Bwana Yesu atafunua kila jambo ulilotenda sirini na kuwekwa kweupeeee
Пікірлер: 117
@gitongaken15 күн бұрын
Mtumishi Abiud na aliyekutia mafuta hayalinde yazidi kuwa mabichi zaidi na zaidi.....ata thamila inahisi ukweli uliomo katika maubili Yako....na barikiwa sana utukufu kwa Yesu☝️
@NorbethJosphath-hm1zb3 ай бұрын
Mzee wangu nakuomba mshikamane mchungaji mbalikiwa mwakipesile mnajenga nyumba moja Mungu ni mmoja
@sospetermukala34082 жыл бұрын
Nainuliwa sana na injili unayo ihubiri mchungaji na natamani niwe mmoja wa wale wataingia ufalme wa mbinguni
@jonathanouma483610 ай бұрын
Barikiwa Sana najifunza mengi kupitia kwako,,,
@babbianmutheu9193Ай бұрын
Hallelujah...mafundisho Kwa kanisa la leo
@ZephaniaMelckiades Жыл бұрын
Aaah hii ni nguvu yamungu yenye ukombozi Leo sijafatilia Giza maana nimeiona Nuru mungu mbariki mchungaji abiud
@romwardmsekefu456727 күн бұрын
😢 Mungu atusaidie, kanisa mh
@stephenkatana30692 жыл бұрын
Barikiwa sana mchungaji,,SI wengi watumish wakemeao dhambi
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Hapa sawa MAANA mafuta ya UPAKO yanatupeleka wapi mbinguni wanaenda watakatifu
@YohanaChalamila Жыл бұрын
Ameeen ubarikiwe mtumishi wa Mungu mafundisho yako yamenifikia
@Leonard-jl8gtАй бұрын
Mungu sio mungu
@YohanaChalamila Жыл бұрын
Unaelewaka mtumishi ubarikiwe sana
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Mungu yupo ilaaaaaa tunamfanya Kama dukaaa abiudii misholii
@ElizabethJonasi5 ай бұрын
Nabarikiwa sana Kwa neno
@jacklinejohn57273 жыл бұрын
Huu ujumbe wa mbeya ni kweli kabisa.mimi sio wa huko na sipajui ila niliona Yesu akiiendea mbeya
@janethtobius61733 жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mtumish
@damaricemkanyika8293 Жыл бұрын
Mtumishi mungu akubarik sana kwa mafundisho. Isee .
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Dini niroma tu ata yenyewe ufate Imani yako usimfate Sana padrii
@agathasebastian2189 Жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU hajahubiri dini wewe Sande Mmassy kahubiri neno la YESU Kristo, basi.
@annalwila80893 жыл бұрын
Amina mtumishi wamngu nimejifunza
@silvanusjeremiah82564 ай бұрын
Asante sana mutu wa Mungu uendelee kubarikiwa na kuhubiri kweli ya Kristo
@andrewkasongo13684 ай бұрын
Ameen Ameen Ubarikiwe sana Na Mungu mtumishi wa Bwana
@rebecampelo1227 Жыл бұрын
Amina Mtumishi wa Mungu. Ubarikiwe
@mwanashagladys4581 Жыл бұрын
Amen nimekuelewa Muchungaji 😂😂😂🤗🤗🤗
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Mungu niwetu sote amenii
@joykapaya19703 жыл бұрын
Aminaa Mchungaji upako una gharama kubwa.
@betykaromo32303 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi tunaomba somo la dhaka
@simuliziplus3 жыл бұрын
Mch Abiud miaka 10 iliyopita nabaki tu nalia kwa machozi ya furaha... Mungu aendelee kukuweka ktk kizazi hiki cha nyoka
@elibarikilaizer-fh2dt6 ай бұрын
Uinuliwe Juu Sana katika huduma hii
@charlesmaina360 Жыл бұрын
Amen Hili utakatifu maana watamuona MUNGU.
