Rais wangu huyu kwakweli nampenda aana nawewe kama unampenda my, Rais like hapa
@mnerostationeries11135 жыл бұрын
Kama na ww umeupenda uo wimbo wa Rc bas tupo pa1
@consolathambuya65804 жыл бұрын
Mtunzi n nan kaka huu wimbo samahan🙏
@frediricknandonde16903 жыл бұрын
Oy niaje ? Patieeeeee henzi hizo na marehemu amosi na mzee baba paki .nimekuotea huku
@frediricknandonde16903 жыл бұрын
@@consolathambuya6580 nitumie namba ninao
@rassimbaengswahili61915 жыл бұрын
Laa huyu Rais kweli tumepewa na Mungu si kwa uwezo wetu sisi kama wanadamu
@ngurumanmwita85545 жыл бұрын
Maisha yko vp?
@veronicamchilo85525 жыл бұрын
john thobius tumepewa na yule mzee wa tume ya uchaguzi
@vincentauxerbius75545 жыл бұрын
Tokea nipate akili sijawahi kuona raisi yyte akifanya hv kwakweli raisi tumempata hizi ni Neema za mungu pekee...mungu akubariki raisi wetu......like zote hapa
@apostleadamgige46625 жыл бұрын
Kwakweli hadi raha,hongera mh wetu,Mungu akujalie maisha mema na afya njema
@BongoCryptos Жыл бұрын
Tunao mkumbuka JPM tukutane hapa.
@wolfugangtesha57245 жыл бұрын
Hakuna price ya kuwa humble....Rais wa watu
@jayblack43135 жыл бұрын
Only in Tanzania god bless our land
@danielkwilemba47155 жыл бұрын
Not seen before!
@gipsonice7gipsonice7915 жыл бұрын
Tangu nizaliwe sijawahi ona ndokwanza kuona god blesses magufuli acha we unaweza father of tz
@elminakalunga40305 жыл бұрын
Why not! God's blessings upon you? OUR HUMBLE PRESIDENT! SERVANT TO HIS PEOPLE.
@samirmandala86015 жыл бұрын
Hivi nitu vya kukumbukwa hakika ni kiongoz wa mfano
@jameskasongi31915 жыл бұрын
baba Mtakatifu Magufuli, utuombee....good, muda c mrefu warumi tutakuita st.magufuli..gonga like kama umekubali
@efelimwambije7085 жыл бұрын
Like
@jumakapo99145 жыл бұрын
Nampenda sana raisi wangu mchapa kazi mcheshi anacheka na kila mtu kweri mungu baba mpe huhai raisi wetu John pombe makufuri love you so much
@georgegerald35982 жыл бұрын
Yapo mambo Nita sahau vipo vitu ntavi sahau lakini sio rais wangu nilie mpenda toka moyoni kabisa Mungu alimpenda zaidi watanzania tu mwombee zaidi tu hayati rais wetu magufuli kazi aliitenda jaman
@masalumathias92175 жыл бұрын
Leo wa 3 ku comment hebu nami niombe like zenu sasa maana huwa sipati like
@esterryoba25385 жыл бұрын
W nimfano wakuigwa rais wetu
@chiefmahucha68475 жыл бұрын
Ahhaaaaa.... Kaka likes hupalewi kwa kuwa wa kwanza, pili au tatu ku-comment... Bali utapewa kulingana "Comment" yako.,..
@chiefmtoto13655 жыл бұрын
Mfano wa kuigwa ni Mh Dk John Magufuli,pia kama umeona jamaa mmoja amevaa shart ya rangi ya blue hahatoa sadaka ila kaweka mikono nyuma gonga like kwangu
@shedrackmgaya63415 жыл бұрын
Hakiya mungu huyu raisi kashushwa na mungu tunalaisi wa kipekee kipenzi cha Watu tz hapa mungu akupe maisha marefu raisi wangu
@LM-dh1fq5 жыл бұрын
Dah Hadi machozi yani Sala zetu zipo kwako Raisi wetu. Unaiga na unafwata nyendo za baba wa taifa. EE MUNGU MWENYEZI TUNAOMBA UMJALIE KIONGOZI WETU AFYA YA ROHO NA MWILI WAJALIE NA WATANZANIA WOTE AFYA YA ROHO NA MWILI TUNAOMBA HAYO KWANJIA YA YESU KRISTO MWANAO ... AMINA
@petromtakati29753 жыл бұрын
Amen 😭😭😭 RIP magufuli
@organistsskills49213 ай бұрын
Nimelia sanaa 😢
@mhandokadudu18655 жыл бұрын
Asili haipotei. Kuwa wa kwanza kutoa huduma mbele ya Mungu.
