Mh. Makonda Mungu aendelee KUKUBARIKI kwa yote unayoyafanya. Hongera sana Mama Samia kwakumchanguwa Mh. MAKONDO.
@NdeshaPaul-uz9bw5 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana naomba uwafundishe wakuu wote wa mikoa wachape kazi kama wewe. Pia wapende kutenda HAKI. Makonda utainua nchi hii mwanangu. Mtoto umebarikiwa na Mungu. Nakuombea sana baraka nyingi na afya njema.
@Kamkono5 ай бұрын
Da jamani! Mheshimiwa Paulo Makonda Mungu akulinde ndani na nje ya ofisi. Mungu husaidia wanyonge kupitia watu, wewe ni mtu mmoja wapo ambaye Mungu anakutumia kusaidia wanyonge.Haleluyaaa.
@charlesmnuo32925 ай бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri unayoifanya hii ndiyo kuonyesha vyombo vya sheria vimewekwa mfukoni na wenye fedha
@rehemakaziri5 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa ajili ya huyu baba,hongera sana muheshimiwa
@HusseinYahaya-q1z5 ай бұрын
Yaani mm nashangaa sana.. Why mnamchukia mtu tu bila sababu yeyote mnafunga mshahara wake na alikuwa mtumishi wenu Ila Kitu nilichokiona hapo ni Wivu wa kusoma masters tu.. Wakajua ataongeza Elimu Atawapita kwa hiyo Ni Roho mbaya tu Ambayo Imesindikwa na kiongozi ikasambaa kwa wengine.. kumbe kuna watu wana matatizo jamani Duh😮😢
@marcokaroje89804 ай бұрын
Hiyo ya wivu watu wenye nafasi kama mkuu wa Shule nk wana hofu yakupoteza nafasi zao watu wa chini yao wanapokwenda kuongeza elimu hasa idara hiyo tajwa wanatengezewa kesi hadi inakubalika mahakani hata ya kubaka tu ili akomolewe bila kujali kuwa nae ana haki na anategemewa na watu ikiwemo familia yake kama walivyo wao Mungu huwa anawaumbua kwa unafiki wao
@RobertKilomba5 ай бұрын
Heko kwako makonda Mungu akulinde ukaweze kuwasaidia watanzania wenye Nia njema na inchi Yao, hatuna Cha kukulipa sisi ni kukuombea Mungu tu, Mimi binafsi nilikuchukia sana wakati ukiwa mkuu wa wa mkosa wa dar enzi za magufuli, kumbe wewe ni kiongozi safi namba hii, nilikutambua juzi mama alipokuteuwa kuwa katibu mkuu mwenezi ccm, nikaona your true colours, na sasa uko vizuri mkuu wa mkosa Arusha, keep it up 🤝🙏🙏❤️💚💙🤜🤛💪💪💪
@DanielMarco-js1kz5 ай бұрын
Mwalimu anaongea vizuri. Proud to be a teacher!
@obsonjulius3124 ай бұрын
Mwalimu ni msomi anajua
@beesmarttv37924 ай бұрын
@@obsonjulius312kabisa mwalimu ni msomi anajua anachoongea
@MamaBambala5 ай бұрын
Makonda mdogo wangu Mungu ailinde roho yako
@lightnessseifu59834 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akuongezee umri mrefu baba
@LinusKyando4 ай бұрын
HUYU MWALIMI ANA CONFIDENCE YA HALI YA JUU SANA VERY PERFECT,MAKONDA ANATAKA WATU STRAIGHT KAMA HAWA
@aminabanka82033 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde brother.
