RC CHALAMILA"SITAKUBALI"|NALICHUNGUZA|WANIAMBIE SABABU NI NINI?|NIKIGUNDUA."MTAJUA"

  Рет қаралды 101,573

Dar es salaam RS DIGITAL

Dar es salaam RS DIGITAL

Күн бұрын

Пікірлер: 238
@danieltango6058
@danieltango6058 Жыл бұрын
Hongera utakuwa Rais wa nchi hii Mungu akutunze
@AyoubMtumishi-z2j
@AyoubMtumishi-z2j Жыл бұрын
Hapo mhe sawa stand za sheklango ziwe na mabasi madogo kupeleka watu MAGUFULI STAND.
@nikutusyafelix2423
@nikutusyafelix2423 Жыл бұрын
Likelyhood and strength
@ephraimmakaranga1795
@ephraimmakaranga1795 Жыл бұрын
Pamoja sana Mkuu wangu Chalamila Mungu azidi kukupa nguvu uinyeshee Dar nina Imani utshinda Mungu awe pia nawe
@denisyohana8104
@denisyohana8104 Жыл бұрын
kati ya watu wakulindwa Tanzania hii huyu naye anahitajika kulindwa sana ,Mungu MTUNZE SANA Chalamila,Maana nona anavita kubwa sana.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Hawamuwez huyo
@geofreymbilinyi8023
@geofreymbilinyi8023 Жыл бұрын
Nikisikiliza speach za huyu mwamba naona JPM huyo mbele , Hongela mkuu wetu wa mkoa chapa kazi tunakuombea
@munirashabanmnubi8650
@munirashabanmnubi8650 Жыл бұрын
Maneno yako niya kweli kabisa!!!
@PeterMasawe-ce3tq
@PeterMasawe-ce3tq Жыл бұрын
Tukowengi tunao mkumbuka jpm kupitia huyujamaa
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 Жыл бұрын
Kweli kabisa
@manjaugodwin7834
@manjaugodwin7834 Жыл бұрын
Baba Mungu akutunze uyasımamıe vema machınga wafanye kaz vıjana watoke nyumban waache kucheza kamarı.
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Mm nakuombea Mungu akulinde
@nikutusyafelix2423
@nikutusyafelix2423 Жыл бұрын
Safi sana
@danielchacha6031
@danielchacha6031 Жыл бұрын
Maghufuli 2 Well done mkuu nakupenda sana
@komumbughuni8301
@komumbughuni8301 Жыл бұрын
Naomba sana mkuu kushusha ubungo ni msaada kwetu ss wanyonge tunakuomba sana uliangalie, kukodisha gari toka mbezi mpaka mjini ni gharama, na viguta ni hatari sana , panda ck moja utaogopa jinsi wanvyoviendesha na hili lilishatolewa ufumbuzi, muangalie hali halisi ya ugumu wa maisha❤
@nurdinmkwachu28
@nurdinmkwachu28 Жыл бұрын
Ameongea point sana kama hao wenye vituo vya mabasi basi wanunue basi madogo Hilo jambo zuri sana
@HussenYassin
@HussenYassin Жыл бұрын
Nakukubali sna mkuu wa mkowa hupindishi kabisa
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior Жыл бұрын
HONGERA SANA MH CHALAMILA!TUNAAMINI ROHO YA JPM INAISHI NDANI YAKO. TUNAAMINI WALIOHAMISHA MABASI HAPO WANASABABU NZURI LAKINI HAZIWEZI KUWA NZURI KAMA ZA MABASI KUWA HAPO. MABASI YAKIWA HAPO WATANUFAIKA WALIO WENGI. WATU WA ; BODABODA,BAJAJI,DALADALA,WAUZA VYAKULA, VOCHA,MAWAKALA WA PESA,HOTEL NA NDIYO ILIKUWA DHAMIRA YA JPM. MUNGU AKULINDE NA AKUTIE NGUVU.
@TonnyLucious-qd1oy
@TonnyLucious-qd1oy Жыл бұрын
Soul of magufuri still inside in this man
@gastondofra9151
@gastondofra9151 Жыл бұрын
Wewe ni mkuu wa mkoa kweli kweli ,wewe umerithi jpm, Mungu akuwezeshe katika kusaidia wanyonge ambao wana angaika kutafuta nafasi ili wapete riziki ya kusaidia familia zao.
