Huu wimbo umeimbwa na Eunice njeri from Kenya na huna upako Fulani,,SASA cassian nae ameifanya to be sooo spiritual moving,,,Glory be to God,,,Mungu Ni Roho na waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika Roho na kweli hallelujah,,,,
@carolinederi56909 күн бұрын
Si kma ile wimbo ya nakutegemea peke yako mweny aliimba hyo wimbo ata ausikii chochote lakin yule mkenya wa heaven and earth chanel alipoimba wow wimbo imejaa upako sana Kama hii ya mtumishi Pascal iko na upako kuliko ile ya mweny alitunga kwanza
@gabrielkea23824 күн бұрын
Hakuna kmayesu .
@gabrielkea23824 күн бұрын
Munguawabariki
@FelistaPilla7 күн бұрын
Nyimbo zako zinaupako unaonifanya kuzama rohoni nakumtafakari sana Nilipotoka mpaka nilipo hakuna kama MUNGU hakika nakwabudu MUNGU wangu
@SamsonMwita-m8g6 күн бұрын
Wimbo mzuri,mabinti wako mavazi Yao hayana utukufu wa Mungu.
@janemwita205610 күн бұрын
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa wimbo mzuri. Pia hongera kwa watoto wazuri, wamekuwa sana.Hakika hakuna km Mungu.
@TABBYHEAVEN-kg1qo10 күн бұрын
Yesu hakuna kama Wewe🎉🎉Congratulations mtumishi, nimebarikiwa sana,Wakenya huu wimbo ufike 1M+💖💖💖
@MGALILAYABillionaire10 күн бұрын
No one like Jesus, He is faithful to his servant and always with them. A blessed father and beautiful 😍 daughters. A nice song 🎵 i like it... keep going higher.
@TabbytheeJournalist10 күн бұрын
Amina Nimelia mtumishi, yaani wimbo umenitoa machozi hakika hakuna kama wewe Yesu. Wimbo una roho mtakatifu kabisa. Kenya tunakupenda💖💖
@ClaireMakotswi6 күн бұрын
Ooh hallelujah glory be to God more blessings the man of God 🙏🙏🙏
@irinenjombo336810 күн бұрын
Ameen hakika hakuna kama wewe Mungu wetu, barikiwa sana Mtumishi kwa wimbo mzuri nimebarikiwa 🙏🙏
@JeremiaMwasomola9 күн бұрын
Nakukubari sana mtumish mungu alikuponya akiwa na maana sana asante kwa uwimbaj wako
@olivermwakyonya56839 күн бұрын
Wimbo mzuri ila Watoto nguo zinabana na fupi
@BarakaSindamwaka4 күн бұрын
Upo vizur mtumish
@isaackmailuofficial10 күн бұрын
Much love for Kenya really God sent minister in the ministry,keep going
@DorcusJustine4 күн бұрын
Uko vizur mtumishi
@BarakaPeter-r4x9 күн бұрын
Family nzr mwenyez mungu awape maisha nawapenda san
@FelistaPilla7 күн бұрын
Amina mtumishi unanibariki sana na nyimbo zako zenye upako
@LameckJames-t1s3 күн бұрын
anaekosoa mavazi apo sema hajaelewa tyuuu wimbo
@marthawilliam-hj9il10 күн бұрын
Ubarkiwe mtumishi na binti yako nampenda kwakweli umemlea vzuri ana mpenda yesu
@aviosilona31610 күн бұрын
I feel presence of God 🎉🎉Eunice Njeri here we go Pastor from Kenya 🇰🇪 🙌 👏 🙏🏼 kazi nzuri ❤
@BeritinaAfonsoantonio8 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi WA mungu umenibariki sana yumbo huu umeninuwa.
@stellatemu245810 күн бұрын
Mungu akuinue zaid Mtumishi Tunakupenda
@merabKitundu10 күн бұрын
Barikiwa mtumishi pamoja na wanao
@NapegwaBenjamin9 күн бұрын
Ameeen Tunaobarikiwa na wimbo huu mikono jui🙏🙏🙏🙏
@GATUNGAIsaie10 күн бұрын
Msiseme mengi kabisa ,mbona wengi wanapenda kuludisha nyimbo za watu kabisa ,ameonyesha furaha na watoto wake kabisa .Najua kipaji cha kutunza kipo kwako ,sio kosa ni furaha na watoto❤❤❤.
@CosterChiyumbe-o4y4 күн бұрын
Hakika Nani kama yeye Mungu wetu anaweza yote 🙏
@RehemaMassangya9 күн бұрын
Asante mtumishi barikiwa hakika hakuna kama Mungu nyimbo zako huwa zinanibariki sana
@SARIFUSTEVEN6 күн бұрын
Barikiwa Sana mtumishi
@lusajolamsonmgala618410 күн бұрын
Hizi ndo nyimbo za Kiroho Be blessed mtumishi You did greatly job 👍
@bitecastory21378 күн бұрын
Hongera Mtumishi kwa nyimbo zur
@Reginamueninzuki8 күн бұрын
Mbarikiwe mungu ni mwema kila wakati
@ShukuTete-wb1fp9 күн бұрын
Mngu akitunukie vingi zaidi ya hao❤❤❤❤❤❤❤❤
@Terryann259 күн бұрын
Nice song indeed No one like God 🙏🙏.
