Matendo yako ni makuu sana kazi yako ni adhama na heshima wafurahiwa na wapenzi wako Mungu wewe ni mkuu sana katika Jina la Yesu
@JimmyStone-sb3wtАй бұрын
Nampenda sana Bwana Yesu kwasababu bado anapigania watu wake..Mtumishi Bwana akubariki Amina
@lydiamokeira60623 жыл бұрын
Wakristo tujifunze kupitia ushuhuda huu... Tufurahi kwa sababu sisi ni Wakristo.. Kuna watu wanaghalamika kupata wokovu Mungu tuongoze kwa Jina La Yesu Kristo wa Nazareth 🙏🙏
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Ndio kawaida yenu kufunzwa kupitia uongo. Lkn huyo si muisilam wala hajawahi kua muisilam. Nimkafiri mwenzenu huyo na km hamuamini mwambieni alete ushuhuda wa hao waliomtesa. Uongo tu!
@movaciermasherano66643 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Hamna ni kweli wengi uwa wanasema hivo haiwezekani wote wadanganye sema wewe bado mdogo ufaham lolote
@annewanjiku523 жыл бұрын
There's power in the Name of Jesus Christ Hallelujah
@user-sf5gp5oi5k8 ай бұрын
Glory to God
@berthabarozi6 ай бұрын
Yesu ni mwaminifu. 28:22 28:25
@ezrommkambati16873 жыл бұрын
Ndio mm nipo Kigoma tena nipo hapa Sido kwa muda huu, napafahamu haswa fika fika. Unachokisema ni cha ukweli, YESU juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!
@cupcakesanddounuts65553 жыл бұрын
Sana
@florasingano58593 жыл бұрын
Juuu juuu zaidiiiiii
@happnesmatende62713 жыл бұрын
@@florasingano5859 Ameen
@rehemamwale7003 жыл бұрын
Mtu ambae amedislike hii testimony tumueleweje? Watu wanashangaza, what a powerful testimony to change people lives, to uplift faith and make it strong, a testimony that will make you want to know Christ JESUS more more, GOD have mercy for those who dislike. Gospel will be preached wether you like or dislike Christ JESUS will be preached. Glory to GOD ALMIGHTY 🙏🏾🙏🏾
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Na wanaokubali kwa msema pweke tuwaeleweje? Kafiri mwenzenu huyo hamjaanza leo kuutia madoa uisilam. Nalaitani km uisilam ungekua unakua kwa nguvu za watu basi ungekufa tangu sep 11 lkn nambie unakua na unazidi kukua kwa sabbu ni dini ya haki. Ukisoma utaondokana na ujinga unaolishwa lkn ukisikiliza hao jamaa zako walozoea kula sadaka zenu maisha utaishia kwenye ukafiri.
@movaciermasherano66643 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Pamoja na ku bweka kote uko ila nawewe utaokoka tu mda ukifika
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭huu ni ushuhuda unao mfanya mtu abadilike Eee Mungu linda watumishi wako
@davidmihambo30513 жыл бұрын
nimependa hili tukio lilotokea katika hii dakika ya 10 na sekunde ya 27. ndio inathibitisha agizo alilolitoa Yesu kwa wanafunzi wake; Matendo Ya Mitume 1:8 Neno: Bibilia Takatifu 8 Lakini mtapokea nguvu akishawajilia Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu na Yudea yote na Samaria, hadi mwisho wa dunia.” ALL GLORY TO GOD
@everlynemiriam594311 ай бұрын
Yesu mwana mungu ni mushindi ju ya washindi Hallelujah
@annewanjiku523 жыл бұрын
You have lifted my faith once again and you encourage me to be bold and to have courage in Jesus Name
@godfreyalex53194 ай бұрын
Imani ya Bwana wetu Yesu kristo ikuzingire wewe na na jamaa yako yote wamuone Bwana wetu ya kuwa ni Mungu apasaye kuabudiwa Yn 4:24
@alicemangat31652 жыл бұрын
That is one of the greatest testimony I have ever heard. Ubarikiwe hata zaidi wewe na familia yako! Yesu ni Ukweli, Njia na Uhai!