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 Жыл бұрын
Naomba Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam utusikilize na sisi watumiaji wa mabasi sio uwasikilize wafanya biashara wa standing ya Mbezi
@rehemarwanda6039
@rehemarwanda6039 Жыл бұрын
Mwamba huyuuu hapaaa#RC#CHALAMILA🔥🔥
@pancrasluoga4584
@pancrasluoga4584 Жыл бұрын
Kwamambo Kama hayo yupo vizuri lakini la bandari ningemshauri aliachee litamvunjia heshima na niayake njema ya kutuendeshea mkoa. Asante.
@jeremiahmakoye6340
@jeremiahmakoye6340 Жыл бұрын
Umenena vyema.
@neemahaule8407
@neemahaule8407 Жыл бұрын
Akili mingi sana huyu mwamba...
@jamesshao538
@jamesshao538 Жыл бұрын
Safi sanaa hongera sana mkuu wa mkoa
@hezronkalinga5142
@hezronkalinga5142 Жыл бұрын
Mwagito m nakuelewa sana Mungu akutunze
@yusuphchankwa4759
@yusuphchankwa4759 Жыл бұрын
Mm nakuelewa sana tena sana
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Malizeni ujenzi wq stand hiyo mama kazi kuupiga mwingi tu watanzania wamechoka sana
@lailalaila8206
@lailalaila8206 Жыл бұрын
Tunaomba utusaidye kabsaa dar ni shida sitend ukipanda daraja unaripia vip na mtu unaenda kupanda gari ni kero sana inaboa
@cosein
@cosein Жыл бұрын
Yaani ukiongea namuona magufuri ndani yako.
@karim6964
@karim6964 Жыл бұрын
Safi sana Baba nimekuelewa sana
@dr.sendeuonlinetv2916
@dr.sendeuonlinetv2916 Жыл бұрын
Jamani namuona JPM huyo mwamba Yuko vizuri Sana 💪💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@Worldunite
@Worldunite Жыл бұрын
Ila angalieni kwa upande wa sisi wasafiri, wenye mabasi wanajitolea kutupunguzia adha aisee
@joyceabeli3787
@joyceabeli3787 Жыл бұрын
Hongera sana mh uko vizuri
@sillasmsenga1414
@sillasmsenga1414 Жыл бұрын
Hua nakuelewa sana kiingizo.
@henrygabriel2892
@henrygabriel2892 Жыл бұрын
Mkuu uko vzr tumekuelewa ifanyie kazi Dar ondoa hayo mapungufu na hasa hayo mabasi yasiyoingia hapo Stend ya Magufuli yote yaje hapo
@joackimtemba3173
@joackimtemba3173 Жыл бұрын
Ukimtoa magufuli anafwata huyu bwana Kwa speech nzur
@ismailmasoud6001
@ismailmasoud6001 Жыл бұрын
Lazima UTARATIBU ufuatwe, stendi imejengwa na itumike, huu mtindo wa watu kuamua wanavyotaka haikubaliki,....! lkn pia huwa Kuna tatizo la umaliziaji wa miradi, na kuihudumia miradi
@danieltango6058
@danieltango6058 Жыл бұрын
Mh Chalamila Gombea Urais tunakuhitaji kuwa mkuu wa nchi hiii
@abedomar5183
@abedomar5183 Жыл бұрын
Stand nzuri tizama hiyo miundo mbinu ovyo kabisa daah nchii Tanzania hatari tupu matapishi kila sehemu
@mugishamajeba9628
@mugishamajeba9628 Жыл бұрын
dah charamira ata sijui nikuite Jina gani gani wew niebeneza dah asa mungu akuweke
@abdulmsuya8542
@abdulmsuya8542 Жыл бұрын
Baba umekuja ubungo tembelea na kimara mwisho Barbara ya bonyokwa,Kikwete High way, tunahitaji stand !!!!!!