@hnoufnamr56233 жыл бұрын
Yaani pasta umeni jenga sana mungu akubariki Inga nimeapitia Sana Asante kunifunza 🙏🙏🙏
@lucydavie7183 жыл бұрын
Amina mtumishi neno la kuokoa kabisa
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Achaa achaaa mtachomwaaa
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Thank you Jesus tumechokaa kunywa maji ya UPAKO na MUNGU ATUSAIDIE
@meypaulin61383 жыл бұрын
Nakuombeaga Sana mchungaji mungu akuongezee siku za kuishi uzid kutufundisha
@salomessmart98143 жыл бұрын
Kw kwel baba nimekuelea sana na MUNGU Akubariki sana
@faniceokila89672 жыл бұрын
Mungu akubariki tu sana mtumishi wangu ,mafundisho yako ishanijenga tu sana ,na siubarikiwe tu sana hadi kizazi chako ,na mungu azidi kukufunuliya haki .nikiwa hapa kenya
@makrinakalinga60343 жыл бұрын
Mungu akubariki nimepata kitu hapo kwenye wokovu na utakatifu
@dativadiocles27143 жыл бұрын
Yaani kila nisikilizapo neno lako najikuta nainuka tena ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@ezekielmeshack42003 жыл бұрын
Mh! Kwel najifunza mengi,ubarikiwe mchungaji.
@ElizabethJonasi5 ай бұрын
Amina mchungaji nakapenda baba unatupa neno rakweri
@Lucy-nr2sm3 жыл бұрын
Ameeen....barikiwa sana mtumishi wa Mungu...naomba nikae katika utakatifu wa Mwenyezi Mungu
@Leonard-jl8gtАй бұрын
Wewe ni chombo cha Bwana,wengine watakupinga si wao ni pepo ndani yao,kweli inabaki kuwa kweli,ila upako upo ukipewa na Mungu na uongo upo ukitekwa na shetani,prophetic action ni mdhihirusho wa Mungu kupitia mtu
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Bora sedekia
@neemasazia-vg9sh Жыл бұрын
Kweli mchugaji
@dativaedwin73652 жыл бұрын
I feel blessed kwakweli nikisikiliza mahubili yako pastor,,,,,,Ubarikiwee pastor
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Karudie kusikiliza vizuri hikitu yako
@getrudagashi14333 жыл бұрын
BWANA YESU awe pamoja nawe Mchungaji
@mwasubilasaimoni41192 жыл бұрын
Amina Amina mtumishi
@calistinajoseph64753 жыл бұрын
Mchungaji unaeleweka sana. Wewe unaihubiri kweli ya Mungu
@rizikwisongata6874 Жыл бұрын
Hubarikiwe sana
@rehemamhapa73293 жыл бұрын
Hii ndokweli yakutuokoa, Neno lahivi limekua adimu Sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa Neno la uzima
@zipporahmwende5703 жыл бұрын
Naomba ikiwezekana ukuje hubiri kenya
@joycetematema13243 жыл бұрын
Mungu akulinde nimeipenda mafundisho yako ubarikiwe
@neemanalogwa38913 жыл бұрын
Ubarikiwe kwa neno lisiloghoshiwa Mtumishi wa Mungu aliyehai!
@lilianshirima84292 жыл бұрын
Amen mtumishi
@edwardmwanampazi44603 жыл бұрын
Mung u akubariki baba umenipa kitu kikubwa Sana kwa kupitia mafundisho yako kuhusu tabia
@shalomkind45753 жыл бұрын
Asante mchungaji wa kweli asiejichanganya na mambo ya dunia hii ya kutafta mali tuuu
@ayoubodeni98163 жыл бұрын
Nimebalikiwa mtumishi kwa mafundisho yako MUNGU aendelee kukupigania
@everlineeva5943 жыл бұрын
Ameeen mtumishi 🙏 naomba mungu anitue nguvu za kutafuta uso wake
@josephdanieltv42423 жыл бұрын
Amen, Mchungaji napenda Sana Injili hii unayo ihubiri. Niite nami hako Mbea TZ. Kuhubiri injili pamoja nawe. Natamani sana kumhubiri Kristo Yesu.
