Muhammad ulimi wako una ufasaha sana na unaweleweka vizur. Allah akulinde na shar za ulimwengu
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Wallah,sheikh ana ufasaha wa kuzungumza
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
Hii ni Barka
@abalkib28662 ай бұрын
Maasha-Allah.
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Shekh Muhammad bachu tunakupata mubaashara kutoka chake-chake pemba zanzibar maeneo ya vitongoji darajani mkabala na shule ya vipawa ya fidelcastro.Shekh Muhammad usichoke nandomana hadileyo Allah amekupa uhai kwaajili ya dini yake kwaiyo ww usichoke kwa wapuuzi kama hawo akina golo endeleya kuelimisha umma Naujira wako utaukuta siku ya kiu nanjaaa biidhini llah
@mohagurey22142 ай бұрын
Hio shule baado yaitwa Fidel Castro ni makosa
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
@@mohagurey2214 Ndy jina halijabadilika bado
@mohagurey22142 ай бұрын
@@mfalmenajjash2128 inastahili kubadilishwa
@hilalalhabsi20472 ай бұрын
Nilifkiri weye ni mwalimu mkuu wa hio skuli, kumbe ni mtoto wa kitaani, ok
@Athumaniomari-ge2gs2 ай бұрын
Maaashaaallah sheikh mhammadi bachu usichoke kuzindua watu waijue vzr din
@MohammedOmar-wt3vg2 ай бұрын
Ndugu Mohammad na Abu almaan lushoto mumefanya kazi nzuri ya kujibu talbis za huyu SHIA. Baaraka ALLAH.
@bakariomari87582 ай бұрын
Sheikh bachu umeeleza vizuri hadi tumeelewa. Nakuombea kwa Allah akulipe kwa pepo ya, firdaus na akupe umri mrefu na afya, tele uhudumie dini hii ya haqqi
@user-rq3yj8vi8b2 ай бұрын
Shekh wetu allah akuhifadhi umeelezea vizuri sana kabisa
@babatidaawa65502 ай бұрын
Fact fact fact Sheikh bachu Allah akuhifadhi utuendelee kutuelimisha na kutuzindua maana hii kazi masheikh wengine wameshindwa kuitetea Sunna wanaogopa wataitwa kuwa wanawagawa watu
@abdallahmungwana86672 ай бұрын
MaashaaAllah sheikh langu Muhammad Bachu umefafanua viziri
@user-zf3fz5lf4m2 ай бұрын
Mungu akuzidishie elimu sheikh Muhammad
@Biziman-pu4kf2 ай бұрын
Wallahi nakupenda kwajili ya Allah Naapa kwajina la Allah kwahakika wanafunzi wako wananeema kubwa kukupata
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Allaah akuhifadhi na akulinde na shari za wazushi na waovu wote
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
Amiin
@masoud7442 ай бұрын
Mashallah.. tunakupata, tunakuelewa, tunakufahamu na unatufundisha
@user-yu9gy6dg3g2 ай бұрын
Allah akuhifadhi yaani nimekuwelewa tena hadi raha vizuri sana, marhum nassor bachu ametuachia hazina kubwa na biidhnillah huko aliko (akhira) zitamfikia malipo makubwa.
@user-et9vf2ro2k2 ай бұрын
Aaamin
@mbjunior1662 ай бұрын
Allah akulipe kila la kheir sheikh Muhammad Bachu!
@MasoudMasoud-ci7vc2 ай бұрын
Nyiye munaocoment wengine sikilizeni darsa vizuri usianze kumshambulia bhachu ,muhammad haropoki anachokisema anakitoa kwenye vitabu,na M/mungu amlinde atufunue macho na myoyo yetu.
@osmandunga74312 ай бұрын
Siku zote nakuelewa sana Sheikh wetu Muhammad, huyo SHIA hana jipya hiyo hoja hata mtoto wa chekechea anaelewa!