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Chalamila unaweza unaweza tena sasa dsm imepata mkuu wa mkoa .Anaongea kwa fact.Mama tafuta kama uyu kumi waweke kwenye mikoa iliyoshindikana.Mambo yako yatakuwa vizuri.Hata Dodoma bado hujapapatia vizuri.
@alphoncewilliam4325
@alphoncewilliam4325 Жыл бұрын
Uko vizuri piga kazi
@RenatusVitalis
@RenatusVitalis Жыл бұрын
Unaakili sana kaka chalamila
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Жыл бұрын
Daaah mama aliwai kula vitumbua katika mgahawa wangu akaniomba niwe napeleka stendi ya magufuli kweli wananchi wa chini tulinufaika sana leo mama yule anasema tuombeni MUNGU tukimpata kiongozi bora biashara itarudi sasa leo nimeamini kuna viongozi waajabu sana katika taifa letu
@khamisizuberi2463
@khamisizuberi2463 Жыл бұрын
Dar sasa imeendelea sana uwez kuwa na stend moja mkuu,pambana walipe kodi huko huko walipo
@jackjackdaudi3573
@jackjackdaudi3573 Жыл бұрын
Safi sana kiongozi mweledi
@KasongiAlex-t9b
@KasongiAlex-t9b Жыл бұрын
Good job RC
@yonathanimachinga3435
@yonathanimachinga3435 Жыл бұрын
Jembe la kazi
@emmathomas650
@emmathomas650 Жыл бұрын
Unafanya kuwa raisi ❤
@uhurunaumojaonline5653
@uhurunaumojaonline5653 Жыл бұрын
Kaka hata wakikuita mshamba,ushamba huo ni bora mara 1000 kuliko uzezeta wanaoundekeza kwa kukifnya watoto wa mjini. Piga kazi kaka piga kazi, watu huku mtaani wanaitika baraaaabaraaaaa
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Жыл бұрын
Inawezekana kuna tozo za mabasi ya abiria zilizo nje ya taratibu, ndio maana wenye mabasi wamechukua uamuzi huo.Jambo LA busara ni pande zote kukaa pamoja ili kupata ufumbuzi. Yawezekana mabasi huenda mjini kwa lengo LA kufanyiwa service
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 Жыл бұрын
Kiongozi bora umtambua kiongozi wake mkuu...na hivi ndivyo chalamila anavyithibitisha...Mungu mlinde Mama Samia
@fredyjeremia7074
@fredyjeremia7074 Жыл бұрын
Kiongozi Huwa naona uko sahihi sana Kila wakati Kwa hija zako🙏🙏👍👍.Kumbe hapakuwa na maana kipeleka stendi kuu mbezi.hatutaki stend uchwara kwanza wanaongoza kuhangaisha abiria,na upotev wa mizigo ya abiria,mabasi mwisho mbezi tu,,stop..
@marianmartin7483
@marianmartin7483 Жыл бұрын
Chalamila bonge la kiongozi, ni mzalendo wa kweli. Huyu jamaa anasimamia haki sana. Na anawajali watu wa ina zote. Huo ni uzalendo wa hali ya juu sana.( MATUNDA YA BABA JPM). Alipanda mti unaozaa matunda bora, nasi umenaki tunayala matunda yake. Mwenyezi MUNGU akutangulie Chalamila.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Wat kam hawa ndo wanatakiwa kuwa ma rais
@ProsperKullaya-ym6gz
@ProsperKullaya-ym6gz Жыл бұрын
Nakupa Mia kwa 100% Magu amekuacha wewe baba tunakuombea
@kalumbugideon4159
@kalumbugideon4159 Жыл бұрын
Hii nzuri
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Жыл бұрын
Mwenyezi simamia wote wanao msaidia SSH
@ibrahimally8073
@ibrahimally8073 Жыл бұрын
UPO SAWA KABISA.. MAANA HATA NDEGE ZOTE HUWA ZINAISHIA AIRPORT.. MELI NA FERRY ZOTE HUWA ZINAISHIA BANDARINI.. TRENI ZOTE HUWA ZINAISHIA STATION.. SASA IFIKIE MAAMUZI NA MABASI YOTE YAISHIE BUS TERMINAL..
