Alla akulinde na Hasadi shehe Bachu,HAkika baba yako ameacha jembe
@AliMohamed-qr6up2 ай бұрын
Mwanzoni nilikuwa nadhania huyu sheikh anapenda kuongea ongea sana kumbe anatutoa kwenye ujinga na kutupeleka kwenye haki..Allah akubariki sheikh
@ARNOLDKARISA-fs3ht2 ай бұрын
amiin
@user-xg7jn5sn9cАй бұрын
Yeah yupo sahihi sana ALLAH atuongoze sote kwenye njia ya haqi
@mtz55822 ай бұрын
Sheikh nimekukubali sana.Mimi mkristo hapa
@mokitaa87502 ай бұрын
Dr sule anachanganya mafile ameingia kwenye njia mbaya ALLAH ATUONGOZE SOOOOOTE UMMATY WA MUHAMMAD S.A.W
@KhamisHaroub-uj5ci2 ай бұрын
Simba wa Allah ❤️❤️❤️ ikumbukwe ya kwamba mtoto wa simba ni Simba nae Nakupenda akhi kwa ajili ya Allah ❤❤❤
@shijasagali51612 ай бұрын
Jazakhallah khaira sheikhe Muhammad Nassoro Bachu, haya mambo ya unajimu yanashadihishwa sana kuwa, yanamafungamano na dini,asante kwa kuutoa giant umma wa kiislamu.
@ImanSaid-ox3po2 ай бұрын
Nimefarijika sana kuskia sauti yako juu ya kukemea ushirikina huu, {Allah akuhifadhi shekh Bachu}
@k.kchakua13762 ай бұрын
Jazaqallahu khaira Sheikh Bachu.. Sijui nakupataje nikupe Zawadi.. Umefanya Jambo kubwa sana na Allah atakulipa Aamin.
@ARNOLDKARISA-fs3ht2 ай бұрын
amiin
@saadasaleh31772 ай бұрын
Allah akuhifadhi na akupe umri mrafu wenye kheri na baraka na mwisho wako uwe mwema . Aamin
@abdallahashajuma12812 ай бұрын
Amiin
@user-dd3kb4uh8s2 ай бұрын
Ameen
@suleimansuleiman7947Ай бұрын
Aamiyn
@hadijahamza15562 ай бұрын
Allah akulipe kheri sheikh, waislamu wengi wanakufurishwa na watu walioaminiwa katika dini, tuzidi kuelimishana
@HussainMaula-wr5co2 ай бұрын
Unajua watu kama shekhe bachu Allha awahifazi wametutoa wengi kwenye kiza kwani uisilamu tusipousoma vizuri tutajikuta twakosea na maishilizio yetu yakawa motoni ALLHA HUMA AJIRNA MINA NAR.
@ARNOLDKARISA-fs3ht2 ай бұрын
amiin
@amanimwabilo36232 ай бұрын
Wallah hii ndio radd ilio na manufaa kwa umma Sule amezidi kufuru na kupoteza waislamu Allah atulinde na watu km huyu Sule
@ameeranassor16192 ай бұрын
Wewe unayo elimu ya kumkosoa? Unajuaje kama kakosea?