@LaurianKiyeyeu5 ай бұрын
Mungu akupe ujasiri,uvumilivu,bidii ya kazi na Maomo uendelee kusaidia jamii ndiyo tafsiri ya Dhamana ya Uongozi,yajayo kwako yana mungu mbele yako makonda
@BakariKawishe5 ай бұрын
Mwl anajieleza vizur sana na kwa hakika anafaa hata kua kiongozi
@RichWise6714 ай бұрын
I'm very proud to be a teacher 💝
@profs.a54125 ай бұрын
Huyuu jamaa mi naamini Mfumo ndio ulimfanya aonekane mtu mbayaa, Yani walimtumia vibayaa, ila kiuhalisia huyu jamaa nikiongozi kweli kweli , tena mtetea wanyonge
@AjiaMohamed-rt5pb5 ай бұрын
Acha unanifiki mfumo gani wakati mfumo aliyo nao ni huo wa magu wa kuwasaidia wanyonge
@profs.a54125 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb inatakiwa kuwa na akili kubwa ili uweze kunielewa , lasivyo hakuna utakacho ambuliaa🚶
@JosephzakayoPius5 ай бұрын
❤❤❤@@AjiaMohamed-rt5pb
@JRN26125 ай бұрын
@@profs.a5412fact😂😂
@ChristopherChacha-fb4oc5 ай бұрын
Mama naomba namba yako ili ni mwl Mwenzio Nina wazo juu yako
@emmanuelbernard95525 ай бұрын
Nasubilia part 2 Makonda 🔥 🔥
@GetrudaIbrahim-x7n2 күн бұрын
Mh. Mungu akubariki sana wanaume wametelekeza watoto hawajali
@SaidMashaka5 ай бұрын
Big up sana makonda...tunakupenda sana❤❤
@huldamichael44455 ай бұрын
Sasa kama ni hivi watu wengi si wanaumizwa Sana!??maana sio watu wengi wanaweza au kujua huu mzunguko wote...daah
@MrTop-wj7no5 ай бұрын
Kweli kabisa
@asilahassan99655 ай бұрын
Sadakta
@ConstanciovictorVictor-tp5zu3 ай бұрын
Deus esteja com tigo meu irmão makonda❤
@eliamwankenja70875 ай бұрын
Mungu akubaliki
@habiolivier83155 ай бұрын
you have wisdom leadership let useful mocking next president
@batholomewjohn9133 ай бұрын
Hongera Mkuu wa mkoa wa Arusha unaweza
@sosthenesmutarubukwa59015 ай бұрын
Kwa Muktadha huu Uongozi katika Utumishi wa Umma utakuwa Mgumu. Kwa sababu wakati mwingine Watumishi wanavuruga utumishi wa Umma kupitia Pesonal Anbitions badala ya Kanuni za Utumishi wa Umma.
@LadislausBwangile5 ай бұрын
Hongera makonda MUNGU akulinde
@tauredtv995 ай бұрын
Makonda aongezwe back up ya Aggrey Mwanri. Huyu katibu angesukumwa ndani😅😅😅
@Ryanzabron5 ай бұрын
😂😂😂😂 Hii imevunja mbavu
@LeylatVlogs5 ай бұрын
Dada huyu ni kichwaa@mwalimu
@ceciliaonyango53674 ай бұрын
Sio arusha tu sehemu nyingi watu wanaubinafsi tu
@KeziaAmos-np9fu4 ай бұрын
😂😂😂😂
@joachimkalungwana86545 ай бұрын
Safiiiiii saaaanaaaa Mh Makonda
@rehemambilinyi35235 ай бұрын
Mungu akulinde mh.makonda na viongozi wengine waige
@beesmarttv37924 ай бұрын
Mama anaongea vizur sana na yupo very straight
@ChristopherChacha-fb4oc5 ай бұрын
Pole mama
@konradkapinga67445 ай бұрын
Daaaadek tunyooshe Brother
@samsonsike12624 ай бұрын
We need leaders like makonda even at high level, big up Mr MAGU the sec
@RamadhaniAlly-n5u3 ай бұрын
Hongera mtetezi wa wanyonge
@MwanahamisAlly-u7c5 ай бұрын
Mungu akulinde Rc a
@BienvenueBisimwa-rn9rn3 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda
@ANDREAMATUNJA5 ай бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa mungu akulinde sana .
