Mungu akubariki sana mutumishi wa Mungu Maana chakura unacho tupakuliya nicya uzima wamilele🎉🎉🎉
@user-kl6zb6so3iКүн бұрын
Mwenye sikio na asikie roho asema na kanisa.Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu
@user-ii1qk9xn9z6 күн бұрын
Aliye na sikio na asikie maana Roho wa Bwana amenena. Nyumba ya Baba imebadilishwa na kuwa ya kufanyia biashara. Mungu aturehemu. Ubarikiwe sana mtumishi 🙏 kwa kunena kweli ya Kristo.
@MWL_LUPIMO6 күн бұрын
AMEN 🙏
@Pendopasilika5 күн бұрын
Roho yake inamuuma kwa sababu watu wa MUNGU wanapotea hizo keki haziwapeleki mbinguni Bali kuzimu MUNGU wafungue waijue kweli yake ni kundi kubwa sana linalopotea
@elishamafulu1066 күн бұрын
I received
@VeronicaGaspary3 күн бұрын
MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kuwaabia ukweli Mungu akufunike
@PendoGodfrey-lu2pm6 күн бұрын
Aisee
@martinahlighare64956 күн бұрын
Ameeen, wahubiri watu watu wa Mungu kosa lao na mwenye fahamu na afahamu. Mungu atusaidie tusiamini tunavyo laghaiwa kwa jina la Yesu na kuamini kua kweli.
@user-sj8sd6op1z6 күн бұрын
Hii ndiyo maneno ya uzima
@LuckyMountainRange-lk4iq6 күн бұрын
❤❤❤nakubali asilimia 100 napenda sana mahubiri yako niukweli kabisa watu wamepotoka imeingia kwa keki sasa
@imanimwanjoka26716 сағат бұрын
Walioleta dini wanawacheka sana, wao wapo busy kujenga nchi zao
@BestBisanda3 күн бұрын
Anaumia sababu ameona rohonyigi zinapotea anataka watu wapone kwan akilu zetu zipo kwa vitu vya kupita
@Eacko874 күн бұрын
Mtumishi iseme kweli
@happnesskitumbo57135 күн бұрын
Isaya 58:1 piga kelele usiache, paza sauti yako kama tarumbeta, uwahubiri watu wangu kosa lao.......
@shigongoshuli63206 күн бұрын
Amen😢
@nicholaschalle82883 күн бұрын
Hii ndo INJILI INAYOPASWA KUHUBIRIWA na WATUMUSHI WA MUNGU katika ULIMWENGU wa sasa Na kizazi hiki,
@ruthmuja77926 күн бұрын
🙏🏽
@AgnesKalinga-if3uf5 күн бұрын
Ujasiliamali!
@GadieriSayon5 күн бұрын
Kwer hutu weka hur
@jericonzogolo1493 күн бұрын
Baba akubariki sana mtumishi unafanya vizur kama Baba alivyokuagiza
@user-lk5it5zy6m2 күн бұрын
Amen nabarikiwa sana
@user-um7kj5kf6p3 күн бұрын
Yaani wewe ni mlopokaji unapoteza mda nitakuona wa.maana Kama utamfanya zmaridi na watu wake kumjua mungu. Na Kama yesu angehubiri injili ya paskari hakuna ambaye angemfata. Miujiza iliyokuwa inafanyika ndiyo iliyosababisha watu wamfate yesu.
@BestBisanda3 күн бұрын
Mimi naona yupo sahihi kama humuelewa kaa mbali sisi tunamuele wa mtumishi Paschal sema tupone mpakwa mafuta na Bwana
@user-um7kj5kf6p3 күн бұрын
@@BestBisanda hana.kazi... waliopakwa mafuta huwaoni kwanza wengi waliotoka.kuzim.wanasumbua makanisa wanasumbua watumishi waliotoka filimasoni no shida hawafai kuwa watumishi.
Tena wewe unae sema kwamba anawaponda watumishi ,inawezekena nawew nimyongoni mwao , acha aseme ukweli wa kiristo mungu akubaliki mtumishi kwakusema ukweli mungu azidi kukupa ujasili wa kuihubi kweli
@PaulinaMajengoКүн бұрын
Anaye sema ukweli na kukemea maovu hajawahi kupendwa biblia inasema kua rafiki wadunia tayar ww ni adui wa Mungu yakobo 4:4 watu wanapenda kupambwa hata kama wamekosea Mungu hayupo hivyo