@mshambaused38402 ай бұрын
Hakika
@khamisiramadhanikhamisi95162 ай бұрын
Mwenyezimung mihifadh she muhamad bachu kwa kila shari ya shetan na binadam aaamin
@sadathashimu2232 ай бұрын
MashaaAllah laa Quwwata illa billah Shekh Muhammad bachu nakuombea Dua kwa ALLAH mtukufu akupe umri mrefu wenye kheri kwa Dunia Yako na akhera Yako na akuzidishie elim Ili watu wazidi kunufaika Aamiin aamiin aamiin
@user-pd2fk6kt5i2 ай бұрын
Nilikuwa na subiria sheikh yoyote atakaye mpa nasaha Sule kwakweli kavuka mipaka Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake Shukran ya Sheikh Muhammad Nassor
@ibnhassan99802 ай бұрын
Amiin
@k.kchakua13762 ай бұрын
Katereza
@user-pd2fk6kt5i2 ай бұрын
@@k.kchakua1376 hivi jinsi sule alikuwa akizungumza na ujasiri yaani wasema katereza kweli 🥲anapotosha jaami kiasi kikumbwa sana
@k.kchakua13762 ай бұрын
@@user-pd2fk6kt5i Ndio katereza my dear kakosea Ujasiri wake nikuaminisha watu uovu.. Kajivunjia thamani yake aliokua nayo
@k.kchakua13762 ай бұрын
Kutereza ndio.. kukosea Zulfa..Amekosea na kajishusha heshima sana
@dadithemr.40292 ай бұрын
Hotuba yangu bora kuisikiliza kwa mwaka huu (One of my best semon in this year...) jazaakallahu khayrah...
@HappyKiteboarder-du9th2 ай бұрын
Naungana na wewe hii nizaidi ya hutuba nizowahi kuzisiliza
@allydavy69192 ай бұрын
Same to me here😢
@ramadhanyusuf24012 ай бұрын
Nampenda sana Ustadh Bhachu mwanzo anapotoa khutbah zake madoido za kumfanya mskilizaji aweke manani sana 😂😂 Allah amhifadhi
@user-je6ze3ef3e2 ай бұрын
Amiin
@bornvillagevlog45662 ай бұрын
Alafu bro Dr sule maybe ame chizi ama ako crazy??? Ebu waobewe na harmonize wote wawili he hii ni balaa juu ya balaa aki
@CKMO2 ай бұрын
Ahsamte shekh wetu hawa watu wanaturajeshe kwenye dini za mashia na mashetani mungu atuhifadhi Amin
@user-rz2ek3qw3h2 ай бұрын
Ahsante sana sheikh bachu kwa kuwa mkweli na kuwafichua wanafiki wanaojiita waislam ikiwa wao ni wachawi tu. Df. Sule kakosa vyote, elimu ya kawaida darasa la Saba na elimu ya dini 0 ila elimu ya kichawi 500% waislam muogopeni Dr. Sule ni mshirika a siyo muislamu.
@ZainabHassan-hz4no2 ай бұрын
Shekhe Allah akuhifadhi maana unatufundisha ilihali mashekhe wengine wanatudanganya
@TreasureMagumba2 ай бұрын
Uyu sule kanikwaza sana na mipete yake hiyo, Allah amuongoze inshaAllah mm bado natamani awe shekhe mzuri kama mwanzo
@abdalahngozi54552 ай бұрын
Kweli dr.Sule kiukweli hana elimu ya dini,ni janja janja tu za mjin ila Allah atujaalie mwixho mwema in shaa Allah
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Muhammad bachu ❤❤ Allah akupe kila kitu unachokipenda ktk moyo wako
@hawa60522 ай бұрын
Allah amrehemu Baba yako Nassor Bachu ampe Firdausi ameeen
@zulkhasalim34052 ай бұрын
Amin
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@saadasaleh31772 ай бұрын
Aaamin Yaarabbal A'lamin
@saidyussuf22912 ай бұрын
Aamiin yaa Rabby
@jafarinauma67982 ай бұрын
Amiin Yarabi mpe pepo ya juu
@MuhammadWesonga2 ай бұрын
Sule kavuka mipaka,amedhihirisha unafiki wake katika uislamu,amependa na anapambana dunia sana mpaka amepoteza mwelekeo wa Allah na mtume, SsalaAllahu alaihi wasalam
@SaidiRajabu-qn1gv2 ай бұрын
ALLAH bless you mtoto wa mzee bachu ALLAH amuongezee Nuru katka kabur lake AMEEN YARABI
@wigoramso54362 ай бұрын
Allah akulipe kila kheri kwa kuimalisha imaan za waislaam waliokata tamaa na dini yao haya mambo yasemwe mara kwa mara kwa manufaa ya umma usiingie katika shirki
@RashidiIsmaili2 ай бұрын
Tumeitwa ummati bora lengo lipi tuna amrishana mema na kukatazana mabaya
@user-nk3dp9cv9c2 ай бұрын
Sahihi
@FatumaLulu-bp7ms2 ай бұрын
YA ALLAH wape umri mrefu MASHEIKH WETU wanaotuongoza katika haki AMIIN ....YA ALLAH tuepushe na ushrkina na utujaalie na mwisho mwema AMIIN....