@bennyngoye8707
@bennyngoye8707 Жыл бұрын
Umetisha
@SamwelMabuga-lc1qx
@SamwelMabuga-lc1qx Жыл бұрын
Akili kama ya jpm
@ngwatujonas2266
@ngwatujonas2266 Жыл бұрын
Haya mambo anayoongea yalishamalizwa na RC Makala mbona unafukua makaburi nataka kukubaliana na Dr slaa
@kelvinngonasy8742
@kelvinngonasy8742 Жыл бұрын
Mkuu wa mkoa wa Dodoma lichukue hili lipeleke pale Dodoma.
@mwanyongamama4407
@mwanyongamama4407 Жыл бұрын
MUNGU alimsaidia Raisi kumrudia Chalamila
@farajithabiti8359
@farajithabiti8359 Жыл бұрын
Hongera sana RC Chalamila
@PeterJohn-sg4oe
@PeterJohn-sg4oe Жыл бұрын
Kila mmiliki wa mabasi akinunua Costa za kubeba watu kupeleka mbezi ndo itazidisha foleni, ni heli stendi za mabasi ya mikoani zikawepo kila Wilaya, wao kuotegemea stendi isiwe sababu za watu wa Chanika, Mbondole, pemba mnazi nk wateseke
@dennisrwelamira1259
@dennisrwelamira1259 Жыл бұрын
Stend ya Mbezi ni kelo. Haizingatii haki za binadamu. Ofisi za tiketi ziko gorofani ambako watu wenye ulemavu hawawezi kufika. Vilevile utitiri wa wapiga debe ni kero. Mabasi kufika mjini yanamsaidia mtumiaji gharama za maisha ziko juu. Nakuomba mkuu wa mkoa uwapuuze wasikuletee tabia za Bukoba wanaojiminya kwenye kieneo kidogo wakiendekeza majungu.
@magrethsadick9416
@magrethsadick9416 Жыл бұрын
Kuna lifti pale na njia za slop ukiacha ngazi
@henrychaula1174
@henrychaula1174 Жыл бұрын
Sina uhakika kama stendi ya Magufuri inatosha mabasi yote kuingia mle, yawezekana ndio sababu wenye mabasi wamelazimika kutafuta maegesho yao.
@AltoFesto
@AltoFesto Жыл бұрын
Anavyo ongea namkumbuka Jpm daah
@PascalMaziku-fs1ue
@PascalMaziku-fs1ue Жыл бұрын
Mungu hakutangulie mkuu
@alexandernyambo7739
@alexandernyambo7739 Жыл бұрын
CHALAMILA TUANGALIE NA SISI WASAFIRI TUNAOFIKA HAPO MJINI USIKU WA MANANE.. NI SHIDA SANA KUTOKA HAPO MBEZI USIKU KWENDA KONA ZA HAPO DAR... ABIRIA TUNATESEKA SANA USIKU HAPO MBEZI
@HussenYassin
@HussenYassin Жыл бұрын
Kuna sehemu yakulala abiria utalala
@alexandernyambo7739
@alexandernyambo7739 Жыл бұрын
@@HussenYassin Ndo maana Watanzania mnakuwa maskini na mnadhani mmelogwa, kumbe nikwa sababu mnaendekeza saaaana kulala tu. Wenzenu tulioendelea kiuchumi hatuwazi kulala hapo Magufuli Stand bali tunawaza tufike muda wowote usiku na tupate urahisi wa kwenda popote tukaendelee na majukumu.. Ndo maana tunataka mabasi yasogegee Ubungo ili iwe rahisi kwenda popote
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj
@MjuniJeremiaStephanoZaka-nu8dj Жыл бұрын
Mheshimiwa na sisi tunauhitaji barabara kutoka kibada hadi mwasonga mpaka kimbiji maana tunaumia sana kwa vumbi kutokana na magari makubwa na madogo pia barabara tuliyonayo ni mbovu sana inatuharibia vyombo vyetu vya usafiri
@pastorysent6586
@pastorysent6586 Жыл бұрын
Huyu mkuu wa mkoa ikitokea kahamishwa lazima tuandamane❤
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
😂😂😂😂 ten
@shabanimbaga8921
@shabanimbaga8921 Жыл бұрын
Kwenye hilo jiangalie utarudi kuwa mchungaji Iringa 😂😂😂😂
@nantaembanusurupia5674
@nantaembanusurupia5674 Жыл бұрын
😂😂😂 ndio maana anasema akajiridhishe kwanza!