@nswilayella32953 жыл бұрын
The best shuhuda to me ever heared
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Very strong testimony wapendwa tuachane na dhambi tuishi maisha matakataifu Yesu aweze kutupigania
@mimsbaibe6mimsgul7373 жыл бұрын
What a great testimony our God is great always utaishi uhubiri Jina la bwana Jesus loves yu atakulinda na akubaliki.
@juliuskitaluka12063 жыл бұрын
YESU ni mwaminifu sana
@wahurabathi48453 жыл бұрын
Amen in jesus name thank you pastor God bless you.
@unyakuotv.13913 жыл бұрын
Nitaanza kuhubili habali hizi na kuelezea mambo mengi juu ya shetani na njia iliyo sahihi kuingia mbinguni hivi karibuni . Kwenda mbinguni sio kazi lahisi kama walokole wenzangu wanavyozungumza . Maana nilimskia mchungaji mmoja anasema yesu alikufa msalabani hivyo tumekombolewa katika dhambi.( Ndio sikatai) lakini wengi wanapotea katika haya haya maandiko ukifikilia vibaya) mtu anaamini nimeondolewa dhambi naenda mbinguni akifa aiseee.. ingekua hivyo kuzimu isingejaa maelfu ya watu na njia iendayo Kuzimu ingekua ni nyembamba na iendayo mbinguni ingekua ni pana . kwenda mbinguni sio kazi rahisi . Tangu siku za yohana mbarizaji ufalime wa mungu... ...( Na kinyonge hakita ingia kamwe) . Kuna siri nzito juu ya namna ya kufanya mtu aende mbinguni na hapo ndipo shetani amewapiga watu upofu wasielewe wala kuamini..( roho inauma sana) ni kama vile watu wameamua kuchagua wenyewe kwenda motoni. . shetani amekamata maelfu ya watu hapa ndio kila nikitazama naona kabisa wazi wazi. Watu wanvyoteketea kuzimu ya moto daaa.. MAANA KRISTO YUPO NDANI YANGU NAMI NDANI YAKE . NINAONA WAZI WAZI .. roho inaniuma kwa kua nina toka natoka na kwenda mbinguni nimefaham mambo mengi sana.
@mackynicky58323 жыл бұрын
Ahsante Kaka Jacktan, Mungu akupiganie, huu ushuhuda umenifanya nilie, hakika hakuna kama Bwana Yesu
@heritier51192 жыл бұрын
Huyo kaka yako ni mtu wa kizamani Sana toka lini Mungu akapiganiwa, ukiwa na pesa ukimbiwi na ndugu
@happynessmarki27803 жыл бұрын
MUNGU WANGU UMEPITIA MKASA WAKUTISHA SANAAAAAA POLE SANAAAAAAAAA DAH! LKN HONGERA SABABU HATA MBELE YA KIFO BADO ULIMTAJA YESU
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Jamaa yenu tangu zamani huyo si muisilam na hajawahi kua muisilam
@hassankombo44753 жыл бұрын
Hakika mungu ni mwema ulikuwa mchanga na uliweza kuimili mtihani kama huo mungu akutie nguvu
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Uongo mtupu na tushauzoea ila tunawashangaa nyie msiochunguza zinapokujieni habari. Hvi unataka kunambia anayozungumza ni kweli? Huyo nikafiri mwenzenu mmemtengeneza.
