Kwa kweli umenifurahisha sana kuhusu kumsaidia mkeo nyumbani. Vizuri kusaidiana nyumbani mnasaidiana mkiwa off days.Mkuu heshima yako baba Chalamila 🇹🇿🇹🇿🌺🌺🌻🌻🌹🌹💐💐
@zawadichalale40478 ай бұрын
Nimependa sana íla hata mme wangu yupo hivyo ananisaidiaga kila kitu congratu mheshimiwa
@worldsafarilandonkendi42138 ай бұрын
This is a good mind for Tanzania, Hongera kwa president Kuona hii kichwa ❤
@dominicanyinge9148 ай бұрын
Hongera sana kakangu Chalamila kwa tabia yako nzuri mungu akuongoze zaidi
@yordanyona12348 ай бұрын
uko smart sana nitajifunza kuanzia hapa
@eppiemodest8 ай бұрын
Shukuru Mungu wa tabia kama zako ni wachache sana. Hongera sana.
@darajalakidatukilomgi23628 ай бұрын
Asante kwa kuongea ukweli kuna vijana wanaume wanatia aibu na wamekua kama mikono imekatwa hata kusonga ugali hawawezi
@richardbudeba72978 ай бұрын
Kiongozi bora🙏, hakika kuna cha kujifunza na kuchukua mazuri kwa Viongozi wazuri kama Mh RC , Mungu azidi kuongoza katika kazi na majukumu yako ya utumishi
@rosemaryikamba52888 ай бұрын
Fantastic I like the way umekuwa na Hekima na Ufahamu big up sana 👍👏👏
@ezekielpaul-bl6gb8 ай бұрын
Mzee chalamila upo vzr sana mm home tumezaliwa 4 wanaume so we have to cook ,to mop ,kufua everything we are doing 🎉🎉
@adrianomaulaga15998 ай бұрын
Kama sisi tu wanaume wa 4, tumepika sana, kuosha vyombo, kudeki......
@NdeshaPaul-uz9bw4 ай бұрын
Safi sana R C. Hata watoto wako watakuwa hivyo. Huko ndiko kulea baba. Mungu akubariki
@mashilingitv49188 ай бұрын
Hujawahi niangusha mkuuu utadum sana katika maisha ya kweli
@KONDOAONLINETV-cj1cb8 ай бұрын
Hongera kwa kusaidia kazi za nyumbani
@christopherkiswaga92708 ай бұрын
Glory be to God who provides people like this Man with humbleness and wisdom in living.
@misanamaige4908 ай бұрын
Uko vizuri kiongozi, Bwana akubariki.
@corneliostephano24988 ай бұрын
Mkuu mm nakukubali sana nakuombea uwe rais wa nchi hii napenda kazi unayoifanya
@rosehaule67658 ай бұрын
Namshukuru Mungu.mqlezi ayana formula. Lakini namlea.mtoto.wngu wa.kiume hivyo kupika.kufuq kusafisha nyumba.kazi.zote za nyumbani anafanya wa kiume.miqka 22.na ameshazoea akuna Dada sote tunashirikiana pamoja na baba.mume.wngu wote tunashirikianq kufanya kazi za nyumbani ❤ ni utaratibu.mzuri tu.mnqjiwekea
@mariakibwana37008 ай бұрын
Kiongozi mkuu wa Mkoa Chalamila,umeongea kwa busara kubwa sana Mungu akubariki,binafsi nimejifunza mengi mno kupitia maneno yako.
@salamsabdullah-st9pt8 ай бұрын
Huyo ndiyo chalamilaaaaaa💪💪💪💪💪💪💪💪
@khamisbk85698 ай бұрын
You know how to talk.. my leader
@geeva998 ай бұрын
Kwakweli huyu Mnyalukolo apewe maua yake 😂😂
@mariachannel20478 ай бұрын
Hongera sana sana mheshimiwa .Ni mfano wa pekee katika familia .Angekuwa mtu mwingine mwenye cheo kama chako sidhani kama angethubutu .kwa kweli unaweka kando madaraka na mamlaka uliyo nayo .
@jacksonmichael7998 ай бұрын
Well said Sir✊️.....#Team JPM Forever.
@zuhuramuhanga54008 ай бұрын
Name nashukuru mme wangu huwa tunasaidiana kilakitu na shukuru kwa hilo
@gradnessshitindi36948 ай бұрын
Nakukubari tangu uwe mkoan Mbeya mkuu🙋🙋
@leylasaid96418 ай бұрын
SAFI SANA
@emanuelleopod39498 ай бұрын
Juma Aweso Albert Chalamila Paul Makonda Dotto Biteko Kassim Majaliwa Huwa nawakubali sana aisee natamani mmoja wenu aje kua hata Rais huwa mnafanya kazi kwa weledi mkubwa mno na mkiongea huwa mnamaanisha hata nyuso zinasadiki mnachoongea na huwa kinatoka Moyoni
@LeylatVlogs8 ай бұрын
Ongeza yule mkuu wa wilaya ya Hai alikuaga jela kwa maoni yangu pamoja na Bashe
@loycenicolao74888 ай бұрын
Hapo ni chalamila na biteko hao umepatia
@hamismabula99348 ай бұрын
Na Bashungwa vip?
