No video

RAIS MWINYI AMSIFIA WAZIRI MAZRUI - "ANAFANANA NA CHAMA CHETU (CCM)"

  Рет қаралды 16,971

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

RAIS MWINYI AMSIFIA WAZIRI MAZRUI - "ANAFANANA NA CHAMA CHETU (CCM)"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 33
@ashamohammed3612
@ashamohammed3612 2 жыл бұрын
Mazrui kwa kichapo ulichokipata nadhani hiyo ni bakora tosha ya kukufunza si dhani kama utakuwa msaliti kama wengine. Unaweza kusamehe lakini huwezi usahau katu sifikirii kama unaweza kumsaliti Al Marehemu Maalim Seif usidanganywe na upepo wa kusi ukasahau Tanga lako.
@iddijumaali7192
@iddijumaali7192 2 жыл бұрын
Humpati NG'o mazrui
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
Hiyo ni mbinu ya kampeni kwa mlango wa nyuma. Tusubiri hapo 2025 ndio tutajua kama dhamiri ya kuleta umoja wa kitaifa inaendelea au laa.
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Naam Kabisa Wazanzibar amkeni msidanganywe na vipipi vyake Yeye kamchaguwa kwa uhakika kuwa atafanikiwa maana pamoja na kumpiga na walikompiga kwa kuwa anapenda Zanzibar yake kasamehe na sio peke na takriban wote waliodhulumiwa ingawa bado hujawalipa haki zao ila tunakuomba washike masikio CCM wenzako waache urasimu wao na mumtulie fedha spitali maana tunaambiwa dawa hakuna
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 жыл бұрын
Mtangoja sana
@alialibablly7010
@alialibablly7010 2 жыл бұрын
Waziri anajua hii taasisis haena chama inataka moyo kama anafanya kazi waziri basi anafaaa apewe bajeti na vitenda kazi kwa wizara yake afya
@aseelaisaa428
@aseelaisaa428 2 жыл бұрын
Mh mazrui hongera sanaaaa..mashallah. atarud nyumbani CCM. Alikuwa huko before
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Hajawahi kuwako hukoo hata siku moja kama mlimuona alivyovyalishwa pakacha hahahaha ulikuwa ushawushi wa Raza looo CCM kaeni wenyewe mazimwi wakubwa
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
Wote hao ni CCM eti njaa Tu na mwizi mwenzake mwizi
@ahmedalbalooshi8518
@ahmedalbalooshi8518 2 жыл бұрын
Haji,unavuka mipaka,unaweza kupata matatizo kwa kauli kama hiyo
@Crystalmocha
@Crystalmocha 2 жыл бұрын
Wewe muislam unasema jambo huna uhakika nalo usibebe dhima muulizie vizuri Mazrui
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
@@ahmedalbalooshi8518 acha kuogopa
@hajiabdalla5772
@hajiabdalla5772 2 жыл бұрын
@@Crystalmocha we akili huna basi hata macho kuona kodo huoni
@Crystalmocha
@Crystalmocha 2 жыл бұрын
Basi hukum anayo Allah yey ndie Alim l ghaib mimi macho yangu yanaona ya nje tu ndani yaa nafsi Allah yeye ndie mjuzi
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 2 жыл бұрын
I say huyu Rais ni mzuri anajaribu kutueleza ya kwamba serekali ya umoja wa kitaifa ina tija kubwa kwa Zanzibar...Allah kupe nguvu uzidi kusimamia majukumu yako ya kiungozi na uinyanyue zanzibar na watu wake as well
@emakakolwa859
@emakakolwa859 2 жыл бұрын
Kwa maovu yke alietufanyia
@emakakolwa859
@emakakolwa859 2 жыл бұрын
Hana uzuri wwte mnafiki mkubwa hatutomsamehe
@kauthariddi7800
@kauthariddi7800 2 жыл бұрын
Ccm oyeee dady Allah akufanyie wepec kla hatua dua
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Mie sipendi kuwasikiliza kabisa aaa sitaji jikera
@w4058
@w4058 2 жыл бұрын
Wazanzibar wenzetu kuweni na akili zenu timamu hahahaha mnalowekwa tuu
@emakakolwa859
@emakakolwa859 2 жыл бұрын
Chizi ww
@rushydahmed9179
@rushydahmed9179 2 жыл бұрын
mwinyi ni chizi, miaka 60 bado ana mdomo wa kuweza kuisifu ccm kama siujinga ni kitu gani na huyu mwinyi hapa unguja kwao wapi au ndio tumeletewa rais wa mkuranga..
@dalalimjinga.144
@dalalimjinga.144 2 жыл бұрын
Ww kwenu wapi hapa Unguja? Kwerekwe? Au kama? Tatizo ni Udarajabovu
@abdallaabdi5159
@abdallaabdi5159 2 жыл бұрын
Acha ujinga uo, muhimu ni maendeleo tu.
@mariamjuma8938
@mariamjuma8938 2 жыл бұрын
@@dalalimjinga.144 udarajabovu oyeeee
@ahmadifataha6677
@ahmadifataha6677 2 жыл бұрын
Wewe kwenu wapi acha ubaguzi wewe paka mmoja wewe
@salyali7807
@salyali7807 2 жыл бұрын
🤣🤣🤣 umenikuna ndipo
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18
Meet the one boy from the Ronaldo edit in India
00:30
Younes Zarou
Рет қаралды 17 МЛН
KULA 'APPLE' BAADA YA NUSU SAA- PROF. JANABI
2:47
Daily News Digital
Рет қаралды 13 М.
JUSSA AFICHUA SIRI NZITO YA MUUNGANO
34:06
AL FATAH TV ONLINE
Рет қаралды 57 М.
Tazama Dk 45 za mahojiano maalumu kati ya Rais Mwinyi na Machumu
57:40
Mwananchi Digital
Рет қаралды 2,2 М.
Вы чего бл….🤣🤣🙏🏽🙏🏽🙏🏽
00:18