Rais John Magufuli amepigia debe watanzania kuchapa kazi na kuzalisha mali kuendana na uwezo wa kuhudumia vizazi vyao. Msikilize akifafanua kwa mifano #MagufuliMeatu
Пікірлер: 255
@sheiykingtv37132 жыл бұрын
Who misses JPM like me ?? Nipe like
@jumakimawa36332 жыл бұрын
I'm here bro! Big up
@joshuanyonyi33132 жыл бұрын
Nimemusssii JPM
@fatmaalnabhani36092 жыл бұрын
I miss him a lot RIP Magufuli
@jumakimawa3633 Жыл бұрын
You came and conquered the country and ÿou did an amazing job! Pumzika kwa amani Papa!
@tariqmaduga80512 жыл бұрын
Rais wangu Kipenz mungu akulaze mahali pema peponi. One love 🇹🇿
@josephatimasunga94702 жыл бұрын
JPM rest in peace
@johnmalembo64642 жыл бұрын
"Zaeni mkaongezeke mkaijaze nchi"... éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz
@leonardcharles96542 жыл бұрын
Nikukumbuka sana mzee wangu mungu ailaze roho yako mahali pema
@thadeusmarkiminja22822 жыл бұрын
Hotuba zake mtu ukiwa na muda unaweza kuchukua siku nzima kuzisikiliza bila kuchoka.mungu akulaze mahali pema peponi.kwetu tuna msemo usemao kuwa hili ni due la mbegu,kweli JPM kama ni dume la mbegu basi ulistahili.
@armelngondet26192 жыл бұрын
Effectivement
@mrchick51932 жыл бұрын
Amina
@gilbertambila33712 жыл бұрын
Kweli kabisa
@nickomdete72322 жыл бұрын
Me nikiwa mmiss tyu na sikiliza tyuu clip zake
@patrickbunduki34772 жыл бұрын
Saana kwakweli mi kunamasiku namfataga siku nzima yaani...
@sonnyr18992 жыл бұрын
Hivi nikitu kilitokea tar 17/03/21 😭😭 Hadi sasa hatujaelewa. Huyu Baba alikua mtu tofauti na wengine.
@justinewalwa73872 жыл бұрын
Mimi sijakielewa kifo chake, kilitokeaje
@nuratkalinga5812 жыл бұрын
Mungu akurehemu
@danielcosmas51945 жыл бұрын
anaongea na kisukuma ili watu wa eneo hilo wamuelewa ukizingitia alikuwa anaongea na wasukuma kuna wengine hawaelewi kiswahili
@festinamwakipale64462 жыл бұрын
Mpendwa wangu nilikupenda sana Magu lala sana
@khamislisso91372 жыл бұрын
Hivi huyu Rais Daah Ila mipango ya Mungu daah😭😭
@jongosalehe10362 жыл бұрын
Rais mkali kwa Mali za umma
@ashahamza28222 жыл бұрын
Da wewe nitakukumbuka ktk moyo wangu
@sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын
Kwa kweli baba yetu wewe ulitumwa na Mungu uje utukomboe watanzania rest in peace JPM
@adventsumari69672 жыл бұрын
Mungu akulaze maali pema pepon
@robertchuri32222 жыл бұрын
Nakukubali sana mkuu lakni yote maisha tu
@niyimpumurizamoise22562 жыл бұрын
From Burundi : namkumbuka sana huyu bulldoze ! Africa imehasarika!
@augustintumbwe88092 жыл бұрын
Asante baba nashukuru basi tuu mungu
@nassoroshaaban72792 жыл бұрын
Nataman urudi ufafanue hicho kilugha maana walifaidi Sana watu wa lugha hiyo, daaa rip magu
@kidstz26952 жыл бұрын
Anachekesha sana huyu mzee
@noelymwakasege24282 жыл бұрын
Kabisa mkuu
@nasrahassan73462 жыл бұрын
😀😀 dah mzee alikuw na story zuri sana yaani za ukweli hapa nimecheka
@maganyarobert7008 Жыл бұрын
Pumzika kwa amani mzee wetu
@agventure_tz89282 жыл бұрын
Nabii aliyetumwa kusema ukweli ambao si rahisi ku uelewa kwa elimu tulizo fundishwa darasani...he live forever.
@laurinfred29312 жыл бұрын
Huku tumekubari tozo, lakini bado na mikopo wanazidi kukopa 🤔
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Baba tangu atutoke tozo zimekuja nyingi sana,imebakia moja tu tozo ya roho😭😭😭
@Crabtree18442 жыл бұрын
Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge. Hakuna nyef nyef.
@barakawatu9226 Жыл бұрын
Rest In Possible our hero president, every hour, every day, every minute, we remember you, 🇹🇿🙏😭♥️.