@RachelPeter-m3z9 күн бұрын
Wimbo umenibaliki sanaa mtumishi barikiwa sana
@MuhadiaSheila10 күн бұрын
AMEN TO YOUR MESSEGES GOD BLESS YOU ON YOUR LIVE🙏🙏🙏🙏
@CynthiaNafula-i5g9 күн бұрын
Ukweli hakuna kama wewe mungu wangu , mungu akuinue mtumishi wa mungu
@isaacmboi869210 күн бұрын
Barikiwa sana mtumishi.we love you... KENYA 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@HappinessShayo-k3o10 күн бұрын
Amina ubarikiwe mtumishi wangu wimbo mzuri sanaaa ❤❤❤❤
@BoazRambo10 күн бұрын
Hakika hakuna kama MUNGU MKUU aliye hai. Mungu akubariki kaka yangu Cassian.
@annangowi551710 күн бұрын
Hongera sana Mtumishi kipawa chako cha uimbaji kiko juu ni mahuburi tosha
@monicaelias38019 күн бұрын
HALELUYA,MUNGU AKUBARIKI SANA MTUMISHI WA BABA ALIYE JUU MUNGU AIBARIKI KAZI YA MIKONO YAKO HONGERA SANA UMEKUZIWA NA BWANA NA UHOMGERE SANA KWA MAREZI BORA YAKIRO BWANA AZD KUKUTUNZA NA FAMILIA YAKO DAIMA NAWAPENDA WOTE.Bwana aendelee kuwatumia jinsi apendavyo AMEN.Wamependezaje basi ka mapacha vile
@ShukuTete-wb1fp9 күн бұрын
Makomandoo wa yesuuuuuu❤❤❤❤❤❤❤
@albertwilsonalbert0110 күн бұрын
Mungu ni wa Ajabu sana. Kuna muda nikianza Kutafakari sipati Jibu
@AysaAysa-qs7be10 күн бұрын
Na utapata jibu endelea kutafakari
@atuganilembonge9 күн бұрын
Umenibari Sanaaaa
@SalomeDanford-c9p2 күн бұрын
Ninabarikiwa mno na nyimbo
@japhetdaudmaneno844010 күн бұрын
Bwana ni mwema sana,injili na iende mbele
@Mariejo123-g2x10 күн бұрын
Nani kama wewe Mungu nakupenda 💚
@EMILYOBAGA8 күн бұрын
Amen amen amen nimebarikiwa
@mercyKasyoka-k3r10 күн бұрын
Congrats to the Lord 🎉🎉🎉 akuna kama wewe mungu
@hellenmnyazi2209 күн бұрын
Mungu aturehem sana na atupe neema
@VincentMboka-gq8ye10 күн бұрын
Akuna mwengine kama yeye YESU CHRISTO, Amina
@GeorgeNyambuya-t7x7 күн бұрын
Hakika nimejikuta namtafakari MNGU kwa hisiya ya viwango maana nyimbo inakuweka kwenye ulimwengu wa Kiroho halaka... Mngu akubariki sana kaka 🙏🙏
@okothgordon11987 күн бұрын
I feel the spirit of God on this song, and that is what it is ❤❤❤ ata kama ilishaa imbbwa na mwingine ooooh lord receive the glory ❤❤❤❤❤❤ lov you too man of God from Kenya.
@jonathannjomo5 күн бұрын
May God bless you
@pastormichaeldioniz246110 күн бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi 👍👍👍
@leahleha70006 күн бұрын
God continue to bles ths family 🙏 🙏
@OmarKaniaКүн бұрын
amen amen merci seigneur Jésus Christ amen
@ceciliahkalimi419410 күн бұрын
More grace
@FurahaExpress10 күн бұрын
Amina Mungu akubariki
@furahag309810 күн бұрын
Amen mtumishi 🙏🙏
@EmmanuelPagy10 күн бұрын
Amen 🙏 ubarikiwe sana Cassian
@TshambyDidier10 күн бұрын
Allelujah que Dieu te bénisse ♥️♥️🎉🎉
@Jeremiatitomawala10 күн бұрын
Hakuna kama wewe Mungu, amen❤
@DancanEsena8 күн бұрын
Hakuna kama wewe Mungu wetu mwenye upendo
@RizikiTunza10 күн бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi
@GodfreyMakala10 күн бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
@MarcoErnesto-ut7ki9 күн бұрын
nakukubali sana kamanda wa jehova
@Jonathankaghese10 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@EstherWivine-r1f7 күн бұрын
Amen 🎉🎉🎉
@FatumamlongoKarisa8 күн бұрын
Wow glory be to God
@Pendopasilika9 күн бұрын
Inaleta furaha ikiwa family wote kwa pamoja mnamtukuza BWANA ubarikiwe sana mteule
@eddagreyson-pc7cv9 күн бұрын
No one like you JESUS
@sweetlisious10 күн бұрын
Angevaa Martha mwaipaja hivyo vigauni vya kubana anggechambwa mpaka ajute Ila hutu tumbinti umetuvalisha nguo za kubana hakuna anayekushambulia speaker wa udaku
@annangowi551710 күн бұрын
Yaani hiyo ndio huduma Mungu amekuitia wewe na uzao wako