GOROFA ANALOISHI DJ ALLYB/ GHARAMA ZA FUNITURE NI NOMA/SEBULE YA WATOTO /MAGARI YA KIFAHARI

  Рет қаралды 47,463

ZamaradiTV

ZamaradiTV

4 ай бұрын

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZbin channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 114
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 ай бұрын
M/mungu azid kuwapa masikilizano katika safali yenu allah mluzuku mume wangu ridhik
@afyabora3207
@afyabora3207 4 ай бұрын
Vijana msikie kauli yake ninkubwa sana ’’SAVING MONEY ’ anapiga kazi kwa bidii na saving Hiko kipengele ndio wengi kinawashinda
@user-bq7rh3wm3f
@user-bq7rh3wm3f 4 ай бұрын
Ally B. Big Up. Mungu akuzidishie
@djhajiztz
@djhajiztz 4 ай бұрын
Unatufundisha ma dj kwa bei poa sana Asante Kaka
@LeylaHamisi-qh3kb
@LeylaHamisi-qh3kb 4 ай бұрын
Salehe na ww tunataka tupaone kwako💯
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 4 ай бұрын
Mganga hajigangi😂😂kinyozi hajinyoi
@benardmsafiri4648
@benardmsafiri4648 4 ай бұрын
😂
@ramakinjoi4063
@ramakinjoi4063 4 ай бұрын
@@benardmsafiri4648 eeeenh habari ndio hio ndugu..na tutasubiri Sana 🤣🤣🤣
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 4 ай бұрын
Mtapoona msibalii😊😊😊
@user-fx7ig1uy6t
@user-fx7ig1uy6t 4 ай бұрын
😅😅😅😅ata anapo basi
@queenmilan2024
@queenmilan2024 4 ай бұрын
Msiamini mambo ya mitandaoni. Shauri yenu.
@infiniteabundance2024
@infiniteabundance2024 4 ай бұрын
we umekuja kufata nini..... queen mavi mavi na wivu
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Saleh ebu mtembelee joti jamanii❤❤❤❤
@Juke995
@Juke995 4 ай бұрын
Kwan camera man halipwi au ni mwanafunzi 😮athuman oyeeeee.
@kingalyeko7576
@kingalyeko7576 4 ай бұрын
Camera man wa kufukuzwa 😂
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 4 ай бұрын
Athumani kumbe yuko serious kinoma hiv🙌🙌 yani ni real father house
@sabrinasabrina8395
@sabrinasabrina8395 4 ай бұрын
Ukichukua machungu ukayatransform Kwenye kupambana ni LAZIMA UFANIKIWE HII NI KWELI MTUPU
@jacklinechuga2569
@jacklinechuga2569 4 ай бұрын
Camera man kazingua achukuhi mambo vizuri 😢
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 4 ай бұрын
😅😅
@deega1234
@deega1234 4 ай бұрын
kweli
@JohariLila
@JohariLila Ай бұрын
😂😂😂
@adinasii
@adinasii 4 ай бұрын
Huyu jamaa mwqmba sana malundo anayo ming hyo nyumb ni ya thaman Sema kabl ya interview watu walikuwa wanamuona anafake matiktok
@AllyMawazo-ve9qc
@AllyMawazo-ve9qc 4 ай бұрын
Kwenye swala la kuoa kaongea point sana bahat mby sana sound inazingua
@user-mw5xs2wx8n
@user-mw5xs2wx8n 4 ай бұрын
Mashineee sijui kwanini wanawake tunafeli ktk hiki kipengele cha huduma za kiroho
