Kama umesikia kachome nyumba za mama na baba. Gonga like 💗 💗 💗 😀😀😀
@pendogodwin16124 жыл бұрын
Nyumba za baba zetu zichomwe tu😅
@marynamrosso75844 жыл бұрын
Mungu tusaidie hiki kizazi hawa watoto ni mapepoo au nini ona sasa wanaenda kuwapa wazazi gharama ambazo sii za lazima hongera sana mkuu wa mkoa kwa kazi nzuri mno hii no fundisho kwa wanafunzi wenye nia mbaya na ambao hawajui kilichowapeleka shule ndio maana unaambia mtoto ukishamzaa ni wa wote! Kiongozi anayefuatilia maadili ya shule nampenda sana utakuwa mfano bora!.
@pendomarco40344 жыл бұрын
Utawala wa JPM vzur sana
@marynamrosso75844 жыл бұрын
@@pendomarco4034 Watamuelewa tu JPM wetu na huu uteuzi wa Mara kwa Mara ni kutafuta viongozi kama hawa wanaoweza kupamnana!
@marynamrosso75844 жыл бұрын
@@pendomarco4034 sorry kupambana typing
@vincentcharles43854 жыл бұрын
Ukimaliza ukuu wa mkoa,Uwaziri wa Elimu unakuhusu mh.kazi nzuri
@stellakabonge29164 жыл бұрын
Mwalimu wangu nmekukumbuka sana, big up Mr.Chalamila
@marynamrosso75844 жыл бұрын
Aliyegundua wengi wanaocoment kumchafua RC ni baadhi ya wazazi wa watoto alike hapa!
@errydeo88654 жыл бұрын
wapumbavu
@godfreymbambe68344 жыл бұрын
Ndio gharama ya kulea mitoto yenye tabia mbovu. Fukuzaaa
@godfreymbambe68344 жыл бұрын
Safi sana RC umenikuna sana sana.bigup
@bahatidaddy14 жыл бұрын
Like zinakusaidia nini sasa!? We utakuwa na matatizo ya akili, yaani mtu mzima unalazimisha like!? Uzifanyie niniiiii!? Umeshakua, acha utoto.
@marynamrosso75844 жыл бұрын
@@bahatidaddy1 Nazichemsha ninywe supu! karibu! Utu uzima dawa!
@makarangaj68444 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa, na kama fimbo zitakomeshwa kabsa mashuleni, tutegemee kuona waalimu wakiadhirika na watoto kuendelea kuharibika zaidi
@ilovejesus93034 жыл бұрын
Unaweza mlea mtoto bila fimbo inategemea foundation ya malezi ilikuwaje
@kaanaelmbise64824 жыл бұрын
ongera sana walim walikua kwenye wakati mgumu
@blandinamnyinga83184 жыл бұрын
mm ni mlezi wa watoto shule fulani ya bweni,kiufupi na kiukweli wanafunzi ni watukutu na wana matukio usiombe na wazazi wengi wanadhani kulea watoto wao ni kazi rahisi.kulea watoto wengi ambao wamelelewa mazingira na tabia mbalimbali ni shughuli ambayo ili uifanye vizuri ni kwa msaada wa Mungu
@benlaizer99364 жыл бұрын
Asante sana mkuu wa mkoa umezungumza na umetoa adhabu kama BABA!!!
@samsonzablon4 жыл бұрын
Big up, Watu tunaisoma namba kukusanya kodi, has a Mimi kwa mwaka nalipa zaidi ya milioni mbili ili kuijenga Tanzania halafu mnachoma majengo ambayo PESA yangu inajenga, hapana, kuleni viboko
@sammich37744 жыл бұрын
saiv walimu naye inabid wawe wanajeshi maana wanafunzi wanawaonea sana Rc yupo sahh kabisa cna ugomvi naye
@marymfugwa8474 жыл бұрын
Safi kabisa mkuu watoto hawana nidhamu kabisa pia nimefurahi kwa adhabu hiyo maana hizo pesa zitafanya ukarabati kwa uharibifu uliyo tokea, big up sana mkuu hapa kazi tu.
