No video

RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...

  Рет қаралды 141,453

Global TV  Online

Global TV Online

Күн бұрын

RAIS MAGUFULI ALIVYOSHTUKIZA KINONDONI KUKAGUA MSIKITI, AIOMBEA CORONA...
RAIS John Magufuli leo tarehe 28 Februari, 2020, amekagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Kinondoni Jijini Dar es Salaam.
Msikiti huo unajengwa kwa ufadhili wa Mfalme Mohammed VI wa Morocco baada ya kuombwa na Rais Magufuli alipofanya ziara rasmi hapa nchini Oktoba 2016.
Akiongozwa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir bin Ally, Magufuli amejionea kazi za ukamilishaji wa jengo jipya la msikiti na jengo la ofisi ya Taasisi ya Mfalme Mohammed VI wa Morocco zikiendelea kukamilishwa, na ameelezea kufurahishwa kwake na ubora na uzuri wa msikiti huo.
UNA HABARI? WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982)
( +255 676 229628)
Email: globaltvbest@gmail.com
abbymrisho@gmail.com
(+255 784 888982)
( +255 676 229628)
HABARI MPYA DAILY:
bit.ly/habarimpya
HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA:
bit.ly/mikasa_y...
GLOBAL RADIO TV:
bit.ly/255globa...
EXCLUSIVE INTERVIEW:
bit.ly/exclusiv...
Subscribe Global TV, Channel itakayokupa Habari na matukio ya kipekee nchini Tanzania
Subscribe bit.ly/globaltv...

Пікірлер: 392
@radhiambwana8787
@radhiambwana8787 4 жыл бұрын
Mashaa Allah uliahidi kuusimamia kwanzia jiwe LA msingi hadi kukamilika kwake nakwauwezo wa mungu umefanikiwa. Hongera.
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 3 жыл бұрын
Rest in peace daddy you will never be replaced 😭😭😭😭😭😭
@khadijasongoro9674
@khadijasongoro9674 3 жыл бұрын
Innalillah waina lillah rajiun mwenyezi mungu akulaza pema akupunguzie adhabu ya kabri umetuliza watanzania saana saana maneno yako yataishi hata kwa vizazi vijavyo watauliza magufuri alikuwa mtu gani lakini watasikiliza ulichokuwa unapigania😭😭😭😭😭😭😭😭
@saumuabdalla686
@saumuabdalla686 3 жыл бұрын
Allah akuweke mahali pema penye wema akusamehe madhambi yako ya siri na ya dhahiri Insha Allah
@andulilemwakihabha2048
@andulilemwakihabha2048 3 жыл бұрын
Hakika utakumbukwa daima Raisi wetu JPM 🇹🇿💔😭😭😭😭
@YusufAli-ib6xu
@YusufAli-ib6xu 3 жыл бұрын
Everyday we have to pray for our late daddy
@halimamgeni5456
@halimamgeni5456 4 жыл бұрын
mkuu umependaza sana karibu sana kwani sisi ndio watanzania tunapendana bila kujali imani zetu amin.
@ismailmashimba3470
@ismailmashimba3470 4 жыл бұрын
Mungu amjaalie rais wetu asilimu ili tujumuike nae katika dini
@omarkhalfan2985
@omarkhalfan2985 4 жыл бұрын
Ammen
@insteinjonga6651
@insteinjonga6651 4 жыл бұрын
Ndoto za mchana hizo, yeye ni kiongozi wa wananchi wote anaweza hata kwenda kuswali siku ya ijumaa lakini kwa kuwa akili za baadhi yenu ni haba mtaanza mauarabu yenu
@omarmwabege
@omarmwabege 4 жыл бұрын
Aaamin
@crintonjakobo7685
@crintonjakobo7685 3 жыл бұрын
Ulikuwa unaota
@josephandrew3444
@josephandrew3444 2 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna dini nyie dini maanaake ni njia ya kumtafuta mungu! Kwani mtume Muhammad (sw) alikua anaswari msikiti wa zeebu gani! Je ni shia,suni,salafi,hamadia,kadiria?!
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 жыл бұрын
dah ! wallahi Magufuli Mungu akuweke daima 🙏, halafu umependeza sana n'a kanzu na kofia, Mungu akuwezeshe "uslim" Insha'Allah 🙏🤲
@nehemiahshija2265
@nehemiahshija2265 4 жыл бұрын
Weeeeeee
@jeshilamtu863
@jeshilamtu863 4 жыл бұрын
IshaaAllah
@yuzotv458
@yuzotv458 4 жыл бұрын
Amina.