@dayana5513story
@dayana5513story 4 ай бұрын
You're blessed DJ🔥🔥🔥🥰
@israeluronu9958
@israeluronu9958 4 ай бұрын
At nikaona kuliko niishi na mtu mwingine bora niishi na hili jini langu😂😂😂
@user-ts9fe9xm9k
@user-ts9fe9xm9k 4 ай бұрын
InshaAllah🤲🙏
@emmanuelmwasha2430
@emmanuelmwasha2430 4 ай бұрын
nice interview🔥🔥
@gloriamwanjali9371
@gloriamwanjali9371 4 ай бұрын
Big up bro, pia ukimwita decor daisy akufanyiw decor patapandisha thamani zaidì
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Nyie hapa tz kunawatu wanaishi na wana misha 😮😮😮😮😮😮 allyb salout brooo
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 4 ай бұрын
😁😁nimekosa maneno yakuandik ila mungu nipe mume kam Ally B😂😂😂
@omanhh2875
@omanhh2875 4 ай бұрын
Kwel
@rosemaryrwabibi5908
@rosemaryrwabibi5908 2 ай бұрын
Kila kitu ni subila🙏🙏
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Ilavijana kunasiri kubwa sna kwenye upande wa kuoa nimiongoni mwariski kuongezeka hay ni barka kubwa san hvo mjiongeze
@StanMrema
@StanMrema 15 күн бұрын
Range la kujifunzia😅😅 Dj kwa sifa tu
@rewardnjau7220
@rewardnjau7220 4 ай бұрын
camera man haijui kazi yake
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 4 ай бұрын
Dj kama dj
@mfaumejames7344
@mfaumejames7344 4 ай бұрын
Never given up for everything
@RuthHelenesango
@RuthHelenesango 2 ай бұрын
Nilicho gunduwa kwa matajiri Awa gawe chakula sio vizuri
@jenifermakundi8230
@jenifermakundi8230 4 ай бұрын
Toka kipindi kianze hii ndio interview bora kwangu,ally b kafunguka,kapoa kanihamasisha.
@namdigumagwenge193
@namdigumagwenge193 4 ай бұрын
Mama Simba kwanini ulituchanulia miguuu mwanzoni 😂
@erickmbilinyi2056
@erickmbilinyi2056 4 ай бұрын
Mwishon haisikiki vzr
@zenasalum2231
@zenasalum2231 4 ай бұрын
Aiseee
@missp1814
@missp1814 4 ай бұрын
Bora umehide namba za magari maana kila nikiangalia ikifika hapo najisemeaga ila hawa hawaoni wanawakosea hao mastar😂😂
@asnathcharles9842
@asnathcharles9842 4 ай бұрын
Asumaniiiiiii💝
@AnnoyedAlbatross-mx9le
@AnnoyedAlbatross-mx9le 4 ай бұрын
Shomi me najuwa kutengeneza wa ya vidonda vyatumbo nitampata atabule
@onekisstv8412
@onekisstv8412 4 ай бұрын
Ally b kapoa sana leo
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 4 ай бұрын
Nyumba yake na hajui taa ya ballcone inawashiwa wapi jamani
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 4 ай бұрын
Ashakuambia kanunua hajajenga, na kasema huko wanatumia watoto
@missp1814
@missp1814 4 ай бұрын
kwa wanaume hata sishangai angekuwa mama simba ningeshangaa wanaume huwa wavivu kujuaga vitu vidogo dogo kwenye nyumba,na pia hiyo nyumba hajakaa muda mrefu na watoto ndo wanatumia.