@thabitmohamed87444 жыл бұрын
Ikumbukwe kwa wanaohukumiwa sio wote wenye hatia ilibidi ichunguzwe kwanza kabla hukumu,wanafunzi fanyeni mlioyaendea shule,big up RC
@azizauledi41084 жыл бұрын
Safi sana mkuu wa mkoa fukuza km wao hawataki kusoama waende zao na upuuzi wao waachie wengine wapate elimu well done
@sebastiankulinga29594 жыл бұрын
Safi sana, wanafunzi siku hz wanapenda kutokua na nidhamu kabisa. Safi sana RC tukiwa na viongozi WA namna hii tutafika mbali.
@thomasnyarusanda26084 жыл бұрын
Safi sana Mkuu wa Mkoa. Wanazifanya wao walipe gharama za ujenzi wa mabweni waliochoma.
@lavianaalbert90384 жыл бұрын
Yes
@dsstanzania4 жыл бұрын
Asante kwa kutambua kua bado wanahitaji kusoma mungu akubariki mkuu wa Mkoa maana ungeweza kuwafuta
@allymngwaya98554 жыл бұрын
Mwanzo nilizani wanaonewa kumbe RC uko sahihi kabisaaa
@sulleysonsulley41604 жыл бұрын
RC umetisha , yaani hiii ni safi sana ,
@doreenbella11354 жыл бұрын
wazazi wanahangaika wanadhalilika makazini huko halafu nyie mnafany ujinga daaah Mungu awatie nguvu hao wazazi wenu..asante Mungu sikuwahi kudharau mwalimu wangu ngazi zote nilizopitia.
@jimmymkenge64694 жыл бұрын
poleni sana wanafunzi kwa kipindi kigumu kama hicho.wengi uwa tunapewa maneno ya tahadhari pindi tunaagwa kutoka nyumbani na wengi wetu familia zetu ni duni kiuchumi.Rc chalamila umefany maamuzi magumu japo utalaumiwa lakini upo kweny right way.hongera sana
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
I'm so happy for this.., I wish mngetumia FFU kuwacharaza, maana wale hawana mdhaha wanacharaza mpaka kuku. Watoto wamekosa maadili na ukichunguza wengi hizo simu wamenunuliwa na wazazi wao wa hovyo. Good job mkuu.
@johnsonjusto95644 жыл бұрын
yaani rc mungu anakuona wangefanya uchunguzi wachini kwa chini wangewapata wahusika mbona nasikama ivi kufukuza wote
@amoslainas80444 жыл бұрын
Hongera sana bos mbeya, tko nyuma yako.
@abelmlula99254 жыл бұрын
Kama unaamini tuliosoma zamani nidhamu yetu ilijengwa na viboko na vijana wasasa wameharibika baada ya viboko kufutwa gonga like....
Mungu awarehemu watoto wetu, imagine mzazi uko nyumbani wakati mwingine hats hiyo, laki mbili hujaishishika miaka 2 na ndomtoto ksharibu jamani, God have your mercy up our kids
@salimdzillah63454 жыл бұрын
Nakuunga mkono mkuu, Kama Mtu anawahurumia akawalaze nyumbani kwake, wachome nyumba za wazazi wao wasituhangaishe. Ili wasionewe ambao hawakuhusika wanafunzi wanawajua maana kuchoma Shule kunahitaji kikao siamin hawakuonekana wakifanya Hicho kikao. Tunalipa Ada wasome wanaleta ujinga.
@marthamollelloth76734 жыл бұрын
Safi sana RC
@delorisdaniel1944 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa uko sawa sana. Hongera sana
@georgeerick31404 жыл бұрын
kwann fimbo zisialalishwe tena nduguzanguni ,watoto asa ivi awasomi ni uchizi tupu ,hongera mkuu wa mkoamm nipo dar tabata.
@abubakaryalmas76734 жыл бұрын
Yani wazirudishe tu maana wengi wao hawajielewi
@naimamohamed56324 жыл бұрын
Ila kuna makosa ni sahihi kucharaza hawa watt jmn,mijalimu mengine inapiga hovyo jamani...kuna shule ya victory(discipline master)anapiga vby na mpk wtt wanazimia...ukiuliza kosa hajachomekea!