@salimhusseni4784
@salimhusseni4784 4 жыл бұрын
InshaAllah mweenyez mungu hamuongoze kuitafuta haki yote inawezekana leo Malala akiwa mkristo kesha hakwa muisilam
@magrethcosta2785
@magrethcosta2785 4 жыл бұрын
Mungu ni wa wote. Mawazo yako finyu.
@niyatmontes123
@niyatmontes123 3 жыл бұрын
Inauma lakini hatuna uwezo..rest in peace Dr.JPM
@yussufhaji3335
@yussufhaji3335 4 жыл бұрын
Namuomba mwenyezimungu akupe umuri mrefu na UZIMA KATIKA maisha yako yote raisi wangu MAGUFULI amiiin, unafanya mambo bila woga,bila kuangalia sura ya mtu,bila ubaguzi ,wewe nikiongozi waukweli, NAMUOMBA MUNGU ATUEPUSHIE MBALI KIONGOZI ANAE PENDA MADARAKA ASIYEJUA SHIDA ZAWATU KAMA MEMBE SIMTAKI KABISAAA ,
@zrazanzibarrespectiveacade9056
@zrazanzibarrespectiveacade9056 3 жыл бұрын
Dah yn mm cjui lini ntamaliza kulia juu ya hzi video za Rais wetu mpendwa ambye mungu ameshamchukua Ila kubwa tumuombee mungu inshallh amjalie maisha mema hko alipo inshallh Pumzika salama rais wetu mpendwa John Joseph Pombe Magufuli Amin
@aminamohd604
@aminamohd604 4 жыл бұрын
Msikiti mzuri mashaallah haya waislamu tufanye ibada sasa tusisubirie mwezi wa ramadhani
@andrewnyumayo9306
@andrewnyumayo9306 3 жыл бұрын
Eeeeh MWENYEZI Mungu umrehemu kiongozi wetu. Hakika MUNGU ALIKUWA NDANI YAKE. AMEN.
@yussuphshilingi3258
@yussuphshilingi3258 2 жыл бұрын
Mashudu huyu Hana rehma atayoipata
@asdfhdv9230
@asdfhdv9230 3 жыл бұрын
kwel ww umekuwa malaika maana matendo yako si mchezo🥰😰😢💔💔💔💔
@menalikechildren8836
@menalikechildren8836 4 жыл бұрын
Magufuli haimalizi 2020 atatamka shahada InshAllah
@insteinjonga6651
@insteinjonga6651 4 жыл бұрын
Hiyo ni sawa na kusubiri koran iwe kitabu kinachotumika makanisani.
@omarmwabege
@omarmwabege 4 жыл бұрын
Aaamin
@ziadaalute6836
@ziadaalute6836 4 жыл бұрын
Mungu akufanyiewepesi utamke shahada,Wakristo ni ndugu zetu tunawapenda sana.N A Alla amewataja mara nyingi Ktk Quran.
@salmadalaquimane2364
@salmadalaquimane2364 4 жыл бұрын
Inshaallah
@jafarimalungi2844
@jafarimalungi2844 4 жыл бұрын
Ishaalla
@mfalmewanyika2804
@mfalmewanyika2804 4 жыл бұрын
Umetuombea nyumba tukufu. Nasisi tunakuombea kwa Allah akuongoze kwenye njia ya haki Ameen.
@bukhanmohd456
@bukhanmohd456 4 жыл бұрын
👍
@korogwetanga810
@korogwetanga810 4 жыл бұрын
Aamiin yaa rabbi
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 жыл бұрын
YaaaaaaAlhaaaaa.muingize.Rais.wetu.katikaAki.mfishekatikaAki😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤❤❤❤❤❤
@baraka0346
@baraka0346 4 жыл бұрын
Maashallah
@leylahbillah4876
@leylahbillah4876 3 жыл бұрын
Ameen yaarabby 🙏😭
@GlobalSuccessNarratives
@GlobalSuccessNarratives 3 жыл бұрын
Yaa Allah msamehe mja wako huyu hakika amaefanya mambo makubwa🙏🙏
@mamafatuma138
@mamafatuma138 3 жыл бұрын
Allah akurehemu kwenye maisha yako mapya akusamee makosa yako ya siri na ya adhairi Inna lillah wainnaillah raajiun 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@deriodubose4199
@deriodubose4199 3 жыл бұрын
Mungu alishiriki kwa kila kitu ulichokifanya.hatutakusahau milele ktk jamii yetu.
