Davista unaenda kwa waonaji sio? Mungu hapendi hizo habari, na aliificha kesho yako makusudi, hakukosea, usiforce kujua ya kesho!! Mungu alichukia watu wake kwenda kwa waaguzi, watambuzi na waonaji
@deelissa27463 жыл бұрын
Kwan ndugu zang ttz lipo wapi mbingu ipo mtu akienda munashangaa nin Sasa hata akwende na harud ni sawa tu mbon watu walienda kwa lusifa na wakarud kuj kufanya Kaz zake ht uyu amerd kwa sababu manabii wa uongo wap na hata manabii wa kweli wap Sasa ni juu yako kumtambua mtu sio kumpinga kila mtu bakini na Imani zenu
@blueeyes59523 жыл бұрын
Watu wanamini majini yapo, shetani yuko, na mapepo yapo na wanadai kama walishaonana na shetani na majini na mapepo, shida ni pale wakati mtu anasema aliona maono ya jehanamu ao Kuona Yesu ao malaika wa nuru ao Mungu basi wanapinga na kukataa!!! Kama wewe ulisha lala na jini nq kufanya mapenzi nalo , swali je unaeza kuonyeshe lile jini kwa watu wote walione????? Mambo ushirikana mnapenda sana lakini mambo ya Mungu ni shida kuamini,
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Habari,kazi yangu ni kuleta mikasa ambayo mimi na wewe hatukuwepo wakati mtu anapitia hiyo mikasa yani hatakuwepo,wewe unatakiwa usikilize mikasa hii kisha suala la kumuamini au kutokumuamini mtu yeyote anaetoa mkasa suala hili linabaki juu ya mtu mwenyewe na ndio huwa nafanya kila siku,maana hata mtu anaeeleza mkasa wake kisha wewe ukamuamini ingawa wewe haukuwepo wakati anapitia hayo mambo.Ni kama ambavyo kuna mtu ataeleza mkasa ukamuamini na mwingine akaeleza mkasa wake ukashindwa kumuanini yote ni sawa ila kwenye kila mkasa wa mtu ninaemleta kuna kitu cha kujifunza ndani yake na hii hamaanishi umfuate kila mtu kisa ametupa mkasa wake maana wote sisi waislam,wakristo na wasio na dini tumesoma Quran na Bible vizuri hivyo tunaufahamu wa mambo ya dini zetu lakini pia tuna akili na uelewa mkubwa
@davidchesco11503 жыл бұрын
Brother davistar umeongea point ya muhm sana ila naona shetan amekamata sana watu kwny suala lakuamin kwasabab mtu akisema kwamba alikua mchaw,mganga au aliua inaaminika kwa watu wengi lakin mtu akisema mtumish waMungu cjui kwann watu wanakua hawaamin na unakuta mtu anasema alikua namajin watu wanamuamin lakin mtu akisema amemuona Malaika watu hawaamin anyway all in all mr davistar uyo Prophet david richard ni mtu wakiroho sana na anaongea mambo yarohon sana so ningum sana mtu kumuelewa kama hauko rohon ndomaana watu wengi wanakua hawaamin kwasabab hawako rohon. God is real na anafanya kaz na watu wake na principle za Mungu sio sawa na zakibinadam hawez kukuonesha mambo makubwa wakati ww unaufaham mdg juu yake!!
@joshuatalu95963 жыл бұрын
Kweli kaka
@joshuatalu95963 жыл бұрын
Mtafute mama Mtanzania anaitwa Nyisaki Chaula...story kali sana.