@bebisheni43804 жыл бұрын
hongera mkuu wa mkoa kuwacharaza viboko ila warudishe wote usiwafukuze safi kabisa walipe
@innocentpius80834 жыл бұрын
Safiii sana piga kazi jembee
@rozinamassawe40834 жыл бұрын
Ongera Sana mungu akutangulie upo sahihi Sana kwa mahamuzi
@silvestermakata4004 жыл бұрын
Piga Sana viboko 3 havitoshi mitoto y'a sasa Aina adabu mkuu asante sana
@oscarjohn4774 жыл бұрын
vitu vngne nadra sana ebu imagine unachapwa vboko na mkuu wa mkoa very rarely wht a bahati 😂 😂
@marwawilliam36484 жыл бұрын
måvęriçk 26 😂😂😂🤗
@mariadevid56284 жыл бұрын
Duhhh iyo bahati ungepewa ww
@oscarjohn4774 жыл бұрын
@@marwawilliam3648 😂
@oscarjohn4774 жыл бұрын
@@mariadevid5628 m ninge mwambia ata aniongeza au anipge ata konzi la nyongeza 😎
@dozenshija37654 жыл бұрын
Hahaaa hatar we jamaa umejua kunifurahisha
@zephstanley92354 жыл бұрын
Wanaokosoa ni wale ambao hawawajui wanafunzi vizuri wanafunzi huwa wanazingua vibaya mno yani mwalimu ana shida shule akijaribu kumwambia tu mwanafunzi kitu chochote kwa kumkemea siku hiyo mwalimu atapigika vibaya mno lkn kuna mamtu humu bado yanatetea tu wanafunzi... bora tu wakuu wa mikoa wawe wanawasaidia walimu kama hivyo
@wajaweje31834 жыл бұрын
safi sana mkuu wa mkoa kazi nzuri
@mustiidebabiluun96824 жыл бұрын
Goood work RC.....kazi kazi kitaa watu tunapambania halafu nyie mnazingua#shenzi kamili
@goodluckmachangu59414 жыл бұрын
Vizur sana Rc. Mimi ni mwalimu na ninafahamu sana tabia za wanafunzi. Kenya walianza hivi hivi baada ya kukatazwa kuangalia TV wakaanza kampeni ya kuchoma mabweni.
@hennryhamisi5074 жыл бұрын
Hongra sana mkuu👏👏👏👏
@bulugubujashi63784 жыл бұрын
Inchi inatakiwa iendeshwe ivi
@patrickosembo59284 жыл бұрын
Mkuu wa wilaya, karibu ututembelee hapa Kenya naona uchomaji wa shule utakoma wanafunzi wakikuona tu.
@michaelndunguru52484 жыл бұрын
Saf wanasumbua sana walimu hao fukuza
@maryammaram26124 жыл бұрын
Si muwafukuze shulee kabisa washenzi sana wameshajichagulia maisha hayoo ya kihuni chapenii sana mkuu wa mkoa
@tentofgracechurch3504Ай бұрын
Napenda vile Tanzania hufanya kazi. Simkuje kenya
@simonlulenga70624 жыл бұрын
Safi sana. Hatuwezi kudekeza mambo ya kipuuzi kama haya!
@exaverykatulanda40174 жыл бұрын
mwanajeshi mmoja akifanya kosa wote wanaadhibiwa ,hongera sana inatakiwa wawe uniform kitabia kama yalivyo mavazi yao
@kamanyile4 жыл бұрын
safi mkuu wa mkoa na itakuwa fundisho kwasabbu bila adhabu watafanya mazoea mabaya
@karrimmpehe81844 жыл бұрын
frank kamanyile bro ujawah kuwa mwanafunz nn😂
@dianedavid51104 жыл бұрын
Yuko sawa kabisa, maana wazazi wa leo hatutaki kuwafundisha watoto wetu,eti tunadai haki zao,hayo ndo matunda ya haki za watoto.