@amazing_ERA2 ай бұрын
jazak Allahu kheir sheikh Muhammad Bachu. na akuhifadhi Tunakupenda kwa ajli ya Allah
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
al akhy bachu unafanya vizuri sanaaaa jitahid usifanye kwa RIAA
@Khatib-xp6fp2 ай бұрын
Mwalimu Una to motivate vijana kutafuta elimu zaidi Tunashukura sanaaa Mashaallah
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
Naam Naam
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
Najifunza mengi sana kupitia hii channel yako sheikh Muhammadi bacho Allah akuhifadhi
@hamadali32312 ай бұрын
Alla amjaalie mtoto wangu awe na elimu kama sh Ibnu Tayymi pia awe mlinganiaji ka yy ibn T . Jina la mtoto wangu ni ( ASWIM )
@user-et9vf2ro2k2 ай бұрын
"innamaaa yataqaballu llaha Alalmuttaqiin"
@ibrahimjumaa5382 ай бұрын
*SHEIKH MUHAMMAD SIJUI NICOMMENT NINI, ALLAH AMEKUPA FADHILA KUBWA SANA KATIKA ELMU YAKO HII*
@Hamis-ks1sy2 ай бұрын
Allah akuhifadh sheikh Muhammad
@Abuassma3602 ай бұрын
Sheikh m bachu Allh akujazi kheri
@ShabanHassan-td3lx2 ай бұрын
Maasha Allah, akhiy Muhammad,twakupend sn kw ajil y Allah, na tumekumiss sn unguja.
@khamisisima7112 ай бұрын
Baraka Allah fiika Allah akuhifadhi shaikh Muhammad Bacho
@mustafajuma86282 ай бұрын
mashAllah UST bachuu,usichoke kutupa elmu
@user-fm1ys1rt7w2 ай бұрын
Much ❤sh Muhammad nakupata kutoka Lusaka Zambia
@fadhilitandu78862 ай бұрын
MashaAllah
@Jumaamsagaty2 ай бұрын
Uko vizur sheikh umefanya niwe na msimamo
@sheikhabuusakakin32432 ай бұрын
أسأل ألله أن يوسع لي ولك كلّ طريق وينجيني وينجّيك من كلّ همٍّ وضيق أسأل ألله أن يملأ قلبي وقلوبك بالأنوار ويحفظني ويحفظك
@Muhammad_Nassor_Bachu_.2 ай бұрын
آمين
@user-jz5et7lb9b2 ай бұрын
شكرابخيرأناُُ@@Muhammad_Nassor_Bachu_.
@khamisisima7112 ай бұрын
امين
@iddijuma14282 ай бұрын
Allah akuhifadh shekh Muhammad
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
@nuru ya sunnah pamoja sana ndugu yetu Allah akubarik
@isackwaite-uf1zy2 ай бұрын
MashaAllah sheikh bachu
@ramadhanngwilili6261Ай бұрын
Allah unamuona usingizini tena, SubhnaAllah
@user-ye3fy9kk6r2 ай бұрын
Baaraka llahu fik
@user-wk5ju8kd3uАй бұрын
Masha Allah maneno safi Allah akulinde
@pablooo41972 ай бұрын
Shukran al akhy, tunakupata vyema
@user-zr2pn5uv8b2 ай бұрын
Alhamdulillah BaarakaLLAH fiika
@omarysungi46352 ай бұрын
Allah akulipe kheri duniani na akhera pia kwani tumewajua wanaotuvurugia dini yetu
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Nondo juu ya nondo Muhammad bachu mbona unapiga makwaju ya mbiyoni namna hii kumbuka wanamishono halafu unapiga kwenye mshono nihatar ya shek.Nasubiri Golo aje kuomba radhi mbeleyetu sihivyo hatamm nitaenda kumkandamiza uko tuendako nipo tayar kukaa ushahidi juu yahili wallah thuma wallah 😢
@user-wm5vj2vi1g2 ай бұрын
Mwamba
@AbuushawkanАй бұрын
بارك الله فيك أخي الكريم
@saidjuma45472 ай бұрын
