Part 6_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA

  Рет қаралды 32,446

PROMOVER TV

PROMOVER TV

3 жыл бұрын

#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Пікірлер: 255
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Matendo yako ni makuu sana kazi yako ni adhama na heshima wafurahiwa na wapenzi wako Mungu wewe ni mkuu sana katika Jina la Yesu
@JimmyStone-sb3wt
@JimmyStone-sb3wt Ай бұрын
Nampenda sana Bwana Yesu kwasababu bado anapigania watu wake..Mtumishi Bwana akubariki Amina
@lydiamokeira6062
@lydiamokeira6062 3 жыл бұрын
Wakristo tujifunze kupitia ushuhuda huu... Tufurahi kwa sababu sisi ni Wakristo.. Kuna watu wanaghalamika kupata wokovu Mungu tuongoze kwa Jina La Yesu Kristo wa Nazareth 🙏🙏
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Ndio kawaida yenu kufunzwa kupitia uongo. Lkn huyo si muisilam wala hajawahi kua muisilam. Nimkafiri mwenzenu huyo na km hamuamini mwambieni alete ushuhuda wa hao waliomtesa. Uongo tu!
@movaciermasherano6664
@movaciermasherano6664 3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Hamna ni kweli wengi uwa wanasema hivo haiwezekani wote wadanganye sema wewe bado mdogo ufaham lolote
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
There's power in the Name of Jesus Christ Hallelujah
@user-sf5gp5oi5k
@user-sf5gp5oi5k 8 ай бұрын
Glory to God
@berthabarozi
@berthabarozi 6 ай бұрын
Yesu ni mwaminifu. 28:22 28:25
@ezrommkambati1687
@ezrommkambati1687 3 жыл бұрын
Ndio mm nipo Kigoma tena nipo hapa Sido kwa muda huu, napafahamu haswa fika fika. Unachokisema ni cha ukweli, YESU juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
@cupcakesanddounuts6555
@cupcakesanddounuts6555 3 жыл бұрын
Sana
@florasingano5859
@florasingano5859 3 жыл бұрын
Juuu juuu zaidiiiiii
@happnesmatende6271
@happnesmatende6271 3 жыл бұрын
@@florasingano5859 Ameen
@rehemamwale700
@rehemamwale700 3 жыл бұрын
Mtu ambae amedislike hii testimony tumueleweje? Watu wanashangaza, what a powerful testimony to change people lives, to uplift faith and make it strong, a testimony that will make you want to know Christ JESUS more more, GOD have mercy for those who dislike. Gospel will be preached wether you like or dislike Christ JESUS will be preached. Glory to GOD ALMIGHTY 🙏🏾🙏🏾
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Na wanaokubali kwa msema pweke tuwaeleweje? Kafiri mwenzenu huyo hamjaanza leo kuutia madoa uisilam. Nalaitani km uisilam ungekua unakua kwa nguvu za watu basi ungekufa tangu sep 11 lkn nambie unakua na unazidi kukua kwa sabbu ni dini ya haki. Ukisoma utaondokana na ujinga unaolishwa lkn ukisikiliza hao jamaa zako walozoea kula sadaka zenu maisha utaishia kwenye ukafiri.