@lilianluhasi50533 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Kama huamini nenda kaulize waliotaka kumzika akafufuka kabla ya kuzikwa, siyo kupinga tu
@carolmuchiri99213 жыл бұрын
Ameni Ameni Mchungaji na Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na Kuonekania, 🙏🏾🙏🏾👍👍❤️🇰🇪
@mangeramwalimuyohana16503 жыл бұрын
YESU anaweza,naomba niulize kwanini waislamu wana vaa makanzu,na wakati huo ufalme wa giza nao wana vaa makanzu
@ivonaevarista46543 жыл бұрын
N kweli kabisa ukiokoka kwelikweli unachukiwa,hongera kwa imani Bwana Yesu apewe sifa,Yesu hawezi kumuache mtu amkimbiliaye Mimi mwenyewe mama alinipiga mno lakini nilikataa kurudi kwenye sanamu mpaka sasa hanitakia ila najua yupo Yesu atamsaidia atamuokoka,njooni kwa Yesu kuna amani,asante kaka jack kwa kutuletea shuhuda nzuri
@salomekemunto13732 жыл бұрын
AMEN AMEN and AMEN.Kweli Yesu Kristo amekutoa mbali na bado Mungu ana kusudi kubwa juu ya maisha yakoo. Injili ya Yesu Kristo iende Mbele Mbele Mbele kabisa.
@claudinekatula16953 жыл бұрын
Amen,alie ndani ya Yesu anaraha,umepata ushindi mbele ya maadui.Mungu azidi kukulinda kwa hiyo imani kubwa ulio nao
@barakajacobs45393 жыл бұрын
What!!!! Usicheze wa watoto wa Mungu...I tell you those who fight the children of God fights with God Himself . WOW our God will never forsake no leave us
@MzeeKigogo_7 күн бұрын
Amina. Yesu ni bwana
@rizikimarie67653 жыл бұрын
Amen Amen pastor nilikufuata kwanzia mwanzo mpaka mwisho nimebarikiwa sana mungu akubariki
@drnow15283 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe
@thelonewolf44293 жыл бұрын
Chozi limenitoka kwa furaha YESU NDIO KILAKITU AMENN
@everlynemiriam594311 ай бұрын
Amen neva give up God bless you always
@barakajacobs45393 жыл бұрын
Amen , Isaiah 54:15 If anyone does attack you, it will not be my doing; whoever attacks you will surrender to you. Amen. We serve the Living God 🙌😇 aaw awesome
@bettyobiero84083 жыл бұрын
Am blessed so much by this testimony. Endelea kumtumikia bwana ndungu yangu katika Yesu. Amen
@barakajacobs45393 жыл бұрын
@@bettyobiero8408 Amen
@PatrickMuendo-ur9js8 ай бұрын
Have watched all your testimonias what a journey? We need such courage and obedience, we should build our faith
@stellakago13453 жыл бұрын
Mungu alikuokoa msikitini akakupa ubatizo wa moto porini. Jina la Bwana libarikiwe. Yesu Kristo aliye hai aendelee kukulinda kwa damu yake takatifu. My prayers to all who do not believe neema ya Mungu iwaguse kupitia huu ushuhuda
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
YESU okowa wa toto yangu... Nipiganiye Ô YESU 💃💃🎶🎶
@estasage55063 жыл бұрын
I can't stop crying and praising my good lord. Jesus Christ son of the living God please have mercy on me. I don't want to take you for granted master
@zakiaabdulrahman30133 жыл бұрын
God is good all the time
@everlynemiriam594311 ай бұрын
Amen Amen Amen glory be 2 God Amen
@user-mb6ob5fx3l Жыл бұрын
Mungu ana weza
@linkreuben58043 жыл бұрын
Nguvu hii ya YESU itawale nchi yetu Tanzania. Awahukumu maadui zetu kila upande, tuishi kwa Ameni na kufanyikiwa katika nchi yetu. Katika Jina la Yesu. Ameni!
@JuliasRanga-dd8zn Жыл бұрын
Amen and amen in Jesus name
@leonardanzurunipombi24993 жыл бұрын
Amina asante mtumishi wa Mungu,ushuda wako umenijenga
@manuelselemaneatanasio13293 жыл бұрын
Jina la Bwana libarikiwe
@annewanjiku523 жыл бұрын
Your brother has been your thorn in your fresh fighting wrong battle in the name of rejecting his religion which is a demonic religion may God salvation never sease to haunt him till he surrender his life to Jesus Christ in the Name of Jesus Christ and all of us says Amen
@PromovertvTz3 жыл бұрын
Amen
@mildredmukoshi63813 жыл бұрын
Huu ni ushuhuda ambao umenigusa sana. Kwa kweli jina la yesu lina nguvu kuliko kila kitu. Pole sana ndugu.
