Asantee RC safi kabsa mwanri mheshimiwa rais saf kabsaa nataman nmwombe mhe rais akurudshe kwenye uwaziri
@eliakazana72523 жыл бұрын
Fukuafukuaaa!sio Poa aliyeskia gongs like twende sawa!
@AbdulRajabu-to3nbАй бұрын
Noma sana mzee
@ramadhanichilumba36104 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂Ktk ma rc nchi hii huyu jamaa namuelewa aiseeee
@maxmaizer46314 жыл бұрын
Heeee coming men heeee waaaacha iyo kitu😂😂
@ronniebertin35632 жыл бұрын
Uyu mzee noma
@dn.n49834 жыл бұрын
Hii ni kali ingekuwa nch nzima mbona tungekywa kama mbinguni jamani polisi wasingekywa kazi tena washulikiwe kikamilifu hawa walifu
@khalidballeth59574 жыл бұрын
Makonda iga huku achana na kufatilia mashoga
@mussasoftwarephone6104 жыл бұрын
Fungua fungua mlango bamiza 🤣🤣🤣
@abdulkillya26554 жыл бұрын
Hiv mm mkuu wa mkoa nmekaakaje hapa, yani huu mkoa nmepwaya pwaya, umenishinda, siuwez uwezi, Weeeeeeh, hapa tutakuja na fukua fukua fukua fukua😂😂😂😂😂😂😂
@shebaminde76564 жыл бұрын
Mnasakwa kama panya hahahhhah uuuuwi
@musadaud6524 жыл бұрын
Hahahaha mmenionaje mimi mkuu wa mkoa nikama nimepwaya pwaya au Weeee weeee Hahahaha
Lazima wasakwe kama panya washenzi hao kama wote sukuma ndaniiiiiiiii
@ethanljayson31294 жыл бұрын
Fukua fukua fukua operation
@bernardchibwana19074 жыл бұрын
hahahahahaha!!, nimefurahi sanaa huyu mzee yuko makini sanaa.
@abuibra4 жыл бұрын
ADIOS AMIGO ADIOS AMIGO 😂😂😂🤣😇😇 KURA HIZO SAFI SANA SANA 😂😂FUKUWA FUKUWA NOMA MAZEE
@hasanially92944 жыл бұрын
Tukipata 15 tz itapendeza
@bedashauri81794 жыл бұрын
Huyu mzee ni nomaa
@tawoostanzania96024 жыл бұрын
Umekaa kaaje??
@brunopeter73844 жыл бұрын
List inaongozwa mchungaji
@fatumachagudadui73694 жыл бұрын
Hiyo iko poa Sana
@frankjoel24624 жыл бұрын
Kati ya wakuu was mikoa Mwanri baba una Tisha uko kijamii zaidi Makonda Kiki tu Hana jipya kwa sasa
@sophsoph474010 ай бұрын
Fukua fukua fukua fukua😂😂😂
@christinamichaeel97134 жыл бұрын
Ulikakaajeeeee?
@godfreylyimo41774 жыл бұрын
Ukweli ni kwamba vibaka wengi wanajulikana askali wetu. Sijui zoezi lengo lake nini? Mkuu wa mkoa na nia njema sn lkn RPC wake alipaswa kuwa wa kwanza kumpatia taarifa
@makongoronyerere25954 жыл бұрын
Makonda muige huyu.mwenziyo
@sansisansi36864 жыл бұрын
hahahaaa inakuaje kuaje ukatajwa mara 40
@johnjacob95874 жыл бұрын
Hakka
@allyflavour80054 жыл бұрын
Nikweli watu wabaya wapo kwenye jamii kazi hii kilahisi police anatakiwa kuwa angalia hawa walio tajwa hapo sasa kwenye kumi mmoja lazima
@ceciliapeter7344 жыл бұрын
Wilaya ya siha tutamkumbuka sana huyu baba
@themapolfx91864 жыл бұрын
Pua inahumuka kama big j
@suleimanjj14534 жыл бұрын
Tunamuhitaji huku dar uyo mkuu wa mkoa alaf muheshimiwa makonda aletwe huko
@clementbabuu48113 жыл бұрын
Mzeee wang nmekumis san
@andrewmsuya22324 жыл бұрын
Kama umesika uhuuhu gonga laiki hapa
@najmagudeh2034 жыл бұрын
Jamani dah
@felixkamkala33034 жыл бұрын
SAFI TUTAFIKA
@gigotz17554 жыл бұрын
Mchungaji ndo anaongoza Hii hatari
@mangenyanyondo73574 жыл бұрын
Hahahahaha
@gaburica73074 жыл бұрын
Hahaha batuuu
@priscadaud64883 жыл бұрын
Deusl
@fabianaloyce74274 жыл бұрын
hatar cna
@hamiskisonjo59784 жыл бұрын
msondo ngoma
@japhetlameck5474 жыл бұрын
Tarifa haina uhakika miladi ayo jipange kushtakiwa kwa kudhalilisha watu. Kabla ya kuitoa tarifa hiyo ulipaswa kubalansi story..
@dativaanatory25564 жыл бұрын
Huu mkoa watanyooka mana hili balaa
@papafikiri4 жыл бұрын
Watu wametajwa eeh
@danissilunde6144 жыл бұрын
Fukua fukua sukuma ndani..
@festochristopher72934 жыл бұрын
Daaaah nimecheka mbyaaaa
@mfaumeking33914 жыл бұрын
mwz anakamatwa na poris ....ila Leo tunakamatana
@gigotz17554 жыл бұрын
Umekaaje kaaje fukua fukua tutawasaka kma panya
@fredysanga92064 жыл бұрын
Hizi bangi zitaendelea kukatazwa huyu ni zigo
@AK-rd5zr4 жыл бұрын
Tanzania kweli mnashida . This is not acceptable in any modern society.This is victimisation.Ni dalili kwamba polisi wameshindwa kuwajibika ipasavyo.
@florachrist96024 жыл бұрын
Its non of ur bussnesssssssss
@lamecktheonest2254 жыл бұрын
😁😁😁😁
@abedmohamed21894 жыл бұрын
mkuu na barabara ya kutoka skonge pangale wizi wanasumbuwa usiku