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@salmanassor87322 ай бұрын
امين يارب
@zuhoor-mc7hq2 ай бұрын
Masha Allah tabarakallah jazakumllahu khayra shekh wetu mola akuhifadhi huko ulipo na Shar z walimwengu waovu amiin mola atujaalie mwisho mwema wa mauti yetu na atujaalie atuktanish pmj na rasullu swallahu alayhi wasaalama peponi Ameen 🤲... ujumbe unawafaa wenye kusikia na kuyafanyia kazi 😢 baraka llahu fiyk...
@user-nk3dp9cv9c2 ай бұрын
Wallah thuma Wallah, kunabaadhi ya waislamu ndio wanaouchafua uislamu wetu, wanajifanya kama wasom ilaa wanakitu ndani ya nyoyo zao, Nawaomba tu Maskhe ambao munasapot na mnasukuma watu kuamin vitu ambavyo Muhammad SAW mna potosha watu au muna uharibu Uislamu, mana pia baadhi y wakati mna sapot hadi waimbaji ama wasanii wa mizik, SUBHANNA ALLAH! Nini hiki?
@Salmahvuai62 ай бұрын
Alhamdulillah Allah akulipe kheri ww na familia yako Na amrehemu shekh Nassor bachu
@MainlandFc-xc3bi2 ай бұрын
Dr .Suley sasa masheitwani wamemuangusha na kumuingiza katika ushirikina, Subhaanallaah Ewe Allaah tulinde na tuokoe na kila sampuli ya upotevu na kila sampuli ya shari za masheitwani wa kijini na wa kibinadamu , AAMIIIN .
@user-xb6tr5vq4b2 ай бұрын
Mhamadi bachu wachape vibao hao watapeli nawametutesa kwamdamwingi tutazidi kukuombea dua allah akupe umri mrefu
@DaudMuhammedDjuma2 ай бұрын
Sheikh bachu Allah akulinde n'a kila hasadi🙏🙏
@hassanmwishaha55112 ай бұрын
Subhnallah huu ushirikina mkubwa huyu DR SULE anathibitisha kuwa kumbe yeye ni MUSHIRIKI , SUBAHANALLAH SUBHANALLAH SUBHANALLAH.
@hadijahamza15562 ай бұрын
Elimu yake ndogo katika uislamu, asome uislamu sio uganga wa ushirikina.
@AlikomboHassan2 ай бұрын
ONLY FACTS MASHAALLAH. ALAFU MBONA KILA KITU NI SIMPLE TU YANI HAITAKI HATA KUWA MSOMI "MUISLAM ATEGEMEE KILA KITU KWA ALLAH; KINYUME NA HIYO UTAKUA NI USHRIKINA." umeshirikisha Allah. VERY SIMPLE.
@mamanabdoul43972 ай бұрын
Shukran cheh .bambiye baacane na uyo ushirikina.hata nikiona mawaidha wakianza kusema ivyo vya nyota naacana nayo.nirikuwa najiwuriza kwa nini wanajuwa kama Allah hataki ushirikina rakini ma cheh wanapoteza watu
@halimashaban70382 ай бұрын
Dr sulleh mm naona alitumia kutrend kwake kwa kutangaza biashara zake za utibabu zaidi na sio kuitangaza dini!Allah amuongoze na atuongoze sote kwa pamoja🤲uzuri mtu akikosea muitane ma sheikh wetu na mrekebishane sio kujibishana kwa mitandao..mnawachanganya waislamu wageni katika dini.shukran sheikh Mohammad bachu kwa kutu fahamisha🙏
@user-xz8mm5kt5m2 ай бұрын
Amepotosha watu hadharani so ni lazima akosolewe hadharani ili waliopotoka kutokana na maneno yake wauone ukweli!