@edyhasan9071
@edyhasan9071 4 жыл бұрын
Yaniii huyuu rais anajuwa hasa kuwa allah ndiye mungu wa pekèe anayefaa kuabudiwa lwa hakii kusema ukweli ila iko siku allah atamuonesha hakii aifte inshallah
@maryamahmedkhamis1713
@maryamahmedkhamis1713 4 жыл бұрын
Inshaallah
@aliy3303
@aliy3303 4 жыл бұрын
Ameen
@hamidahamida1473
@hamidahamida1473 4 жыл бұрын
AlhahuAkbaru😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@abdallakhamis9249
@abdallakhamis9249 4 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu tunakuomba umuingize kwenye uisilamu rais Wetu huju,
@fredrickmartin995
@fredrickmartin995 4 жыл бұрын
Hiyo siasa wewe magufuli hawezi kuwa kafiri
@raziaidd2392
@raziaidd2392 3 жыл бұрын
Mola akurehemu rais magufuli😭😭😭😭😭💔💔
@gespardanil2009
@gespardanil2009 4 жыл бұрын
Mungu akujalie maisha ya mema duniani na akhera
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 4 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA MUNGU NI MSHINDI BABA NAKUPENDA SANA UNAVYOPENDA KILA MTU UNAVYOPENDA KILA MAENDELEO MUNGU WETU ATUBARIKI SOTE AMINA
@aliadam4773
@aliadam4773 4 жыл бұрын
Hongera Mr President for good job umeonyesha upendo mkubwa kwa dini zote. Allah akulinde
@onlyonetztv610
@onlyonetztv610 3 жыл бұрын
Kila nikitazama hizi kumbukumbu nalia sana nenda salama Magufuli
@dinahshirima6356
@dinahshirima6356 3 жыл бұрын
Inaumiza sana
@dinahshirima6356
@dinahshirima6356 3 жыл бұрын
Ninaimani yko peponi.kwa sadaka zake na utu wake kwa kila MTU.hakujali kipato cha MTU,dini,Allah ampe kauli dhabiti.ameen
@himlayzer3543
@himlayzer3543 3 жыл бұрын
Hio ndio azina yako baba mnyezi mungu akusamehe makosa yako baba kwa wema ulo u fanya inshaallah atasameheka mbere ya allah
@peaceisrael8158
@peaceisrael8158 3 жыл бұрын
Tunamshukuru Mungu kwa msikiti mkubwa, mahali pa sala ni mahali pa Mwenyezi Mungu🙏🇹🇿
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Manshaallah mungu akupe afya,tz tumepewa tunu huyu sio rais Zaid ya tunu inshaallah kher.
@bernadozmbithi3517
@bernadozmbithi3517 3 жыл бұрын
😢😢mwenyezi mungu akujaalie jahanna fir'daus
@aliabass9392
@aliabass9392 4 жыл бұрын
Hongera sana baba JP kwa jitihada zako za maendeleo zisizo na ubaguzi wa dini wala kijamii,Inshallah mungu azidi kukuongoza katika haki.
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 жыл бұрын
Dah inauma sana . Mungu muweke Rais wetu JPM mahali pema peponi.
@YussufJAli
@YussufJAli 4 жыл бұрын
Ahsante sana Rais Magufuli: Na sisi waislam tunakuombea kwa Alla kila wakati, Allah akulinde na shari zote na akuongoze ktk njia ya haki.
@jimmynassa3439
@jimmynassa3439 4 жыл бұрын
Jpm unanitoa machozi nakupenda sana mwenyezi Mungu akupe afy tele
@gangmore9091
@gangmore9091 4 жыл бұрын
Uwatoe jela Mashekhe wetu wote n ukislim utazidi kuwa mwema kwa mungu
@saidiramadhan9756
@saidiramadhan9756 4 жыл бұрын
Nikweli mm mwenyewe swala la mashekh linaniuma cn ila ipo siku mungu atatujibu tu.
@douglasjackson373
@douglasjackson373 4 жыл бұрын
Nassor More Ebu nielewesheni kidogo Mbona presha kubwa sana kwa Magufuli kuwa Toa mashehe wakati walifungwa kipindi cha awamu ya nne!? Je kwamba Magufuli hajui hilo Tatizo?@Nassor More
@magrethcosta2785
@magrethcosta2785 4 жыл бұрын
Na huo ukristo wake imetosha kwa Mungu kuifanya kazi ndani yake, sio lazima kumwombea et aslimu ndiyo awe mwm.