@salmamsakuzi3070
@salmamsakuzi3070 3 ай бұрын
Mume wangu nyumba nmemkuta nayo ila mpaka Leo anauliza hii taa inazimiwa wapi hajui mataa utamuona anahangaika na maswitch
@mohamedmkape698
@mohamedmkape698 3 ай бұрын
Why violating privacy policy utachkuaje picha mtu amelala Bila idhini yake. Sio saw
@user-mp4lf4ji8k
@user-mp4lf4ji8k 3 ай бұрын
Uyo jamaa anajua maisha vijana jifunzeni leo
@aminammbaga7736
@aminammbaga7736 3 ай бұрын
Mie nilijua ni m nigeria jmn before nimfaham
@naah884
@naah884 4 ай бұрын
Kama cameraman anaona comments we hujui kazi panya ww
@NaomiMsafiri
@NaomiMsafiri 4 ай бұрын
Kabisaaaa
@gracepatric4371
@gracepatric4371 3 ай бұрын
😅😅😅
@FatmaHamady
@FatmaHamady 4 ай бұрын
Cameraman kazoom traaaakoo😅 nilitaka nishangaee asimgeukiee
@user-gw8wv2zf2g
@user-gw8wv2zf2g 3 ай бұрын
Camera man mzito
@gracepatric4371
@gracepatric4371 3 ай бұрын
cameraman hovyo kabisaaaaa cjui video shooter madudu kabisaa shenzii anaambiwa kabisa onyesha linabazubaa seee
@dianamashala426
@dianamashala426 3 ай бұрын
😂😂😂😂
@djhajiztz
@djhajiztz 4 ай бұрын
Mke wa djallyb Sauti yako nzuri❤
@faridaabdallah7424
@faridaabdallah7424 3 ай бұрын
Jmn hata kumpa mgeni soda😂
@veronicamlelwa-zh9vy
@veronicamlelwa-zh9vy 4 ай бұрын
Saleh anaogop mbwa jmn😅
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 4 ай бұрын
Mwanamkee mzuri naturel kbsa Aguirre ana mashauziiii
@ReginaErnest-cf6ji
@ReginaErnest-cf6ji 4 ай бұрын
Mwamba unaishi bhana duuu
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 4 ай бұрын
U DJ tu nyumba hiyo i can't understand
@user-ts9fe9xm9k
@user-ts9fe9xm9k 4 ай бұрын
​@@SafiyaJ-yw2vt mi mwenyewe nashindwa kuelewa kwakwel
@SafiyaJ-yw2vt
@SafiyaJ-yw2vt 4 ай бұрын
@@user-ts9fe9xm9k Umeona eeeee
@mariachifupa4654
@mariachifupa4654 4 ай бұрын
Ukimsikiliza vizuri utajua siyo udj tu uliomlipa, amefanya uchinga ameweza kusave money na anajua kujichanganya na Wana na ndiyo maana amefika hapo halipo
@halimamweri4020
@halimamweri4020 4 ай бұрын
Hyo nyumba si kapanga kwan yake?
@swaumuabdallah6886
@swaumuabdallah6886 4 ай бұрын
Hata km mm ndio mama simba siondok 😂
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
Jamaniii umeona eee aan sichmoki mpak kifo
@leaherasto929
@leaherasto929 4 ай бұрын
Anaishi pazuri
@khalfannyanje8970
@khalfannyanje8970 4 ай бұрын
Nikinya😂😂😂😂
@MaryGurtt
@MaryGurtt 3 ай бұрын
Uyu kamera man kila kitu kaambiwa, ila kwa tako la mama simba kawa makini
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp 2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 wabongoooooo
@hildahmushi7524
@hildahmushi7524 4 ай бұрын
Vijana acheni umama Wa kutegemea MTU chezeni michezo ya kina mama utajifunza kuwa na disprine ya hela kama alivosema DJ Aliy b Kweli Michezo inasadia Sana Mimi mwenyewe Niko kwenye iyo Michezo nayaona mafanikio
@joharifarahani2739
@joharifarahani2739 3 ай бұрын
Kweli kabisa mm natengeza nyumba kwakutumia michezo
@NjuuJera-gg9ec
@NjuuJera-gg9ec 3 ай бұрын
Tokomea hukohuko 😂
@Gamba81
@Gamba81 4 ай бұрын
Kumbe ela ya bongo aina samani sofa set milioni 40 daaaa
@kitomondo
@kitomondo 4 ай бұрын
It's easy to get 40m kuliko kupata 20,000$.