@vsaintburundi96162 жыл бұрын
Baba wewe na nkurunziza waburundi murazwe Pahari pema tutawakumbuka mirere
@josephellytemu96452 жыл бұрын
Umemwachia mam tukajua atatupenda lakin Sasa anacho tufanya asee sas hamna kufanya kazi tumefukuzwa k Koo km kuku
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Mungu muweke huyu mtumishi wko panapostahili Amina😭😭😭😭
@patrobaselestine90172 жыл бұрын
Watanzania tulikupenda lakini mungu alikupenda zaidi. Mungu akulaze mahali pema. Amina
@barakamafulu86602 жыл бұрын
Mwenyez mungu akupmzshe kwaa aman amina
@sadickponera24642 жыл бұрын
Sawaaaaaaaaaa baba nmekuelewa 😭😭😭😭
@gwakubionga54282 жыл бұрын
Mungu tunaomba mbadala wa
@sharifujita78152 жыл бұрын
We Remembering JPM, Rest In Peace
@kalumbugideon41592 жыл бұрын
Hii brain haikuwa ya kawaida....Tungejua ungekuwa kuwa Rais kabla ya wengine....
@joneskavoi39662 жыл бұрын
We all will miss our dear leader
@husseinhamiss65382 жыл бұрын
Tunakukumbuka sana jpm mwanga wa milele ukuangazie
@florameza10282 жыл бұрын
Rais wa mfano hakuna kama wewe tunakukumbuka mnooooo
@beatricefilbert11712 жыл бұрын
Alikua na upendo wakweli
@gracejonh40222 жыл бұрын
Ulifata mpango wa MUNGU jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
@nehemiatesha57632 жыл бұрын
Kazi ya mungu haikosolewi
@sulleysonsulley41605 жыл бұрын
Jamani zaeenitu
@williammooshemollel71022 жыл бұрын
Jembe letu endelea kupumzika kwa amani
@sr.elizabethmbuligwe55402 жыл бұрын
Kwa kweli hili la uzazi wa mpango lifanyiwe utafiti wa kina maana wanawake wengi waliowahi kutumia uzazi wa mpango Wana matatizo ya kushika mimba na wengine hawana watoto kabisa waziri wa afya ummy mwalimu naomba ulifanyie kazi.
@rosemarysulle92882 жыл бұрын
Uzazi wa mpango ndo chanzo kikubwa cha saratani kwa akina mama.
@aishaalbalushaishabalush82912 жыл бұрын
na inasababisha kancer
@fransicmushenyera93022 жыл бұрын
nakumbuka saiti yako uliyotoa ukiwa kagera ukasema shule ya msimgi kingongo ya.Dar es salaam ambayo omeonyeshwa watoto wakiwa chini yamti na mwalimu walijifinza ukasema kabla ujamaliza ziara yako mkoani kagera ukute watoto wako madarasani siyo chini ya mti kweli yalijegwa madarasa tisa na.choo cha kisasa chenye matundu 24 kwa muda wa mwezi mmoja R.I.P.JPM
@isayamganule17412 жыл бұрын
Ni watu wachache kama Huyu kutokea Dunian
@titus_maridhia2 жыл бұрын
Baba bora wa muda wote
@vivianlucas63892 жыл бұрын
Aisee kizuri hakidumu jamn
@gatabazitheogene3222 жыл бұрын
Mungu ulimupenda zaidi
@khadhiriramadhan59842 жыл бұрын
R.l.P. 🤧🤧 Father mangu mungu akurehemu salama yale uliyoyapinga kwasasa yanaruhusiwa hali ni tete 😭😭😭😭
@ibrahimjohnace16632 жыл бұрын
Magufuri Baba lao ,huu ni UKWELI kabisa mwanamke akishajihusisha na maswala ya uzazi wa Mpango hana uwezo mzuri wa kufanya kazi zenye nguvu.Tuishi tukimuelewa Mzee wetu.Pumziko la milele umjalie Dr.Magufuri.Amina.
@noelswai1722 жыл бұрын
Huku wanafanya Happy birthday Iliku
@scorasticaclement63082 жыл бұрын
R.I.P Daddy
@floraladislaus11422 жыл бұрын
Bado siamin hata kidogo bado sana
@caritaspascal9062 жыл бұрын
Baba nitakukumbuka daima tutakukumbuka Sana Sana,Mungu akuweke mahali pema peponi amina
@caritaspascal9062 жыл бұрын
Hakuna wa kuziba pengo lako kamwe
@suzanmbilinyi51692 жыл бұрын
Utuombee tupone wa Tz kwa sasa tuko hali tete
@atrick.2 жыл бұрын
Lala salama pia pumzika kwa Aman mwenyez Mungu akupe ulinzi wa nilale AMEN
@mwajumabakari37302 жыл бұрын
Mh Àllha akurehemu unatupa shida sana kukusahau sielewi hata nasema nn basi Allha ndy mkuu zaidi
@benjaminabisemba53312 жыл бұрын
RIP mzee wetu JPM 😭😭😭
@chumanondochuma15352 жыл бұрын
Haya magufuli wetu tunakukumbuka Sana baba unafurahisha ila upo serious ,,tulia kwa amani huko uliko big daddy
@claudfute10472 жыл бұрын
Safi
@gaspermganga89002 жыл бұрын
Rip my president
@samwelmushi17832 жыл бұрын
Man of the match, my dream president, one day God he will rise again president like you
@gabrielgodwin26982 жыл бұрын
Naenjoy spich ya hayati magufuli kweli Ni mafundisho yasiyopoteza wakati.pumzika Rais wangu nitakukumbuka daima.