@dickaugustino22145 жыл бұрын
Hatareeeee !
@amaninaupendo.35395 жыл бұрын
Amen Amen. Umoja , amani na upendo vidum milele yote. Natamani kukutana nawe Mzee wetu. Mungu Mungu aishie Milele yote akubariki na kukulinda wewe na wote wa nyumbani mwako. Mungu ibariki Tanzania , Mungu ibariki Afrika na Watu wake. Amen Amen.
@eliyawilliammagesamarwa84135 жыл бұрын
Mungu akubaliki sana akukupe Kuongoza adi mwaka 2035
@deusdeditphilipo42985 жыл бұрын
Mungu akulinde Raisi wng
@Mr.Eden_official5 жыл бұрын
Nampenda Rais wetu Magufuli.Mungu anaipenda Tanzania kwa kituletea kiongozi mwenye hofu ya Mungu.nchi sasa inaenda kubarikiwa
@UnitedAfricansTv3 жыл бұрын
Tanzanians you are very Blessed to be having such a humble and Serving leader. Naona mkitushinda sisi wakenya soon. Big love from Nairobi
@frednyangwechi7742 жыл бұрын
Kenya.nikutokuona rao yuko
@agathathobias86905 жыл бұрын
Yaan had raha Rais wetu n mnyenyekevu mbele za Mungu hapo urais kaweka kando anatumika
@danielmwasi49565 жыл бұрын
Agatha Thobias siasa
@agathathobias86905 жыл бұрын
@@danielmwasi4956 mtazamo wako binaadam hata utende mazur huwez pendeza wote
@khalifanimussa53835 жыл бұрын
Wa mwanzo leo ama kweli huyu ni Rais wa wanyinge na niwamfano duniani mungu amueke insha allah
@omira-yb4ip5 жыл бұрын
Hongera halfani ujumbe wako mzuri wala hukuangalia tofauti ya dini ubarikiwe sana
@kbdk30655 жыл бұрын
Nimekuja kuwa tumikia sio ninyi mnitumikie Umefanya vyema raisi mpaka mapadri wamefurahi sana maana unajuwa kujishusha.
@kbdk30655 жыл бұрын
Aliye mkubwa kwenu na awe kama mdogo
@agathamwashimaha70125 жыл бұрын
Hongera Raisi wetu kuonyesha unyenyekevu
@daudpatrick11739 ай бұрын
Yaan cjui kama tutakuja kumpata rais kama JPM, alikuwa mzarendo sana, yaan mungu alitupa adhabu kumchukuwa JPM. Amen.
@MrKipedd5 жыл бұрын
How can you not like this president.God bless this president.We need more presidents like this in Africa
@lillygraceakongo66213 жыл бұрын
God may blessed raid magu
@joycejohn3253 жыл бұрын
No one like him, hajawahi kuwepo wa hivyo mpaka sasa labda huko badae. Rise in power JPM, nilitamani iwe ndoto niote iishe lkn dah
@noelimafwele6023 жыл бұрын
Mungu amlaze Rais wetu mahali pema peponi amin
@mussamchena95953 жыл бұрын
Upumzike kwa amani jemedali wetu😭😭
@christinawatson51145 жыл бұрын
Vzr
@mawayamawaya2405 жыл бұрын
Vizuri
@erickwanjarajr57075 жыл бұрын
Mtumishi kweli
@danielkwilemba47155 жыл бұрын
Usiseme vizuri tu ...Sema kafanya Vizuri sana!
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
......REST IN PEACE... REST IN POWER MAGUFULI 😭😭😭😪😪😪😪😪 WE STILL LOVE YOU..,
@rassimbaengswahili61915 жыл бұрын
Ahsante Mungu
@malaki0474 жыл бұрын
Mimi ni Mkenya ila hogera kwa unyenyekevu wako Rais magufuli inshallah Mola akueke nime amini wewe ni mteule
@hindisaidi50975 жыл бұрын
Haijambo. Nimeipenda hio.mwanzo nilidhani atapokewa lkn kaamua kufanya mwenyewe.
