKEBISHA HARAKA
12:45
SIRI ZA BIBLIA
Рет қаралды 208 М.
Hatumtafuti Mungu kwasababu tunashida  " Ezra 8 : 21 - 23 ".  Rev. Abiud Misholi
1:19:10
MACHAWI ALIYE ACHA UCHAWI NA KUA MCHUNGAJI PART 2
32:24
LUSEKELO MWALYAJE
Рет қаралды 35 М.
Mama vs Son vs Daddy 😭🤣
00:13
DADDYSON SHOW
Рет қаралды 43 МЛН