SAKATA la MWALIMU ALIYEFUKUZWA KAZI AKADHULUMIWA STAHIKI ZAKE, AFISA UTUMISHI ABANANISHWA

  Рет қаралды 185,215

Wasafi Media

Wasafi Media

Күн бұрын

Пікірлер: 308
@peninaalubisia5071
@peninaalubisia5071 3 ай бұрын
Mh. Makonda Mungu aendelee KUKUBARIKI kwa yote unayoyafanya. Hongera sana Mama Samia kwakumchanguwa Mh. MAKONDO.
@NdeshaPaul-uz9bw
@NdeshaPaul-uz9bw 5 ай бұрын
Mh. Makonda hongera sana naomba uwafundishe wakuu wote wa mikoa wachape kazi kama wewe. Pia wapende kutenda HAKI. Makonda utainua nchi hii mwanangu. Mtoto umebarikiwa na Mungu. Nakuombea sana baraka nyingi na afya njema.
@Kamkono
@Kamkono 5 ай бұрын
Da jamani! Mheshimiwa Paulo Makonda Mungu akulinde ndani na nje ya ofisi. Mungu husaidia wanyonge kupitia watu, wewe ni mtu mmoja wapo ambaye Mungu anakutumia kusaidia wanyonge.Haleluyaaa.
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 5 ай бұрын
Hongera makonda kwa kazi nzuri unayoifanya hii ndiyo kuonyesha vyombo vya sheria vimewekwa mfukoni na wenye fedha
@rehemakaziri
@rehemakaziri 5 ай бұрын
Mungu tunakushukuru kwa ajili ya huyu baba,hongera sana muheshimiwa
@HusseinYahaya-q1z
@HusseinYahaya-q1z 5 ай бұрын
Yaani mm nashangaa sana.. Why mnamchukia mtu tu bila sababu yeyote mnafunga mshahara wake na alikuwa mtumishi wenu Ila Kitu nilichokiona hapo ni Wivu wa kusoma masters tu.. Wakajua ataongeza Elimu Atawapita kwa hiyo Ni Roho mbaya tu Ambayo Imesindikwa na kiongozi ikasambaa kwa wengine.. kumbe kuna watu wana matatizo jamani Duh😮😢
@marcokaroje8980
@marcokaroje8980 4 ай бұрын
Hiyo ya wivu watu wenye nafasi kama mkuu wa Shule nk wana hofu yakupoteza nafasi zao watu wa chini yao wanapokwenda kuongeza elimu hasa idara hiyo tajwa wanatengezewa kesi hadi inakubalika mahakani hata ya kubaka tu ili akomolewe bila kujali kuwa nae ana haki na anategemewa na watu ikiwemo familia yake kama walivyo wao Mungu huwa anawaumbua kwa unafiki wao
@RobertKilomba
@RobertKilomba 5 ай бұрын
Heko kwako makonda Mungu akulinde ukaweze kuwasaidia watanzania wenye Nia njema na inchi Yao, hatuna Cha kukulipa sisi ni kukuombea Mungu tu, Mimi binafsi nilikuchukia sana wakati ukiwa mkuu wa wa mkosa wa dar enzi za magufuli, kumbe wewe ni kiongozi safi namba hii, nilikutambua juzi mama alipokuteuwa kuwa katibu mkuu mwenezi ccm, nikaona your true colours, na sasa uko vizuri mkuu wa mkosa Arusha, keep it up 🤝🙏🙏❤️💚💙🤜🤛💪💪💪
@DanielMarco-js1kz
@DanielMarco-js1kz 5 ай бұрын
Mwalimu anaongea vizuri. Proud to be a teacher!
@obsonjulius312
@obsonjulius312 4 ай бұрын
Mwalimu ni msomi anajua
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 4 ай бұрын
​@@obsonjulius312kabisa mwalimu ni msomi anajua anachoongea
@MamaBambala
@MamaBambala 5 ай бұрын
Makonda mdogo wangu Mungu ailinde roho yako
@lightnessseifu5983
@lightnessseifu5983 4 ай бұрын
Makonda mungu akulinde na akuongezee umri mrefu baba
@LinusKyando
@LinusKyando 4 ай бұрын
HUYU MWALIMI ANA CONFIDENCE YA HALI YA JUU SANA VERY PERFECT,MAKONDA ANATAKA WATU STRAIGHT KAMA HAWA
@aminabanka8203
@aminabanka8203 3 ай бұрын
Mwenyezi Mungu akulinde brother.