@SilvanusChishe-hy2ko
@SilvanusChishe-hy2ko Жыл бұрын
Chalamila unafaa kuwa rais wa tanzania, ni mkweli unawataka wanyonge wasinyanyaswe
@alphoncembasa592
@alphoncembasa592 Жыл бұрын
Good
@ahamadially8351
@ahamadially8351 Жыл бұрын
Kwenye hilo kiongozi liache maana hadha ya usafiri wa abiria utatupa wakati mgumu tuache
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Жыл бұрын
Magufuli namba 2😍
@dismasswai5838
@dismasswai5838 Жыл бұрын
Kila mtu anataka unafuu katika maisha vituo binafsi vya mabasi viendelee kutoa huduma kama kawaida isipokuwa yapite hapo Magufuli kushusha abiria wanaoshukia maeneo haya wengine wasio shuka hapo wapelekwe kushuka kwenye ofisi za hayo mabasi.Msitake kuongezea watu gharama wakati wenye mabasi wamea mua kuwasaidia abiria wao.Hatutaki vurugu kama ilivyokuwa ubungo.Kama ni ridhiki kila mtu anahitaji sio hai wa Magufuli terminal peke Yao waache unafiki Hilo tatizo lilimalizwa na mtangulizi wao.
@kazikazini1042
@kazikazini1042 Жыл бұрын
Ndicho kinachofanyika. Wanashusha Magufuli na wanaoendelea wanashushwa Shekilango.Unakuta umesafiri kwa saa 15 tena ushushwe uchukue daladala mpaka Shekilango ndio tena uunganishe nyingine. Hapo ni saa sita usiku yeye V8 mpaka nyumbani
@revocatussebastian2427
@revocatussebastian2427 Жыл бұрын
Waambie baba kwanza matajiri sio wapigakura ni watu masikini na wanyonge
@lulanjamd3886
@lulanjamd3886 Жыл бұрын
Mimi nakaa kigamboni unataka niamke saa 10 usiku kwenda kupanda bus kimara kweli lazima ujue pia dar usiku vibaka ni wengi
@bushishilema1140
@bushishilema1140 Жыл бұрын
Huyu naye ni wa kumuombea tu mana ameanza kugusa vibakuli vya vyakula vya watu!!! Mazengwe hayaishi Tz, Mara utasikia Mh. Rais amefanya mabadiliko na sasa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa DSM amehamishiwa Mkoa wa Katavi. Ili mradi awapishe watu dinning wale kwa amani!!!
@amalikakiva4937
@amalikakiva4937 Жыл бұрын
Chalamila mungu awe nawe,hivi jamani Hawa viongozi hawaigi jman,hivi vichwa vitatu chalamila ,waziri Bashe ,waziri wa maji Hawa wangestahili wapewe maua yao,wengine kzi kuchati tu na kuchekacheka aijulikani yupi mwanume yupi mwanamke,Dodoma stendi doro vituo Kila sehemu makonda eletwe dodoma
@thomaskitemi3283
@thomaskitemi3283 Жыл бұрын
Pia tunaombaniatalama alys warejee Kwa mdacwa SAA Tisa ioitusaidia sana Sisi tusio na V8 kuwahi tuendako
@jtheophil5499
@jtheophil5499 Жыл бұрын
Tanzania mnashida gani lkn??kwa nini msiendeshe nchi kwa utaratibu kama nchi nyingine zilizoendelea.😂😂😂daah..Yaani kila siku ni madudu jamani inatia simanzi.