@johnkiputa13274 жыл бұрын
Diane David vip kwa wasiohusika kulazimishwa kutoa laki mbili na wengine hawana wazazi ni mayatima na wengine familia maskini hata hela ya kula makwao ni shida na hawajahusika je ni haki hapo
@emanuelleopod39494 жыл бұрын
Rpc mbona hiyo laki 2 na laki 5 ni ndogo asee😂😂 iyo ni kama.mauaji asee ilitakiwa walipe hapa M1 kila mtukutu😂😂
@morefireministrychurch1774 жыл бұрын
Ukosawa mkuu tuna watoto shuleni kwahiyo ulilolifanya nisawa kbs tusi bariki ujinga shuleni
@sheilamachedo24674 жыл бұрын
Jamani hao wanafunzi wanautovu wa nidhamu mbaka wanachoma na shule sasa wanataka wasomee wapi
@morefireministrychurch1774 жыл бұрын
@@sheilamachedo2467 apo ingekua mm wangenda nyumbani kbs siwataki tena
Acha huruma ikatendeke kwao,, unachoma unaposoma alafu use me bado unataka elimu fyuu
@petersilas42344 жыл бұрын
Usimnyime mtoto fimbo ndivyo tulivyofundishwa. Sisi tuko nyuma yako mkuu wa mkoa
@alyhamadi80334 жыл бұрын
Safi Sana mkuu wa mkoa najuwa iro fundisho kubwa awata rudia tena
@musokedios81624 жыл бұрын
Hujamalizia mkuu, kwa sababu hatakufa
@stephenmwaisela2634 жыл бұрын
hongera sana mkuu wetu wa mkoa,wanaokusema tofauti kamata wakalale jelaa
@jacklinamani75194 жыл бұрын
Bora mkuu wamezid Sana hao wanajioneaga km wao ndo wa babe wa shule
@abdullasalim2794 жыл бұрын
Hapo hukuwandea haki wanafunzi wengine kwani walio fanya makosa sio wote... kuwalipisha wanafunzi ambao hawana simu na wala hawahusiki kuchoma moto hapo itakua sio haki.. Mbele ya Mwenyezi Mungu...kwani maandiko yapo bayana... hakuna mtu atakae beba mzigo wa mtu mwengine kila mtu atachukuwa mzigo wake mwenyewe..
@peteralfonce58484 жыл бұрын
safi sana Mkuu hao watoto ni wasenge sana mikundu yao
@professorabdullah23004 жыл бұрын
Kazi nzuri mkuu, wamezidi Kua na tabia chafu.
@florianmwaibabile53084 жыл бұрын
Asanteh Mkuu hii ni zaidi ya responsibility well done bro..
@simbarajabu41574 жыл бұрын
Asante sana mkuu wa mkoa ndio inatakiwa hivyo,unajuwa waandishi wa habari ndio wanafiki sana
@nyawitatheboss34494 жыл бұрын
Asaantee Sana serikal y magufulii Hiii ndio Sasa Hapa kazi tuu ndioo hiiiv Nimefurahii Sanaa kwa matamko haya y mkuu w mkoa Congratulations kwa hiiliii
@ismailmajala28024 жыл бұрын
Hongera sana Mkuu Mkoa Wale Wazee wa kujadili endeleeni kujadili serikali imeamua hivyo na hivi ndo tunataka kabisa
@rodapesambili76504 жыл бұрын
Inaumiza sana yaani unaacha kufanya jambo lililokupeleka shule unachoma shule badala usome, ok basi njooni mtaani muone maisha yalivyo wengine tulitamani tungepata nafasi hiyo ila tukaikosa ila nyinyi mnaichezea mtakuja kujuta baadae.
@matalumaclassictz39544 жыл бұрын
Aya yanatokea ktk kipinnd cha ukuaj tu mm mwenyewe yashawai nikuta yaan nilikua najikubar atar ad kupigana na walim fujo sifa mbaya zote zilikua nazipenda nanunua kes ata c yangu lkn mwisho wa cku nikajua niliekua ninae mtesa ni mama yangu c mtu mwingine alhamdulillah Sasa nimekua mtoto mwema
@riphatmuhene96154 жыл бұрын
Mimi simlaumu huyu jamaa sababu nishawahi ingia kwenye zengwe kidato cha nne hivi hivi tuligomea mtihani nusura tufukuzwe shule.
@sirionkapinga67394 жыл бұрын
Watajutia sana na hisi huko waliko wanalia tu baadhi mikumbo imewaponza big up Rc watu tunachangia ujenzi mitoto mijingajinga ije ichome kirahisi tu
@glorynorbeth62734 жыл бұрын
Bora uwasaidie walimu jamani maana daaah imekuwa kero watoto hawana nidhamu siku hizi
@omaryjr53854 жыл бұрын
Safi sana nimependa kwenye kukusnya pesa za ujenzi wakat mwingine kuleana leana ndio kunakosababsha wanafunzi kuongeza viburi na matokeo yao n kufeli na lawama kuwatwisha wengine, Asante RPC kwa uamuzi
@johnkiputa13274 жыл бұрын
Omary JR ungekuwa wewe mzazi na mwanao hajahusika ungesema hayo
@omaryjr53854 жыл бұрын
@@johnkiputa1327 sahih lakin nililenga kwa waliokutw na simu
@johnkiputa13274 жыл бұрын
Omary JR sasa mkuu wa mkoa amesema wote wawajibishwe hata wale wasiohusika na wengi wao wametoka familia masikini uniform tu wazazi wamekopa hiyo laki mbili wataijulia wapi na wengine ni mayatima wanalelewa na ndugu na mazingira yao nyumbani ni magumu yakutumikishwa afu huyo huyo unamtishia pingu . Kwa hili mkuu wa mkoa amekurupuka. Angewawajibisha wahusika tu.