@dennismalima53655 жыл бұрын
Hili jambo ni la kusisimua Sana Live long JPM
@Parokoofficial2 жыл бұрын
Jamani hii nyimbo inaitwaje
@antonymurethi27082 жыл бұрын
Truly legend never dier
@Tanzaniaunforgetable1961 Жыл бұрын
+An Iconic Leader! Mfano wa Kiongozi. Hybrid ya pekee ambayo itatuchukua miaka kuipata sampuli hii ya kizalendo 🇹🇿🙏🏾 Pumzika JPM❤
@mpambanajitz70268 ай бұрын
Hapa ndio nakumbuka sana vile YESU kristo alivyoamua kuwaosha miguu watumishi wake MUNGU anatukumbusha kuacha HALI tulizonazo nakujinyenyekeza kwa WATU wa hali ya chini. R.I.P Dr JPM
@diltondilunga99155 жыл бұрын
Kumbukeni maneno yake, nanukuu ,Mimi ni mtumishi wenu,.
@regonmshanga89895 жыл бұрын
Jaman rais Magufuli Mungu akubariki sana, we ni mtumishi Mungu
@mgalami10 ай бұрын
Nimemkumbuka mpendwa wetu...jamani apumzike kwa amani.was such a wonderful president
@sarahkikove89815 жыл бұрын
Safiii
@michaelvincentmhagama86745 жыл бұрын
God bless
@petromtakati29753 жыл бұрын
Magufuli was born to mugufulify our nation and continent as well ... Tanzanian people's will never forget u forever papa .... continue to rest in peace amen 😓😓😓😓 your presence will be remembered forever.
@stevenkipara93105 жыл бұрын
Yes 😁🙏🏿
@dd-yc1mw3 жыл бұрын
Rais wangu wa maisha yote. Shujaa umelala usingizi wa mauti.
@shedrackmgaya63415 жыл бұрын
huyu tumupe tu miaka yote buku Maana kumi michache tutalia akitoka
@teamdammy74545 жыл бұрын
Shedrack Mgaya buku sema vizuri
@zackrichard36175 жыл бұрын
mbinu ya kuwaingia kisaikologia wanyonge....
@simonmsafiri86425 жыл бұрын
Shedrack Mgaya
@zainiamohd623411 ай бұрын
Inauma sana ila hatuna jinsi cha kumuombea
@DRIPPINGPAIN3 жыл бұрын
ALIHITAJI MAOMBI YETU WENGI WALIMTABIRIA MABAYA JAMANIII PLEASE..🤦🤦😭😪😪😒🚮 LET GOD ALONE JUDGE ALL THIS THINGS AND FORGIVE HIM HIS SHORT COMINGS OUR PRESIDENT 🙏 AMEN
@lazaromgaya21325 жыл бұрын
good
@sixseniii12183 жыл бұрын
mwenyezi mungu Akupumzishe mahala pema peponi
@timotheohongera17383 жыл бұрын
Nimeimba huu wimbo Leo kanisani machozi yakanitoka nilivyomkumbuka Raisi wetu
@organistsskills49213 ай бұрын
Mungu akupumzishe salama JPM😢
@dullahtechtz342211 ай бұрын
Alikuwa wa tofauti sana
@kenethmichael19265 жыл бұрын
Waroma kesho mshaharà tutagawànà,,,@
@mutalemwagabriel22775 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@bonniem72605 жыл бұрын
Mtu anaye jua huo wimbo unaitwa aje anisadie kuujua
@amanrwezahula60635 жыл бұрын
jamani huyu rais wetu sio mtu wamajivuno
@zawardrugemalira67775 жыл бұрын
nice
@marcopeter40912 жыл бұрын
BWANA ALITOA BWANA AMETWAA JINA LAKE LIHIMIDIWE! UPENDO SAFI MPAKA RAHA
@veronicamchilo85525 жыл бұрын
Asije zipeleka kwenye kujengea zahanati😂😂
@toyedward74755 жыл бұрын
hii ndoo maana ya kuwa role model kama kiongoziiii
@nyambelewinfrida90745 жыл бұрын
Jembe lenyewe halisi halisia jaman Mungu akulinde jembe letu.