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Hivi waislamu hamuelewi hapo Mungu ana wafundisha Nini? Mbona mnakiwa mazuzu hivyo? Hapo Mungu anawafundisha kitu, sio mpka mtu uwe muislamu ndio ufanye mema. Hata wapagani na wakristo wanajua kufanya mema kutokana na dini zao zinavyo sema. Mpo mazuzu kweli kuelewa hiyo. Mmebaki kulia na dini ya haki🤔😁😁😁 kalieni hapo kwenye dini ya haki, wakristo tuzidi kuwaonyesha kwa matendo
@ZainabAtuli
@ZainabAtuli 4 жыл бұрын
Masha allah rais wetu mwenye roho nzur, allaah akujaalie kila la kheir m/mungu yupo naww akujaazie barak tutakupenda daima
@mohdamour1427
@mohdamour1427 4 жыл бұрын
Alah amjalie hero raisi magufuli alah akujaalie usimamie pia ubaguzi ambao upo viasiwani zanzaibar uondoe uunguja Na upemba hata kwa njia zako zote
@ZainabAtuli
@ZainabAtuli 4 жыл бұрын
@@mohdamour1427 Mbona hakuna ubaguz wapendana vzur tuu?
@mohammedkhkombo4439
@mohammedkhkombo4439 4 жыл бұрын
Allah naomba mlete kwenye uislam Mr magufuli inshallah
@insteinjonga6651
@insteinjonga6651 4 жыл бұрын
Aje afuate nini sasa?
@mohdamour1427
@mohdamour1427 4 жыл бұрын
Nampenda sana raisi magufuli Na naamini atawafanya waunguja Na wapemba waache kubaguana muheshimiwa ukiliweza hill kwa upande Wa Zanzibar itakuwa umetufanyie heri kubwa sana Leo Mpemba anamuona mmbwa MTU Wa unguja Na waunguja anamuona mmbwa MTU Wa Pemba wrote hawa no ndugu
@hawaryaqueenibrahim9086
@hawaryaqueenibrahim9086 4 жыл бұрын
Masha'Allah ipo siku Allah atamjaalia hidaya
@yassinm69
@yassinm69 4 жыл бұрын
Amin
@dachjunior4766
@dachjunior4766 4 жыл бұрын
Nisaidie hapo *"atamjalia hidaya"* hilo neno *hidaya* nini *maana* yake?
@fatmanammanje1782
@fatmanammanje1782 4 жыл бұрын
@@dachjunior4766 hidaya maana yake "Zawad"
@hawaryaqueenibrahim9086
@hawaryaqueenibrahim9086 4 жыл бұрын
@@dachjunior4766 maana yake atamjaalia guidance awe muislam kabisa
@yuzotv458
@yuzotv458 4 жыл бұрын
Amin
@matsarigi2986
@matsarigi2986 3 жыл бұрын
Wallahi ni shahada tu lakini Allah anajua zaidi. Ewe Mola amrehemu na usamehe madhambi yake yote ya siri na dhahiri 🙏🙏
@mussathomas1460
@mussathomas1460 4 жыл бұрын
Tunamuomba Allah amuongoze rais wetu katika uislaam.... Amin
@hamzakiba9971
@hamzakiba9971 4 жыл бұрын
Allah akujalie na moyo huo huo rais wet Allah akupe nguvu insha Allah naakuwezeshe uslimu warallah maan umependez sna
@mophatbejoseph880
@mophatbejoseph880 4 жыл бұрын
Unafanya vizuri mpaka unakera mweshimiwa mungu akupe maisha marefu jpm
@hanaffitomary5588
@hanaffitomary5588 4 жыл бұрын
Mngeomba chuo cha kiislamu ingekaa sawa ila nampongeza mr presdent kwaimani anayo onyesha kwadini zote mungu ampe gheri naafya njema
@mirajiabdallah7131
@mirajiabdallah7131 4 жыл бұрын
sio mbaya hata hili lililofanyika ni jema pia tuseme alhamdulillah
@mathiasmsese6128
@mathiasmsese6128 4 жыл бұрын
@@mirajiabdallah7131 chuo kipo morogoro au hujui, nafikiri la msikiti pia ni sawa coz wataingia woote
@farajibuteta6258
@farajibuteta6258 4 жыл бұрын
Chuo kipo tyr morogoro
@Struckmoha
@Struckmoha 4 жыл бұрын
Allahu Akbar! Rais Magufuli Allah SW atakuongoza ktk maisha yako hapa duniani na akuonyeshe njia ya haki itakayo kuingiza peponi. InshaAllah. Huku Uhuru anatupa masharti mazito ya kufungua misikiti Allah tuongozee na huyu wetu pia awe na huruma na wananchi wake na kutenda haki na usawa bila ukabila , dini au rangi.