@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG4 жыл бұрын
Safi sana RC nakupongeza sana wazazi wanaangaika wao wana deal na simu badala ya masomo
@peterkailembo41014 жыл бұрын
Charaza tu wangekufa wenzao humo ndani leo mngemlaumu mkuu wa shule, mkuu wa mkoa na wote, wangeua wenzao kwa huo mchezo. Simu haziruhusiwi shuleni.
@kindolek92574 жыл бұрын
Kwel aise
@robertsamson37504 жыл бұрын
Najiuliza makosa ya watu kumi na sita wanaojulika yamewafukuzisha shule wanafunzi wa shule nzima.... Kama wamejulika kuna haja gani ya Kuwazibu wasio na hatia na kuwalipisha 200
@kindolek92574 жыл бұрын
@@robertsamson3750 samak mmoja akioza
@francisjonathan9774 жыл бұрын
Duh poleni sana aise wanafunzi tulieni unaposoma mnasahau maisha yaliyopo mtaani uku
@gadielpaulo89254 жыл бұрын
safi sana piga kazi Rc
@rukiamohammed50314 жыл бұрын
Nenden manyumbn kwenu na mkirud Rudin na lk 2 na waliokuwa na cm lk 5 na km hamna hizo pesa mtazitapika tu wajinga nyie kafundishweni adabu makwenu 🚶🏿♀️🚶🏿♀️🚶🏿♀️
@sidneykanumba81654 жыл бұрын
Lol 😊😊😊
@damariszuckschwert94894 жыл бұрын
Amen..,natamani wangetandikwa na FFU.
@abubakaryalmas76734 жыл бұрын
Wamenikera hawa wanafunzi basi tu yani mzazi anajinyima ili mtoto akasome wao wanaenda kufanya ujinga wao
@adrianmallyakibona.3524 жыл бұрын
Serikali mnavuna mlichopanda... Hivi kweli waswahili mnaondoa viboko shuleni? 😳 Kina Samuel sitta walichapwa na mwalimu sembuse kizazi hiki?
@benbenedict27204 жыл бұрын
Una hakika wote hao wamechoma shule? Tuache ushabiki, watu kumi na tisa wanachomaje shule bila kuonekana? Kuna vijana hapo hawajui chochote khs kuchoma shule, wazazi maskini hata alfu 20 hawana, na machozi yao yatawafuata daima. Ushabiki wa siasa usitufanye kukosa utu na akili ya kufikiri, hatua zichukuliwe kwa wenye kosa, wasio na kosa waachwe huru.
@jtheophil54994 жыл бұрын
Malezi ya watoto siku hizi ni ovyo kabisa.ongera sana mkuu wa mkoa.
@oswardmwanjwango21694 жыл бұрын
Upo vizuri baba
@hellenmgungus19794 жыл бұрын
Kabisa maadili yameporoka kama wanapata ujasiri wa kwenda kuchoma shule niatari
@jtheophil54994 жыл бұрын
Alafu wako busy eti ni hukiukwaji wa haki za watoto na sheria.kwani hizo sheria anaweka nani si binadamu.basi ndo imetenguliwa na binadamu.mtu bila aibu eti anakaa anaonga watoto wamechapwa!je huo moto ungeleta mathara ya vifo wangehoji viboko vitatu vya mkuu wa mkoa??