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Mungu ulie mukomboa kijana Huyu mpaka sahii anakutumikia kumbuka kijana wangu awache bangi
@pili37503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@seifmketo24213 жыл бұрын
Piga chini huu upuuzi maana hata hao mitume wa enzi hizo hawakuwahi kuonana na mungu sembuse yy,labda aseme alienda kuzimu huko
@faizamohamed69933 жыл бұрын
Nashangaa 😂😂😂
@victorlyimo6973 жыл бұрын
Alienda kuzimu
@susannyamwitha13543 жыл бұрын
Man of God am happy to hear, there is some one see God, I thought it's only, time of Musa,
@pungopungo4113 жыл бұрын
Musa alikua ni rafiki wa mungu lakini hajawahi kumuona na huwezi kumuona mungu kisha ukaishi
@nurafedrick3783 жыл бұрын
Kumbee ulikuwa mtoto wakuvuta bangi mwisho ukawa mtoto mzuri 🤝🤝🤝🤝
@nantaembanusurupia56743 жыл бұрын
Haijawahi muacha mtu salama😢
@nurafedrick3783 жыл бұрын
@@nantaembanusurupia5674 mm iliniachaa salama mana mm Mpole lkn ukiniazaa inafufuka ya miaka 20iliopita😂😂😂😂😂yanyuma
@evalineawary36043 жыл бұрын
Umejua kunifurahisha davista, kumleta my prophet David Richard, shalom shalom man of God my spiritual dad
@farhadhassansaid88303 жыл бұрын
Kk Davi, anaongea point kuwa mtoto akiwa tumboni mwaa mamake huwa pale ashaandikiwa kila kitu na venye ataishi mpaka kufa kwake manake pale roho ikiekwa ama kuviviliwa ndani ya tumbo la mamake bac pale Malaika huja na Kitabu ambacho ashamwandikia kila kitu cha kiumbe alichokuwa ndani ya tumbo
@dorcaskarago28763 жыл бұрын
Hii story kali sana nimeamini Mungu na nguvu ananguvu zote
@womanofsteel14023 жыл бұрын
Mr.DM,,Mr.Everything .Mr.fact . To Tuko pamoja sana naendelea kuenjoy na story .No stress nakushukuru
@babyboss28863 жыл бұрын
2.3k views 184subscribers Bonyezeni tu subscribe button ni free of charge let's appreciate Davistar Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@tayanabenard43923 жыл бұрын
Wakati sisi tunang'ang'a sharubu mtaani, wenzetu kumbe wameishaenda mbinguni na kurudi... 🙈🙈🙈
@moteyussuf39513 жыл бұрын
hhhhhhhhhh
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Ukiona Ivo ujue mbinguni utapasikia tu😂😂😂😂😂🤣🤣😂🙏
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mitume pia wangeenda kumuona Mungu🤸♀️
@tayanabenard43923 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 Dunia ina mambo hii....
@tayanabenard43923 жыл бұрын
@@josephemmanuel3175 yaan mpaka hapa na wasiwasi cku ya unyakuo inawezafika raia wakasepa nikabaki sielewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@carrenchigulu57123 жыл бұрын
Jamani fatilieni hii story ya prophet David Richard ni ya kweli he is really a man of God from angelic church international Dar mimi nimemfuatilia mda nilijua kutoka kwa promovert tv barikiweni
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
@@mohdbest5859 wee mohammed usinifanye me nivunje mbavu zangu
@zeuscus5013 жыл бұрын
@@mohdbest5859 dah aloo hii kamba tunayopigwa apaa
@nooor11203 жыл бұрын
Mmungu mchezo?
@davidchesco11503 жыл бұрын
Nafrah kukuona naww nimmoja wa wachache wanaomuelewa big up sana sister twnd pamoja👍👍
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@mohdbest5859 kabisaa
@immamuga88373 жыл бұрын
Davistar,,,hii stor tamu sanaaa,tuko pamoja
@mirajihamza45323 жыл бұрын
Duuh! Jamaa kampiga bao mpaka Paulo, kaonana na mpanga michongo😂😂😂
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Huyo aliota tu kachukuliwa nashetani kapelekwa dampo etimbinguni mh fire fire fire
Sura kama babakeylaa ama macho yangu hihihi😄😄😄😄😄😄😄😄
@jannyrose53673 жыл бұрын
Nimeona watu wengi hapa hamanjamwamini Mungu,mambo yote inawenzekana kwa Mungu,hakuna njambo lisilowenzekana