allah atulipe kheri nyingi inshallah
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Shekhe jazakum llahu khaira, allah akulinde na mahasidi kwakupambana na watu batili na maadui wa dini ya mwenyezi mungu, watandandike hao maguruwe wa motoni Shia wamekuja kuvaa vazi la uislamu kiunafiki lengo kuangamiza dini ya Allah na kuwatowa waislamu kwenye dini yao,hili lipo wazi kama kuna mwislamu anaamini shia ni muislamu atakuwa anamatatizo ya ubongo wa akili muislamu anaejuwa uislamu hawezi kuamini Shia ni mwislamu huyu ajui maana ya uislamu na vitu vinavyomuweka mtu kwenye uislamu na vitu vinavyo tenguwa uislamu, ni sawa na mtu kuchukuwa udhu ukibatilisha udhu huna swala Sasa ni ajabu mtu anakwambia tupu ya mtume itaenda motoni kisa alikuwa na wanawake wawili washirikina aysha na afsa hivi hata mtoto mdogo kiakili umuulize hivi vipi wasemaje huyu bado mwislamu anakukatalia kabisa kwa uwezo wa Allah.lakini cha ajabu kuna ndugu zetu masufi wao ndo wapambe wao mashia wapo tayari mtume adhalilishwe siyo mshia kudhalilika haya tunayaona kila siku mitandaoni wanajaa jazba Shia akisemwa vibaya ukuta shekhe anapanda jazba kumtetea mshia Sabu ya ugali wanaopewa ndo wapo razi omary anaitwa mwenda wazimu, Abubary kaitwa jambazi tapeli, na aysha kaitwa mzinifu,lakini wao hawakioni hilo sisi tukisema na kuwatetea maswahaba wamtume utasikia mawahaby waleta farka mawahaby hawataki umoja wa uislamu sisi tutaendelea kuwatandika tuu,Allah ndo msaidizi wetu pamoja na kejeri zenu hatujali wala hatujali kabisa lengo kumtetea mtume wetu na kuwahami swahaba anaona tunalofanya ni la hakki na ndomana hamueezi kuizima nuru ya mwenyezi mungu Jambo la hakki ni kama mtu aloshika Moto bwana.
@madrasatunnajmizzaahiral-i24782 ай бұрын
Wewe yaonekana hata uislamu huujui kabsaa,ila wajua jina tu.Siku M/Mungu akikupa kitabu cha aamali zako na ukakuta hayo ulowasemea Shia. Chukua tahadhari qabla ya siku hiyo,kwa kufanya hivi: Kusoma vitabu vilo andikwa na shia wenyewe,utawafahamu kwasura yao ya hakika.
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
@@madrasatunnajmizzaahiral-i2478nawao wachukue tahadhari kwa Allah dhidi ya matusi kwa maswahaba na wakeze mtume kufaru Shia najisi nguruwe wa motoni
@ExcitedChefHat-ef5jt2 ай бұрын
Jazzakallah Tabarakallah shekh muhammad nassor bachu Allah akuhifadhi. Majibu mazuri kwa jahil shia golo.
@user-tq1nd9md1n2 ай бұрын
Sheikh Muhammad Allah akulipe malipo mazuri na makubwa,Kuna jambo kingine ulitolee ufafanuzi,adui wa Jibril ndio alie aliekuteremshia wewe huu qurani
@abalkib28662 ай бұрын
Ilo c la kushangaza kabisa kuota umemuon mungu kipindi tuko wadogo madsani kulikuw na mwalimu mmoja Anachezesha viboko ajabu. Mpka kuna mwanafunzi mwezetu cku moja alikuja chuoni na kusema ya kwamba aliota kiama tyr na Mungu ni huyo Mwalimu. AstaghafiruLLah.
