Wewe ni mtumishi kweli , watu wengi Sana wanakutazama kama kioo Usiwaangushe katika Imani Mungu akutie nguvu ufike salama katika safari ya kwenda mbinguni japo vikwazo ni vingi sana
@josephmutemi74946 ай бұрын
Amen BWANA akulinde sana mtumishi
@Rashid-vm1fk7 ай бұрын
Amina Mtumishi wa Bwana, kwakweli kama kusema umesema, Mungu akubariki sana wenye maskio waskie.Ee tusaidie tuvuke salama katika Safari hii ngumu.
@KulekatsengeHaruni-sb6qc7 ай бұрын
Amen mungu akutiye nguvu
@user-yy8ol9ch4q7 ай бұрын
Ee Mungu naomba ulitoe kanisà usingizi maana sehemu imelala amin
@eliakanyika49217 ай бұрын
Paschal umenifurahisha kwenye kusema ukweli wa neno la Mungu watu wamedanganjwa kuhusu watu watakuwa mbinguni alama ya mnyama ikiwa inafanya kazi au itakapo tangazwa
@Pendopasilika7 ай бұрын
BWANA YESU nisaidie unacho ongea ni kweli mtumishi wa MUNGU mengi tumeyaona ila watu wamepumbazwa na wachungaji wengi wanaona kwamba akienda chuo ndo kuielewa BIBLIA MUNGU atusaidie atupe neema ya kutambua majira haya tuliopo na yale yanayotendeka MUNGU akutie nguvu na utukumbuke kwa maombi washirika wako kama PAULO barikiwa
@sakakajouf59005 ай бұрын
Mungu azidi kutusaidia
@Rashid-vm1fk7 ай бұрын
Ee Mungu tusaidie tuvuke salama katika Safari hii ngumu.
@EstaJeremia-fx9wj7 ай бұрын
Huo Ndio ukweli mtumishi
@JINALAYESUNIDAWA7 ай бұрын
Ni kweli kabisa
@muthonijgatia43507 ай бұрын
Amen mbarikiwa sana Mimi hukufuatilia sana na huwaunanijengasanakiroho
@Erishaernest-ik3kk7 ай бұрын
mtumishi wa mungu kweri umetuambia mambo turio hubiriwa na. Bwana wetu. Yesu kristo na sasa tupo tunayaona nyakati hizi
@user-ld2qv1dc3u7 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji wengi wetu tunapenda sana kula kuliko kumtanguliza Mungu na ndicho Icho kitakacho tupoteza wengi
@annajotham94786 ай бұрын
Nikweli hivi vyuo jaman du Mungu atusaidie
@NaomiThomas-uv7yk7 ай бұрын
Amina mtumishi mungu akutie nguvu na azidi kukutumia ili utukumbushe katk safali yakwenda bingun
@josephinechaildofgod53717 ай бұрын
Mwanzo 24:26 [26]Yule mtu akainama akamsujudu BWANA. And the man bowed down his head, and worshipped the LORD.
@lixylyne.8884 ай бұрын
Yes
@patiencehumbled35197 ай бұрын
Amina amina nakubariana na wewe mtu,chakushagaza wakatoloki wako na biblia yao
@sophiakimaro51747 ай бұрын
Amina.kuna wakati natamani hata kukaa maporini kama waadzabe kuliko kushuhudia haya yanayoendelea huku duniani.Mungu atusaidie
@joaquinajosejose47437 ай бұрын
Amin Umbarikia Shana tumishi wa mungu
@tuikezeezra13157 ай бұрын
Mungu tu atunusuru
@AishaEduardMbwambo-ux2dp7 ай бұрын
Kweli muinjilisti yesu atuwezeshe kuya shinda
@user-uc2fd5gs9l7 ай бұрын
Sharon pole na uduma iliyojaa ukweli naomba unitumie SoMo la kuhani Musa la kuwa mwalim wa uongo samahn kwa usumbf
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
Mungu aturehemu sana na atupe nguvu maana dhiki inayokuja ni kuu kwa wakristo. Watu hawaelewi nyakati na majira tuliyonayo. Papa ni mnyama aliyetabiriwa katika kitabu cha ufunuo. Alikuwa na pembe mbili mfano wa mwana-kondoo, akanena kama joka. Anatembea ulimwenguni kote akiunganisha watu na ni nyoka iliyojificha. Ubarikiwe mtumishi.