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 Жыл бұрын
Uelewa mdogo na dependence kwa viongozi. Watu ni wavivu wa kufikiri na ni wanafiki. Wao wamepewa utashi na mwenyezi Mungu lakini wanategemea viongozi tu ndio wafikirie kwa niaba Yao. Wakati Stendi hiyo inajengwa Mbezi watu walikuwa wanashangilia. Sasa Stendi imekuwa White Elephant. Wangetoa maoni Yao wakati ule na watendaji wote kama economists wangewashauri vizuri viongozi wa juu Hali usingekuwa hivi. Tuwe na utaratibu wa kushauriana. Hata kama mtu ana akili kama Albert Einstein, hakuna binadamu anaejua Kila kitu.
@nyanjigamuyenjwa5192
@nyanjigamuyenjwa5192 Жыл бұрын
Nakuelewa sana kiongozi
@dobidotz3696
@dobidotz3696 Жыл бұрын
Hilo suala la mabasi kuishia stand ya magufuli lilishafanyika, abiria walitoa malalamiko, likajadiliwa sana hadi bungeni, uamuzi wa busara ulifanyika kusaidia Raia, hapa utakua unaturudisha Kule kwenye matatizo, chukulia mfano mdogo, mtu anaishi upanga aende kupanda basi mbezi saa kumi na Moja alfajiri wakati alikua anaweza kupandia ofisi za basi kariakoo, au unamshusha stand ya magufuli mtu anaishi kigamboni , nauli ya basi kutoka magufuli terminal hadi kigamboni ni kubwa ukilinganisha na nauli atakayotumia kutoka Dodoma hadi magufuli terminal, Rc ungekua unafuatilia hizo habari vizuri usinge leta hoja hiyo kwasababu ilishajadiliwa Kwa kina ikatolewa maamuzi sahihi, wamiliki wa mabasi hawana shida, shida ni kwa abiria tunaotumia hayo mabasi. Think twice.
@patriciamuganda4498
@patriciamuganda4498 Жыл бұрын
Nakubaliana na wewe Mr. Think twice. Tatizo la Watanzania hawafanyi research. Wanaibuka tu na hoja wakisahau kuwa suala Hilo liliishajadiliwa. Mimi Kwa mfano naishi Mikocheni. Napenda Kupandia basi hapo Shekilango au Kariakoo kulingana na wapi ninapoelekea. Tazama kina mama ambao wanaishi Mbagala au hata Kariakoo. Wakiwa wanasafiri alfajiri na watoto na mizigo ni gharama kubwa kukodi usafiri wa kuwafikisha Mbezi. Simple economics. Jamani watanzania tuwe waelewa na tuhurumiane. Nauli ya kwenda airport ni tshillings 20,000 mpaka 30,000. Kwenda Mbezi Magufuli ni 40,000 mpaka 60,000. Namuomba Mkuu wa Mkoa asikubali kupotoshwa na watu wabinafsi Kwa maslahi Yao. Ni vema pia Mkuu akatafuta watu wamfanyie kazi kama Consultants, Advisors na Researchers. Fedha zjpo za kuwalipa. Tusonge mbele Mkuu. Focus kwenye vitu muhimu kama job creation kwa vijana, mikopo kwa akina mama na wenye mahitaji pamoja na usafi kuboresha environment na miundombinu.
@dobidotz3696
@dobidotz3696 Жыл бұрын
@@patriciamuganda4498 tuko pamoja
@davidgerald1898
@davidgerald1898 Жыл бұрын
Nandege ifike kwako
@vitalismarunda6760
@vitalismarunda6760 Жыл бұрын
Good Points Dear umetoa ya maana Watu wanafikiria Outside the Inbox na sio inside the Box very Hopeless
@jacobmakono4399
@jacobmakono4399 Жыл бұрын
..hizo hoja zako zingekuwa na mantiki..isingmwagwa billion 50..what a waste?
@omegareweta2684
@omegareweta2684 Жыл бұрын
Mkuu wa mkoa uje huku zone barabara ni mbovu
@jahmbenyjahmbia210
@jahmbenyjahmbia210 Жыл бұрын
Atatulia tuu hkn mkate mgumu mbele ya chai hy ndio bongo atakiwa apige kz acmalize maneno
@Jal210
@Jal210 Жыл бұрын
Mama mteue awe Waziri wa Mambo ya ndani huyu, Waziri aliyepo mpole hafai mpeleke wizara ingine iliyolala.