@castroshayo34984 ай бұрын
Motosach International
@NOVATISIYAME-iz9qw5 ай бұрын
Dar Paulo mungu pekee ndio anaweza kukilipa
@samwelnevele77965 ай бұрын
Kaka makonda wenye changamoto kama hii ni wengi naomba wasaidiwe na mungu akulinde sana
@HENRYMATHIAS-h7e5 ай бұрын
Mwogopeni Mungu watumishi nyie mkuu wa mkoa Asante sana kwako
@kalumunakalumuna74035 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki Sana
@tumainiezekia58733 ай бұрын
Daaah mam honger unaongea vzr ❤😊
@deoluma17065 ай бұрын
Safi sana makonda. Namkubali sana asee. Utumish kuna uonevu wa Hali ya juu sana kwa walimu
@gadielshedaffa33334 ай бұрын
Nchi hii mioyo ya watu imekuwa ya kishetani! Uzalendo umeondoka! Mungu awarehemu wengi hawajui walitendalo! Dhambi nia aibu kwa watu wote! Mungu awainue watu kama makonda!
@VictorLyimo-so9xr5 ай бұрын
Rais ampe mama nafasi uongozi
@hasanirajabu33505 ай бұрын
Makonda chapa kazi baba tunakuombea
@SalmaLaizer5 ай бұрын
Guys makonda, ni mtu alieshushwa, ajazaliwa hongera mama samia kwa kwa kichwa hiki na umejua pakukiweka muse na maisha marefu❤
@leilathydidy60585 ай бұрын
Ndio yan me huyu baba wanaomchukia nina washangaa sana kiukweli, yuko vzuri mno kiongozi
@zwinaalhabsi6645 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@musampanda36435 ай бұрын
Madame leo kamwaga mchele
@sjosephmashany-eu6rf3 ай бұрын
Mungu aendelee kukuweka
@afidhuOmary5 ай бұрын
Makonda hongera xan kwa kazi nzur unayo fanya kama kuna uwezekano wakulete kagera
@PaulRPaul-z1q5 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@ttss77165 ай бұрын
Huyu mwishimiwa mungu amuweke mpaka nimelia walahi 😢😢😢
@lulusenzia48074 ай бұрын
Mungu akufikishe mbali Makonda nimependa nchi yetu hii longolongo nyingi
@VeronicaAlexander-u9x4 ай бұрын
Jamani huyu Mwl amepata majanga kama yangu. Makonda unanisaidiaje mimi nipo Dodoma Arusha mna bahati muombeeni sana Makonda
@rahabnkya82765 ай бұрын
MUNGU AKUPE AFYA njema Mzee MAKONDA. AMEEN
@hafidhdrogba33923 ай бұрын
Mama anafaa kuwa kiongozi
@sadockeliakim58624 ай бұрын
Mungu amlinde makonda watu watende haki
@BEmmanuel-zt1kn5 ай бұрын
Pole san mma
@PrudenceMwakyoma-oz5ic5 ай бұрын
Makonda Mungu akusaidie. Ufanyakazi vizuri ivyo ivyo
@anthonylongolongo98635 ай бұрын
Daaah! samahan san broo (MAKONDA) mwanzo niliona kama unakosea lakin kumbe unapiga kazi sana. MUNGU akutie nguvu na kukulinda pia
@SuleimanEdward-f1n5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa makonda
@anithawidambe75435 ай бұрын
SAFI SANA MAKONDA MAMA SAMIA ALITUMWA NA MUNGU KUKUCHAGUA. ASANTE MUNGU MLINDE MAKONDA.