@user-md7bq3ew4e7 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu ubarikiwe ❤
@user-yu1dh1me3e7 ай бұрын
Amen Asante sana
@sakakajouf59007 ай бұрын
Ukweli mtumishi wa mungu
@veronicajohn16897 ай бұрын
Amina Barikiwa Kwa Ujumbe mzuriii
@Erishaernest-ik3kk7 ай бұрын
Mungu akutie nguvu akupe mengi iri tuyajuwe
@AmosiRubeni-wp4ky3 ай бұрын
MUNGU akibariki mpendwa
@martinahlighare64957 ай бұрын
Mungu nisaidie. Hili ndio kanisa limelazimishwa kushiriki nikatinda. Niliwaambia lugha sielewi na nikapona. Ndio maana sikosi kusikiliza mahubiri ya huduma hii na kujisomea bibilia kwa wingi.
@joannekesa18357 ай бұрын
Amen
@AmerdaKavishe-pu3cf6 ай бұрын
Ilikua wao sio kwa sisi naata kama dini nimoja nisawa kwani mungu wetu nimoja ila sasa wewe unamkubalije moyoni mwako kwaza dini kwa sasa nikama siasa pia wengi tumebaki na vitabu ila mimi sijui kusoma ila nina neno au ujumbe toka kwa mungu kuna wengi awaijui biblia ila wanatumika na mungu chakwaza nimimi kisha ije biblia
@MelaNakuja4 ай бұрын
Kwan papa nae freemason
@mughishajohn32877 ай бұрын
Maandishia alio kwa bible tumeanza kuyaona na ubalikiw sana
@reeygeazy49087 ай бұрын
Nyakati hizi sio za kuleta mchezo na wokovu.
@daudimahenge43847 ай бұрын
Kweli
@ibraPJ7 ай бұрын
Sio kila ishara ya mslaba ni ya mkatoliki wapo wengi wanaofanya hivyo,,, ko sioni sababu ya wewe kusema hao ni romani na hao wengine ni islamic. Hata huko makanisani na misikitini watu hawana imani moja japo wako ndani ya jengo moja. Mungu hatahukumu dini atahukumu nafsi moja moja,, hatasema wewe ulikua mroma basi umotoni. Ni mtazamo wangu tu
@Yu-jr9uf7 ай бұрын
Hao sio waislam!!! Wameamua kujiita tu waislam, waislam tunamisingi yetu na taratibu zetu za ibada... hatuna huu upuuzi
@rosemuhandoofficial56767 ай бұрын
Hahaaaaa ABUDHABI, ndio makao makuu ya Hiyo dini ,alokuletea Uislam ndo amekuleyea na hii mmh Mungu tuu
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
Subiria tu utajionea kaka... ati mko na msimamo wenu wakati papa alikuja mpaka Place inaitwa DOA saudi Arabia na akaongelea mambo ya dini moja. Na sasa inafunguliwa UAE.
@user-fx4gf5yw9w7 ай бұрын
Nikweli mtumish wa mungu yesu atusaidie ktk safar ya kwenda mbingun maan kwa akili zetu hatuwez
@josephinechaildofgod53717 ай бұрын
Mwanzo 17:3 [3]Abramu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, And Abram fell on his face: and God talked with him, saying,
@daudimahenge43847 ай бұрын
Mimi naona tuungane tuu kama wakiukubali wokovu ila wakikataa basi vita vya kiimani na kidini vitatokea soon
@josephinechaildofgod53717 ай бұрын
Mimi ni.mtumishi na huwa na sujudu.nikiomba na ninapata nguvu zaidi sasa tukikata madiko.tutaeda wapi
@josephwilliam58137 ай бұрын
Kusujudu SIO shida kiimani LKN unaemaujudia awe MUNGU TUU MWENYE kustahili NDIO UKRISTO
@josephinechaildofgod53717 ай бұрын
Niulise swahili mitume wote walishujudu.so hapa duniani ukisujudu.ni makosa
@ebenezerchurchsupremetv94907 ай бұрын
Uislamu na u catholic ni kitu kimoja kabisa. Na padre ndiye aliyemsimika Muhammad kuwa mtume.