@tumamudy24002 ай бұрын
Sule mchawi ww sifa zimekuponza una kibri pia
@tumamudy24002 ай бұрын
Kumbe alikufuru sana uyu kiduku na kuleta toba hataki ndo kwanza analeta kibri Kweli waislamu tusome hawa watu watatumaliza
@zahranmohammed60792 ай бұрын
Huyu sule kumbe n mganga hii haiko katika tawhiid kabisa hii n shirki kubwa yakumtoa mtu katika mila subhanallah 'shukran sheikh bachu jazakallah kheir
@farjallahubeydabdulrahman48452 ай бұрын
Allahu akbar Mwenyezi Mungu Akuhifadhi Akupe umri mrefu wenye baraka hakika tunahitaji kusoma dini zaidi ili tuelewe zaidi mafundisho ya dini yetu yaa Allah Tuongozee elimu yenye manufaa na utupe ufahamu wa kuelewa dini yetu inabidi tuwe waangalifu na baadhi ya mashekhe ambao wanatupotosha ambao wako wengi sana hapo mtandaoni ni lazima tujitahadhari na kujitahadhari ni kusoama dini vilivyo
@shamsuddin45822 ай бұрын
Sheikh tandika waçhawi hao wanaojinasibisha na uislam ...kutuchafulia dini
@ibnhassan99802 ай бұрын
Sahihi
@saba-gv3mj2 ай бұрын
Uchawi vp huyo ni doctor uchawi wake alimroga nani ukienda kulizwa na Allah utajibu nn
@sikukuuchuo30932 ай бұрын
@@saba-gv3mjkwa Hiyo unaamini Pete ndio inakupa rizki ,au inakukinga na maradhi😢😢 wewe na huyo sule n kitu kimoja
@saba-gv3mj2 ай бұрын
@@sikukuuchuo3093 sikiza mshamba ww anaetoa rizki mungu sawa na kuna ugonjwa mwengine watengezewa Pete ndio hua dawa yako sawa wacha kuongea kitu huna ilimu nacho ww na huyo bachu wako nyinyi mawahabi wajinga sana
@saba-gv3mj2 ай бұрын
@sikukuuchuo3093 nabii suleiman alikua na petee kwani Pete ndio ilikua ikimpa rizki ama ni Allah wacha ujinga kuongea kitu huna ilimu nacho hata mtume s a w alikua na petee akivaa sawa ww wahabi kitoto
@hassanmwishaha55112 ай бұрын
MASHAALLAH ALLAH AKUHIFADHI SHEKHE MUHAMMAD BACHU.
@AboubakarRuhusa2 ай бұрын
shekh bachu Mungu akulinde mashekh wengi tanzania wanakuwa matapeli nawashirikina
@victormkini27082 ай бұрын
Mimi ni Mkristo ila nimependa mahubiri yako juu ya Pete na Nyota
@Sheba46512 ай бұрын
@@victormkini2708Matapeli wengi wamepita, kulikuwa na yule Sheikh Yahya Hussein yeye aliogelea kwenye bahari ya mjini, utajiri, bahati, kumbe ni upuuzi mtupu, kusingekua na masikini, sote tungevaa mapete mpaka vidole vya miguu. Matapeli tu wale.