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Fikiria wew knavitu vinabaki kwaufalme wake tu mungu apelekwe mbinguni akafanyenini (kaamua kukufuru tu hanalolote)
@jannyrose53673 жыл бұрын
@@abubakarwadi5773 Mungu mwenyewe ndiye anajua alichotaka akashihudie sipendi kupinga Sana vitu vyenye sna ufahamu nazo
@ninajohn86433 жыл бұрын
Afazari davista wetu yuko ndani ya nyumba kakaa kwenye makochi naona atakuwa anarusha nne kwa siku khari ya hewa nzuri
@pili37503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@avierastevens51413 жыл бұрын
My papa man of GOD prophet david richard
@jacobjacksonjackson12343 жыл бұрын
Huyu mtumishi Bado sijamuelewa na si mara ya Kwanza kumusikiliza,kipindi fulani aliwahi kusema alikutana na malaika leo anasema alikwenda mbinguni akaonana na mungu
@kimsamespa84903 жыл бұрын
Itabidi tukubali tu
@glorynguma35933 жыл бұрын
Sio mambo zako xo huwez kuelewa
@straightkonect16133 жыл бұрын
Davistar🤣🤣🤣ety aaaah kwa hiyo hapo nirelaxx nisubiri tender hiyo🤣
@peninahkariuki46793 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri kweli be blessed 😊🇰🇪
@maisalahmustapha82873 жыл бұрын
Mr.DM naomba muendelezo wa story ya Baharia Latino
@imagepower36413 жыл бұрын
sijui kama yupo mtumishi wa mungu ambaye hapo kabla hajawahi kuvuta bangi
@nantaembanusurupia56743 жыл бұрын
Nilisikia kuwa bangi ukipiga pafu moja hukaa katika ubongo miongo mitatu sijui kama ni kweli, huyu nae si kavuta juzijuzi tu inawezekana bado ipo.
@hussenimussa30123 жыл бұрын
Hapokwenyekutoa huduma hukawi badae kutuambia nimatapeli tutasika mengi hidunia uongo ndomtaji
@faridaahmed26713 жыл бұрын
Yani kaka yangu davista mata uyo kaka nimuongo nawewe unamsikiliza anapata lana atakua alienda kuzimu sio mbinguni
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
Jaman eti akaonana na Mungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣usinichekeshe Davistar, haya wacha niskize
@wildatmsellem75313 жыл бұрын
Watu wana dhambi😂😂
@josephemmanuel31753 жыл бұрын
Daaaa umemleta prophet David Richard hyu mchungaji ambas anasimulia vitu konki sana
@imagepower36413 жыл бұрын
shusha nondo sie hatujali iwe kweli au uongo sie hatujali..hii ni burudan
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kabisaa. Hapo umesema 👏👏👏👏👏👏👏👏🎺🎺🎺🎺🎺🎺🎉🎉🎊🎊🎊💃💃💃💃
@ashaomari74653 жыл бұрын
Ile bangi mbaya sana mpka unakufuru
@athumanmakale82213 жыл бұрын
🤔🤔🤔🙄🙄🙄😳😳😳 Jamani Mambo mengi Sana tutasikia. Ila tunashukuru Davista kwa kutuletea hii Mikasa MB zipo kwa ajili YAKO kazi kwako kuporomosha Mikasa.
@KariukiRoysambu3 жыл бұрын
Natega sikio sawa
@rosekingalu44033 жыл бұрын
Anaongea vizur 🙆🏻♀️🙈🙈
@paulotomealame19943 жыл бұрын
Bom
@zennahenry59533 жыл бұрын
🤔🤔Baadae tukitaka huduma ya maombi mnatuambia tutume sadaka 🏃♀️🏃♀️kule kwa Bm maziwa nilituma sadaka yangu Mpaka Leo sijapata huduma
@aishaally88113 жыл бұрын
Pole my dear jiombea wewe kama wewe asahivi huwenzi jua mtimixhi wa mungu hawana tofauti na wa lusifa
@pili37503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@happyperson30163 жыл бұрын
Tujiombee jameni angalieni bisola johnson you tube na mtaelewa zaidi hii network ya church mafia..itabidi watu wajiombee na watafute mungu kibinafsi bila kutegemea yeyote
@kelvinwalter34353 жыл бұрын
Kwa Mara yakwnza niliuona moyo wangu kwa alisikia iyo gonga like maana sio kwa uongo huoo
@luluamin13883 жыл бұрын
DU! Yesu rudi maneno yako yametimia. Wamezaliwa manabii zaidi ya unaowajua. Wengine wanatuuzia mafuta ya Upako, wengine wanasema tusivae chupi kanisani ili tupate baraka. Bora urudi baba mana hata wakichemua basi wanatawazwa unabii. Wakilala nakuota pia wanakua manabii. Rudi uje uwakane kama ulivyosema.