@movaciermasherano6664
@movaciermasherano6664 3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Pamoja na ku bweka kote uko ila nawewe utaokoka tu mda ukifika
@hebronsdaughter1661
@hebronsdaughter1661 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭huu ni ushuhuda unao mfanya mtu abadilike Eee Mungu linda watumishi wako
@davidmihambo3051
@davidmihambo3051 3 жыл бұрын
nimependa hili tukio lilotokea katika hii dakika ya 10 na sekunde ya 27. ndio inathibitisha agizo alilolitoa Yesu kwa wanafunzi wake; Matendo Ya Mitume 1:8 Neno: Bibilia Takatifu 8 Lakini mtapokea nguvu akishawajilia Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na Yudea yote na Samaria, hadi mwisho wa dunia.” ALL GLORY TO GOD
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 11 ай бұрын
Yesu mwana mungu ni mushindi ju ya washindi Hallelujah
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
You have lifted my faith once again and you encourage me to be bold and to have courage in Jesus Name
@godfreyalex5319
@godfreyalex5319 4 ай бұрын
Imani ya Bwana wetu Yesu kristo ikuzingire wewe na na jamaa yako yote wamuone Bwana wetu ya kuwa ni Mungu apasaye kuabudiwa Yn 4:24
@alicemangat3165
@alicemangat3165 2 жыл бұрын
That is one of the greatest testimony I have ever heard. Ubarikiwe hata zaidi wewe na familia yako! Yesu ni Ukweli, Njia na Uhai!
@nswilayella3295
@nswilayella3295 3 жыл бұрын
The best shuhuda to me ever heared
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Very strong testimony wapendwa tuachane na dhambi tuishi maisha matakataifu Yesu aweze kutupigania
@mimsbaibe6mimsgul737
@mimsbaibe6mimsgul737 3 жыл бұрын
What a great testimony our God is great always utaishi uhubiri Jina la bwana Jesus loves yu atakulinda na akubaliki.
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 3 жыл бұрын
YESU ni mwaminifu sana
@wahurabathi4845
@wahurabathi4845 3 жыл бұрын
Amen in jesus name thank you pastor God bless you.
@unyakuotv.1391
@unyakuotv.1391 3 жыл бұрын
Nitaanza kuhubili habali hizi na kuelezea mambo mengi juu ya shetani na njia iliyo sahihi kuingia mbinguni hivi karibuni . Kwenda mbinguni sio kazi lahisi kama walokole wenzangu wanavyozungumza . Maana nilimskia mchungaji mmoja anasema yesu alikufa msalabani hivyo tumekombolewa katika dhambi.( Ndio sikatai) lakini wengi wanapotea katika haya haya maandiko ukifikilia vibaya) mtu anaamini nimeondolewa dhambi naenda mbinguni akifa aiseee.. ingekua hivyo kuzimu isingejaa maelfu ya watu na njia iendayo Kuzimu ingekua ni nyembamba na iendayo mbinguni ingekua ni pana . kwenda mbinguni sio kazi rahisi . Tangu siku za yohana mbarizaji ufalime wa mungu... ...( Na kinyonge hakita ingia kamwe) . Kuna siri nzito juu ya namna ya kufanya mtu aende mbinguni na hapo ndipo shetani amewapiga watu upofu wasielewe wala kuamini..( roho inauma sana) ni kama vile watu wameamua kuchagua wenyewe kwenda motoni. . shetani amekamata maelfu ya watu hapa ndio kila nikitazama naona kabisa wazi wazi. Watu wanvyoteketea kuzimu ya moto daaa.. MAANA KRISTO YUPO NDANI YANGU NAMI NDANI YAKE . NINAONA WAZI WAZI .. roho inaniuma kwa kua nina toka natoka na kwenda mbinguni nimefaham mambo mengi sana.
@mackynicky5832
@mackynicky5832 3 жыл бұрын
Ahsante Kaka Jacktan, Mungu akupiganie, huu ushuhuda umenifanya nilie, hakika hakuna kama Bwana Yesu
@heritier5119
@heritier5119 2 жыл бұрын
Huyo kaka yako ni mtu wa kizamani Sana toka lini Mungu akapiganiwa, ukiwa na pesa ukimbiwi na ndugu
@happynessmarki2780
@happynessmarki2780 3 жыл бұрын
MUNGU WANGU UMEPITIA MKASA WAKUTISHA SANAAAAAA POLE SANAAAAAAAAA DAH! LKN HONGERA SABABU HATA MBELE YA KIFO BADO ULIMTAJA YESU
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Jamaa yenu tangu zamani huyo si muisilam na hajawahi kua muisilam
@hassankombo4475
@hassankombo4475 3 жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema ulikuwa mchanga na uliweza kuimili mtihani kama huo mungu akutie nguvu
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Uongo mtupu na tushauzoea ila tunawashangaa nyie msiochunguza zinapokujieni habari. Hvi unataka kunambia anayozungumza ni kweli? Huyo nikafiri mwenzenu mmemtengeneza.
