#PART

  Рет қаралды 102,652

NY TV

NY TV

Күн бұрын

Bwana Yesu atafunua kila jambo ulilotenda sirini na kuwekwa kweupeeee

Пікірлер: 117
@gitongaken
@gitongaken 15 күн бұрын
Mtumishi Abiud na aliyekutia mafuta hayalinde yazidi kuwa mabichi zaidi na zaidi.....ata thamila inahisi ukweli uliomo katika maubili Yako....na barikiwa sana utukufu kwa Yesu☝️
@NorbethJosphath-hm1zb
@NorbethJosphath-hm1zb 3 ай бұрын
Mzee wangu nakuomba mshikamane mchungaji mbalikiwa mwakipesile mnajenga nyumba moja Mungu ni mmoja
@sospetermukala3408
@sospetermukala3408 2 жыл бұрын
Nainuliwa sana na injili unayo ihubiri mchungaji na natamani niwe mmoja wa wale wataingia ufalme wa mbinguni
@jonathanouma4836
@jonathanouma4836 10 ай бұрын
Barikiwa Sana najifunza mengi kupitia kwako,,,
@babbianmutheu9193
@babbianmutheu9193 Ай бұрын
Hallelujah...mafundisho Kwa kanisa la leo
@ZephaniaMelckiades
@ZephaniaMelckiades Жыл бұрын
Aaah hii ni nguvu yamungu yenye ukombozi Leo sijafatilia Giza maana nimeiona Nuru mungu mbariki mchungaji abiud
@romwardmsekefu4567
@romwardmsekefu4567 27 күн бұрын
😢 Mungu atusaidie, kanisa mh
@stephenkatana3069
@stephenkatana3069 2 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji,,SI wengi watumish wakemeao dhambi
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Hapa sawa MAANA mafuta ya UPAKO yanatupeleka wapi mbinguni wanaenda watakatifu
@YohanaChalamila
@YohanaChalamila Жыл бұрын
Ameeen ubarikiwe mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenifikia
@Leonard-jl8gt
@Leonard-jl8gt Ай бұрын
Mungu sio mungu
@YohanaChalamila
@YohanaChalamila Жыл бұрын
Unaelewaka mtumishi ubarikiwe sana
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Mungu yupo ilaaaaaa tunamfanya Kama dukaaa abiudii misholii
@ElizabethJonasi
@ElizabethJonasi 5 ай бұрын
Nabarikiwa sana Kwa neno
@jacklinejohn5727
@jacklinejohn5727 3 жыл бұрын
Huu ujumbe wa mbeya ni kweli kabisa.mimi sio wa huko na sipajui ila niliona Yesu akiiendea mbeya
@janethtobius6173
@janethtobius6173 3 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumish
@damaricemkanyika8293
@damaricemkanyika8293 Жыл бұрын
Mtumishi mungu akubarik sana kwa mafundisho. Isee .
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Dini niroma tu ata yenyewe ufate Imani yako usimfate Sana padrii
@agathasebastian2189
@agathasebastian2189 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU hajahubiri dini wewe Sande Mmassy kahubiri neno la YESU Kristo, basi.
@annalwila8089
@annalwila8089 3 жыл бұрын
Amina mtumishi wamngu nimejifunza
@silvanusjeremiah8256
@silvanusjeremiah8256 4 ай бұрын
Asante sana mutu wa Mungu uendelee kubarikiwa na kuhubiri kweli ya Kristo
@andrewkasongo1368
@andrewkasongo1368 4 ай бұрын
Ameen Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana
@rebecampelo1227
@rebecampelo1227 Жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
Amen nimekuelewa Muchungaji 😂😂😂🤗🤗🤗
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Mungu niwetu sote amenii
@joykapaya1970
@joykapaya1970 3 жыл бұрын
Aminaa Mchungaji upako una gharama kubwa.
@betykaromo3230
@betykaromo3230 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi tunaomba somo la dhaka
@simuliziplus
@simuliziplus 3 жыл бұрын
Mch Abiud miaka 10 iliyopita nabaki tu nalia kwa machozi ya furaha... Mungu aendelee kukuweka ktk kizazi hiki cha nyoka
@elibarikilaizer-fh2dt
@elibarikilaizer-fh2dt 6 ай бұрын
Uinuliwe Juu Sana katika huduma hii
@charlesmaina360
@charlesmaina360 Жыл бұрын
Amen Hili utakatifu maana watamuona MUNGU.