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Kazi yangu ni kuleta mikasa ambayo mimi na wewe hatukuwepo wakati mtu anapitia hiyo mikasa yani hatakuwepo,wewe unatakiwa usikilize mikasa hii kisha suala la kumuamini au kutokumuamini mtu yeyote anaetoa mkasa suala hili linabaki juu ya mtu mwenyewe na ndio huwa nafanya kila siku,maana hata mtu anaeeleza mkasa wake kisha wewe ukamuamini ingawa wewe haukuwepo wakati anapitia hayo mambo.Ni kama ambavyo kuna mtu ataeleza mkasa ukamuamini na mwingine akaeleza mkasa wake ukashindwa kumuanini yote ni sawa ila kwenye kila mkasa wa mtu ninaemleta kuna kitu cha kujifunza ndani yake na hii hamaanishi umfuate kila mtu kisa ametupa mkasa wake maana wote sisi waislam,wakristo na wasio na dini tumesoma Quran na Bible vizuri hivyo tunaufahamu wa mambo ya dini zetu lakini pia tuna akili na uelewa mkubwa
@davidchesco11503 жыл бұрын
We utakua safi Yesu akilud? Na kama Mungu ndie aliemuita kua yeye ninabii waMungu manake ww ndo mwny makosa na utahukumiwa kwa hilo. Kwasabab wakat anaitwa na Mungu hukuwepo!!!. Angalia manabii wote walioitwa hawakuaminiwa na walivyoitwa hakuna mtu aliekuepo so sio vzur kuzungumza vbaya juu yamtu. UKIONA KUNA FEKI BASI UJUE ORIGINAL IPO!!
@luluamin13883 жыл бұрын
@@davidchesco1150 ubaya uko wapi. Mimi naomba Yesu aje atuonyeshe ukweli. Bibilia inasema kutakuja manabii wauongo. Na kweli tumejionea drama nyingi tu kutoka kwa baadhi ya makanisa siku hizi. Sorry but sidhani nimeongea ubaya wowote hapa. Pili nimaoni yangu. Nadhani ni ruhsa mtu kutoa maoni yake. "Jihadharini na manabii wa uongo" matayo 7:15
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kanisani uchi tena dah.
@judiehance17363 жыл бұрын
Mbona hii mnaikataa hii ya kwenda mbinguni ,alafu zile za wale walioenda kuzimu mkawaamini ,, mnaenyesha ni kiasi gan hamuamini kuwa Mungu yupo ila mnaamni shetani yupo🤔🤔🤔ni huzuni kwa kweli
@HamixBreshiBane3 жыл бұрын
Ila jaman kwa mungu kesho kuna mambo...😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
Kwahiyo kamuona Mungu. Mwanae. Na Roho mtakatifu?
@qelseykenya39333 жыл бұрын
Nampenda🥰🥰🥰🥰🥰
@chukwuebuka15113 жыл бұрын
Kaka muongo uyu ona hata macho yake yanajieleza 😃😃😃😃 jamani kha
@valentinandukuvalentinandu47793 жыл бұрын
santa sana Mr kila kitu
@abubakarwadi57733 жыл бұрын
Huyu niwalewale tu watumishi washetani (gambushi style zakukubalika tu hzo)
@mtzhalisi22323 жыл бұрын
kuna mambo mazuri sana mbeleni
@djmtengwatz10993 жыл бұрын
Twende Kazi
@mohammedshabani90133 жыл бұрын
Amuogop mwnyezimungu atampa Adhabu Kari san asipotubu
@glorynguma35933 жыл бұрын
😂😂😂 pole hivi vitu vimekuzid uwezo lakin mganga unamwamin vzur tu mtumish WA humwamin binadam bwana
@jotafungo46223 жыл бұрын
Aisee kaenda mpaka mbinguni😂😂😂
@pilimusa77703 жыл бұрын
Alafu kamuona Mungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jotafungo46223 жыл бұрын
@@pilimusa7770 wa ukae tumepigwaaa!
