Prof. Kabudi Awapa Somo la Katiba juu ya Jina la Tume Huru ya Uchaguzi

  Рет қаралды 6,714

WAKILI TV

WAKILI TV

Күн бұрын

#ijuesheria #democracy #election
Amesema hayo Prof. Palamagamba Kabudi kwenye Mkutano wa Kitaifa kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu ya sheria za Uchaguzi zilizopitishwa kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wa Mwaka 2024 na uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025 ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania tarehe 9 Mei 2024.

Пікірлер: 37
@johnmwasilu7087
@johnmwasilu7087 4 ай бұрын
Professor mzima anadanganya watu na akili zao! Sheria haiwezi kukinzana na katiba. Inatakiwa katiba ndiyo itamke Tume huru ya Uchaguzi
@AdelithaMkulu
@AdelithaMkulu 4 ай бұрын
Sawa
@BozaDizamile-u1d
@BozaDizamile-u1d 5 ай бұрын
Kabudi Msomi Ulieokotwa Jalalani Ulisema Mwenyewe Wee Msomi Kabudi Wambie Ccm Watangannyika Wanataka Katiba Mpya Ccm Wamebadilisha Jina Tu
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Mwanasheria nguri huko sawa lakini shida yako uwa unaongea historia maamuzi mengi yana influence ya watawala
@gilbertfuria5817
@gilbertfuria5817 4 ай бұрын
Shida ndo hiyo
@OliveryHagite
@OliveryHagite 4 ай бұрын
Mzee kabudi unasemaje kuhusu hitaji la katiba ya Tanganyika ili kupata serikali ya Tanganyika ?
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 5 ай бұрын
Porojo huyu mzee ni mfia njaaa
@robertphilip385
@robertphilip385 4 ай бұрын
Tena tapeli la kufa mtu
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 4 ай бұрын
Harmonization siyo kwenye sheria na katiba ni vifungu vya katiba na katiba
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 ай бұрын
Mahalama za Tanganyika hazitendi HAKI hazifuati SHERIA.
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Kutakuwa na tume na kutakuwa na tume huru is two different things bro
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 4 ай бұрын
Zinapokea maagizo kutoka juu.
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Hapo umekosea linavunja na inaleta contradiction mzee katiba inadema tume ya uchaguzi halafu sheria inasemavtume huru is two different things
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 5 ай бұрын
👍👊✌️.
@JamesAbel-ig8wb
@JamesAbel-ig8wb 4 ай бұрын
Eleza habari uhitaji wa Tanganyika yetu
@jangalaalexbubehi7658
@jangalaalexbubehi7658 4 ай бұрын
Cjui hata anaongea kuhusu nini 🤣🤣
@KassimLukanza-wp6xn
@KassimLukanza-wp6xn 4 ай бұрын
Kwasabab hujui sheria
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 4 ай бұрын
Hakuna kitu hapo mkuu.
@robertphilip385
@robertphilip385 4 ай бұрын
Huyu tapeli mnamsikiliza ya nini? Jamani huyu jamaa mwongo sana anajali tumbo lake tu
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Sasa nyinyi hamna mambo ya kueshimisha ccm mumevunja mira zetu hata hizo za ovyo
@ogweyoranga8110
@ogweyoranga8110 5 ай бұрын
Mbona hutoi mfano wa KATIBA YA UINGEREZA ambayo Waingereza wanaifuata badala yake unatoa mfano wa kuzikana
@ladislausriwa7768
@ladislausriwa7768 4 ай бұрын
Katiba ya Uingereza ulishaiona Wewe? Ina kurasa ngapi bro? Unajua maana ya written ( iliyoandikwa) na unwritten ( isiyoandikwa). Kwa taarifa yako hakuna mahali katiba ya Uingereza imeandikwa