@gracethomas6835 жыл бұрын
hii ndo nimeiona leo....kumbe ni muda...doooh! vitu vingi vimenipita!!!!
@rafaeryjonas79225 жыл бұрын
Huyu ni rais wa kipekee xana mungu akujarie uzima wa kufanya kazi.
@drombeamoria8213 Жыл бұрын
How can you take this kind of personality God! if you're NOT Heartless!... i'll remember you as long as i breath....RIP...Malimu
@petertabitha287 Жыл бұрын
Kuna wale mbwa waliokuwa wanaamininisha watu mwamba alikuwa dikteta hivi wanajisikiaje kwa sasa
@shukurukihwelo30847 ай бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😮😢😮
@michaelndilima62103 жыл бұрын
Real President of humbly Tanzania.
@steventitus21745 жыл бұрын
Asante magu
@damiangabriel87215 жыл бұрын
Safi sana Mungu akubariki Rais wangu
@rashidkawaga42795 жыл бұрын
Mungu ni mwema sana
@danitarimo50135 жыл бұрын
Safiii
@philipowyinjones9645Күн бұрын
Daaah kwel Dunian Tunapita
@GasperMacha-b4j11 ай бұрын
Huu wimbo nikiusikia naumia sana
@danielonyango54089 ай бұрын
😢😢😢True leader 😢
@nurdinmzuzuri13836 ай бұрын
Mwamba huyu hapo aise R.I.P
@dennismalima53654 жыл бұрын
Humble president ever.. Inasisimua aisee..
@ibrahimaziz71585 жыл бұрын
Mzee wa nitoke vp
@masumbukoclement45822 жыл бұрын
Pumuzika Kwamani Laisi Magufuri🙏🙏😭🇹🇿🇹🇿
@esterrhobi28245 жыл бұрын
Amen
@sarahsarah49195 жыл бұрын
Hakika tumepata laisi
@emmanuelmmarwa92755 жыл бұрын
Jaman Mimi naona myika inakimbiya na katiba ya nchi ni myika 10 jaman adi laha
@michaelndilima62103 жыл бұрын
Mungu baba was mbingu na ardhi akuweke pahala pema peponi
@fidelismwakanyamale6787 Жыл бұрын
Àlikuwa waaina yake huyu kiumbe anaye mjuwa ni Mungu tu
@simionshinini4395 жыл бұрын
My president Gud bless you
@sujasara69003 жыл бұрын
God bless Mr president
@herimulikiautorite28905 ай бұрын
Carte Rose
@herimulikiautorite28905 ай бұрын
Carte Rose
@edsoniminani Жыл бұрын
Eeee Mungu tupe Tena Rais kama huyuu jamani tanakuimba Mungu
@isakakidolile2708 Жыл бұрын
wtz hasa maskin bado tunakukumbuka babaetu😭😭😭MUNGU aiweke roho yako mahali pema pepon
@user-fe2fw3qt7f8 ай бұрын
Dah!! Kweli wema hawadumu
@nurdinmzuzuri13836 ай бұрын
sana tu aise jamaa alikuwa Mwamba sana aise
@user-kl8xf1yk2b5 ай бұрын
Nimicho gundua magufuri alikuwa anaogopa watu maskini kuliko wenye hela yaan kuwaheshim😊
@deboraevaristo46015 жыл бұрын
penda sana rais wangu.najivunia kuwa mtanzania...
@nikolausishillingi3786 ай бұрын
Pengo duh
@ponsianpatrick9157 Жыл бұрын
Love you forever magufuri
@magembemakoye50372 жыл бұрын
Tutakukumbuka rais wetu mchapa kazi
@zmwailugula8922 жыл бұрын
RIP BABA ,MUNGU AKUWEKE MAHALI PEMA PEPONI ,KAZI ULIIFANYA
@danielmwasi49565 жыл бұрын
Kweli Mungu tunamfanyia maigizo.
@lillygraceakongo66213 жыл бұрын
Museveni should do the same kare
@joycejohn3253 жыл бұрын
Kimtokacho mtu ndio kimeujaza moyo wake, kuna maigizo gani hapo sasa, yeye kukusanya sadaka au? Si ni sawa kama angekusanya mtu mwingine au
@yunusmchalu9305 жыл бұрын
Hongera sana rais wetu MANARA ajifunze kuwa maendeleo yanaletwa cc wenyewe sio MO DEWJI