@jtheophil54994 жыл бұрын
Na adhabu ya pesa ni halali yao.tunaangaika kulipa kodi watoto wasome majengo yamewekwa eti mtu anasema pesa ni kubwa ?sasa hizo za kujengea majengo mapya zitoke wapi??mnawadekeza watoto adhabu yote iliyotolewa ni halali kabisa.kama ni haki za watoto hata sisi tunao.mtoto akikosa adabu ashughulikiwe kabisa.mkuu wa mkoa big up.mnasema mtoto wa mwenzio ni mwanao, sasa mkuu wa mkoa asante sana umetimiza.
@jtheophil54994 жыл бұрын
Mnaiga mambo ya nje eti watoto wasipigwe kwa nchi yetu bado sana.hatujafika ivyo viwango.wenzetu wako organized na sidhani kama unaweza kumuona mtoto anachoma shule kwa kisingizio cha haki au sheria za watoto.wazazi walipe pesa.mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
@luizabahati51984 жыл бұрын
Hawana adabu na nidhamu kabisa...ndio Hawa Hawa wanakuja kuwa majambazi ukubwani na mitaaani ni Fuji Tu kutenda uhalifu Tu...kwenye jamii zetu wapogo la historia ndio zilianziaga huku..utovu WA nidhamu mashuleni..wapuuzi sana
@rayayondu11504 жыл бұрын
Saf Sana hawana adabu kabisa
@happymsaki17204 жыл бұрын
Mimi ni mzazi pia nyakati hizi ni ngumu jamani mimi sijui watoto wetu nani kawaroga/ila na sisi wazazi ni shda pia kama nyakati hizi mtoto mdgo kitu cha kumbembeleza ni simu sijui kipindi hicho itakuwaje sipati picha maana 🙄😭
@tereseamasawe81114 жыл бұрын
CHALAMILA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
@oswardmwanjwango21694 жыл бұрын
Hoyeee
@emmanuelpolisi13434 жыл бұрын
Mkuu uko vzr kwa hili Niko na ww
@umiy19714 жыл бұрын
oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
@salgadomohamed46694 жыл бұрын
This is the best RD I would like to see in my lifetime. ..big up Mr RC you deserved that authority
@mako3314 жыл бұрын
Safi mkuu nakubaliana na wewe, ila kuna wale ambao hawakuhusika kabisa ila wanaingia kwenye shida hapa
@masubenjamin984 жыл бұрын
ludisheni fimbo shuleni kama zamani mambo tataenda vzr
@umojamedia41674 жыл бұрын
Kwan fimbo mashulen sikuiz amna
@shabanmlekwa95134 жыл бұрын
@@umojamedia4167 Mimi ni mwl, fimbo ni kama zimefutwa tu kwani anaepasa kuchapa ni Mwl Mkuu au Head master tu, au mwl mwingine kwa kuruhusiwa na hao. Fimbo zisizidi nne tu. So ikitokea Mwl Mkuu au Head Master hawapo shuleni basi wanafunzi ni kula bata tu, lolote watakalolifanya ni sawa. Na mitoto ya siku hizi ilivyo walimu nao walishaamua kuyakatia tamaa tu yaharibike si sheria ya viboko inayatetea. Walimu tulishaamua kuyaacha yaharibike tu yakaue wazazi wao. Kwanza hata yakisoma yakapata kazi hayana faida na sisi.
@mtasma19944 жыл бұрын
@@umojamedia4167 hamna viboko vimefutwa
@ilovejesus93034 жыл бұрын
@@shabanmlekwa9513 mwl unaongea kwa uchungu🙄😁😁😁 na wewe wanafunzi wanakubananisha nn
@ramadhaniadammakange36394 жыл бұрын
Yani kaka ningepata number yako ningekutumia hata elfu kumi ya airtime. Toka south I love that.Nashangaa wale wasiompenda Mr Magufuli.
@janemaya84704 жыл бұрын
Daaah ni uwamuz, mzuri ila wasingewaadhibu wote kuna wengine apo hawana pesa wanatokea familia duni wangeadhibiwa wenye makosa
@akuujk63404 жыл бұрын
I’m felling blessed my school days are over....Mkapa days 🕺🏿🕺🏿🕺🏿🕺🏿🕺🏿
@bigbro27054 жыл бұрын
Hiyo ilikuwa ni bahati mbaya inatakiwa wasamehewe nakama wazazi hawana uwezo wakulipa watafanya nini? ina maana mtawaachisha shule na kuwafunga? mua haribie maisha yao?