@evelynebwire76848 ай бұрын
Polepole na Bashiru, Mpina
@JohnEMeena8 ай бұрын
THANK you my DSM RC CHALAMILA 🇹🇿🙏🙏🙏
@dn.n49838 ай бұрын
Safi sana baba yangu pika chai asubuhi ni baba nzuri
@fatmamsiliwa84858 ай бұрын
Wanaume wanojua dini wanajua majukum kwahyo huwa wanafanya kaxi xoxote home hata mm nafuliwa
@greysonantony64318 ай бұрын
Una hekima Sana .
@hanspop69618 ай бұрын
Nakukubali sana Rais wangu wa Mkoa na Nakufatilia sana
@MariethaGordon8 ай бұрын
Niarike nije tuimbe wote mkuu
@harounamahoro34368 ай бұрын
In my opinion...you are the next Magufuli as far as your philosophy is concerned! Nakutakia kila kheri mwishimiwa Chalamila. Mungu akulinde kwa madogo na makubwa, Mana utapeleka Tanzania mbali kule mbele. Love from Rwanda.
@devotaminga93528 ай бұрын
Smart brain RC wetu 🙌🙏
@user-ts6fh4si3m8 ай бұрын
Walio kwenye ndoa wanajuwa hili kwamba ndoa iko na siri nyingi ndani, nje mnaweza kuonekana vizuri ila ndani tatizo#ndoa ni siri ya watu 2.
@tinnahagustinolyelu42477 ай бұрын
Upo vinzuri saaana hongera
@agnesspaul18668 ай бұрын
❤❤❤❤nakuaminia
@godfreyayo78318 ай бұрын
Uko vzr mkuu
@Rizmokotz_artist8 ай бұрын
Nakukubali sana mkuu swala lakumsaidi mwanamke ni vzur sana mm Hadi nyimbo ni metunga sijarekodi bado
@mohamedS-yd9wh8 ай бұрын
Mh.RC Chalamila big up sana kamata hapo hapo uliposimamia ukweli, uadilifu, ujasiri ni muhimu sana
Mkuu naamini Kwa mfumo wa Manisha ulionao unaenda mbali saana ktk ngazi za uongozi nakutabilia,MUNGU akutangulie brother ufike tunakokutarajia
@itikamlagalila19118 ай бұрын
Sure thing
@itanzaniaAS8 ай бұрын
Nampenda sana huyu jamaaaa😂😂😂😂😂😂. Yupo wazi
@epimackjohn4618 ай бұрын
Vizuri kabisa CHALAMILA kwa kuelimisha wanadamu kujitofautisha kulingana na sehemu mbalimbali mtu yeyote alipo hata kama ni kiongozi .
@prosperjuma9058 ай бұрын
Unawaamini wanasiasa?
@JosephMahundi-is5to8 ай бұрын
Safi saaana ndg yangu nimekuelewa
@epimackjohn4618 ай бұрын
Yeye ameelezea JINSI anavyokuwa sehemu husika kwa WAKATI husika kama yeye , unanambia Mimi nawaamini wanasiasa kwani Mimi nilikuwa NAONGEA naye?nimesemea ELIMU anayoitoa siyo sera za KISIASA .
@philip44898 ай бұрын
Good leadership skills 👏 👌
@The_counselor8 ай бұрын
Dah tunaomba mtupe haki ya kuchagua hawa viongozi wa mikoa na wilaya kwa kura tumechoka issue za gender roles
@BrunoMakweta-dm5sb8 ай бұрын
Nakubal mheshmiwa
@nelsonliwenga17848 ай бұрын
👏👏👏👏
@allyomary22718 ай бұрын
Chalamila mnoma sana
@HosianaMchau-pv3pl8 ай бұрын
Hongera wewe ni baba Bora na kongozi wa kuigwa
@itanzaniaAS8 ай бұрын
MALEZI MAZURI UTOTONI YABNA MCHANGO MKUBWA SANA UTOTONI❤
@merythomasminja2988 ай бұрын
vizuri baba mzuri
@gladnesswazir-zz9lk8 ай бұрын
🎉🎉🎉❤❤
@faustinombilinyi98098 ай бұрын
Big brain think wide
@yudatadeimdoe92158 ай бұрын
Mheshimiwa si serikari inawawekea wafanyakaz, wapishi, madereva, wakatanyasi, wafagiaji
@user-uz5cu7cr9h8 ай бұрын
Nic
@marymanoni55368 ай бұрын
Ongera mkuu
@user-xc5tv9dl5k7 күн бұрын
Huyo hanaakili
@elidiustudoy26408 ай бұрын
Kumbe ka utoto mpaka saiv yann
@VictorLyimo-so9xr8 ай бұрын
Hizo tabia ni kweli Kwa walio zaliwa wakiume tu katika familia
@franktibikunda57178 ай бұрын
Hakika
@swalhaabdisalim20678 ай бұрын
Fact
@renatusraphael59458 ай бұрын
Ongera sana kiongozi👏👏👏
@NdimanyileSanga-wz7mv8 ай бұрын
Sawa kabisa
@martinisadru98998 ай бұрын
Duu poleni sana, kukosa dada kwa mila zetu sisi wabena ni mkosi mkubwa.