@LaurianKiyeyeu
@LaurianKiyeyeu 5 ай бұрын
Mungu akupe ujasiri,uvumilivu,bidii ya kazi na Maomo uendelee kusaidia jamii ndiyo tafsiri ya Dhamana ya Uongozi,yajayo kwako yana mungu mbele yako makonda
@BakariKawishe
@BakariKawishe 5 ай бұрын
Mwl anajieleza vizur sana na kwa hakika anafaa hata kua kiongozi
@RichWise671
@RichWise671 4 ай бұрын
I'm very proud to be a teacher 💝
@profs.a5412
@profs.a5412 5 ай бұрын
Huyuu jamaa mi naamini Mfumo ndio ulimfanya aonekane mtu mbayaa, Yani walimtumia vibayaa, ila kiuhalisia huyu jamaa nikiongozi kweli kweli , tena mtetea wanyonge
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 5 ай бұрын
Acha unanifiki mfumo gani wakati mfumo aliyo nao ni huo wa magu wa kuwasaidia wanyonge
@profs.a5412
@profs.a5412 5 ай бұрын
@@AjiaMohamed-rt5pb inatakiwa kuwa na akili kubwa ili uweze kunielewa , lasivyo hakuna utakacho ambuliaa🚶
@JosephzakayoPius
@JosephzakayoPius 5 ай бұрын
❤❤❤​@@AjiaMohamed-rt5pb
@JRN2612
@JRN2612 5 ай бұрын
​@@profs.a5412fact😂😂
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 5 ай бұрын
Mama naomba namba yako ili ni mwl Mwenzio Nina wazo juu yako
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 5 ай бұрын
Nasubilia part 2 Makonda 🔥 🔥
@GetrudaIbrahim-x7n
@GetrudaIbrahim-x7n 2 күн бұрын
Mh. Mungu akubariki sana wanaume wametelekeza watoto hawajali
@SaidMashaka
@SaidMashaka 5 ай бұрын
Big up sana makonda...tunakupenda sana❤❤
@huldamichael4445
@huldamichael4445 5 ай бұрын
Sasa kama ni hivi watu wengi si wanaumizwa Sana!??maana sio watu wengi wanaweza au kujua huu mzunguko wote...daah
@MrTop-wj7no
@MrTop-wj7no 5 ай бұрын
Kweli kabisa
@asilahassan9965
@asilahassan9965 5 ай бұрын
Sadakta
@ConstanciovictorVictor-tp5zu
@ConstanciovictorVictor-tp5zu 3 ай бұрын
Deus esteja com tigo meu irmão makonda❤
@eliamwankenja7087
@eliamwankenja7087 5 ай бұрын
Mungu akubaliki
@habiolivier8315
@habiolivier8315 5 ай бұрын
you have wisdom leadership let useful mocking next president
@batholomewjohn913
@batholomewjohn913 3 ай бұрын
Hongera Mkuu wa mkoa wa Arusha unaweza
@sosthenesmutarubukwa5901
@sosthenesmutarubukwa5901 5 ай бұрын
Kwa Muktadha huu Uongozi katika Utumishi wa Umma utakuwa Mgumu. Kwa sababu wakati mwingine Watumishi wanavuruga utumishi wa Umma kupitia Pesonal Anbitions badala ya Kanuni za Utumishi wa Umma.