@hamiduissa80894 жыл бұрын
Ndio
@habibaissa67784 жыл бұрын
Big Bro Bahati mbaya??? Waswahili husema MCHUMA JANGA HULA NA WAKWAO,baba,mama,mjomba,bibi,watakopa popote ili trh 18 arudi shule na hapo ndipo watakapojifunza kuwa KIBURI C MAUNGWANA!!!!
@shamsimagesa45204 жыл бұрын
Wawaharibie tena maisha!!! Wao waliipoamua kuchoma bweni walikuwa wanajitengenezea maisha? Acha habari hizo.
@rogathokibiki32464 жыл бұрын
Kwa tuliosomaa Kantalamba kidato 5&6 2007/09 tunayajua vema haya mambo. FFU walizidiwa mbinu na wanafunzi 3 days hapakaliki shule kufungwa kidato 1 hadi 6 kwa muda uwmsiojulikana
@marynamrosso75844 жыл бұрын
Hahahaaa ni shida
@magrethjohn85764 жыл бұрын
Kwa kweli toka siku hizi viboko vimekatazwa watoto wajeuri hakuna nidhamu kabisa!
@kusinimediatz67474 жыл бұрын
Samaki mmoja akioza wote wameoza imani yangu hapo siyo wote waliofanya hilo tukio ila adhabu wamepata wote poleni sana wanafunzi lakini kuweni makini mashuleni ndugu zangu
@angelmwoleka78924 жыл бұрын
Kabisa si ote walishiriki
@kusinimediatz67474 жыл бұрын
Nakumbuka mwaka 2015 nipo lindi high school shule yetu Lindi high school ilikumbwa na janga la moto na kusababisha kuungua kwa madaras zaidi ya 14 pamoja na ofisi za idara tofauti tofauti ikiwemo na ofisi ya michezo pamoja na vifaa vyote vya michezo sasa najaribu kuwaza jee na kule tungelipa tungepaswa kulipa mamilioni mangapia kila mwanafunzi????? Ila ukistaajabu ya KZbin utayaona ya instagram
@hassanmfaume42654 жыл бұрын
kusini media Tz wangine hawakutaja wenzao
@sadikidaudi12234 жыл бұрын
Saafi Mkuu watoto wanazingua saana wameshindwa kujifunza nidhamu Shuleni wakafunzwe Nyumbani kwao ila wamewapa Hasara Wazazi wao inatakiwa iwe fundisho kwa Mashule Mengine .pia hawakujui km nawewe ulishakua Mwalimu hivyo unajua Kudhibiti nidhamu.
@petrokasanga94134 жыл бұрын
Mlambe mchanga na Kokoto mmeze👉🔐🏃🏃 Hatari Sana🙌
@ppranoz4 жыл бұрын
Kama namuona mzee wangu vile angenishughulikia bila ya kutaka kujua ilikuwaje 🤗🤗🤗😂😂 (Laki mbili si mashara ghafla tu 😂😂😂)
@alexanthony46754 жыл бұрын
😀😀😀😀
@mcjabbyevents49384 жыл бұрын
Kweliii adhabuu nzuriii sanaaaaa bb
@ommietrendz71754 жыл бұрын
Makonda akishika fimbo achape mtoto si atajamba mbele za watu 🌝🌝🌝🌝🌝
@captenndunga21024 жыл бұрын
Huyu nampa mwaka 1 tuu hiyo kazi haimfai kwanza hana utu alafu haijui mipaka yake ya kazi... cheo ni dhamana mkuu sio pepo hizo pesa ulizotaja hata MAGUFULI anajua kwa wananchi wake walivomaskini hakitoki kitu hapo kwa wazaz wa hao watoto ambao hawakuhusika.. hao waliohusika tuu hawatoi wote. Kwa kifupi hakuna mtu mkubwa MBEYA kuliko MBEYA yenyewe cheo ulichopewa kimekuzidi na kwakua rais wetu ana maono na busara basi hata hili ataliona inshaallah.. rais anataka wachapakazi lakini wenye weledi wa kumnyoosha mtu kwa sheria sio hasira na mabavu... hii ni nchi broo sio familia. Ingekua hivo raisi angeshapiga wengi sana.. una msimamo na unapiga kazi ila kuna vitu vidogo unafeli ambavo ndo muhimu..