@faustinombilinyi98098 ай бұрын
Yes camp david Kaka unapajua sn
@estersilver98728 ай бұрын
Heshima kwako mkuu eti mwanaume hawezi hata jiwekea net usipo weka anakununiaa
@mkaiteafetu67828 ай бұрын
Jamani yanakera
@salamsabdullah-st9pt8 ай бұрын
Jembeeeeeeeeeeeeeeeee
@user-ck4jq4zc1t8 ай бұрын
Good,Rais hajakosea ameongea ukweli kabisa bila kuweka siasa
@khamisbk85698 ай бұрын
Yaaan hajaongea CCM WA act wazalendo.....yaaan hajawka sias kabisa
@iamsteven15788 ай бұрын
Muheshimiwa Chalamila hilo ngoma ukilitoa tutaimba wote 😅😅😅😅 Kamwene.
@user-mt9fu9ec1n8 ай бұрын
Chalamila wewe Ni actor cna cna unachosema so kweli mkuu wa mkoa hufanya kazi hata wk end eehe allowance unazolipwa unalimbikiza cyo😢😢😢😢😢😢
@loycenicolao74888 ай бұрын
Mambo ya kazi anaweka pembeni week end anatimiza majukumu ya familia. Good ni baba Bora huyu
@afrolinktvofficial32508 ай бұрын
Haya ndo maswali tunayoyapenda twende maama mama
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Hata miheshimiwa nafuwa nguo za familiya yangu napika nadek sasa nakuunga mkono
@merythomasminja2988 ай бұрын
tutakuhunga mkono
@zumbeshauri81148 ай бұрын
Kiukweli huyu mkuu sio muigizaji hata kidogo na sisi mkuu tulitangulizwa wanaume tupu wala haturingi
@user-oc7dq1fq6g8 ай бұрын
Leoleoleeo nimekuewa mtaani wangu
@RenaldaZeramula8 ай бұрын
Hata.baba yetu alikuwa anafanya.hivo na.alikuwa.afisaelimu.wa.wilaya
@salmaally82438 ай бұрын
Guy
@NdimanyileSanga-wz7mv8 ай бұрын
Elimisha wanaume etiwaonimabosi duuu ahaaaa
@chepason72128 ай бұрын
Huo niongo😂 nakataa
@samwelhechei85378 ай бұрын
Kwel huigizi tabia na kubadilika
@user-tc2ul3uk5o8 ай бұрын
😅😅😅
@alexmachare64958 ай бұрын
Sasa mkuu kupika tena na kufuaaa daah.Naogopa kuendelea usije niarest.
@hellendaniel38098 ай бұрын
Wewe endelea kujiona mwanaume hapiki na kufua
@salamsabdullah-st9pt8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@elibarikimollel71498 ай бұрын
Mh! Mb zetu ghali ndio tusikilize haya!
@user-qk1iv2is9f8 ай бұрын
😂😂😂😂
@joyce557278 ай бұрын
Kwani umegongelewa misumari???😏😏😏
@blandinamwarabu50258 ай бұрын
Nyimbo hapo umeanza vituko vyako
@hamismabula99348 ай бұрын
Ndo uhalisia wake
@faustinisirili23958 ай бұрын
Kwa kabila letu hiyo ni ngumu sana. hasa mimi siwezi kufua wa kupika
@ednaJF10288 ай бұрын
Unamaanisha nini? Kwa kabila lenu ni ngumu? Hakuna kazi aliyoandikiwa mwanamke mana wewe una mikono miwili kama huyo mke. hivyo basi hakuna kazi ya mwanamke tu ! Sijui kwanini Mara nyingi huko Africa wanaume wengi wanafikili Kuna kazi wao hawawezi kufany Hilo ni kosa na mawazo potofu watu wote wana haki Sawa ( means human rights) Hivyo acheni ubabe we don't do that here in🇺🇸
@chepason72128 ай бұрын
Jamaa katudanganya niuongo
@MtuSafi8 ай бұрын
Inamana hana House girl? mbona hajaongelea kwamba House girl yupo inamana wameamua kuishi wao tu. Ok sawa.
@rizikiabdalla25018 ай бұрын
Mkweli ww
@evelynebwire76848 ай бұрын
Hujielewi, kwa hiyo ukiwa na house girl huwezi kufanya kazi zinazofanywa na house girl???
@TheresiaShirima-ip2ue8 ай бұрын
Kupika sio upendo mkuu
@eliyashija15728 ай бұрын
Sikiliza interview nzima ndugu
@munirahassan50138 ай бұрын
Achana na Hilo tahira
@solangesoso31008 ай бұрын
Na kutopika pia sio upendo. Niheri apike kuliko kutonipenda nahuku ananiachia kazizote.
@khamisbk85698 ай бұрын
Chalamila huu ndio uwanaume bhana nakuelewa kiongoz wangu makini