@omanoman-ir1ez2 ай бұрын
jamani yee mungu hakuzaa wala kuzaliwa sasa kumwona mungu kwa sura ya kijana na nywele za kipilipili mmh hata mie napata shaka na hadithi hiikwani si kuna hadithi sahii na si sahihi mbona hii inaonekana kama sio sahihi mungu kaonekana kama mtu tena kijana mmh!! mashekh wetu muee makini bwana
@saadasaleh31772 ай бұрын
Maashaa Allah Jazaka Llahul khayr 🤗 hakika Allah hajaleta maradhi bila ya dawa ❤ umekua dawa ktk nchi zetu hizi Allah akuhifadhi😊
@user-do1pq2uu1c2 ай бұрын
Salaam hapa ifahamike kua siwezi kumkufurisha ibn taimiyya alipoelezea alivyomuona allah kwa namna alivyomuona hapa ndopenye shida haikataliwi kua mtume s a w alimdiriki mola wake ispokua hii kuelezea alimuona kwa namna fulani hapa ndipo penye mushkil
@MohamedMwangare-sw3sl2 ай бұрын
ما شاء الله.its really something
@user-xb6tr5vq4b2 ай бұрын
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
@user-rp4eb5xw1z2 ай бұрын
Mashallah sheh Allah akulipe kila la heri hapa ndunian nakesho akhera naiman hata huyo mbwa Shia ameelewa nn unasema
@huseinsuleiman15802 ай бұрын
Allah akulipe na akusimamie ili utuzindue katika elimu ambayo hatunayo
@universitylink2 ай бұрын
Mashaallah tabrakallah
@amyassyassin79092 ай бұрын
mashia hawajitambui na hakuna watu waongo kama mashia. Mashia na Mayahudi hawana tofauti katika uongo
@hassanmohamedlaizer5692 ай бұрын
Na sema tena huyu shafii na wenzake akauze mandazi jamani..😂😂
@saidsalum5232 ай бұрын
Muhammad namuomba Allah akulipe kheri,,kwa kweli huyu jamaa sijui ana njia ya kujitetea,,anapotosha bila ya khofu,,wewe Muhammad anatosha kumueka sawa huyu jamaa,,yaani kama hajatubia atakwenda kujibu,,kumbe Ibn Tymiya mwenyewe anakataa,,Ewe Shafii Basalim muombe Allah msamaha,,ujue umemdhulumu Ibn Taymiya.
@user-uv7jl2bk4p2 ай бұрын
Acha kufru bachuu ,hadithi za kutunga hizo Allah haonekani kasema ktk kur aan mtume hawezi kusema kitu kinacho pinga kur aan
@mohagurey22142 ай бұрын
Wewe ndio unasema hio Hadith ni dhaifu? Mbona wanazuoni hawakudhaifisha mojawapo imam suyuti
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
@@mohagurey2214kitu ambacho hukijui ndugu yangu Hawa wanaopinga Hadith wanaitwa QUR,AAN YUUN ni mashia ambao hawaamin Hadith za mtume Swalla llaahu alayhi wasallama Bali wanaamin Quran peke yake
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
Sasa nyie QUR'AN YUUN hapa mnafata nin mana mmempinga mtume Swalla llaahu alayhi wasallama mana hamuamin Hadith zake nyie mashia
@binbuhakhamis43362 ай бұрын
Umeambiwa nikuonekana kwa njia ya ndoto hiv unaijua ndotoo..
@HamadHamduni2 ай бұрын
Mashia ni wagumu wa kuelewa.
@suleimanadim65222 ай бұрын
Bachu hapo tuwache tupe aya ya QUR_AN UNAZUNGUKA TU HAPO HAPO HUJATUPA USHAHIDI ALLAH HAFANANI NA KITU CHOCHOTE IKIWA KUZUNGUMZA NAE ALLAH ANASEMA HAIKUA KWA KIUMBE YEYOTE KUZUNGUMZA NA ALLAH ILA WAHYI AU NYUMA YA PAZIA AU HUMTUMIA MJUMBE AMPE WAHYI ANAEMTAKA KWA IDHINI YAKE VP KUMUONA TENA UNASEMA KAVAA KANZU NA VIATU VYA DHAHABU DUH SUBHANALLAH USITUBURUZE
@maryamabdallah31402 ай бұрын
Mbumbumbu hata ueleweshwe hutakaa uelewe, tafuta madarisi ukasome @suleimanadim
@hassanmohamedlaizer5692 ай бұрын
@@maryamabdallah3140😂😂😂 msamehe bure
@saadasaleh31772 ай бұрын
Fii qulubihim maradhw fazada humu Llahu maradhwa. Hawa ndio swummun, bukmun, umyun. Allah atuhifadhi
@LucasNicoraus-xi5ux2 ай бұрын
Assalaam aleykum.... ndugu ktk lman.... jaman embu wote mlo msapot huyu kijana toeni shahada upya tafadhali... zindukeni waislaam haitakikani kwa muumin kuitakidi kua mungu anafanana na chochote pia haitakikani kuitakidi kua mtume kamuota Mungu alafu akahadithia , ikiwa maswahaba walishindwa kumuhadithia mtume sw sura rasmi na umbo jins alivyo waajabu, leo wew unasema mtume kaona usingizin mungu yuko sampuli fulani ... waislaam achaneni nae huyu kijana huyu mpotoshaji lngelikua Allah angetaka ajitangaze alivyo Astaghfirullah basi safari ya lsraa na Miiraji Mtume aliongea na Allah... basi angehadithia lakina hakumuona bali alikua karibu nae na wakizungumza ila ckwakumuona ....waislaam zunduken lnshallah Allah amuongoze
@kasimubangu18752 ай бұрын
Hakika umebeba imani kwa pasipo haqi ndomana haulewi Allah akuongoze utoke kwenye ushia
@dancanmusakhionganyo42702 ай бұрын
Allah akupe pepo
@saadasaleh31772 ай бұрын
Aaamin Yaarabbal A'lamin 🤲🏽
@rahimmbezi99362 ай бұрын
Sheikh Muhammad Allah akuhifadhi.. lakini pia tunataka uwazungumzie kwa kina hawa hizbu salafi...madaakhila na makhajaawira... akina kassim mafuta, na wenziwe... tunaomba sheikh uchambuzi wa kina... BARAKALLAAHU FIYK.