@kelvintech37973 жыл бұрын
Asante Kaka jacktan
@aronponsian11242 жыл бұрын
Mungu azidi kukulinda
@everlynemiriam594311 ай бұрын
Wacha mwana wa mungu aitwe mungu
@kelvinlwiva53803 жыл бұрын
God is wonderful,a miracle working God! Mungu akupe nguvu ya kumvunia mavuno makuu!
@adriandanford2083 жыл бұрын
Jina la yesu ni kama marashi mazuri yanukiayo katika nafsi iliyoamini
@beatricefilbert11716 ай бұрын
Nampenda Yesu jamani
@fridafrida7665 Жыл бұрын
God bless you brother
@user-me3ee4fu8w3 жыл бұрын
Mungu kwetu sisi ni Mungu wakuokoa na njia za kututoa mautini zina yeye
@resaltnekesa97022 жыл бұрын
Ooh! My God, pole sana mtumishi wa Mungu. Mungu na akupe nguvu na kukunawirisha zaidi ki Imani. USHUHUDA WAKO UMENITOA MACHOZI ILA UMENIJENGA SANA KIIMANI 😪😪
@mwanashagladys45812 жыл бұрын
Amen amen amen😭😭🇰🇪
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
💃💃💃💃💃❤️💃💃❤️❤️❤️❤️💃YESU YESU YESU... Gloire à DIEU 💃💃🎶🎶ALLÉLUIA 🎶🎶
@lynnpreciousm61823 жыл бұрын
💃💃💃💃💃.......haleluia!!!! Praise the Lord Jesus Christ. Unayoyatenda kweli ni MAKUUU!🔥🔥🔥❤️❤️🎉🎉🎊🎊🎀
@yvettekyalika9073 жыл бұрын
Mutumishi Jacktan ASANTE sana na ushuuda.. Merci beaucoup ! Stay blessed 🙂
@ngwanafabian96683 жыл бұрын
Na wewe unayemwamini bikira Maria okoka acha kuabudu sanamu. Mariam siyo mwombezi wetu wala haokoi. Yesu pekee ndiye anayestahili kuabudiwa na ndiye mwombezi wetu
@abbyadams86913 жыл бұрын
Wakristo kumbukeni hata Yesu hakuteswa na wapagani wala majambazi,bali aliteswa na wakuu wa dini za kiyahudi na washika sheria ya Torati.Mshika sheria za dini ni mtu hatari sana kuliko mpagani.
@alhamdulillah57963 жыл бұрын
Huyo hakuna alomtesa muongo. Hakuwahi kua muisilam kafiri mwenzenu tangu awali huyo. Mnadhani hatujui mbinu zenu?
@brigithadidas51283 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 hahaa pole sana okoka b4 its too late
@mawazobayndulwa19093 жыл бұрын
Akuna kisicho wezekana kwa Mungu yote kwake yanawezekana na hao waesilamu hawatamuona muhamad wakati wa unyakuo ni yesu peke yake tu sasa wakati watasema yesu yesu watakuwa wamechelewa pole sana kwa dini kama hiyo Jacktan Mungu hakubariki na mutumishi wa Mungu Mungu Akufunike na damu ya yesu kristo Amen
@b.a.m62433 жыл бұрын
Waislaam bhana, haya tutafika tu hata kwa vip. YESU wangu nakupenda sana na kwako sibanduki milele, majaribu n mengi ulimwenguni lakini naamini kwako kama wapo walioshinda nasisi wengine tutashinda kwa wakati wa BWANA. Amen.
@naomypaul10143 жыл бұрын
Jamaniiii hivi Ni kweli ndugu yako wa damu utake kumuua kisa kubdri dini,asee apo ndyo naamini hawa wenzetu mungu wanaomwabudu syo sahihi
@sebastianmwita91493 жыл бұрын
Yesu kristu ni zaidi ya tunavyodhani, kwa maana ni MUNGU halisi
@marykibwana94133 жыл бұрын
Hongera Pastor Amiri.