@hnoufnamr5623
@hnoufnamr5623 3 жыл бұрын
Yaani pasta umeni jenga sana mungu akubariki Inga nimeapitia Sana Asante kunifunza 🙏🙏🙏
@lucydavie718
@lucydavie718 3 жыл бұрын
Amina mtumishi neno la kuokoa kabisa
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Achaa achaaa mtachomwaaa
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Thank you Jesus tumechokaa kunywa maji ya UPAKO na MUNGU ATUSAIDIE
@meypaulin6138
@meypaulin6138 3 жыл бұрын
Nakuombeaga Sana mchungaji mungu akuongezee siku za kuishi uzid kutufundisha
@salomessmart9814
@salomessmart9814 3 жыл бұрын
Kw kwel baba nimekuelea sana na MUNGU Akubariki sana
@faniceokila8967
@faniceokila8967 2 жыл бұрын
Mungu akubariki tu sana mtumishi wangu ,mafundisho yako ishanijenga tu sana ,na siubarikiwe tu sana hadi kizazi chako ,na mungu azidi kukufunuliya haki .nikiwa hapa kenya
@makrinakalinga6034
@makrinakalinga6034 3 жыл бұрын
Mungu akubariki nimepata kitu hapo kwenye wokovu na utakatifu
@dativadiocles2714
@dativadiocles2714 3 жыл бұрын
Yaani kila nisikilizapo neno lako najikuta nainuka tena ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@ezekielmeshack4200
@ezekielmeshack4200 3 жыл бұрын
Mh! Kwel najifunza mengi,ubarikiwe mchungaji.
@ElizabethJonasi
@ElizabethJonasi 5 ай бұрын
Amina mchungaji nakapenda baba unatupa neno rakweri
@Lucy-nr2sm
@Lucy-nr2sm 3 жыл бұрын
Ameeen....barikiwa sana mtumishi wa Mungu...naomba nikae katika utakatifu wa Mwenyezi Mungu
@Leonard-jl8gt
@Leonard-jl8gt Ай бұрын
Wewe ni chombo cha Bwana,wengine watakupinga si wao ni pepo ndani yao,kweli inabaki kuwa kweli,ila upako upo ukipewa na Mungu na uongo upo ukitekwa na shetani,prophetic action ni mdhihirusho wa Mungu kupitia mtu
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Bora sedekia
@neemasazia-vg9sh
@neemasazia-vg9sh Жыл бұрын
Kweli mchugaji
@dativaedwin7365
@dativaedwin7365 2 жыл бұрын
I feel blessed kwakweli nikisikiliza mahubili yako pastor,,,,,,Ubarikiwee pastor
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Karudie kusikiliza vizuri hikitu yako
@getrudagashi1433
@getrudagashi1433 3 жыл бұрын
BWANA YESU awe pamoja nawe Mchungaji
@mwasubilasaimoni4119
@mwasubilasaimoni4119 2 жыл бұрын
Amina Amina mtumishi
@calistinajoseph6475
@calistinajoseph6475 3 жыл бұрын
Mchungaji unaeleweka sana. Wewe unaihubiri kweli ya Mungu
@rizikwisongata6874
@rizikwisongata6874 Жыл бұрын
Hubarikiwe sana
@rehemamhapa7329
@rehemamhapa7329 3 жыл бұрын
Hii ndokweli yakutuokoa, Neno lahivi limekua adimu Sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa Neno la uzima
@zipporahmwende570
@zipporahmwende570 3 жыл бұрын
Naomba ikiwezekana ukuje hubiri kenya
@joycetematema1324
@joycetematema1324 3 жыл бұрын
Mungu akulinde nimeipenda mafundisho yako ubarikiwe
@neemanalogwa3891
@neemanalogwa3891 3 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa neno lisiloghoshiwa Mtumishi wa Mungu aliyehai!