@paschaljohn70517 ай бұрын
NAOMBA KUULIZA HAPO SIJAELEWA HAPO HIVI HIYO CHAPA YA MYAMA UNAYO ONGELEA NI KUKUBALIANA NA HIZO SHERIA ZAO AU KUNA CHAPA NYINGINE AMBAYO TUTA PEWA?
@AmerdaKavishe-pu3cf6 ай бұрын
Kwani wewe unaabudu mungu wapili
@paschaljohn70517 ай бұрын
VIPI KUHUSU CHANJO YA CORONA,INA KAZI GANI WALIVYO CHANJA WATU AU NDO HIYO CHAPA YA MYAMA? NAOMBA UTUFAFANULIE HAPO
@komandowainjiliyayesu7 ай бұрын
Waambie watu wairudie sabato Mungu Maana siku ya j,pili niyamunyama waambie watu wazishike AMRI kumi nasabato ikiwepo Kutoka 20:8
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
Wewe uko wapi? We don't worship the day! SABATO katika roho ni pumziko hivyo kupumzishwa kwa mizigo ya dhambi ndio SABATO. kustarehe kwa wana waisraeli kwa mwili kulikuwa kunatafusiri agano jipya kwamba Yesu atakuja kuwastarehesha wamchao katika roho. Hivyo nyinyi watu wa sabato hamjui Roho mtakatifu, na amri ndio mnasema ni Roho mmepotoka kabisa nyie. Na yeyote anayemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa jirudieni mapema. Mungu anaabudiwa kila siku sio siku moja kwa week. Not at all, He is at work everytime. Hakipumzika sisi wote hatuwezi pumua utakuwa mwisho wetu.
@komandowainjiliyayesu7 ай бұрын
@@user-ii1qk9xn9z umejibu vema sabato ni AMRI kati ya AMRI kumi na mungano wamakani wanataka wote waabudu j,pili yaan siku ya kwanza ya juma
@user-ii1qk9xn9z7 ай бұрын
@@komandowainjiliyayesu sabato ni amri kwa wana waisraeli tu na sio kwa mataifa mengine. Alafu kumbuka kuna haina nyingi za sabato. Kama mnatii ijumamosi tu basi kuna kasoro mahali... Hivyo nawe waambie wajirudie mapema wamtafute Mungu kwa roho na kweli . Na wakubali kuongozwa na Roho na sio amri.
@user-jl6pd1yp1n6 ай бұрын
Ww mbwa usitaje waislamu kafiri mkubwa ww
@CHRISMACHOMBE7 ай бұрын
Kwakweli naumiasana kuona tumejisahau, MUNGU afanye wepsi tusizione hizosiku.
@mestonisimzosha2037 ай бұрын
Msizionaje sasa nawakati zimeisha fika??..
@user-hv3mi6sy6o7 ай бұрын
SISI WASLAM HAUWEZI UKATUCHANGANYA NA MAKAFIRI KABLA HAWAJASLIM.
@kennethogonda29477 ай бұрын
Wewe hujui unayosema. Moto wa jehanamu unawangoja msipookoka.
@user-hv3mi6sy6o7 ай бұрын
WEWE MCHUNGAJI WACHA KUONGEA UONGO KWA WASLAM......MM NI MUSLAM PURE.......SISI WASLAM HATUTOBADILISHA MSAAFU NA QURAN......WALA HATUTOBADIRISHA JINSI YA KUSWALI......NEVER EVER STOP LIE.
@kennethogonda29477 ай бұрын
Na sasa wewe wafanyani hapa? Si uende umsikize shehe aendelee kukupotosha!