@philimonkitosi6203
@philimonkitosi6203 3 жыл бұрын
Nitamlilia ndugu laisi magufuri kwakufanya kazi sana kwasababu ndiyo ujumbe wake mkubwa namimi naamini tukifanya kazikubwa sisi watanzania tutakuwa tumemuezi ndugu yetu magufuri ambae alikuwa laisi wetu mungu amuweke mahala pema peponi Amina
@fama0043
@fama0043 4 жыл бұрын
Wow what a beautiful mosque u will feel like ur in Rabat morroco God bless u magufuli .
@bin2_hassanhassan499
@bin2_hassanhassan499 4 жыл бұрын
Mashalah mashalah hapa wa tanzania wamepata raisi wa kweli mungu amzidishie hongra sana
@abubakarkada3083
@abubakarkada3083 4 жыл бұрын
Kwa hilo lazima tushukuru sana!Allah akuzidishie iman ufanye zaidi ya hapo
@ahmedjack4135
@ahmedjack4135 3 жыл бұрын
Leo hatuko nawe tena ww magufuliii nenda sana naumia sana babs
@bayaanhumud4328
@bayaanhumud4328 4 жыл бұрын
Mheshimiwa Rais Magufuli hongera sana sannnaaa sannnaaa Allah akuongoze katika njia iliyonyooka Allah akujaalie uingie katika uislam dini ya kweli ya hakki tumefyrahi saaannnnnaa kwa ulicho tufanyia Allah akulinde akuhifadhi akustiri na kila baya lisikufike ulicho kifanya nikikubwa saaaannnnaaaa yaani hadi mwili unanisisimka kwa kuona japo zitto ulolifanya hongera sana tunakupenda wazanzibar tulipo nje ya tanzania yetu
@filyakusimsigwa7954
@filyakusimsigwa7954 4 жыл бұрын
Mm ni mkristo kama wewe Rais wetu mzuri magufuri kwa hili ulilolifanya Mungu wa mbinguni akubariki sana
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Amina, hata mimi nimefurahi. Sasa sijui wanavyo tuitaga kafiri, hapa leo wamenyamaza
@rhiophiri9645
@rhiophiri9645 4 жыл бұрын
Doctor President Magufuli am not a Tanzanian but I say u luk fantastic in that regalia,congrats, keep on dressing like that
@mugishanasra1919
@mugishanasra1919 3 жыл бұрын
Allah akulinde na adhabu za kaburi uli kuwa mutu muzuri
@Ikbal.D
@Ikbal.D 3 жыл бұрын
المعمار المغربي لا يعلى عليه، تحية للصانع التقليدي المغربي⁦👍🏻⁩💕⁦🇲🇦⁩
@SaotmAlohtm
@SaotmAlohtm 2 ай бұрын
Alahuakibar Mungu ammupokee raisi wetu ،،
@yasodishonest9792
@yasodishonest9792 3 жыл бұрын
Mashaallah mashaallah. Mungu akuifazi uko ulipo baba.tusha kumisi😓❤🤲🤲🤲
@abdullahmhina2207
@abdullahmhina2207 Жыл бұрын
Inalilah waina ilah rajiun Allah akuepushe na dhambi ulizo chuma InshaAllah akujalie pepo
@omarysalim2959
@omarysalim2959 4 жыл бұрын
Mwenyezi mungu akuongoze na moyo huo huo raisi wetu
@erastofrancis684
@erastofrancis684 4 жыл бұрын
Ubarikiwe mh raisi wetu ishallah udum daima amin
@kibwanabundi511
@kibwanabundi511 4 жыл бұрын
Muombeni awatowe wale mashekhe gerezani
@zayyatiyussuf9566
@zayyatiyussuf9566 4 жыл бұрын
Amin Allah amjalie umri wenye afya njema
@samanthaali873
@samanthaali873 4 жыл бұрын
Allahu Akbr mola amjaalie siku moja atamie shahada in sha Allah
@salimhusseni4784
@salimhusseni4784 4 жыл бұрын
InshaAllah
@najmanajma-4765
@najmanajma-4765 4 жыл бұрын