@JOZELDOTz3 жыл бұрын
title ya video tu ni noma eti kwenda mbingumi daah niatari kweli kweli
@حميده-ر4ظ3 жыл бұрын
Sasa hii kiboko jamani, mmhh 😁
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
Katika stry zote tulosikiliza hii kiboko mbingun nakurudi mmmh jomon inawezekana
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
@@kalssambaboo9932 🤣🤣🤣🤣mi ndiyo mwanzo nataka kuskiza
@kalssambaboo99323 жыл бұрын
@@shantellemwanakombo3703 me hata sijasikiliza nimesoma tuuh kichwa chahabar
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@kalssambaboo9932 tungoje atuambie huyo Mungu yukoje?.
@isongacharlesnilanga25823 жыл бұрын
@@pilimusa7770 😀😀😀😀😀😀😀
@joshuatalu95963 жыл бұрын
Mr Everything
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Story nzuri sana
@margaretachieng98873 жыл бұрын
Mungu hasifiwe amen 🙏
@happykajeli54533 жыл бұрын
Leo upo na baba yangu wa kiroho nabii Richard msalimie sana tupo pamoja ktk kristu kupitia KZbin
@loveiscure23443 жыл бұрын
Naomba you tube chanel yake jamani
@paulrichard55663 жыл бұрын
@@loveiscure2344 PROPHET DAVID RICHARD
@ramadhangona90853 жыл бұрын
Wacha tusikize story za Mbiguni sasa maana za kuzimu sio haba
@Markswebah3 жыл бұрын
Bangi za arusha kweli noma
@juliusmushi64283 жыл бұрын
Huyu mwamba sijamsikiliza but Kama ni kweli anabahati sanaaa coz anaishi wakati ashawahi kufa
@chaseborgia3 жыл бұрын
Hajafa anaenda huko spiritually kwani kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili. Amepata neema hiyo ya kuweza kukutana na viumbe wengi wa kiroho. Mfuatilie zaidi kwenye Channel yake
@FFL-X1D3 жыл бұрын
Pili jaman njooo shem uwanjan💃💃❤❤🇪🇭🇪🇭
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Kalala saiv
@FFL-X1D3 жыл бұрын
@@fatmamucha4419Nakwambia 🤣🤣❤❤
@FFL-X1D3 жыл бұрын
@@fatmamucha4419mtt kawa mvivu 🤣🤣❤❤❤
@maserafirecord81783 жыл бұрын
Uyo Jmaa Na muelewaga sana
@twalbigipson95563 жыл бұрын
Hiyo ni kweli kabisa mapigo ya moyo kwenda kas
@kijahnikwelinyalinga17403 жыл бұрын
Mbinguni binguni,😂😂😂au alipanda ile costa ya wouz
@thureiyahrawah59923 жыл бұрын
Hahhahahaaa
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mwajumamwishehe27433 жыл бұрын
😀😀😀😀
@fatmamucha44193 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@shantellemwanakombo37033 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@chazgunda58233 жыл бұрын
Pitapita ndani kwake umo ucheki je hakuna chumba kisichofunguliwa Tuanzie apo kwanza......
@straightkonect16133 жыл бұрын
🤣
@fatmamucha44193 жыл бұрын
😅😅😅😘😘😘
@pilimusa77703 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mbavu zangu. Chance hiyo kubwa.
@pilimusa77703 жыл бұрын
We umenichekesha mie. Sina mbavu huku🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abelmushi16303 жыл бұрын
N ngumu kuamini, unajua inawezekana kutengeneza story
@davidchesco11503 жыл бұрын
Brother davista mi cjawah kukoment ila leo mara yakwanza nakoment leo umekutana na mtu wa Mungu my prophet David richard. God bless you bro!!
@Teacher_013 жыл бұрын
*Nabii sharobaro nakubalii sanaaa.. 😂😂* *namim nasubiria kuitwaa jaman naskia pilli blessed na somoe wameshaitwaa jaman..😓😓*
@fatmamucha44193 жыл бұрын
Leo mmechelewa
@Teacher_013 жыл бұрын
@@fatmamucha4419 mbinguni utaenda Lin shogaa wangu.. 😂😂😂
@aishaally88113 жыл бұрын
Waitwa wapi jamani
@fatmamucha44193 жыл бұрын
@@Teacher_01 duh hili suala ngum kwangu
@askaounga64563 жыл бұрын
What's the name of mtumishi?