@esthetbabu74813 жыл бұрын
Oh God the power of Lord,is powerful
@kingkendrickk3 жыл бұрын
Ama kweli Yesu ni ushindi.
@kalamajulius61073 жыл бұрын
Kama kunaye mtu anayeweza kusikia ushuhuda wamtumishi huyu wote asiamini nakuokoka naalaniwe katika jina la Yesu aliyehai amen.
@powerplus19333 жыл бұрын
Asante Sana Kaka jactan kwa ushuhuda mzuri.ikiwezekana nawashauri mutoe filamu yake.itakuwa sawa.
@christinengumbao9933 жыл бұрын
Amen asante kwa ushuhunda Yesu ndiye njia ya kweli na uzima hakuna mwengine wakufanana naye hatakuepo in Jesus name amen Emmanuel
@user-xm2rm7wn6h8 ай бұрын
Sema ulikuwa mpuuzi 2broo
@mwajumabulonvu70383 жыл бұрын
amen amen yesu ni mwema.
@joycegeorge-mf5kn10 ай бұрын
Groly to God
@esterabonga79473 жыл бұрын
Uhu ushuhuda umenijenga imani mara 💯 yaani zaidi na zaidi . Kumcha Bwana ni chanzo cha maarifa
@esthetbabu74813 жыл бұрын
Amen amen God bless you all the time
@annewanjiku523 жыл бұрын
There's power of confessing Jesus Christ in front of those who are persecuting you
@lilianluhasi50533 жыл бұрын
Ashukuriwe Mungu aliye juu katika jina la Yesu Kristo
@marysteven6053 жыл бұрын
Honngera saaaaaana mtumishi wa mungu kwa ushindi mkuu!!!!!
@annewanjiku523 жыл бұрын
I receive that blessing in Jesus Name
@user-ev7cr4ru8v Жыл бұрын
Amen 🙏
@titinmbega41283 жыл бұрын
Hallelujah hallelujah 💪💪😇😇
@mrdigtal65793 жыл бұрын
Roho ya mwakasenge ya mungu inakaa ndani yako utakuwa mkuu katika ufalme Wa mungu hakika sauti yako inatisha kuzimu barikiwa
@lydiahsinyora23562 жыл бұрын
God will remain to be God forever and ever amen be blessed man of God
@aimerencentabagoyi83113 жыл бұрын
Ameen Ameen Ameen
@jesusismyking52923 жыл бұрын
Yesu ndiye Mbuwana wa ma Mbuwana
@neemaedward14743 жыл бұрын
yesu ndiye njia kweli na uzima hilo halipingiki,asante yesu kwa kuendelea kujidhihirisha kila inapoitwa leo
@annewanjiku523 жыл бұрын
Yani Amir vita umepigwa kubwa na ndugu y'all haswa kwa ajiri ya kumkiri huyu Yesu, amin amin Yesu atakukiri mbele ya BaBa take pia umbarikiwe zaidi
@owinomakochieng828 Жыл бұрын
Glory to God.
@damarsd45993 жыл бұрын
Yesu kristo atabaki kuwa Bwana,,kaka yangu endelea kumtumikia yesu
@richardsanga86413 жыл бұрын
UKIZUNGUMZIA UISLAMU. UNAZUNGUMZIA SHETANI 100%. UKIZUNGUMZIA UKRISTO UNAZUNGUMZIA MUNGU ALIYE HAI 100%
@germainekahambu3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu na akubariki mtumishi wa Mungu
@lwesyajj59813 жыл бұрын
Nabarikiwa Sana na ushuhuda huu
@naketizainabu78033 жыл бұрын
Amen Amen Amen 👏
@justinecharles50003 жыл бұрын
Barikiwa Sana Pastor . Hakika ushuhuda huu umenijenga Sana na kubadilisha maisha yangu ya kiroho.