MashAllah Mh rais Mungu akuongoze katika njia ilonyooka na akuepushe na maradhi na akujalie mwisho mwema
@habibujuma8599
@habibujuma8599 4 жыл бұрын
Ndo huo huo jeny yusuph, ndo karud kukagua kwa kushtukiza, mungu akupe maisha marefu inshallah
@hirymwanze7094
@hirymwanze7094 4 жыл бұрын
,may Allah show you the right path Mr President Magufuli inshallah
@rachelkibaya8537
@rachelkibaya8537 4 жыл бұрын
HACHAGUI WALA HABAGUI,BINADAMU(WATANZANIA) WOTE NI NDUGU.TUPENDANE WAKRISTO NA WAISLAMU.TUDUMISHE UNDUGU NA WALA TUSIBAGUANE. MAGUFULI UBARIKIWE
@ibrahimmussaali2986
@ibrahimmussaali2986 4 жыл бұрын
Hakuna mapenzi wewe kati ya waisilamu na wakiristo kafiri kafiri tu hata afanye nini kwamungu hanasamani
@ibrahimmussaali2986
@ibrahimmussaali2986 4 жыл бұрын
Ila kwa mashekhe wanopenda sifa za dunia huwaingiza nakafiri peponi mungu kasema kuambia makafiri kupitia mtume muhamadi a.w.s kulyaayuha a lkafirun. Wambie enyimakafiri Mimi siliabudiii mnacho kiabudu wala nyinyi hamukiabudu ninacho kiabudu Nini mnadini yenu na sisi tuna dini yetu
@ibrahimmussaali2986
@ibrahimmussaali2986 4 жыл бұрын
Na mungu atawachoma wanowakumbatia makafiri
@insteinjonga6651
@insteinjonga6651 4 жыл бұрын
@@ibrahimmussaali2986 kafiri ni nani kwa mujibu wa imani yako hiyo ya makkah?
@aminamohd604
@aminamohd604 4 жыл бұрын
@@ibrahimmussaali2986 sio vizuri kuwaita wenzio makafiri je wewe unaijua kesho yako au mwenzetu umeshapewa pepo hukuhuku duniani na umepewa mamlaka ya kuwatia motoni wenzio,unataka kuniambia wewe haushirikiani na wakristo na wala hauongei nao kama unavifanya hivyo vitu basi wewe ni mnafiki
@munajafu3080
@munajafu3080 3 жыл бұрын
Daar inauma sanaaa jpm wee nimeshakumiss jamani mimi mbona nalia ivii
@yaumirakateni9927
@yaumirakateni9927 4 жыл бұрын
Mungu akuongoze, uje kuijua haki, uwe muislam
@dalali_professionalwa_dodo8330
@dalali_professionalwa_dodo8330 2 жыл бұрын
Allah akupe kauli thabit na akusamehe madhambi yako..akutanulie kaburi lako alifanye liwe moja za uwanja wa peponi inshaAllah... Wewe ndio mkiristo wa kwanza kuwaonea huruma waisilamu na kuwajengea msikiti mkubwa Afrika mashariki hakuna...mungu akupe mwanga wa milele, akupeleke mbingu ya saba.
@hassanimussa654
@hassanimussa654 4 жыл бұрын
Mashallah Allah akujalie kila lakher mh rais iki ulicho kifanya nichakuigwa sana na huto yaona manufaa yake apa dunian ila cku ukiwa akhera inshaallah utayaona manufaa ya kujenga nyumba ya kumuabudu Allah Allah akupe moyo waiman mh maguful
@ababuumwanazanzibar4908
@ababuumwanazanzibar4908 4 жыл бұрын
Allah Akbar MashaAllah Rais wetu Mungu atakulipa maana yeye ndie anaepanga kila mja anampa atakalo yeye mwenye Dunia Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae
@rosemongi5273
@rosemongi5273 3 жыл бұрын
Ukitaka kumjua anae mheshimu mungu tazama matendo yake ,kaondoka bila chochote ila matendo yake mema aliyo yafanya dunian yata ambatana nae na hiyo ndio amali njema, tujifunze kupitia yeye.