@lilianshirima8429
@lilianshirima8429 2 жыл бұрын
Amen mtumishi
@edwardmwanampazi4460
@edwardmwanampazi4460 3 жыл бұрын
Mung u akubariki baba umenipa kitu kikubwa Sana kwa kupitia mafundisho yako kuhusu tabia
@shalomkind4575
@shalomkind4575 3 жыл бұрын
Asante mchungaji wa kweli asiejichanganya na mambo ya dunia hii ya kutafta mali tuuu
@ayoubodeni9816
@ayoubodeni9816 3 жыл бұрын
Nimebalikiwa mtumishi kwa mafundisho yako MUNGU aendelee kukupigania
@everlineeva594
@everlineeva594 3 жыл бұрын
Ameeen mtumishi 🙏 naomba mungu anitue nguvu za kutafuta uso wake
@josephdanieltv4242
@josephdanieltv4242 3 жыл бұрын
Amen, Mchungaji napenda Sana Injili hii unayo ihubiri. Niite nami hako Mbea TZ. Kuhubiri injili pamoja nawe. Natamani sana kumhubiri Kristo Yesu.
@elkanakilumbe
@elkanakilumbe 3 жыл бұрын
Ubarikiwe, hubiri hapo ulipo, Mungu mpaka Mungu atakapo kupa maelekezo ya kwenda sehemu nyingine baada ya kuwa umeikamilisha kazi hapo
@josephdanieltv4242
@josephdanieltv4242 3 жыл бұрын
@@elkanakilumbe Ni kweli Mpendwa Elkana. Napenda pia nifike Tanzania
@reveliusmuchruza7952
@reveliusmuchruza7952 2 жыл бұрын
Twambie baba hizi nyundo kisawasawa
@jeniferliberatus3003
@jeniferliberatus3003 3 жыл бұрын
Amina Twende Mbinguni
@joycegeorge4712
@joycegeorge4712 3 жыл бұрын
Barikiwa mtumish Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu
@richardmpelasoka5309
@richardmpelasoka5309 3 жыл бұрын
Amina mtumishi
@eugenurasa5272
@eugenurasa5272 3 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Mchungaji Abiudi
@hebronijaluomahuvi1025
@hebronijaluomahuvi1025 11 ай бұрын
amina na balikiwa saaana
@johnaidan6839
@johnaidan6839 3 жыл бұрын
Amina baba barikiwa
@irenesuswi4079
@irenesuswi4079 3 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@Priscakihiyo4352
@Priscakihiyo4352 3 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaa mtumishi wa Mungu
@winniemumbe7653
@winniemumbe7653 Жыл бұрын
Amen,karibu Kenya
@jumandaro4809
@jumandaro4809 2 жыл бұрын
Be blessed pastor
@MathayoMathayo-t4p
@MathayoMathayo-t4p 10 ай бұрын
kweli halali wokovu ni mhimu
@mutalemwabugeza1489
@mutalemwabugeza1489 3 жыл бұрын
Mungu akuinue Sana .
@kashindimwaliasha9546
@kashindimwaliasha9546 3 жыл бұрын
Hubarikiwe sana mtumishi
@gracemlelwa4383
@gracemlelwa4383 3 жыл бұрын
Mungu akuinue mchungaji
@philemonsabatia799
@philemonsabatia799 2 жыл бұрын
Amen blessed pst
@jeniferliberatus3003
@jeniferliberatus3003 3 жыл бұрын
asante Mtumishi wa Mungu
@elkanakilumbe
@elkanakilumbe 3 жыл бұрын
Amen, amen, Mungu akubariki
@yohanaayo3097
@yohanaayo3097 3 жыл бұрын
Yes
@sospetermukala3408
@sospetermukala3408 2 жыл бұрын
Ni ukweli kabisa limeibiwa maombi lakini mungu atuongoze Wachache alafu mungu akombowe kanisa
@mangakwigema
@mangakwigema 3 жыл бұрын
Yesu mwema azidi kukutumia
@LaLuzDeDios
@LaLuzDeDios 3 жыл бұрын
Ubarikiwee
@emmanuellukumay8383
@emmanuellukumay8383 3 жыл бұрын
Haleluyaa jina la Bwana lihimidiweee
@suleimanhakimu2543
@suleimanhakimu2543 Жыл бұрын
Kweli unavyoongea.