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Kama huamini nenda kaulize waliotaka kumzika akafufuka kabla ya kuzikwa, siyo kupinga tu
@carolmuchiri9921
@carolmuchiri9921 3 жыл бұрын
Ameni Ameni Mchungaji na Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na Kuonekania, 🙏🏾🙏🏾👍👍❤️🇰🇪
@mangeramwalimuyohana1650
@mangeramwalimuyohana1650 3 жыл бұрын
YESU anaweza,naomba niulize kwanini waislamu wana vaa makanzu,na wakati huo ufalme wa giza nao wana vaa makanzu
@ivonaevarista4654
@ivonaevarista4654 3 жыл бұрын
N kweli kabisa ukiokoka kwelikweli unachukiwa,hongera kwa imani Bwana Yesu apewe sifa,Yesu hawezi kumuache mtu amkimbiliaye Mimi mwenyewe mama alinipiga mno lakini nilikataa kurudi kwenye sanamu mpaka sasa hanitakia ila najua yupo Yesu atamsaidia atamuokoka,njooni kwa Yesu kuna amani,asante kaka jack kwa kutuletea shuhuda nzuri
@salomekemunto1373
@salomekemunto1373 2 жыл бұрын
AMEN AMEN and AMEN.Kweli Yesu Kristo amekutoa mbali na bado Mungu ana kusudi kubwa juu ya maisha yakoo. Injili ya Yesu Kristo iende Mbele Mbele Mbele kabisa.
@claudinekatula1695
@claudinekatula1695 3 жыл бұрын
Amen,alie ndani ya Yesu anaraha,umepata ushindi mbele ya maadui.Mungu azidi kukulinda kwa hiyo imani kubwa ulio nao
@barakajacobs4539
@barakajacobs4539 3 жыл бұрын
What!!!! Usicheze wa watoto wa Mungu...I tell you those who fight the children of God fights with God Himself . WOW our God will never forsake no leave us
@MzeeKigogo_
@MzeeKigogo_ 7 күн бұрын
Amina. Yesu ni bwana
@rizikimarie6765
@rizikimarie6765 3 жыл бұрын
Amen Amen pastor nilikufuata kwanzia mwanzo mpaka mwisho nimebarikiwa sana mungu akubariki
@drnow1528
@drnow1528 3 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe
@thelonewolf4429
@thelonewolf4429 3 жыл бұрын
Chozi limenitoka kwa furaha YESU NDIO KILAKITU AMENN
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 11 ай бұрын
Amen neva give up God bless you always
@barakajacobs4539
@barakajacobs4539 3 жыл бұрын
Amen , Isaiah 54:15 If anyone does attack you, it will not be my doing; whoever attacks you will surrender to you. Amen. We serve the Living God 🙌😇 aaw awesome
@bettyobiero8408
@bettyobiero8408 3 жыл бұрын
Am blessed so much by this testimony. Endelea kumtumikia bwana ndungu yangu katika Yesu. Amen
@barakajacobs4539
@barakajacobs4539 3 жыл бұрын
@@bettyobiero8408 Amen
@PatrickMuendo-ur9js
@PatrickMuendo-ur9js 8 ай бұрын
Have watched all your testimonias what a journey? We need such courage and obedience, we should build our faith
@stellakago1345
@stellakago1345 3 жыл бұрын
Mungu alikuokoa msikitini akakupa ubatizo wa moto porini. Jina la Bwana libarikiwe. Yesu Kristo aliye hai aendelee kukulinda kwa damu yake takatifu. My prayers to all who do not believe neema ya Mungu iwaguse kupitia huu ushuhuda
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 3 жыл бұрын
YESU okowa wa toto yangu... Nipiganiye Ô YESU 💃💃🎶🎶
@estasage5506
@estasage5506 3 жыл бұрын
I can't stop crying and praising my good lord. Jesus Christ son of the living God please have mercy on me. I don't want to take you for granted master
@zakiaabdulrahman3013
@zakiaabdulrahman3013 3 жыл бұрын
God is good all the time
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 11 ай бұрын
Amen Amen Amen glory be 2 God Amen
@user-mb6ob5fx3l
@user-mb6ob5fx3l Жыл бұрын
Mungu ana weza
@linkreuben5804
@linkreuben5804 3 жыл бұрын
Nguvu hii ya YESU itawale nchi yetu Tanzania. Awahukumu maadui zetu kila upande, tuishi kwa Ameni na kufanyikiwa katika nchi yetu. Katika Jina la Yesu. Ameni!