@LadislausBwangile
@LadislausBwangile 5 ай бұрын
Hongera makonda MUNGU akulinde
@tauredtv99
@tauredtv99 5 ай бұрын
Makonda aongezwe back up ya Aggrey Mwanri. Huyu katibu angesukumwa ndani😅😅😅
@Ryanzabron
@Ryanzabron 5 ай бұрын
😂😂😂😂 Hii imevunja mbavu
@LeylatVlogs
@LeylatVlogs 5 ай бұрын
Dada huyu ni kichwaa@mwalimu
@ceciliaonyango5367
@ceciliaonyango5367 4 ай бұрын
Sio arusha tu sehemu nyingi watu wanaubinafsi tu
@KeziaAmos-np9fu
@KeziaAmos-np9fu 4 ай бұрын
😂😂😂😂
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 5 ай бұрын
Safiiiiii saaaanaaaa Mh Makonda
@rehemambilinyi3523
@rehemambilinyi3523 5 ай бұрын
Mungu akulinde mh.makonda na viongozi wengine waige
@beesmarttv3792
@beesmarttv3792 4 ай бұрын
Mama anaongea vizur sana na yupo very straight
@ChristopherChacha-fb4oc
@ChristopherChacha-fb4oc 5 ай бұрын
Pole mama
@konradkapinga6744
@konradkapinga6744 5 ай бұрын
Daaaadek tunyooshe Brother
@samsonsike1262
@samsonsike1262 4 ай бұрын
We need leaders like makonda even at high level, big up Mr MAGU the sec
@RamadhaniAlly-n5u
@RamadhaniAlly-n5u 3 ай бұрын
Hongera mtetezi wa wanyonge
@MwanahamisAlly-u7c
@MwanahamisAlly-u7c 5 ай бұрын
Mungu akulinde Rc a
@BienvenueBisimwa-rn9rn
@BienvenueBisimwa-rn9rn 3 ай бұрын
Mungu akulinde Makonda
@ANDREAMATUNJA
@ANDREAMATUNJA 5 ай бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa mungu akulinde sana .
@castroshayo3498
@castroshayo3498 4 ай бұрын
Motosach International
@NOVATISIYAME-iz9qw
@NOVATISIYAME-iz9qw 5 ай бұрын
Dar Paulo mungu pekee ndio anaweza kukilipa
@samwelnevele7796
@samwelnevele7796 5 ай бұрын
Kaka makonda wenye changamoto kama hii ni wengi naomba wasaidiwe na mungu akulinde sana
@HENRYMATHIAS-h7e
@HENRYMATHIAS-h7e 5 ай бұрын
Mwogopeni Mungu watumishi nyie mkuu wa mkoa Asante sana kwako
@kalumunakalumuna7403
@kalumunakalumuna7403 5 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki Sana
@tumainiezekia5873
@tumainiezekia5873 3 ай бұрын
Daaah mam honger unaongea vzr ❤😊
@deoluma1706
@deoluma1706 5 ай бұрын
Safi sana makonda. Namkubali sana asee. Utumish kuna uonevu wa Hali ya juu sana kwa walimu
@gadielshedaffa3333
@gadielshedaffa3333 4 ай бұрын
Nchi hii mioyo ya watu imekuwa ya kishetani! Uzalendo umeondoka! Mungu awarehemu wengi hawajui walitendalo! Dhambi nia aibu kwa watu wote! Mungu awainue watu kama makonda!
@VictorLyimo-so9xr
@VictorLyimo-so9xr 5 ай бұрын
Rais ampe mama nafasi uongozi
@hasanirajabu3350
@hasanirajabu3350 5 ай бұрын
Makonda chapa kazi baba tunakuombea
@SalmaLaizer
@SalmaLaizer 5 ай бұрын
Guys makonda, ni mtu alieshushwa, ajazaliwa hongera mama samia kwa kwa kichwa hiki na umejua pakukiweka muse na maisha marefu❤
@leilathydidy6058
@leilathydidy6058 5 ай бұрын
Ndio yan me huyu baba wanaomchukia nina washangaa sana kiukweli, yuko vzuri mno kiongozi
@zwinaalhabsi664
@zwinaalhabsi664 5 ай бұрын
Safi sana kaka makonda
@musampanda3643
@musampanda3643 5 ай бұрын
Madame leo kamwaga mchele
@sjosephmashany-eu6rf
@sjosephmashany-eu6rf 3 ай бұрын