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
Huyu shia mimi nasema alikua anatafta umaarufu tu ndo mana alikua anakurupuka na sasa kwa sababu sheikh Muhammadi kamradi kapata kujulikana tayar Allah amuongoe awache chuki zidi ya wanachuoni wa kisalafi
@Mathsconcepts4952 ай бұрын
Katika watu ninaowachukia sana ni huyo shia golo shafii baasalim ni muongo sana anadanganya na kitabu anacho mkononi
@RashidiIsmaili2 ай бұрын
Walaykum salaam warahalatullah wabarakaatuh unasema ahujaelewa nahona wewe ni mvivu wakuhelewa maana muhamed bacho yuko muwazi kafafanua
@abubakarmuhammadsaid32442 ай бұрын
Huwezi kupata watu waongo wazushi zaidi ya mashia
@KhamisDaud-nz3rcАй бұрын
Zaadakallah ilma
@RajabuAdam-qn2kf2 ай бұрын
Allah akulipe kheri
@izmamuizmamu65212 ай бұрын
بارك الله فيك
@user-cx1bd1pp9o2 ай бұрын
Kuitakidi Mungu yu ana mfano ukafiri mn inapingana n kur an iyo hadithi n ukafir kw muislam kuitakid ivo
@kasimubangu18752 ай бұрын
Fungua moyo acha kubeba imani kwa ujinga
@user-cx1bd1pp9o2 ай бұрын
@@kasimubangu1875 imani gn y kua n Mungu mwenye vipilipili n kisura n viatu vya zahabu km cy ukiristo n usheitwan huu
@user-xn2yf6nv1i2 ай бұрын
شكرا على كل خير
@user-wh3et9pu3h2 ай бұрын
tunakupata vizuri na tunaona raha sana
@aooshosho42552 ай бұрын
Watajuwa hawajui wape kabisaa Kaka
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Shekh Muhammaad Maashaa Allaah kwa hakika wewe ni mwalimu mweledi mnoo kwa wazushi wa Tanzania😂😂😂
@Nuru_ya_sunnah.official2 ай бұрын
sio Tz pekeee na kenya piaaa
@saidmruu58972 ай бұрын
Asalaam aleikum Kaka... Allah akuhifadhi na akulinde...Naomba kama ulivo chambua hadithi...,,Naomba uchambue.. hili suala la kuinua mikono katika kila nguzo MTU akiswali..
@FadhilSaid-mb2yk2 ай бұрын
MASHAALLAH
@Chibuy-ly5kt2 ай бұрын
huko mnako kwenda kwakumuona( allaah...) ni uwongo kuruan haija sibitisha mfano wa( allaah..sw) sasa kwaelim ipi hio yakumuona( MImungu mtume.. muhamad ) sasa swali la kipuuzi tu unaweza kuona kitu kisicho mfano ikaendelea kutokua na mfano 🎉 hakuna hio nakama ni ndoto bas ni chafu km nyenginw katika juzuu 30, quruan muko sura mpk ziko na aya 3 lakini hakuna hiko kitu
@HamadHamduni2 ай бұрын
Mashia wanapoteza Sana watu,mungu akulaani shafii
@yusuphmaulid37172 ай бұрын
Fanyeni ibada usiku acheni kukeshe kuandaa matusi
@user-jz5et7lb9b2 ай бұрын
Mashllah
@rashidjuma91692 ай бұрын
Twasubiri mtanange mwengine baada ya mtanange wa barzanje.