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 3 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭mwenyezi mungu muweke peponi Huyu raisiwetu yarabby
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Asalaam alaikyum watanzania na waislaam kwa ujumla itafutwe siku maalum ya kumuombea duwa kwa kazi kubwa aliyowafanyia watanzania na uislaam kwa ujumla mungu amuweke Mahalia pema peponi
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Жыл бұрын
Jpm
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 4 жыл бұрын
Mashallah Allah Akujalie uwe mwislam ishallah
@stevenclaud6648
@stevenclaud6648 4 жыл бұрын
Kwan mpka awe muislam tu acha hizo wewe
@albertjames6845
@albertjames6845 4 жыл бұрын
😁
@hassanmirambo564
@hassanmirambo564 4 жыл бұрын
Steven Claud siyo tatizo nawe unatakiwa uendelee kumuomba YESU ili JPM abaki kwenye Ukristu
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 4 жыл бұрын
@@hassanmirambo564 asante
@mwatumsaidi5104
@mwatumsaidi5104 4 жыл бұрын
@@stevenclaud6648 nawewe mungu akujalie uwe muislam ishallah
@hamadiayossy
@hamadiayossy 5 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akuondolee adhabu za kabri,na akujaalie pepo, in sha Allah
@kudrawanguvu5923
@kudrawanguvu5923 3 жыл бұрын
M/Mungu akubal amal yeyote ya mwenye kumshirikisha. ukifanya mambo mema na unamfanyia M/Mungu mshirika utalipwa haha dunia kwa kupewa mazur ktk dunia hii lakin ukisha kufa huna malipo na hayo yote kasema yeye M/Mungu ktk kitabu chake Qur-an sasa wewe kazana kwa kubisha na yeye M/Mungu kwa kufata mihemuko ya watu wakati kaburini uko peke yako ktk hesabu upo peke yako na umejifatia dini zilizo fanyiwa modification unafanya upinzani hutaki kusoma kutafuta ukweli. usia wangu Utafute ukweli wa ipi ni imani ilio sahih.
@suleimanhemed9543
@suleimanhemed9543 4 жыл бұрын
Mhe rais wetu Allah akuongoze ktk kuijua hakki na uifuate... Umependeza sana.
@darweshilacha3019
@darweshilacha3019 4 жыл бұрын
Msikiti ni mzuri mashaallah tatizo liko kwa hao watakaokabidhiwa huo msikiti
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 3 жыл бұрын
ZTATIZO LIKO WAP KWAN UNALIWA TARAHA MTU ATAUCHUKUA AENDE NAO NYUMBAN KWAKE
@kittygirlarmy2651
@kittygirlarmy2651 3 жыл бұрын
Subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah subuhanallah make it real for he's last wish Allah will forgive he's since he respect muslim ummati muhammad scw scw scw
@aishasaid5702
@aishasaid5702 4 жыл бұрын
Alhamdulillah wakati rais wa India akitoa amri misikiti ichomwe na waislaam wauliwe sisi rais wetu anatujengea misikiti Alhamdulillah Allah amuhifadhi amuongoze njia iliyonyooka
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 4 жыл бұрын
Beautiful mosque.. beautiful people mashallah ❤
@salem9874
@salem9874 4 жыл бұрын
Mashallah Rais wetu unapendeza uwe Muslim
@ramadhanihamisi1049
@ramadhanihamisi1049 4 жыл бұрын
Duuh kusema na ukweli ccm siipendi Ila magu annifanya niipende na inshallah tunasubir dhahir yake tu pengine anaswal kwa siri
@ramadhanihamisi1049
@ramadhanihamisi1049 4 жыл бұрын
Athante
@abdikhalif763
@abdikhalif763 4 жыл бұрын
Ukweli kabisa
@selemankishema5780
@selemankishema5780 4 жыл бұрын
Tunashukuru mzee magufuli kwa jitihada zako nakuombea usilimu upate mema zaidi.