@jamesolando24793 жыл бұрын
Dah Davister hatimae umekutana na prophet. Mungu ni mwema. Mwambie aelezee na suala la kanumba na baada ya kanumba kufa lucifer kamzawadia mwanae mwingine nyota ya kanumba 'almasi'
@pilimusa77703 жыл бұрын
Mambo makubwa sana haya du
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@myself4128 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@myself4128 wewe wasema
@abushaddad9893 жыл бұрын
Haya maisha haya ! Yan mashetani wanachezea Sana watu akili unaijua pepo wew ? Au Jahannamu wew? Tafuteni ugali kwa njia nyingine sio njia hio .
@pilimusa77703 жыл бұрын
Shatani nuksi.
@charlesb.mwaipeta84153 жыл бұрын
Davista unamaswali mazuri, lakini mic yako inakuangusha
@ireneassey7533 жыл бұрын
Mi sijaskiz lakin na koment kwa nilivo soma kichw cha habar uko mbinguni vip alipanda daladal au alikufa akafufuka 😁😁😁😁😁😁😁😁
@mkkitchenware49303 жыл бұрын
Davs hapa huu ni uwongo mkubwa Hakuna mtu tofaut Na mitume na manabii walio pita laki hii Hakuna kabisa ni uwongo wa wazi watu wema hawakufik iwe huyo
@jossyayielo75763 жыл бұрын
Story ya take nzuri nimewai kuskiza kwenye channel nyingine🇰🇪🇰🇪
@deelissa27463 жыл бұрын
Wengine umetoa zako mimba uko anakusemea kanisan Alf upate Kuna wazazi hapo hapo😂Ila Hawa manabii 🙌
@furahahappiness1103 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 that's why mimi sipendake makanisa ya Mungu anasema 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@deelissa27463 жыл бұрын
@@furahahappiness110 😂😂😂😂😂🙌
@khadijajuma71423 жыл бұрын
Duuuhh kuonana na Mungu tena!!!!mmmhhh hivi vichwa vya habari vinashtua sasa Dav, sisi tutafuatilia tu lakin kwenye Mungu hapo ukakasi 😅😅😅
@khadijaomari93443 жыл бұрын
😀😀😀😀
@fatmamucha44193 жыл бұрын
😅😅😅😅😅
@kelvinndokole83673 жыл бұрын
Hio mbona kawaida mzee
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Yeye ndio amesema alionana na mungu na ameeleza mbele ya stori,Kazi yangu ni kuleta mikasa ambayo wewe unatakiwa usikilize kisha suala la kumuamini au kutokumuamini mtu yeyote anaetoa mkasa suala hili linabaki juu ya mtu mwenyewe na ndio nafanya kila siku
@khadijajuma71423 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Sawa Dav tuko pamoja let's go....
@rahaisacl99543 жыл бұрын
Jamaa wa kishua sn
@estatekisombola92513 жыл бұрын
Ahache uhuni davistarmata huyu jama muongo tuna mjuwa waumini wake huwa wanamuita daddy lol 😂😂 muongo sana
@seasonepisode33283 жыл бұрын
Tapeli kbs uyu dogo namfatilia tangia mwaka Jana aiseee dogo anazingua..wafuasi wake wanamuita daddy..sasa najiuliza kwa mfano wale watu wazima walio mzidi umri jee nao watamuita daddy? Kikanisa chake kinajaza saiz anatumia mafuta. Na miujiza yke fake
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Kazi yangu ni kuleta mikasa ambayo mimi na wewe hatukuwepo wakati mtu anapitia hiyo mikasa yani hatakuwepo,wewe unatakiwa usikilize mikasa hii kisha suala la kumuamini au kutokumuamini mtu yeyote anaetoa mkasa suala hili linabaki juu ya mtu mwenyewe na ndio huwa nafanya kila siku,maana hata mtu anaeeleza mkasa wake kisha wewe ukamuamini ingawa wewe haukuwepo wakati anapitia hayo mambo.Ni kama ambavyo kuna mtu ataeleza mkasa ukamuamini na mwingine akaeleza mkasa wake ukashindwa kumuanini yote ni sawa ila kwenye kila mkasa wa mtu ninaemleta kuna kitu cha kujifunza ndani yake na hii hamaanishi umfuate kila mtu kisa ametupa mkasa wake maana wote sisi waislam,wakristo na wasio na dini tumesoma Quran na Bible vizuri hivyo tunaufahamu wa mambo ya dini zetu lakini pia tuna akili na uelewa mkubwa
@davidchesco11503 жыл бұрын
😂😂😂😂😂 kumbe hata hamjui maana yakumuita mtu dady kiroho poleni
@pilimusa77703 жыл бұрын
Duh. Daddy tena
@pilimusa77703 жыл бұрын
@@davidchesco1150 tuambie maana yake wenzio tujifunze
@joshuatalu95963 жыл бұрын
Volume boss
@benahgrafix3 жыл бұрын
Brother tuletee pt2
@jesusislord91903 жыл бұрын
Muulize mbona anashika sana pua?? Au anapelekea puan??
