Рет қаралды 15,593
======TAARIFA=====
Mhe. Rais Magufuli anakutana na Wabunifu wa mitambo midogo ya kufua umeme kwa kutumia maji ya mito. Ikulu Jijini Dar es salaam. Tukio hili linarushwa moja kwa moja na vyombo vya habari vya Redio, Televisheni, Mitandao na KZbin channel ya Ikulumawasiliano.