@victorcephas36185 ай бұрын
Nasubiria part 2
@AlHamra-k4u5 ай бұрын
Mh Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥
@mussaharun72575 ай бұрын
Mwalimu Mtulivu sana
@RamadhanAbdallah-r7t5 ай бұрын
Mungu akulinde njoo zanziba baba yamejaa
@nyungwajunior13015 ай бұрын
Huyu jamaa anapiga kazi bhana
@asingizibwejacobkalokola73514 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki
@allymwashambwa59204 ай бұрын
hivi kwanini mikuwa mnamchukia makonda? kazi kubwa sana anaifanya ,mungu akuongoze
@katibampya84425 ай бұрын
Mwendelezo wa hii napata wapi??? @global tv
@AlbertSambo-j2l5 ай бұрын
Mungu alikuchagua uwe kiongozi nakuli unatenda yanayo mpendeza mungu ubarkiwe sana namungu akulinde sana
@CalmAlpineSkiing-xf4gv5 ай бұрын
Asante Makonda Mungu Linda watumishi wanaotetea wanyonge
@VictorBugobola5 ай бұрын
Ila hiiii Nchi unaweza ukawa unacheka kumb yanaumiza sana dah tutafika tumechoka sana yan hadi hapo watanzania inaonekana tu Wivu sana,yatupasa tuwe na hofu ya Mungu
@babalao9105 ай бұрын
Mama Samia👍👍👍👍 Kwa kutuletea nakonda
@davidmnzava42805 ай бұрын
Kazi Zur sana , watu Wana shida hawana connection
@Aziz-p6s5 ай бұрын
Viongozi wengi wa nchi hii wanaogopa watumishi wasomi.wanaogopa kupokonywa nafasi kwakua wengi wamepachikwa tu kwa hizo nafasi
@masikitikomwakyonde12595 ай бұрын
Aisee pole mwl siku zote mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
@RaseduOfficial5 ай бұрын
Asante mm ni ras edu KZbin
@hermangabriel90395 ай бұрын
Kazi njema! kiongozi wa wanyonge
@geophureysamsoni50335 ай бұрын
Kuwa na nchi yenye watu waonezi kama ningerisoma mimi nikuwafunga
@dottolucas37215 ай бұрын
Yaani hata hiyo CWT nao kwa sasa ni Shidaaaaaa
@Oscar-qs7tn5 ай бұрын
Kweli mwalimu ni mwalimu akili mingi Sana lazima nioe mwalimu anitoe ujinga
@herilello45 ай бұрын
Makonda Ni Gifted from the GOD
@hyacintagugu74 ай бұрын
Amen
@JumaKobossa-gb2br4 ай бұрын
Mmmmm kiongozi una kazi sio mchezo ila pambana mungu yu pamoja nae
@sebastianthadeus52705 ай бұрын
Hawo watu wanapambana na mama msomi bila kujua wamlipe Hela zake
@viviandavid99745 ай бұрын
Nimeipenda sana
@JamesPuye3 ай бұрын
Hongr makonda
@HamisiPawa5 ай бұрын
Ila bongo watumishi miungu watu wango wengi vbya mno
@sancriffinvestmentАй бұрын
Mama akili imetulia sana, hakupaswa kusomea ualimu.
@ShedrackKapande-qh8pv3 ай бұрын
Jaman halimashaur zetu acheni ukiritimba mtaumbuka.CWT mnaboa badala ya kuwatetea walimu,mnawakandamiza.CHAKUHAWATA piga hatua.
@rodgersabraham98372 ай бұрын
the spirit of Magufuli is him
@VictorBugobola5 ай бұрын
Huyu dada apewe Nafas ya kaz serikalin maan anajua na anajua kujielezea ata utumishi anaweza hongera mama mkwe
@haryanyawu6404 ай бұрын
Safi sana makonda kuna mkwe wanhu naye anayeseka kazukiliwa mahabharata wake miezi mitano ningeomba msaada wako
@emmanuelntalima17175 ай бұрын
Hao ndio CWT ya leo kwa kifupi sikiliza kuanzia dk 3:40 pitia dk ya 4:35 endelea hadi dk ya 6:40 uone CWT wanavyohujuku walimu badala ya kuwasaidia, kuanzia kuwakosesha haki hadi kuwapora fedha.
@mankambise20003 ай бұрын
Huyu mwalimu anajieleza vizuri sana
@NeyluluPaulo-yy9rx4 ай бұрын
Naomba namba za Mh. Makonda jamani
@thomasgabriel5885 ай бұрын
Chezea mwalimu weww
@mosesmzakwe77745 ай бұрын
Kuna hatari kubwa mnooo sana kwenye utumishi kiukweli.
@SharrifAbdoul-Rahman3 ай бұрын
Vipi tupate kiongozi kama huyo kwetu ? Kweli Allah Amlinde
@josephmtikile-yf3pq4 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana Yan ata Ajira zinatolewa Kwa kujuana