@JuliasRanga-dd8zn
@JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын
Amen and amen in Jesus name
@leonardanzurunipombi2499
@leonardanzurunipombi2499 3 жыл бұрын
Amina asante mtumishi wa Mungu,ushuda wako umenijenga
@manuelselemaneatanasio1329
@manuelselemaneatanasio1329 3 жыл бұрын
Jina la Bwana libarikiwe
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
Your brother has been your thorn in your fresh fighting wrong battle in the name of rejecting his religion which is a demonic religion may God salvation never sease to haunt him till he surrender his life to Jesus Christ in the Name of Jesus Christ and all of us says Amen
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 жыл бұрын
Amen
@mildredmukoshi6381
@mildredmukoshi6381 3 жыл бұрын
Huu ni ushuhuda ambao umenigusa sana. Kwa kweli jina la yesu lina nguvu kuliko kila kitu. Pole sana ndugu.
@kelvintech3797
@kelvintech3797 3 жыл бұрын
Asante Kaka jacktan
@aronponsian1124
@aronponsian1124 2 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda
@everlynemiriam5943
@everlynemiriam5943 11 ай бұрын
Wacha mwana wa mungu aitwe mungu
@kelvinlwiva5380
@kelvinlwiva5380 3 жыл бұрын
God is wonderful,a miracle working God! Mungu akupe nguvu ya kumvunia mavuno makuu!
@adriandanford208
@adriandanford208 3 жыл бұрын
Jina la yesu ni kama marashi mazuri yanukiayo katika nafsi iliyoamini
@beatricefilbert1171
@beatricefilbert1171 6 ай бұрын
Nampenda Yesu jamani
@fridafrida7665
@fridafrida7665 Жыл бұрын
God bless you brother
@user-me3ee4fu8w
@user-me3ee4fu8w 3 жыл бұрын
Mungu kwetu sisi ni Mungu wakuokoa na njia za kututoa mautini zina yeye
@resaltnekesa9702
@resaltnekesa9702 2 жыл бұрын
Ooh! My God, pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu na akupe nguvu na kukunawirisha zaidi ki Imani. USHUHUDA WAKO UMENITOA MACHOZI ILA UMENIJENGA SANA KIIMANI 😪😪
@mwanashagladys4581
@mwanashagladys4581 2 жыл бұрын
Amen amen amen😭😭🇰🇪
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 3 жыл бұрын
💃💃💃💃💃❤️💃💃❤️❤️❤️❤️💃YESU YESU YESU... Gloire à DIEU 💃💃🎶🎶ALLÉLUIA 🎶🎶
@lynnpreciousm6182
@lynnpreciousm6182 3 жыл бұрын
💃💃💃💃💃.......haleluia!!!! Praise the Lord Jesus Christ. Unayoyatenda kweli ni MAKUUU!🔥🔥🔥❤️❤️🎉🎉🎊🎊🎀
@yvettekyalika907
@yvettekyalika907 3 жыл бұрын
Mutumishi Jacktan ASANTE sana na ushuuda.. Merci beaucoup ! Stay blessed 🙂
@ngwanafabian9668
@ngwanafabian9668 3 жыл бұрын
Na wewe unayemwamini bikira Maria okoka acha kuabudu sanamu. Mariam siyo mwombezi wetu wala haokoi. Yesu pekee ndiye anayestahili kuabudiwa na ndiye mwombezi wetu
@abbyadams8691
@abbyadams8691 3 жыл бұрын
Wakristo kumbukeni hata Yesu hakuteswa na wapagani wala majambazi,bali aliteswa na wakuu wa dini za kiyahudi na washika sheria ya Torati.Mshika sheria za dini ni mtu hatari sana kuliko mpagani.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 3 жыл бұрын
Huyo hakuna alomtesa muongo. Hakuwahi kua muisilam kafiri mwenzenu tangu awali huyo. Mnadhani hatujui mbinu zenu?