@KalimagiFeruzi2 ай бұрын
Hawatakikufanya kazi halali,mwisho wanakuwa washirikina wachawi
@hassanWanjiku2 ай бұрын
Allah subhanallahu wa taala amlinde sheikh bachu n wengine wanaolingania kwa kweli n haki n kueneza Sunnah z mtume salallahu alayhi wasalam na watu waepukane n shirki
@ibnhassan99802 ай бұрын
Amiin
@AbuuRuhaymaa2 ай бұрын
Muhammad Akikukalia kukupiga raddi utajuta kuzaliwa.Allah Amuhifadhi shekh Muhammad muhimu ujumbe umefika
@nadyasalim79562 ай бұрын
Naam . Allah amuhifadhi sheikh wetu mahasidi ubaya wao uwarejee wenyewe
Shukran sana shekhe bachu nilikuwa nimeishtukia muonekano wa sura ya shekhe sule Allah amuongoze aache njia za shirk
@iddimohamed2542 ай бұрын
Shukran bachu kwa kutueka sawa coz mashekh washirkina ni wengi hasa tz...Allah atuhifadhi na shirki...
@awadhally10522 ай бұрын
Amiin
@user-nl3vn6dg6j2 ай бұрын
Allah akuhifadh bin bachu Huyu Dr sule anaudhalilisha uislamu kwa kweli
@AminaIbrahim-mn9wg2 ай бұрын
Haswaaa
@abuibra2 ай бұрын
Ahsante Shaikh wafundishe,wako wengi Kama awo wanachafua Sana dini ya Kiislamu,usirudi nyuma.
@user-ik4eg4fh7c2 ай бұрын
Shekhe mohammad bachu Nakupenda kwa ajili ya ALLAH namuomba ALLAH akupe ulinzi madhubuti
@ShamimHassan-qm1et2 ай бұрын
Nilikuwa natafut shekh atakae liongelea Hilo Bora umesema mungu akulipe maan ameach watu weng mdom waz Allah akulipe shekh wetu
@jabirkasunzu68412 ай бұрын
Nakupenda kwa ajili ya Allah❤ Mungu akupe umri mrefu ndugu yangu maana umekuwa unawakumbusha wanaozusha katika dini hii maana wengine wanaogopaogopa... Allah akubariki...amiin
@user-wp4nb1cm7v2 ай бұрын
Ma shaa Allah tunamuomba الله akuhifadhi na akuzifishie ilmu uzidi kutuelimisha shukran sana shekh nakupenda kwa ajili ya الله
@FeymaarOfficially-uu4nr2 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADHI MUHAMMAD IBN NASSOR ALLAH AMREHEM NASSOR BACHU
@salimofficial12632 ай бұрын
Aaamin
@isihakaabdul11342 ай бұрын
Aaamin
@hilmialiomar19832 ай бұрын
Amin
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Amini
@user-zs6qg7ql1i2 ай бұрын
Amuhifadhi na nin huyu jahil wa kiwahab asiemtk mtume saw
@bostonbensonkapute52742 ай бұрын
Que ALLAH lhe recompense do melhor Sheikh Bachu, por esta alerta aos Muçulmanos.
@HusseinKagesho2 ай бұрын
salaam aleikum sheikh Bachu pongezi Na MOLA akuzidishie Nuru na Mazuri kama Haya Nilikuwa miongoni walipotea kwenye dimbwi la pete lakini....kwa Maelezo yako umetuelezea maneno ya kweli umenifafanulia Maneno ya uwazi kama siwewe ningelipotea...Kizazi cha sasa Hakimutafuti Mwenyezi Mungu....chatafuta pesa na Mali Hakisiki Adhana wala mchota Maji...wengi sasa ukiendelea na kukilingania kitatubu kama mimi...Lakini Naomba utufundishe tiba kwa njia ilio sahihi ya kidini kwa mfano mtu aliye rogwa au kutupiwa jini au kufunngwa ili asifaulu kwa kila jambo tupe njia sa hihi kwa wingi ili tusipotee zaidi shukran wenu Hussein kagesho mombasa Kenya jaza yako iko Kwa Mwenyezi MUNGU✌🇰🇪🇰🇪🇰🇪😇😇😇❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@DaudMuhammedDjuma2 ай бұрын
Alhamndulillah 🤲 nimeamini Allah hawezi kutuacha wenye ilmu ndogo tuzidi kupotezwa na wenye tamaa ya kidunia kisa wamesoma dini😢
@aminabdalla78242 ай бұрын
Ama kweli sheikh bachu ujumbe ushamfikia sule .... Allah akuongozee in shaa Allah.....
