Swadakta ya sheik tumekuelewa vyema ....Sasa pale bongo kile kidogo Cha jiita sharifu ...tafadhali kielimishwe vizuri mambo dili ...ila naona jibu kashapata apo Kwa sheik izudin Masha Allah 👌
@kijitamfyomi559853 минут бұрын
Acheni chuki mungu anakuoneni sharifu firdausi hajasema yeye ana nasaba ya mtume yeye kaitwa sharifu kutokana na makarama alokua nayo ya kuponya watu
@Al.habeebAl.habaaib28 минут бұрын
@@kijitamfyomi5598 Anakarama gani Yule Mganda? Kwanza anajua maana ya Karama????? Mtakufa na njaa zenu
@AminaKassim-ni9wd43 минут бұрын
Ma'shaallah umeongea kiufupi ila umeeleweka sana waache na usharifu wao feki wanachofanya ni makosa ila wanabisha ss binadamu wote tunakosea na tunapo kosea tukubali kosa tu
Tunashukuru sana shekh wewe ndiyo mkweli has na tumekuelewa sana watu wanatuletea utapeli hapa waislam hatutaki utapeli
@Rehema-b6dСағат бұрын
Mungu Akulinde
@muhammedwakif6216Сағат бұрын
Straight forwards ❤❤
@jimjam-xg7rvСағат бұрын
Swadakta sheikh 💚
@NaimaUssiСағат бұрын
Allah akubarik
@jamaldaud-e4d2 сағат бұрын
Swadakta nachukizwa sana na kile kitoto kisichokuwa na elimu kuanza kuwaibia mama zetu na dada zetu wa kiislamu
@aljalilatiba9873Сағат бұрын
Naam mashallah umenena
@yeyemkulu8743Сағат бұрын
Upo sahihi sheikh
@Rehema-b6dСағат бұрын
Nakupenda sanaa sheikh
@MwajumaLajab2 сағат бұрын
Upo sahihi
@TunauzaSimu-fn2ff2 сағат бұрын
Hakika mweye dini na elmu hajibizani mitandaoni maneno mabaya mabaya na kuwa mkali km unalazimisha.
@Naju645Сағат бұрын
Point
@MahmoodAhmed-yt9me32 минут бұрын
Afrahamohamed soma history uhamadiya umeanza lini na wapi nani kauanzisha na kwa nini there's so sad story about the presence of ahmadiya tujishughulishe kusoma kidogo
@MwanaishaShattryСағат бұрын
Umesema kweli
@RaibebeBebeСағат бұрын
Sharif hajitangazii mitandaoni tena Kwa ugomvi watu wakisema si Sharif wewe ukanyamaza unakosa nini Kwa allah
@rahmahasan32Сағат бұрын
Kweli wallahi ukinyamaza haswaa dawa kubwa
@سعدياقوت-ت2خ41 минут бұрын
Man sharafa nafsahu fahua sharif
@z34-kp9qq19 минут бұрын
Hakika leo umeongea.... Waulize kwanza maana ya sharifu.
@ndayambajefikirini7252Сағат бұрын
Unakili sana sheikh
@Mariam-ke4ogСағат бұрын
Hakuna Sharifu hapa bwana mdogo ni Sharfu feki
@maase2023Сағат бұрын
Huyu dogo usharifu aupate wapi huyo? Huo anatafuta tonge tu mitaani
@MakameSilima-y4f5 минут бұрын
Apo sheikh umeongea kweli
@ninjaisma7983Сағат бұрын
Nilimskia Mazinge juzi akisema Hamuoni Mapastor wanavyouzia watu maji ya upako na mafuta mpaka waislamu wenzetu wanaenda kusomewa na mapasta na kutoa pesa nyingi..😅😅😅nilimcheka sana yani mazinge anaona wivu mapasta wanavyopiga pesa sasa akaona bora waje na wazo la kuyasomea maji na kuyauza ili mapasta wakose dili kwa wa mama wakiislamu
@saloomidd10842 минут бұрын
Alipata kisingizio😅😅😅😅😅
@maase2023Сағат бұрын
Sasa sielewi hawa maustaaz wetu wanahangaikaaa na huyo dogo ambae ni mtafutaji tu hana usharifu wala uislamu!
@muzafarsharif9465Сағат бұрын
Masharifu gani sote ni mijikenda sema twapenda kujienua tu ,eti family ya mtume😂😂😂😂
@DafettyСағат бұрын
😂😂😂 adi tu nimecheka 😊
@z34-kp9qq17 минут бұрын
Hhhhhhhhhhhh MIJIKENDA !!!!
@MuniraRashid-sx3upСағат бұрын
Je wewe sharifu wa lamu???
@afrahamohamedi63012 сағат бұрын
Uislamu ni wahmadiyya tu . Huwezi kuwasikia mitandaoni wanarushiana maneno , Huwezi kuona upuuzi wa aina hii unafanyika . uislamu wa kweli ni wahmadiyya tu