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 3 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 hahaa pole sana okoka b4 its too late
@mawazobayndulwa1909
@mawazobayndulwa1909 3 жыл бұрын
Akuna kisicho wezekana kwa Mungu yote kwake yanawezekana na hao waesilamu hawatamuona muhamad wakati wa unyakuo ni yesu peke yake tu sasa wakati watasema yesu yesu watakuwa wamechelewa pole sana kwa dini kama hiyo Jacktan Mungu hakubariki na mutumishi wa Mungu Mungu Akufunike na damu ya yesu kristo Amen
@b.a.m6243
@b.a.m6243 3 жыл бұрын
Waislaam bhana, haya tutafika tu hata kwa vip. YESU wangu nakupenda sana na kwako sibanduki milele, majaribu n mengi ulimwenguni lakini naamini kwako kama wapo walioshinda nasisi wengine tutashinda kwa wakati wa BWANA. Amen.
@naomypaul1014
@naomypaul1014 3 жыл бұрын
Jamaniiii hivi Ni kweli ndugu yako wa damu utake kumuua kisa kubdri dini,asee apo ndyo naamini hawa wenzetu mungu wanaomwabudu syo sahihi
@sebastianmwita9149
@sebastianmwita9149 3 жыл бұрын
Yesu kristu ni zaidi ya tunavyodhani, kwa maana ni MUNGU halisi
@marykibwana9413
@marykibwana9413 3 жыл бұрын
Hongera Pastor Amiri.
@esthetbabu7481
@esthetbabu7481 3 жыл бұрын
Oh God the power of Lord,is powerful
@kingkendrickk
@kingkendrickk 3 жыл бұрын
Ama kweli Yesu ni ushindi.
@kalamajulius6107
@kalamajulius6107 3 жыл бұрын
Kama kunaye mtu anayeweza kusikia ushuhuda wamtumishi huyu wote asiamini nakuokoka naalaniwe katika jina la Yesu aliyehai amen.
@powerplus1933
@powerplus1933 3 жыл бұрын
Asante Sana Kaka jactan kwa ushuhuda mzuri.ikiwezekana nawashauri mutoe filamu yake.itakuwa sawa.
@christinengumbao993
@christinengumbao993 3 жыл бұрын
Amen asante kwa ushuhunda Yesu ndiye njia ya kweli na uzima hakuna mwengine wakufanana naye hatakuepo in Jesus name amen Emmanuel
@user-xm2rm7wn6h
@user-xm2rm7wn6h 8 ай бұрын
Sema ulikuwa mpuuzi 2broo
@mwajumabulonvu7038
@mwajumabulonvu7038 3 жыл бұрын
amen amen yesu ni mwema.
@joycegeorge-mf5kn
@joycegeorge-mf5kn 10 ай бұрын
Groly to God
@esterabonga7947
@esterabonga7947 3 жыл бұрын
Uhu ushuhuda umenijenga imani mara 💯 yaani zaidi na zaidi . Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa
@esthetbabu7481
@esthetbabu7481 3 жыл бұрын
Amen amen God bless you all the time
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
There's power of confessing Jesus Christ in front of those who are persecuting you
@lilianluhasi5053
@lilianluhasi5053 3 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo
@marysteven605
@marysteven605 3 жыл бұрын
Honngera saaaaaana mtumishi wa mungu kwa ushindi mkuu!!!!!