@SalimAbdulla-gw5rq2 ай бұрын
Mashekh wa bongo wengi wao husoma dini kwa ajili ya utapeli na c kiimani .shekh wetu Muhammad allah akulinde tutowe kwenye ujinga hao jamaaa wanatukufurisha sana .
@yoramabubakar80122 ай бұрын
Mashaallah . shukran sana kwa radi hii tulikua tunaisubiri kwa hamu , Alhmudulillah . Allah akuhifadhi sheikh wetu na akujalie kila la kheri.
@drmussahokororo96812 ай бұрын
Allah akulipe kheri sheikh Muhammad na akuhifadhi Allahumma aamin
@binismail85272 ай бұрын
Huyu mchawi kwa maneno hayo ya upotoshaji atawapoteza wengi, ALLAH ATUHIFADHI
@mwaminianasi2 ай бұрын
Allah akuhifadhi, akulipe Mema Duniani na kesho Akheira InshaAllah 🤲
@OmarAlly-iz8ot2 ай бұрын
Ahsante sana mwalimu, wafundishe wasiojua watambue mambo
@badrudinsalum31392 ай бұрын
Barakallahu fiyka kwa kubainisha Haqi maana jamii ya kiislam imezama kwenye shirki kwelikweli
@user-sx1lm4xi5t2 ай бұрын
Kwahilo shekh bacho nikopamoja nawewe
@fareedahmad68572 ай бұрын
جزاك الله خيرا وبارك الله فيك وغفر الله لك و لوالديك ولجميع المسلمين
@user-nk3dp9cv9c2 ай бұрын
Ammin
@user-nc5dc6gt2y2 ай бұрын
Mashallah hya ndomawaidha na utapata mtu yuapingana nayo Allah akupe umri mtefu wenye manufaa uzidi kutuzindua
@SaidSaid-wh4ky2 ай бұрын
Anayoyasema sawa sawa kabisa pete haihusiani kabisa na bahati wala mvuto pete ni pambo tu mtoa rizq ni Allah subhana wataalaرزقكم في السماء وما توعدون
@maryamabdallah31402 ай бұрын
Sulle alikuwa zamani...siku hizi umekuwa ni mtihani mkubwa kwa viongozi wetu wa dini, tunamuomba Allah awarudishe kwenye twaa yake, kwsbb kwa wasiojua dini wengi watapotea wallah...
@IddiPaziАй бұрын
Tumuombeeni na Sisi pia tujiombee tupate mwisho mwema manake duniani Mambo ni mengi ameteleza mwenzenu mpeni nasaha
@user-ec7wu9bk8w2 ай бұрын
Sulle unapotea, Tena upotevu wa wazi kabisa... Na umejisahau sana Sheikh, hakuna mwanadamu mwenye power isipokuwa power ni ya Allah mtukufu...rabul masharikaini wa rabul magharibaini...
@jumasalum26772 ай бұрын
Masha Allah Allah akuongoze wewe na sisi katika njia ilionyooka.