@estherakabwai2350
@estherakabwai2350 3 жыл бұрын
Ameen ameen mtumishi.
@josephjulio6112
@josephjulio6112 3 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@denisbongore3098
@denisbongore3098 11 ай бұрын
Ameeen
@hebronijaluomahuvi1025
@hebronijaluomahuvi1025 Жыл бұрын
Power
@ETTCTV-rb1tn
@ETTCTV-rb1tn 3 ай бұрын
Ameni
@peterkalii5939
@peterkalii5939 3 жыл бұрын
Blessed 🙏🙏🙏
@danstonecool1734
@danstonecool1734 Жыл бұрын
true
@Leonard-jl8gt
@Leonard-jl8gt Ай бұрын
Mwakipesile yuko vema kama Abiudi ila tumwmbee
@sandemmassy9938
@sandemmassy9938 2 жыл бұрын
Umeniuzi Sana kwenye hiiii dini nibiashara kwa Sasa
@WilsonKasian
@WilsonKasian Ай бұрын
Kip kimekuuzi,?
@pendolyimo4043
@pendolyimo4043 3 жыл бұрын
Eimen eimeen mtumish wa Bwana, watumish Kama wewe wasiochakachua neno la Mungu, wamebak wachache sana siku za leo.. haleluya utukufu kwa Bwana'
@geitandelwa299
@geitandelwa299 2 жыл бұрын
Ameni
@salomessmart9814
@salomessmart9814 3 жыл бұрын
Hakika wewe nimtumishi wa Mungu
@FidestaKapambila
@FidestaKapambila 9 ай бұрын
Ameen
@irenesimon9107
@irenesimon9107 3 жыл бұрын
Kwakweki muchungaji ubarikiwe maana neno ulilo sema nikweli ,Yani tutaletewa Hadi magali ya upoko .mifangio ya upoko Yani Mungu atasaidie tujue wakati tukio nao
@martinkijazi6220
@martinkijazi6220 2 жыл бұрын
Ameeen 🙏
@pstdanielmuindi4127
@pstdanielmuindi4127 3 жыл бұрын
Kama utaweza tafathali nisaindie na namba za mch. Abiudi mishori
@creezlefarey26
@creezlefarey26 3 жыл бұрын
Nikutumie
@felsonsanga8502
@felsonsanga8502 2 жыл бұрын
Zipo kwenye nyimbo zake
@farajaflorence1690
@farajaflorence1690 2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏
@elishamwakibinga538
@elishamwakibinga538 Жыл бұрын
Sasa hivi vipengele vya kutoa hela ni vingi sizungumzii michango kwani michango husaidia huduma nazungumzia vitu ambavyo si matakwa ya biblia
TARATIBU ZA KANISA  ZIMEPOTEZA NAFASI YA ROHO MTAKATIFU
36:46
ТИПИЧНОЕ ПОВЕДЕНИЕ МАМЫ
00:21
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 1,1 МЛН
Зу-зу Күлпаш 2. Интернет мошенник
40:13
ASTANATV Movie
Рет қаралды 558 М.
Dhambi mpya  Hiihapa :  Mch Abiud Misholi
34:25
Mch. Abiud Misholi
Рет қаралды 100 М.
Rev. Abiudi Misholi
41:20
Rev. Pascal Linus Mjili
Рет қаралды 2,8 М.
MTUMIKIE BWANA  KIJANA ACHA KUDAI MALIPO KANISANI
12:11
NY TV
Рет қаралды 103 М.
USITENDE DHAMBI TENA KIMBILIA KWA YESU, MNENAJI MCH. ABIUD MISHOLI
1:07:07
PART.4.AZIKA MAITI YA MCHUNGAJI WAKE AKIWA PEKE YAKE
17:14
UJIO WA YESU KULICHUKUA KANISA - 02 | Rabbi Abshalom Longan
1:08:10
Beit Abraham ( Nyumba ya Abraham)
Рет қаралды 17 М.
SIKU YA PILI YA SEMINA;MCH.ABIUD MISHOLI
31:40
NY TV
Рет қаралды 167 М.