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
I receive that blessing in Jesus Name
@user-ev7cr4ru8v
@user-ev7cr4ru8v Жыл бұрын
Amen 🙏
@titinmbega4128
@titinmbega4128 3 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah 💪💪😇😇
@mrdigtal6579
@mrdigtal6579 3 жыл бұрын
Roho ya mwakasenge ya mungu inakaa ndani yako utakuwa mkuu katika ufalme Wa mungu hakika sauti yako inatisha kuzimu barikiwa
@lydiahsinyora2356
@lydiahsinyora2356 2 жыл бұрын
God will remain to be God forever and ever amen be blessed man of God
@aimerencentabagoyi8311
@aimerencentabagoyi8311 3 жыл бұрын
Ameen Ameen Ameen
@jesusismyking5292
@jesusismyking5292 3 жыл бұрын
Yesu ndiye Mbuwana wa ma Mbuwana
@neemaedward1474
@neemaedward1474 3 жыл бұрын
yesu ndiye njia kweli na uzima hilo halipingiki,asante yesu kwa kuendelea kujidhihirisha kila inapoitwa leo
@annewanjiku52
@annewanjiku52 3 жыл бұрын
Yani Amir vita umepigwa kubwa na ndugu y'all haswa kwa ajiri ya kumkiri huyu Yesu, amin amin Yesu atakukiri mbele ya BaBa take pia umbarikiwe zaidi
@owinomakochieng828
@owinomakochieng828 Жыл бұрын
Glory to God.
@damarsd4599
@damarsd4599 3 жыл бұрын
Yesu kristo atabaki kuwa Bwana,,kaka yangu endelea kumtumikia yesu
@richardsanga8641
@richardsanga8641 3 жыл бұрын
UKIZUNGUMZIA UISLAMU. UNAZUNGUMZIA SHETANI 100%. UKIZUNGUMZIA UKRISTO UNAZUNGUMZIA MUNGU ALIYE HAI 100%
@germainekahambu
@germainekahambu 3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu na akubariki mtumishi wa Mungu
@lwesyajj5981
@lwesyajj5981 3 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na ushuhuda huu
@naketizainabu7803
@naketizainabu7803 3 жыл бұрын
Amen Amen Amen 👏
@justinecharles5000
@justinecharles5000 3 жыл бұрын
Barikiwa Sana Pastor . Hakika ushuhuda huu umenijenga Sana na kubadilisha maisha yangu ya kiroho.
@mackynicky5832
@mackynicky5832 3 жыл бұрын
Hakika Yesu ni Bwana
@kinotititus8798
@kinotititus8798 3 жыл бұрын
Dhambi ni kutotii neno la mungu
@santawinny9946
@santawinny9946 3 жыл бұрын
Mungu azidi kuku bariki sana maana na barikiwa
@happykajeli5453
@happykajeli5453 3 жыл бұрын
Asante yesu hakika umetenda
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 4 ай бұрын
Jesus Christ the name above of all name's
@elizabethmichael132
@elizabethmichael132 3 жыл бұрын
Amen mungu atabaki kuwa mungu
@horemow9832
@horemow9832 3 жыл бұрын
Na barikiwa sana na huu ushuhuda
@ashurantunzwenimana5975
@ashurantunzwenimana5975 Жыл бұрын
Ameen 🙏
Part 1_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
46:48
Jumping off balcony pulls her tooth! 🫣🦷
01:00
Justin Flom
Рет қаралды 13 МЛН
No empty
00:35
Mamasoboliha
Рет қаралды 7 МЛН
Part 3_USHUHUDA WA SHEIKH AMIR ALIYEKUWA USTHADH SASA AMEOKOKA
46:02