@elkanakilumbe3 жыл бұрын
Ubarikiwe, hubiri hapo ulipo, Mungu mpaka Mungu atakapo kupa maelekezo ya kwenda sehemu nyingine baada ya kuwa umeikamilisha kazi hapo
@josephdanieltv42423 жыл бұрын
@@elkanakilumbe Ni kweli Mpendwa Elkana. Napenda pia nifike Tanzania
@reveliusmuchruza79522 жыл бұрын
Twambie baba hizi nyundo kisawasawa
@jeniferliberatus30033 жыл бұрын
Amina Twende Mbinguni
@joycegeorge47123 жыл бұрын
Barikiwa mtumish Mungu aendelee kukutumia kwa viwango vya juu
@richardmpelasoka53093 жыл бұрын
Amina mtumishi
@eugenurasa52723 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana Mchungaji Abiudi
@hebronijaluomahuvi102511 ай бұрын
amina na balikiwa saaana
@johnaidan68393 жыл бұрын
Amina baba barikiwa
@irenesuswi40793 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu
@Priscakihiyo43523 жыл бұрын
Ubarikiwe sanaaaaa mtumishi wa Mungu
@winniemumbe7653 Жыл бұрын
Amen,karibu Kenya
@jumandaro48092 жыл бұрын
Be blessed pastor
@MathayoMathayo-t4p10 ай бұрын
kweli halali wokovu ni mhimu
@mutalemwabugeza14893 жыл бұрын
Mungu akuinue Sana .
@kashindimwaliasha95463 жыл бұрын
Hubarikiwe sana mtumishi
@gracemlelwa43833 жыл бұрын
Mungu akuinue mchungaji
@philemonsabatia7992 жыл бұрын
Amen blessed pst
@jeniferliberatus30033 жыл бұрын
asante Mtumishi wa Mungu
@elkanakilumbe3 жыл бұрын
Amen, amen, Mungu akubariki
@yohanaayo30973 жыл бұрын
Yes
@sospetermukala34082 жыл бұрын
Ni ukweli kabisa limeibiwa maombi lakini mungu atuongoze Wachache alafu mungu akombowe kanisa
@mangakwigema3 жыл бұрын
Yesu mwema azidi kukutumia
@LaLuzDeDios3 жыл бұрын
Ubarikiwee
@emmanuellukumay83833 жыл бұрын
Haleluyaa jina la Bwana lihimidiweee
@suleimanhakimu2543 Жыл бұрын
Kweli unavyoongea.
@estherakabwai23503 жыл бұрын
Ameen ameen mtumishi.
@josephjulio61123 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@denisbongore309811 ай бұрын
Ameeen
@hebronijaluomahuvi1025 Жыл бұрын
Power
@ETTCTV-rb1tn3 ай бұрын
Ameni
@peterkalii59393 жыл бұрын
Blessed 🙏🙏🙏
@danstonecool1734 Жыл бұрын
true
@Leonard-jl8gtАй бұрын
Mwakipesile yuko vema kama Abiudi ila tumwmbee
@sandemmassy99382 жыл бұрын
Umeniuzi Sana kwenye hiiii dini nibiashara kwa Sasa
@WilsonKasianАй бұрын
Kip kimekuuzi,?
@pendolyimo40433 жыл бұрын
Eimen eimeen mtumish wa Bwana, watumish Kama wewe wasiochakachua neno la Mungu, wamebak wachache sana siku za leo.. haleluya utukufu kwa Bwana'
@geitandelwa2992 жыл бұрын
Ameni
@salomessmart98143 жыл бұрын
Hakika wewe nimtumishi wa Mungu
@FidestaKapambila9 ай бұрын
Ameen
@irenesimon91073 жыл бұрын
Kwakweki muchungaji ubarikiwe maana neno ulilo sema nikweli ,Yani tutaletewa Hadi magali ya upoko .mifangio ya upoko Yani Mungu atasaidie tujue wakati tukio nao
@martinkijazi62202 жыл бұрын
Ameeen 🙏
@pstdanielmuindi41273 жыл бұрын
Kama utaweza tafathali nisaindie na namba za mch. Abiudi mishori
@creezlefarey263 жыл бұрын
Nikutumie
@felsonsanga85022 жыл бұрын
Zipo kwenye nyimbo zake
@farajaflorence16902 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏
@elishamwakibinga538 Жыл бұрын
Sasa hivi vipengele vya kutoa hela ni vingi sizungumzii michango kwani michango husaidia huduma nazungumzia vitu ambavyo si matakwa ya biblia