@musarashid-xw1qm2 ай бұрын
Allah akubalik
@salluhimuhammed8622 ай бұрын
Assalaam alykum warhamatullah, sheikh Muhammad apa nimekwama wallah hii mara ya pile nackiliza bdo akili haijapokea haya maneno, kswabu Allah hafanan na chochote kwann aotwe kua ni kijana kavaa viatu kavaa nguo hii ipo vp na Ile Aya ya kua Allah hafanan na kitu chochote, au sabau mm elimu cna ckusoma naomba nieleweshe zaidi ya hpo km inawezekan km haiwezekan bc, nibaki tu nifanye km ckuckia hayo maneno
@user-wh3et9pu3h2 ай бұрын
na hiyo ndio itikadi ya ibnu Taymiyya kuwa Allah hafanani na chochote, rejea tena kusikiliza utafahamu
@dulividuli52372 ай бұрын
Km hujaelewa rejea tna video
@medinaser97122 ай бұрын
Nahisi hii hadithi ya mtume kumuona Allah ina walakini inaweza kuwa ni uzushi....kwa sababu hasemi kwa matamaniyo yake
@MohammedSaid-zk7yg2 ай бұрын
@@medinaser9712mawahabi ni bangi tu wanazingua, mawahabi wanaamini mungu ana macho,mikono,miguu,
@KhalfanMassoud2 ай бұрын
@@MohammedSaid-zk7yg ata Quran inaamini hivyo
@user-ug8hc4yh5k2 ай бұрын
Iyo ni nguruwe la kishia ndio inamkufurisha sheikh wetu Islam ibnu taimia ni nguruwe la kishki
@AziziMachweo2 ай бұрын
Mashalah ibn bachu
@abdullahimohamudosman36952 ай бұрын
Maa shaa Allah, jazakallahu kheyra, sheikh weka namba zako tukutafute kwa ajili ya maswali na ufafanuzi wa hoja mbalimbali in shaa Allah. Allah akujaalie Kila lenye kheri kwako duniani na Kesho siku ya akhera. In shaa Allah Amiin
@user-qy9qx5hd2u2 ай бұрын
Msituchanganye..1.kama mtume amemuota Allah angemsimulia mkewe bi aisha..hadithi kama kweli ingetoka kwa mkewe direct..2.Kama sisi tukimuota mtume sio ndoto ya kishetani je Allah atampaje mtume ndoto feki?3.kama mungu hana mfano LAM YA KULLAHU KUFUWAN AHAD..inakuwa mtume amuote Allah kwa mfano au umbile?je mtume anaota ndoto feki?hadithi sio aya
@saidmuhd6112 ай бұрын
Haya maneno ni mazito sana, sina elimu yoyote lakini najua ndoto za Mitume ni za kweli hakuna ndoto ya uongo kwa Mtume. Kuzileta hadithi kama hizi ukazinabisha na Mtume hata kama ni ndoto, ataachaje mtu kuzama kwenye fikra za upotovu.