Mungu aendelee kukuweka
@afidhuOmary
@afidhuOmary 5 ай бұрын
Makonda hongera xan kwa kazi nzur unayo fanya kama kuna uwezekano wakulete kagera
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 5 ай бұрын
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@ttss7716
@ttss7716 5 ай бұрын
Huyu mwishimiwa mungu amuweke mpaka nimelia walahi 😢😢😢
@lulusenzia4807
@lulusenzia4807 4 ай бұрын
Mungu akufikishe mbali Makonda nimependa nchi yetu hii longolongo nyingi
@VeronicaAlexander-u9x
@VeronicaAlexander-u9x 4 ай бұрын
Jamani huyu Mwl amepata majanga kama yangu. Makonda unanisaidiaje mimi nipo Dodoma Arusha mna bahati muombeeni sana Makonda
@rahabnkya8276
@rahabnkya8276 5 ай бұрын
MUNGU AKUPE AFYA njema Mzee MAKONDA. AMEEN
@hafidhdrogba3392
@hafidhdrogba3392 3 ай бұрын
Mama anafaa kuwa kiongozi
@sadockeliakim5862
@sadockeliakim5862 4 ай бұрын
Mungu amlinde makonda watu watende haki
@BEmmanuel-zt1kn
@BEmmanuel-zt1kn 5 ай бұрын
Pole san mma
@PrudenceMwakyoma-oz5ic
@PrudenceMwakyoma-oz5ic 5 ай бұрын
Makonda Mungu akusaidie. Ufanyakazi vizuri ivyo ivyo
@anthonylongolongo9863
@anthonylongolongo9863 5 ай бұрын
Daaah! samahan san broo (MAKONDA) mwanzo niliona kama unakosea lakin kumbe unapiga kazi sana. MUNGU akutie nguvu na kukulinda pia
@SuleimanEdward-f1n
@SuleimanEdward-f1n 5 ай бұрын
Mungu akubariki sana Mheshimiwa makonda
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 5 ай бұрын
SAFI SANA MAKONDA MAMA SAMIA ALITUMWA NA MUNGU KUKUCHAGUA. ASANTE MUNGU MLINDE MAKONDA.
@victorcephas3618
@victorcephas3618 5 ай бұрын
Nasubiria part 2
@AlHamra-k4u
@AlHamra-k4u 5 ай бұрын
Mh Makonda 🔥🔥🔥🔥🔥
@mussaharun7257
@mussaharun7257 5 ай бұрын
Mwalimu Mtulivu sana
@RamadhanAbdallah-r7t
@RamadhanAbdallah-r7t 5 ай бұрын
Mungu akulinde njoo zanziba baba yamejaa
@nyungwajunior1301
@nyungwajunior1301 5 ай бұрын
Huyu jamaa anapiga kazi bhana
@asingizibwejacobkalokola7351
@asingizibwejacobkalokola7351 4 ай бұрын
Makonda Mungu akubariki
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 4 ай бұрын
hivi kwanini mikuwa mnamchukia makonda? kazi kubwa sana anaifanya ,mungu akuongoze
@katibampya8442
@katibampya8442 5 ай бұрын
Mwendelezo wa hii napata wapi??? @global tv
@AlbertSambo-j2l
@AlbertSambo-j2l 5 ай бұрын
Mungu alikuchagua uwe kiongozi nakuli unatenda yanayo mpendeza mungu ubarkiwe sana namungu akulinde sana
@CalmAlpineSkiing-xf4gv
@CalmAlpineSkiing-xf4gv 5 ай бұрын
Asante Makonda Mungu Linda watumishi wanaotetea wanyonge
@VictorBugobola
@VictorBugobola 5 ай бұрын
Ila hiiii Nchi unaweza ukawa unacheka kumb yanaumiza sana dah tutafika tumechoka sana yan hadi hapo watanzania inaonekana tu Wivu sana,yatupasa tuwe na hofu ya Mungu
@babalao910
@babalao910 5 ай бұрын
Mama Samia👍👍👍👍 Kwa kutuletea nakonda
@davidmnzava4280
@davidmnzava4280 5 ай бұрын
Kazi Zur sana , watu Wana shida hawana connection
@Aziz-p6s
@Aziz-p6s 5 ай бұрын
Viongozi wengi wa nchi hii wanaogopa watumishi wasomi.wanaogopa kupokonywa nafasi kwakua wengi wamepachikwa tu kwa hizo nafasi