@mulangilakabwarebenson5128
@mulangilakabwarebenson5128 4 жыл бұрын
Seleman Kishema Yani ubaguzi umekutawala
@Khaleed5767
@Khaleed5767 3 жыл бұрын
Ewe Mola wetu , Msamehe makosa yake aliyekuwa Raisi wetu ( J.P.M ) na umlaze mahali anapostahiki.. Kwa hakika hakuna kuokoka isipokuwa kwa REHMA YAKO TU WEWE MOLA WETU ALLAH S.W
@julihanjosephyjs6361
@julihanjosephyjs6361 3 жыл бұрын
Huyu ndiye rais anaetufaa
@saidsoud5967
@saidsoud5967 4 жыл бұрын
Mungu akujaalie uingie ktk uislamu
@afzalabdulshakur8561
@afzalabdulshakur8561 4 жыл бұрын
TUNASHUKURU MUNGU KWA KUTULETEA KIONGOZI KAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI TUKO PAMOJA KAMA WATÀNZANIA NA RAISI WA WATANZANIA TUNAKUOMBEA
@othmanali6409
@othmanali6409 4 жыл бұрын
Mr Magu yani mimi napenda sana harakati zako .laiti ningekua natia kura basi ningekuchagua wewe hata mara ngapi ..I have never seen president like you particularly in Africa I really appreciate ..ihdi naswiratwa l,mustaqiim .allahuma amin
@jumamzee6999
@jumamzee6999 4 жыл бұрын
Allah akujaalie uwe Muislamu Ameen. Kwa haya unavojitahidi na ukweli wako usio na shaka
@siamnyone8403
@siamnyone8403 Жыл бұрын
🤣🤣🤣utasubr sana
@phabianndenya4945
@phabianndenya4945 4 жыл бұрын
Ahsante mh JPM kwa upendo ulionao kwa wa Tanzanian wote bila kubagua dini, kabila binafsi nakuombea maisha marefu na yenye afya wa Tanzanian tunakupenda baba
@YussufJAli
@YussufJAli 4 жыл бұрын
Una uoni wa mbali Mheshimiwa Rais. Allah akuoneshe njia na akuafikishe kuifuata.
@rashidjuma1969
@rashidjuma1969 3 жыл бұрын
Kwakweli mm kila nikiona video hizi najikuta natoka machozi dah mungu akupumzishe kwa salama
@ismailchilonga2878
@ismailchilonga2878 3 жыл бұрын
Daah yaaani hakika mwenyezi mungu nimkubwa huzima nuru na umchukua amnatakaye
@alexthobias3755
@alexthobias3755 4 жыл бұрын
Dini hii naipenda sana japo me mkristu
@aliabdallah5183
@aliabdallah5183 4 жыл бұрын
Slimu uwingie kwenye uwislam
@yaninashebe4307
@yaninashebe4307 4 жыл бұрын
Karibu katika uislam ndugu
@zainababdullsadik1247
@zainababdullsadik1247 3 жыл бұрын
Allah anajuaa atapomuekaa🤣🤣🤣
@fahmialinoor3043
@fahmialinoor3043 3 жыл бұрын
But mbona umecheka
@rahmahussein4019
@rahmahussein4019 4 жыл бұрын
Magufuli kapendaza mashallah .
@abdillahmsouth2784
@abdillahmsouth2784 4 жыл бұрын
Mashaallah mungu akuzidishie kila LA heri ktk kazi zako
@agneshaule4490
@agneshaule4490 3 жыл бұрын
Baba baba umeondoka mapema mno hakika tunakukumbuka😭😭😭😭
@lungusii
@lungusii 4 жыл бұрын
Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar!!!!
@yassinm69
@yassinm69 4 жыл бұрын
Jamani Magu jembe sijawahi kuona
@rafiaahmad168
@rafiaahmad168 Жыл бұрын
Allah akuhifaz😭😭😭😭😭
MAGUFULI AANIKA MADUDU KUHUSU CORONA - "FENESI, MBUZI NAO WANA CORONA"
35:46
MCHANGO WA MSIKITI
9:38
KitaleMkudeSimba
Рет қаралды 131 М.
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН
What will he say ? 😱 #smarthome #cleaning #homecleaning #gadgets
01:00
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
هذه الحلوى قد تقتلني 😱🍬
00:22
Cool Tool SHORTS Arabic
Рет қаралды 44 МЛН
UTAPENDA: MBWEMBWE ZA MAGUFULI AKIKAGUA GWARIDE SHEREHE ZA UHURU MWANZA
12:00
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
RAIS MAGUFULI ALIVYOKWENDA BENKI KUU BILA KUWATAARIFU
8:03
Millard Ayo
Рет қаралды 1,9 МЛН
TAZAMA RAIS MAGUFULI ALIVYOSIMAMA KUPANGA MSTARI NA KUPIGA KURA
11:47
MAMBO YALIYOMCHEFUA MAGUFULI KUPITA KIASI LEO NI HAYA..
25:04
Global TV Online
Рет қаралды 1,2 МЛН
Maamuzi magumu aliyowahi kuyafanya Rais Magufuli katika uongozi wake
12:53
Mwananchi Digital
Рет қаралды 606 М.
小丑把天使丢游泳池里#short #angel #clown
00:15
Super Beauty team
Рет қаралды 47 МЛН