@KautharRamadhan-xv3gf
@KautharRamadhan-xv3gf 4 ай бұрын
Mwenzetu unasofa za kias gani au ndo useme tu ujiridhishe na chuki zako
@Gamba81
@Gamba81 4 ай бұрын
@@KautharRamadhan-xv3gf sina chuki na wara siishi tanzania nime toka toka mtoto ndiyo mana nime uliza milioni 40 ni pesa nyingi sana kwa tanzania kumbe milioni 40 ni pesa ndogo sana ndiyo mana nime shanga milioni 40 kununua sofa
@Gamba81
@Gamba81 4 ай бұрын
@@kitomondo sasa wewe ume nijibu vizuli sana god bless you
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 4 ай бұрын
mwamba kavu anameza2 mwenyewe😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 4 ай бұрын
Mwezi mtukufu atakuwa amefunga😊
@user-cw7xw9cu6m
@user-cw7xw9cu6m 4 ай бұрын
@@nantaembanusurupia5674 ok labda
@abhaijar4078
@abhaijar4078 4 ай бұрын
Kila hatua
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 4 ай бұрын
Sauti haiko clear
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 4 ай бұрын
Hamna nyumba humo nenda kwa mbunge wa Zanzibar TAUFIQ hi yan hajafikia ata ile gharama ya gari ya TAUFIQ
@JimmyMgalama
@JimmyMgalama 4 ай бұрын
Uwage na Akili ww bana!!!!! Utamlinganishaje bilionea TAUFIQ n zaidi kw Dj Ally b, Lakini Dj Ally b pesa anayo kw nafasi yke tena katuzidi sana tena kundi kubw la watu kimafanikio kw hiyo yatubidi Tumuombe sana Mwenyz Mungu atusaidie tupambane kiutafutj tuwe kama yy na cyo kumlinganisha n mtu mwngine 😮
@marymanoni5536
@marymanoni5536 4 ай бұрын
Mimi Namuomba Mungu ata nusu anipe au zaidi❤❤
@leaherasto929
@leaherasto929 4 ай бұрын
Kwani umeambiwa anafanya mashindano? Huwezi kumlinganisha dj na mbunge never
@JimmyMgalama
@JimmyMgalama 4 ай бұрын
Uko Sahihi n kwel kabisa Reah! Uwez kumlinganisha Dj na Mbunge TAUFIQ n tapir mkubw sana Ana makampun mengi na mabasi mengi y mikoani
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 4 ай бұрын
@@JimmyMgalama kwanjia ipi shekhe na ss tufikie ubilionea
@PrinceBonnyTz8
@PrinceBonnyTz8 4 ай бұрын
Mama Simba alikua anaamhbusti baaria 😅
Дарю Самокат Скейтеру !
00:42
Vlad Samokatchik
Рет қаралды 8 МЛН
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 8 М.
OUR LOVE STORY W/ DJ ALLYBI & MKEWE (MAMA SIMBA) | EP 03
54:03
Our Love Story Podcast
Рет қаралды 75 М.
FULL INTERVIEW MKE WA MZEE YUSUPH,KIFO CHA MKE MDOGO,KUACHA MZIKI
47:22
ReyTox Pro Network
Рет қаралды 21 М.
I meet Mr.Beast
0:15
ARGEN
Рет қаралды 26 МЛН
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩
0:49
Poly Holy Yow
Рет қаралды 9 МЛН
Во сколько смотришь? Заливаю в 10-22😉
0:36
Юлия Смирнова
Рет қаралды 1,4 МЛН
Waka Waka 😁 #funnyshorts #rianashow
0:14
RianaShow
Рет қаралды 22 МЛН
😬 Мам Дай Хлеб 🍞 #shorts
0:38
AOneCool
Рет қаралды 1,3 МЛН
А ЧТО С ЗУБАМИ ТО?😂😂🦷
0:54
СЕМЬЯ СТАРОВОЙТОВЫХ 💖 Starovoitov.family
Рет қаралды 2,3 МЛН