@johnlaoz14164 жыл бұрын
CAPTENN DUNGA kweli kabisa
@andrewdamian49384 жыл бұрын
Ungejua hata raisi anapongeza kwa hilo,wanafunzi wanamambo ya ajabu sana unadhan hao 14 ndo wanasimu hapo?unaweza kuta form six nzima wanasimu hapo,dawa yao ndo hio na mkuu kafanya vizuri kabisa,mbona nyerere aliwahi mchapa viboko Sitta chuo kikuu kwani huko wanaruhusiwa viboko? Lakini alimchapa kwa ujinga
@noahmwaipopo91424 жыл бұрын
Jinga sana hili jamaa linaropoka kama nimekula maji ya chooni
@rosemarymsulwa2034 жыл бұрын
Kwa hiyo wangeuwa mgesemaje? Kwamba ni sahihi walochofanya hai mwanafunzi? Mimi wa kwangu anasoma hapo. Lakini akifika hapa lazima nimuadhibu. Sitaki mtoto atakayekuwa jambazi baadae.
@mamadada17814 жыл бұрын
oky
@amanijosiah52054 жыл бұрын
Yaan Rc yupo sahihi kabisa safi sana tena kawachapa kidogo sana hao wanafunzi ni sawa na wauwaji tu
@chinischinis63714 жыл бұрын
Hii tabia ya kuchoma mabweni imekithiri sasaiv na maranyingi tunaambiwa na watu wasiojulikana lkn wakat mwingine ni baadhi ya wanafunzi ambao ni watovu wa nidhamu kama hawa, mi na mpongeza mkuu wa mkoa kwa kuanzisha jaramba la kuwabaini mapema na maamuz kama hayo ni maamuzi srong ambayo yataacha fundisho kwa wanafunz wa shule nyingine kama hiyo ambao wanatabia ovu kama hizo. Kuhusu wasiohusika na kutenda hayo R.c ameagiza kila mmoja aje na lk mbili kama mchango kwani wakiachiwa hao waliochoma moto pekee laki 5 zao na uchache wao hazitatosha kujenga mabweni hayo. Lkn han maana ya kweli ambaye atashindwa kuleta hiyo lk2 atafukuzwa shule.naakuachia shwali apa chini Jèè?asipofanya hivyo unategemea hayo mabweni yatajengwa na nanani?
@ramabendera81834 жыл бұрын
Yatajengwa na serekali na iyo ndiyo kazi yake
@yohanapindua94024 жыл бұрын
Inaumiza sana watoto wasasa Pasua kichwa mungu atuhurumie kwakwel
@ramadhanihassani2564 жыл бұрын
vijana mfikapo mashuleni acheni masuala ya mihemkoo fateni kilicho wapeleka kumbukeni nyinyi niwatoto wafamilia za hali yachini muwaonee huruma wazazi wenuu poleni wazazi poleni saaaaana
@hjhj62304 жыл бұрын
Kabisaa yaani hawana huruma na wazazi wao...imeniuma sana kuhusu wazazi hali ni ngumu sana ya kifedha
@maryammaram26124 жыл бұрын
Ni makundi hayoo wanajisahhau sana wakishaingia mtaani wanajutia ujinga waluoufanya
@claudiajames20034 жыл бұрын
Natamani hii comment yako iwafikie wanafunzi wote Tanzania nzima.
@rosemarylwamlema95774 жыл бұрын
Yaani wakuu wa mkoa wote wangekuwa hivi shule zingekuwa nzuri sana, wanafunzi siku hizi wanafanya vitu vya ajabu sana ndio maana wanafeli na walimu wanalaumiwa bure.
@charlesmataba83444 жыл бұрын
ADHABU HYO INAFAAA SANA ,TENA NAISHAURI SERIKALI YETU KUWA WALIMU WOTE WAALALISHWE KUTOA ADHABU YA FIMBO KWA WANAFUNZI MAANA BILA FIMBO HAKUNA NIDHAMU,HAKUNA UFAULU,Amini wanafunz ni watutuku sana ,......NO DISCIPLINE NO SUCCESS.
@ramgytwalha35684 жыл бұрын
Mzee mwenzangu
@robertterry89094 жыл бұрын
upo sawa mkuu
@piuskikula13984 жыл бұрын
Kwahawa watoto wa sikuhizi inatakiwa lvo wana viburi mno
@abdulishaban77954 жыл бұрын
Sasa daaah kwakwel jmn wengine wanalilia kusoma wengine ujeur shulen