@Dhikriqadiriarazaqia2 ай бұрын
Yes, yaaani mawahabi ni wajinga , eti mtume aote ndoto halafu aje amdhoofishe ibntamiya😅 Hapa na mimi naanz kuuona ukafiri wake
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
@@Dhikriqadiriarazaqiatuliza sana kusikiliza kuliko kujifany unajua wala hujui. Kama hapo hujaelewa wala uelew tena
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
Sio kua na fikra mbovu tu mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema akijiwa na shetani mmoja wenu akawa anawaza kwamba hivi nan kaumba kitu falni na flani hadi akafikia kusema nan kaumba mbingu na Ardhi na viumbe wote Kisha aende mbali aseme hivi nan kamuumba ALLAH? Hapo mtume Swalla llaahu alayhi wasallama anasema mtu huyo akianza kuwaza kua nan kamuumba ALLAH bas na amuombe ALLAH ulinzi mana atakufuru. Sasa ndo nyie halafu muwe mnaskiliza darsa hadi mwisho mana Kuna nukta nyiiingi mmeziacha hamjaskiliza unaambiwa unachokiona kwenye ndoto sio uhalisia wake kitu kile kama alivoota nabii yusufu anasujudiwa na nyota halafu alivoamka huko baadae tafsie ya ndoto yake ilikuja kua ni ndugu zake baada ya naabii yusufu kua mfalme😊 Kuewni na Akili basiii😂😂
@saidimkwinzu91062 ай бұрын
@@Dhikriqadiriarazaqia sikiliza darsa hadi mwisho acha ku comment kabla hujaskiliza ukaelewa ungeskiliza usinge kurupuka kuandika haya😂😂😂 mna chuki na sisi wa wa sunna mashia wote nyie mmepotea tu
@MB-yq3ty2 ай бұрын
@@Dhikriqadiriarazaqia Mijnga ni wewe. Yusufu alipoota anasujudiwa na nyota ndo zilikuwa nyota kweli eti?.
@abdulrahmanmussa44792 ай бұрын
Sheikh letu hao ni matapeli
@user-ti6tn7bs9q2 ай бұрын
Shia Koko anataka umaarufu tu yulee njaa kaliiiiii inamsumbua
@juvenalymwanalyela2022 ай бұрын
Mnabishana nin Wakati mtume ndiye aliye muona allah ni kakijana hakana ndevu natunywele twake nitwakipilipil na mwengine anasema ni mwanamke tumwamini nani
@Abuassma3602 ай бұрын
Lakini sheikh m bachu na je yajuzu kuzungumza au kusimulia kua kw mfano umemuona mungu au mtume kw khal moja au ingine
@saadasaleh31772 ай бұрын
Umemuona wapi usingizin au. Ikiwa ucngizini Mtume SAW anasifa zake ukija kumuona Mtume SAW ni mweuc bc cie uyo jadhalika Allah hakuna alomuota ila Mtume SAW na hatujui io ndoto inamaana gan sasa cc tulobak ata tukimuona Mungu ucngizin tutafute wafarir wakuwaamin waiague hio ndoto
@ameirameir43492 ай бұрын
Muhammad Bachu wape somo hao mashia murtadi
@rashidjuma91692 ай бұрын
Mshaanza mchezo mchezo sisi tunawaangalia nani mshidi,
@ibrahimselemani-nq2nc2 ай бұрын
Yan huyu shia kwa sababu ya chuki zake inakua ngumu kupata cha kukosoa na hawezi akapata huo ukafiri kwa ibn taymia
@ZayanaIdrisa2 ай бұрын
Ustake umarufu kwa kukufurisha wanaochuwon jitahadhar eendugu
@chudybalckonlionetv54952 ай бұрын
Rudi kwanza kwenye clip ya mwanzo
@athumanali29692 ай бұрын
Nahuyo yusufu diwani nae atiewe sufuriani anachafua sana ahlusunna kuita ni tawi la kikiristo
@user-ee2wd3fv1s2 ай бұрын
Amesharipuliwa na shekh Muhammad Is haka vzr tu tunamsubir arud tena mshirikina
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Watu wanamuangalia tu maana hana hoja ya maana huyo yussuf diwan. Nd maana hakuna mtu anapoteza muda wake kwa mtu wa kuropoka tu
@JailaniRamadhan-it3kp2 ай бұрын
Njoo live kwenye mnakasha
@user-yj5on8cz3e2 ай бұрын
Shia hawana akili hawa watu kama wamemtusi mtume na kuwakufurisha maswahaba wanashindwaje mkufurisha ibnu temmiyah wao ni dogo sana hilo kwao kama swahaba wa mtume hawajasalimiika watamuacha shekhe islamu bin temiyyah.
@user-un9cg9ty6r2 ай бұрын
Asalam!!! Nashangaa na SHEIKH Muhammad, et o Tunaangalia Wakumjibu Wakati Ulitumiwa Link zabwana Shafii Akimkosoa Ibntaymiya Je ! Kuna akukaliwa kimya zaidi ya hilo... Mbona Umekuja Kumjibu U ungekaa Kimya Tu.