@ndukulusudikucho_2 ай бұрын
Allah akupe afya na umri mrefu Sheikh wetu kwa majibu mazuri, sina elimu lakini kwa huo mkadima tu Sheikh wetu Mwenyezi Mungu akulinde na akuhifadhi na shari za waovu
@amyassyassin79092 ай бұрын
Sule ana sauti na fasaha ya kuzungumza, angeendelea kuitumia kwa ajili ya kuwaita watu kwa Allaah. Lakini alipoanza mambo ya uganga na kujiingiza katika siasa ameanza kupotea
@@jamalijamali6820hana maarifa yule kama. anavyosemakana ni mtu amabye amekariri tu, nashukuru mashekih wanavyomjibu
@halimamwingu44782 ай бұрын
Masikini sule wa miaka ile alikuwa hatari. Watu walisilimu sn kwa mdomo wake. Lakin huyu sule wa leo mm simuelewi!! Dunia imemteka akili. Mpka anaingilia mambo ya wasanii kila kukicha! Tumuombee dua maana kwa Allah kikubwa ni mwisho mwema. Asije akaharibu nyakati hizi za mwisho maana kuna clip niliona alisema hata umri alimuomba Allah maalum yaani asifike miaka fulan awe ameshakufa. Sasa anaikumbatia dunia mno sasa hv.
@williamlukubaniza84232 ай бұрын
Alete watu Kwa Allah, wakat yeye hayupo uko Allah gani uyo
@Khatib-xp6fp2 ай бұрын
Wale wasio muelewa huyu ipo siku wanamuelewa inshaallah allah akuzidishie kheir
@ibnhassan99802 ай бұрын
Amiin
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Amin Allah awaongoze tu
@sultanbakary42922 ай бұрын
Hapa hata mm namuunga mkono ila swala la maulid ajipange cwez kuacha kumswalia mtume
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
@@sultanbakary4292 kwan umeambia wa mtume anaswaliwa maulidin tu. Emu kila kipiti cha swala mswalie mtume mara 50 kwa siku itakua umemswalia mara 250
@Khatib-xp6fp2 ай бұрын
@@sultanbakary4292 waislamu wote kumswalia mtume ni lazima ata shekhe hajakataaa alicho kataaa yeye ni mtume kupewa sifa ambazo hazija thibiti na kusherekea kuzaliwa mtume km wanavofnya wakiristo kusherekea siku ya yesu umwelewa
@nooromar62332 ай бұрын
Binadamu kabla yaku sikiliza mtu moja lazima ufanye research kwa ma sheikh tofauti kabla yaku poteya binadamu dhaifu inshallah mungu atuongoza kwa haki na kwenye mazuri
@augustomariosama1542Ай бұрын
Shaikh Muhammad Bachu ni mwepesi sana Kwa kufafanua mambo MashaAllah
Unakosea kwa siri unaonywa kwa siri lkn kama umefanya mambo hadharani ya kupotesha umma lazime ukosolewe hadharani ili jamii ijuwe kwamba ulichofanya ni kosa
@AbdallahMzonge-pg9il2 ай бұрын
Asipokosolewa hadharani jamii ingeendelea kuamini kwamba doctor Sule yupo sahihi kumbe hayuko sahihi
@ramadhanrashid10402 ай бұрын
Hapana amepotosha wengi.
@abdullmohdy527827 күн бұрын
Akishampigia sim je 2ale waliopokea yale maelkezo maovu kutoka kwa sule walioigiwa cm
@HussainMaula-wr5co2 ай бұрын
Shekhe bachu hata sisi tuliokua watu wa maulidi Alhamdulilahi kwa darsa zako tumetoka huko maana kwenye maulidi ni mtihani wanaume wanachanganyika na wanawake watu wanacheza kama club ni mitihani walahi Allha atuongoze.