@saidhamad5333 жыл бұрын
Umulize pia mchungaji elimu ya majini na wametoka wapi na nini lengo lao duniani.maana swali hili.watu wamezoa kuona kuwa viongozi wa kiislm ndio wakujibu.
@officialmichaeltz46763 жыл бұрын
😍😍😍😍😍
@donathamariceli96823 жыл бұрын
Najifunza
@mamyomar92063 жыл бұрын
1
@mkukistore28163 жыл бұрын
Oya devi mtu gan huyu umetuletea kwa akili zakawaida mtu anasema amewah kwenda mbinguni.hawa manabii wanafanya mchezo na mungu hawa
@nickjustin20233 жыл бұрын
Aaaah...sasa hku tena mmefika mbali🚫🚫
@Teacher_013 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@DavistarMataMediaDM3 жыл бұрын
Kazi yangu ni kuleta mikasa ambayo wewe unatakiwa usikilize kisha suala la kumuamini au kutokumuamini mtu yeyote anaetoa mkasa suala hili linabaki juu ya mtu mwenyewe na ndio nafanya kila siku
@nickjustin20233 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM sawa kiongoz kwa hii nimechagua kutoamini...no offense bro!
@pilimusa77703 жыл бұрын
Yani hii ni kali kwelikweli. Afadhali hata BM maziwa hakusema kama kamuona mungu. Huyu sasa kazidi. Haya atuambie huyo Mungu yukoje.
@pili37503 жыл бұрын
@@pilimusa7770 itakua mungu bonge wa lwanda magere 😂😂😂😂
@thumnathumna59463 жыл бұрын
Nimestaabu ila mikaona bora nipitoe coment za wadau kwanzs.
@officialsalmazayn97203 жыл бұрын
Hii story ya kutunga naomba irudiwe mana sikuwepo kipindi anakwenda mbinguni irudiwe
@somoeawadh77743 жыл бұрын
Wacha nimalizie usingizi wangu Kisha Nije kuangalia baadae 😄😄😄
mmh....mungu alivyo muona cjui ni mzungu au yupo vp nafurai na uyu jamaa Kwel walio potea watazid kupotea tuuu haivutii ata kuckiliza....angalau shila ye bilionea ana sema kweli ila cku inakuja tuu
@kijahnikwelinyalinga17403 жыл бұрын
Story ya yule mdada mban hamja toa
@khadijakheir93233 жыл бұрын
Nilikumiss nilienda kenya Dec saii nipo free WiFi itanikoma
@ibraah76793 жыл бұрын
Mbinguni peponi😬😬
@jamesolando24793 жыл бұрын
Kama ni neema, basi huyu prophet kajaaliwa neema ya kipekee, maana sehemu alizofika ni kwa neema tuu. Hivi na mtume mudi katika safari yake ya miraji alikutana na allah kweli?
@pilimusa77703 жыл бұрын
Mtume mudy ndiyo nani?
@jamesolando24793 жыл бұрын
@@pilimusa7770 Ni aliyeoa katoto ka miaka sita, kipenzi cha waislamu
@lizzybeth63443 жыл бұрын
Mimi kusema ukwel nimestuka na kichwa cha habari, jamaa alienda mbinguni poponi jaman kwel?
@olphamoraa66833 жыл бұрын
Pamoja hadi mwisho 🇰🇪
@venessaroselyne5663 жыл бұрын
Mtu wetu makini salute
@aishaally88113 жыл бұрын
Tunawopendwa na mama zetu tukunje hapa na wasio pendwa na mama zao wapite kuxhoto