@masikitikomwakyonde1259
@masikitikomwakyonde1259 5 ай бұрын
Aisee pole mwl siku zote mti wenye matunda ndo hupigwa mawe
@RaseduOfficial
@RaseduOfficial 5 ай бұрын
Asante mm ni ras edu KZbin
@hermangabriel9039
@hermangabriel9039 5 ай бұрын
Kazi njema! kiongozi wa wanyonge
@geophureysamsoni5033
@geophureysamsoni5033 5 ай бұрын
Kuwa na nchi yenye watu waonezi kama ningerisoma mimi nikuwafunga
@dottolucas3721
@dottolucas3721 5 ай бұрын
Yaani hata hiyo CWT nao kwa sasa ni Shidaaaaaa
@Oscar-qs7tn
@Oscar-qs7tn 5 ай бұрын
Kweli mwalimu ni mwalimu akili mingi Sana lazima nioe mwalimu anitoe ujinga
@herilello4
@herilello4 5 ай бұрын
Makonda Ni Gifted from the GOD
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 4 ай бұрын
Amen
@JumaKobossa-gb2br
@JumaKobossa-gb2br 4 ай бұрын
Mmmmm kiongozi una kazi sio mchezo ila pambana mungu yu pamoja nae
@sebastianthadeus5270
@sebastianthadeus5270 5 ай бұрын
Hawo watu wanapambana na mama msomi bila kujua wamlipe Hela zake
@viviandavid9974
@viviandavid9974 5 ай бұрын
Nimeipenda sana
@JamesPuye
@JamesPuye 3 ай бұрын
Hongr makonda
@HamisiPawa
@HamisiPawa 5 ай бұрын
Ila bongo watumishi miungu watu wango wengi vbya mno
@sancriffinvestment
@sancriffinvestment Ай бұрын
Mama akili imetulia sana, hakupaswa kusomea ualimu.
@ShedrackKapande-qh8pv
@ShedrackKapande-qh8pv 3 ай бұрын
Jaman halimashaur zetu acheni ukiritimba mtaumbuka.CWT mnaboa badala ya kuwatetea walimu,mnawakandamiza.CHAKUHAWATA piga hatua.
@rodgersabraham9837
@rodgersabraham9837 2 ай бұрын
the spirit of Magufuli is him
@VictorBugobola
@VictorBugobola 5 ай бұрын
Huyu dada apewe Nafas ya kaz serikalin maan anajua na anajua kujielezea ata utumishi anaweza hongera mama mkwe
@haryanyawu640
@haryanyawu640 4 ай бұрын
Safi sana makonda kuna mkwe wanhu naye anayeseka kazukiliwa mahabharata wake miezi mitano ningeomba msaada wako
@emmanuelntalima1717
@emmanuelntalima1717 5 ай бұрын
Hao ndio CWT ya leo kwa kifupi sikiliza kuanzia dk 3:40 pitia dk ya 4:35 endelea hadi dk ya 6:40 uone CWT wanavyohujuku walimu badala ya kuwasaidia, kuanzia kuwakosesha haki hadi kuwapora fedha.
@mankambise2000
@mankambise2000 3 ай бұрын
Huyu mwalimu anajieleza vizuri sana
@NeyluluPaulo-yy9rx
@NeyluluPaulo-yy9rx 4 ай бұрын
Naomba namba za Mh. Makonda jamani
@thomasgabriel588
@thomasgabriel588 5 ай бұрын
Chezea mwalimu weww
@mosesmzakwe7774
@mosesmzakwe7774 5 ай бұрын
Kuna hatari kubwa mnooo sana kwenye utumishi kiukweli.
@SharrifAbdoul-Rahman
@SharrifAbdoul-Rahman 3 ай бұрын
Vipi tupate kiongozi kama huyo kwetu ? Kweli Allah Amlinde
@josephmtikile-yf3pq
@josephmtikile-yf3pq 4 ай бұрын
Hii nchi ngumu sana Yan ata Ajira zinatolewa Kwa kujuana
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 8 МЛН
Synyptas 4 | Арамызда бір сатқын бар ! | 4 Bolim
17:24
SISTER EXPOSED MY MAGIC @Whoispelagheya
00:45
MasomkaMagic
Рет қаралды 13 МЛН
DANSON OMARI EXPOSING HOW JUDGES ARE PLAYING GAMES ON GACHAGUA
9:12
VAMPIRE DESTROYED GIRL???? 😱
00:56
INO
Рет қаралды 8 МЛН