@piusrweyemamu3900
@piusrweyemamu3900 5 ай бұрын
Huyu mzee kawaje????
@fredrickmwakalinga6390
@fredrickmwakalinga6390 4 ай бұрын
Mahakama gani ya nini Rostam alishasema acha kudangaya na kupoteza muda tu misemo mingi haina maana ni ujinga mitupu na ujinga
@richardrugemalira6934
@richardrugemalira6934 4 ай бұрын
Commentary must come from an impartial court of law. There are concerns about the liberty of our courts because all judiciary officials are censored and unilaterally appointed by President including the Chief Justice.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 5 ай бұрын
Katiba ya Tanzania ni nzuri sana kiasi kwamba HATUNA namna kupata Katiba bora tatizo lililopo ni kukisekana UADILIFU na UAMINIFU, na yakikosekana hayo hata Katiba Mpya tunayosema tunaitaka haitasaidia. Nakubaliana na Rais itolewe elimu kwanza kuna tatizo kubwa la USHABIKI na ukosefu mkubwa wa UELEWA.
@estonsaimon6671
@estonsaimon6671 5 ай бұрын
Uadilifu na uaminifu unaletwa na ushabiki wa vyama hasa tawala coz hawaangalii ina-effect vp wananchi ktk Kila kitu wanachoamua
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 4 ай бұрын
Watanganyika hakuna kusikiliza yoyote yule hadi mupate serikali yenu iwatetee Watanganyika
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 4 ай бұрын
Mzee acha kututajia misamiati migum lisaidieni hili taifa hili kwenye mambo ya msingi
@stevenghambi3471
@stevenghambi3471 4 ай бұрын
Mshenzitu
@justicebridge
@justicebridge 5 ай бұрын
Kabudi hukisema george na mwingine goji je ni watu sawa
@EmanueliWildausoni
@EmanueliWildausoni 4 ай бұрын
Shida ya hii nchi wasomi wote wamewekwa kwenye chungu kinachoitwa ccm kwa hiyo taalum zao hazilisaidii taifa taaluma zao niza kuitetea ccm kwann rasim ya jaji warioba mliificha mliona ni kaa la moto mevaa sut kama watuuuu mnalidanganya taifa sababu ya kuitetea ccm kwa ajil yakutaka vyeo
@kyaro5945
@kyaro5945 4 ай бұрын
Tanzania hakuna mungu. kunao mashetani wanasiasa
@happyjeremiahmhuli4043
@happyjeremiahmhuli4043 4 ай бұрын
Baba kabudi mbona hizo mahakama haziwabani mafisadi, tunawao na wanavinjari tu .Raslimali zinatoweshwa.
@OliveryHagite
@OliveryHagite 4 ай бұрын
Mzee Kabudi nafikiri wewe ni Mtanganyika , nafikiri unashuhudia jinsi raslimali ya Tanganyika inavyoibiwa , suluhisho ni Kupata katiba ya Tanganyika na hatimaye serikali yake kama ilivyo Zanzibar, ndiyo tuje kwenye katiba ya Muungano.
@kyaro5945
@kyaro5945 4 ай бұрын
Ccm ypu are blunterntly wrong
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН
РОДИТЕЛИ НА ШКОЛЬНОМ ПРАЗДНИКЕ
01:00
SIDELNIKOVVV
Рет қаралды 3,5 МЛН
KABUDI AKIRI KUMDANGANYA RAIS " NAONA AIBU, Nilikata Tamaa"
4:24
Global TV Online
Рет қаралды 24 М.
Prof Kabudi awarudisha wabunge shuleni kwa muda
25:42
Mwananchi Digital
Рет қаралды 302 М.
DAKIKA 20 ZA PROF KABUDI, WABUNGE WAKIKOSOA KAMPENI YA MAKONDA
21:40
Mwananchi Digital
Рет қаралды 186 М.
Simulizi Nzito ya BONI YAI Kupata Dhamana, Wakili Afunguka
12:06
DP Gachagua gutheria ciigii utonga wake mbere ya giikaro gia gwitetera na ambunge
27:48
How do Cats Eat Watermelon? 🍉
00:21
One More
Рет қаралды 12 МЛН