@athumanabubakary59302 ай бұрын
Dr. Sule kanogewaa na duniaa kias Allah kamdhihirishaa ubaya wakee wa kuwapotezaa watu au waislamu
@Chalazatz2 ай бұрын
Shekhe nakupata vyema. Allah akupe umri mrefu🙏🏽🙏🏽 #kwenye ilm tuzingatie pasi nakujali tofauti za madhebu Shekhe wetu bin nasoro bachu namuelewa vyema hakika #Mashekhe ni kioo Cha jamii ila style ya nywele za khekh sule inanitatiza inafanana na ya harmonize
@canoksancomprehensivelearn71822 ай бұрын
Wallaahi nawapenda sana watu wa tawhiid wanaompwekesha Allah na hawaingizi shirki, Allah pekee anatutosha ikiwa sisi ni waumini wakweli
@YahyaYahya-vp2pp2 ай бұрын
Me nakila siku nasema huyu ni king wa khutbah.. Angalia alivyoipangila vizur unataman isimalize. Yani khutbah inafundisha kwel kwel lbda moyo wako uwe mgumu
@salimuiddi36072 ай бұрын
Mashallah mwenyezi mungu akupe umrii mrefu Shekhe wetuu Aminii ili uzidi kutufundisha na kutujuza tusiyo yajua Inshallah
@abdulsalum28522 ай бұрын
Allah akuhifadhi sheikh safi sana huu umekua mtihani katika umma huu
@MuungwanaHalisiАй бұрын
Allah Akbar, Allah akuhifadhi na uwe na mwisho mwema Akhy lkariiiim. Pia Allah amuweke pepo ya Fridays l, aghala Sheikh Nasoor Bacho ambaye ni babako
@musarashid-xw1qm2 ай бұрын
Mashallah allah akubaliki nimewaidhika namuomballah aniongoze
@hadijahamza15562 ай бұрын
Mwambie huyo anaficha ushirikina katika dini safi ya Allah, subhanallah😢
@aminaliwasa94382 ай бұрын
Sheikh Masha Allah ili natarajia hili na Allhamdhulillah Allah akuhifadh Sheikh na awaongoze ao wanafata shaitan na kupoteza umma
@rehemaseif17852 ай бұрын
Jazakallahu khair. Allah s.w atuongoze ktk njia yake iliyo nyooka. Amin🤲
@ahmadmohamedabdallasaid71682 ай бұрын
Awe rais wa Tanzania kama kweli subhaallah Allah amuongozea
@jamalcaparol61732 ай бұрын
Sule sasa Leo Allah kakuletea elimu kupitia kijana mdogo anae jiamini kwa taufiki ya Allah ewe sule mche Mola wako hakika kijana kafikisha ujumbe wala hajakutukana
@abrahamanalliy21152 ай бұрын
SULE NI MCHAWI ZAHIRI.HII HAINA CHENGA. KATHIBITISHA SULE KWA KINYWA CHAKE.SULE KWA KAULI YAKE SULE KARITADI DHAIHIRI
@user-rs6es9mk9y2 ай бұрын
Allah atuhifadhi sote na mashekhe washirikina na atupe muongozo wa haki ameen...
@RashidJuma-uh8sv2 ай бұрын
Uislamu ni kukumbushana shukrani sheikh m n bachu
@user-cp8dn4rh8t2 ай бұрын
Asante sana sheikh Mohd Kwa kututibia Hawa watu wajinga Tz huyu Sule ana winzake matapeli kweli wamehama ktk Imani yao
@mfalmenajjash21282 ай бұрын
Sule amejichanganya , niafadhali afanye mambo yake siri yeye na Allah tu kuliko kuongy live niwengi wanapokeya upotovu nawengi watafanya kama alivyo elekeza pasi naelimu Sule hembu acha duniya muelekee Allah utaishitu usitafte sababu za kumshiriki Allah ndugu yangu utaumiya uko tuendako itikadi hiyo siyosahihi Docter Sule
@HabibSuleiman-id1rb2 ай бұрын
Subhaaallaah INNAALILLAAHI WAINNAAILAYHI R RAJIUUN. Kwa maneno ya sule nivyema Ashahadie Amekufuru. Lakini akijua
@mwanaishakama33812 ай бұрын
Hamuogopi kuhukumu watu jamani hatakama lkn ongea kwa kuelimisho sio kumlenga mtu moja kwa moja mbona msiinge mifano ya tabia ya kipenzi chetu bwana mtume Muhammad S.A.W
@MawelaKatimka-jp1us2 ай бұрын
Masha Allah hii ndio daawa sio unaropoka ropoka mambo ambayo unaonekana hauna elmu hii nimeipenda allah akuripe amiiiiiiin