@majaysjrmtitu53002 жыл бұрын
Asante JPM...rip ...Dad
@etemesiedward1508 Жыл бұрын
I miss y
@leonardkambona36082 жыл бұрын
Uyu mpuuz alokuwa anacheka kanivunja mbavu
@osamaabdallah46482 жыл бұрын
Nimekubali
@joshuajofrey98322 жыл бұрын
Sasa haupo tena ila Elimu yako tuko nayo love you .RIP JPM
@arenyutenga10522 жыл бұрын
Rip raisi wetu
@selemaniselemani70142 жыл бұрын
Tuzae bwana umeona ukrane wanavyotesekana viya lakini tukiwa wengi tutaweza kuilinda nchi yetu!
@deusdebitkowa96572 жыл бұрын
Very good teacher.
@user-zf1op1ez9l4 ай бұрын
Haki I miss this man,Niko kisii Kenya,let him rest in peace
@isayamganule17412 жыл бұрын
RIP JPM
@michaelmuhando14612 жыл бұрын
Yaan inabidi utengenezewe sanam hata posta au morogoro maana haijawaitokea rais kama wew na ningum kuja kutokea mwingine kama ww
@kurumwagodfrey70522 жыл бұрын
Nakukubali Sana mzeee wangu jpm
@mhebaniemmanuel932 Жыл бұрын
Tutakukumbuka sana mkuuu
@agathaandrew4032 жыл бұрын
Hotuba za huyu mwamba inabida ziwe mnazirusha kwenye tv mara kwa mara ili watu wazidi kuzienzi fikra zake . Huu ndiyo ukuu wa mwafrika. Japo hatupo pamoja ila tunakupenda sana mioyoni mwetu. Na Imani ipo siku Mungu atakuleta kivingine. Pumzika kwa amani mzee
@alphoncemaganga58872 жыл бұрын
Msema kweli sema baba, tutakukumbuka milele 🙏🙏🙏
@hermanndongolo15502 жыл бұрын
Chuma
@khalidmwinyi19812 жыл бұрын
Pumzika kwa amani baba hakika umepiga kaz
@suzanajulius66532 жыл бұрын
Thnks fthr
@kefajoseph1582 жыл бұрын
Huyo ndo alikuwa raisi achana na samia malaya mtembeza uchi
@princehancesam98925 жыл бұрын
Nimependa
@rashidwaziri17152 жыл бұрын
I m apresiont magu
@athumaniomari28332 жыл бұрын
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu nazidi kukuomba mraze maali pema
@emanuelfissoo37002 жыл бұрын
Taifa ya Italia mimi nimekusaidia anko
@dhakomodherooherokoko60372 жыл бұрын
Kweli?
@kenedythomasi94782 жыл бұрын
I Remember jpm
@cosmasjustus4135 Жыл бұрын
Alwayz remember you father of the dvt
@omanmwajabumbeguoman86422 жыл бұрын
Atali uku baba peter anatu maliza
@shinjegadala90922 жыл бұрын
Sasa usipo zaa unategemea nn
@nassorozawiya57782 жыл бұрын
I wish I could be him
@ndewariopeter13702 жыл бұрын
Eeeee MUNGU wangu,utuzawadie WATANZANIA kumuona tena ktk ulimwengu ujao,, Ulitupenda sana watanzania,ukatuzawadia kiongozi mwenye sauti,akili,na maamuzi kipekee,,kwa kipindi kifupi mno,,RIP JONH JOSEPH POMBE MAGUFULI Amen
@angelpaulopaulovivan73252 жыл бұрын
Pumzka kwa Aman Baba yetu tulikupenda San lakn mungu kakupend zaid
@victormpandula32472 жыл бұрын
Baba kwa bahati mbaya umeondoka na maneno yako umeondoka nayo na hata wale waliokurithi hawajali tena maneno yako
@mwanamatofali69812 жыл бұрын
Sahihi kabisa mzee baba
@user-jq9zg1lh4m4 ай бұрын
Kweli kabisa 😅
@dicksonnoel10042 жыл бұрын
Pumzika bb yetu
@salimnjowoka43572 жыл бұрын
Daah magu, pumzika kwa Amani baba
@shubackmashinga35352 жыл бұрын
Nimesikia tu maziwa yanatoka
@nyesigaemmanuel3932 жыл бұрын
We lost a leader. Uganda loved him
@reformerthrone972 Жыл бұрын
Maneno yake ni kweli kabisa..
@justinkisinza35052 жыл бұрын
Tuseme nini Basi baba kwa kukupoteza ww bado tuna kulilia maumivu bado hayajatuisha kwa kukupoteza mungu tusamehe tulishindwa kumlinda rais wetu mpendwa
@mrpeace89742 жыл бұрын
Jaman JP n nan alikuua rais wang kipenz kila nikikukumbuka machoz yananifumba macho nakuombea heri kwa mwenyez mungu akupe pumzko jema huko mbinguni