@kibindafashion3472
@kibindafashion3472 Жыл бұрын
Watu wanasema ni umbali ok, vip uwanja wa ndege upo wapi ,vip watu wa kimara hawapandi,vip watu wa tegeta hawapandi vip wa bagamoyo hawapandi,jifunzeni kwa wenzetu nchi zilizoendelea pia hili la mabasi kuzagaa na kukaidi kua sehem ambayo serikali imetumie mabilion ya mma ili ije kua kitegauchumi cha mma tena ila wanajitokeza wachache wanajenga zao kwanza ilitakiwa hizo stand zitaifishwe na zewe hospital za mma
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
@josephbundala5778
@josephbundala5778 Жыл бұрын
@jackhans7708
@jackhans7708 Жыл бұрын
Mwakajana nilirudi Tanzania na nikafika hapo ubungo daaaah, restaurant chafuuu🤦
@sixmundleonard2135
@sixmundleonard2135 Жыл бұрын
Kwa hili sikuungi mkono mkuu
@BanogaTall
@BanogaTall Жыл бұрын
Kazi wanayo
@mawn2808
@mawn2808 Жыл бұрын
Hao watu wachache wa mbezi wasumbue idadi kubwa ya wakazi wa dar,na unaona wote waliopitisha uamuzi huo wamekula rushwa.ungekaa 1 nawalokuwapo kabla ya kupanda jukwaani la sivyo dar imesha kushinda huo ni muhemuko sio uongozi.
@obadiajumamkaria2568
@obadiajumamkaria2568 Жыл бұрын
Kwahilo sisawa stendi yenyewe kuingia Mia tatu ukitokamiatatu yakoimeosha iyosisawa nikuonea raia kuwena risitimoja mtuakilipa miatatu yake kamaatarudi maranne arudi siothuluma yasasa iyonomali yauma imechukuliwa niyamwekezaji kumbemnyanyasaji
@eddechriss2664
@eddechriss2664 Жыл бұрын
Roho ananiambia kuna kitu ndani ya huyu kiongozi
@papacheri-x6k
@papacheri-x6k Жыл бұрын
Chalamila huo ni mtego hao wanaokushangilia watakucheka baadae
@benjaminmiselya2622
@benjaminmiselya2622 Жыл бұрын
Hili hiliwezekani 🥺😆😀🥺😁
@jeremiakalekezi2301
@jeremiakalekezi2301 Жыл бұрын
mkimusifia sana kesho atawageuka au humu kumejaa uvccm ndio mnatowa povu
@bushishilema1140
@bushishilema1140 Жыл бұрын
Upele umepata mkunaji!!! Kama kuna kitu kigumu anachopambana nacho mwanadamu ni mabadiliko!!! Hawataki kubadilika kuwa sasa stendi ni Mbezi. Lakini ni kweli viongozi wote wasimamizi hawaoni kuwa mabasi bado yanaingia mjini? Mbona kipindi cha bodaboda kufika posta walikuwa wanaziona na kukamata? Au boda boda ni kubwa kuliko mabasi?
@mashakamgimwa6631
@mashakamgimwa6631 Жыл бұрын
WARUDI TU MAGUFULI STAND YENYE MIUNDOMBINU YA KISASA NA ISIYO HATARISHI KWA RAIA NA MALI ZAO HATA PALE RALLY INAPOANZA KUTIMKA ALFAJIRI HAKUNA DHORUBA
@johnnonyarungwa255
@johnnonyarungwa255 Жыл бұрын
Magufuli Part-2
@raurentkorosso2014
@raurentkorosso2014 Жыл бұрын
Mbegu ya magu imeota kwenye udongo mzur
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,1 МЛН
🕊️Valera🕊️
00:34
DO$HIK
Рет қаралды 8 МЛН
НАШЛА ДЕНЬГИ🙀@VERONIKAborsch
00:38
МишАня
Рет қаралды 2,6 МЛН
А что бы ты сделал? @LimbLossBoss
00:17
История одного вокалиста
Рет қаралды 9 МЛН
Сюрприз для Златы на день рождения
00:10
Victoria Portfolio
Рет қаралды 2,1 МЛН