RC MWANRI ANING'INIA NA WATAALAM WA AFYA "NATAKA VYETI, HUNA SIFA OUT"

  Рет қаралды 108,218

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Baada ya kukuta vifaa tiba vimekaa kwa takribani miaka minne bila kutumika katika kituo cha Afya cha Kitunda walayani Sikonge,Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametaka kufanyaka ukaguzi wa vyeti kwa wataalamu wa Afya mkoani humo
"Haiwezi mashine ikakaa hapa four years hakuna mtu anaoperate nataka ikifika tarehe 10 vyote vinaoparate na ndani yake nataka kila mtu aniletee cheti chake including DMO" RC Mwanri

Пікірлер: 254
@equitybank5560
@equitybank5560 4 жыл бұрын
Namkubali sana huyu mmekuuh....heshima yako comrade aggrey mwanri..keep up the speed no retreat no surrender..Long live Mwanri
@gemkachar
@gemkachar 4 жыл бұрын
Hongera Mkuu wa Mkoa. Tezi dume Tabora hoyeee. Mda umefika tuweka mfumo wa performance based contracts. Unaajiriwa na kulipwa kuendena na utekelezaji wa kazi.
@makongorowassira6593
@makongorowassira6593 4 жыл бұрын
gemkachar nakubaliana nawe kabisa, haya mambo ya mshahara kuongezwa kwa kila mtu bila kuwa assess ni ujinga tu.
@hajisaidy3055
@hajisaidy3055 4 жыл бұрын
Uyu mzee anatisha akikuangalia . Engineer ngap uko🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@benardjames1400
@benardjames1400 4 жыл бұрын
Huyo kiongozi namkubali sana NAITWA BENARD
@mochings8012
@mochings8012 4 жыл бұрын
Benard James karibu KZbin bro Ben
@micamathew6433
@micamathew6433 4 жыл бұрын
Wakati mwingine had unapagawa eti..ivi mashine imekaa zaid ya miaka minne..na haifanyi kazi..sasa iko hapa labda kwasababu gani??? Inashangaza sana. Mkuu wa mkoa nakupongeza sana..ukitoka hapo Tabora..uelekee Dar.
@adammj6258
@adammj6258 4 жыл бұрын
Miaka minne!!! Rais ana kazi maana Serikalini kumejaa VIAZI NA VILAZA
@atuganileswedy4830
@atuganileswedy4830 4 жыл бұрын
Yaani natamani kuwapiga vibao,,, yaani cjui wanafanya nn uko maofcn mbwiga hawa
@jamesnicholas6091
@jamesnicholas6091 4 жыл бұрын
Kama hawaajiri wataalamu unategemea nini sasa maake sio kila doctor anafanya operation na masurgeon ni wachache kiufupi wizara ndo inahusika but sio hao
@abdulmtitu7478
@abdulmtitu7478 4 жыл бұрын
Inamaana ndan ya miaka 4 hkn mgonjw aloehitaji huduma kw kutumia mashine izo?dah kwl bado kuna matango pori kwny taasisi,na hao nd wanaturudisha nyuma,big up Mh RC,ztihada zako znaonekana na ht mtu asie na macho,,I hope ck 1 juhud zk ztazawadiwa
@johnshigela9369
@johnshigela9369 4 жыл бұрын
Akina zito, lema nk wakiona hii utasikia mkuu wa mkoa ana mamlaka gani kuingilia hilo
@leonelleo4425
@leonelleo4425 4 жыл бұрын
Ndugu yangu achana na akina Zitto na Lema,ni mahanisi.. Watakupotezea mda..
@samuelmanunu1543
@samuelmanunu1543 4 жыл бұрын
Nathingi mutu hapo menyewe ni full time complaining yan, mwanri is really a work at working hours!
@rescotv8804
@rescotv8804 4 жыл бұрын
Boya weww
@devisshirima6780
@devisshirima6780 4 жыл бұрын
Politics doesn't work under serious leaders
@girbartmaganga3778
@girbartmaganga3778 4 жыл бұрын
Safii xna mkuu inaweza kuwa hawezi kazi haiwezekani mashine hazitumiki vyeti mzee Kama hawezi watoke
@georgekimboka6218
@georgekimboka6218 4 жыл бұрын
pongezi sana Mh mkuu wa mkoa wa Tabora
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca 4 жыл бұрын
George Kimboka Mkoa wa #TORONTO 😂😂😂😂
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Mganga mkuu wa wilaya *weka mguu chini*😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@dutchsafari7562
@dutchsafari7562 4 жыл бұрын
Doktaaaa Honorata Mganga mkuu wa mkoa weka mguu chini😂😂😂😂
@peterbruno7157
@peterbruno7157 4 жыл бұрын
MKUU WA MKOA WA DUNIAA NZIMAAAAAA
@fahimally3923
@fahimally3923 4 жыл бұрын
Peter Bruno sio bashitee
@peterbruno7157
@peterbruno7157 4 жыл бұрын
@@fahimally3923 aiseee hapana hamna mtu mulee
@immahkobeh7620
@immahkobeh7620 4 жыл бұрын
hakika huyu niwa dunia nzima????😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 жыл бұрын
Angalau unawapigania wanyonge, hongera mkuu!
@chrithicksambo2480
@chrithicksambo2480 4 жыл бұрын
Wanyonge ni kina nani
@florakankutebe3987
@florakankutebe3987 4 жыл бұрын
Wtz
@alijuma6502
@alijuma6502 4 жыл бұрын
Hivi tanzania tunatatizo gani?? Yani mambo hayaendi hadi tusukumanesukumane jamani!!
@alexmwashibili3616
@alexmwashibili3616 4 жыл бұрын
Mzeee huwa hataki utaniii yaaani 😂😂😂😂😂😂
@kingfocustzog
@kingfocustzog 4 жыл бұрын
_mnao mkubali mkuu wa mkoa like kwanza tuwende sawa_
@oscarkasalile8146
@oscarkasalile8146 4 жыл бұрын
Kazi nzuri watu Kama Hawa ni adimu sana duniani wapo wachache sana
@zefamange7281
@zefamange7281 4 жыл бұрын
😄😄😆😅😂👏👏👏👏 TANZANIAAAA, MIAKA MINNE MASHINE ZIPO TUU
@favourmusic4692
@favourmusic4692 4 жыл бұрын
Mzee huwa nasemaga na sitochoka kusema kuwa mh magufuli hakukosea kukuchagua alifany uteuzi bor san kwako nahic uwa akifuatilia kaz zako anafurai san na kuvjivunia unachofany Mzee mwanri
@stevendominic4656
@stevendominic4656 4 жыл бұрын
Hiyo ni kwa Tabora tu sipati picha mikoa mingine
@f.a6043
@f.a6043 4 жыл бұрын
👏🏼👏🏼👏🏼Mh. RC👍🏽👍🏽👍🏽Mh. RC 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@kingsolomon0
@kingsolomon0 3 жыл бұрын
Tz 😂😂😂😂😂 , love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪. machine niya kurembesha hospitali. Fyekelea mbali
@lameckrevelian6893
@lameckrevelian6893 4 жыл бұрын
Sawasawa mzee
@chachawambura4030
@chachawambura4030 4 жыл бұрын
Umeme gani huo hauwezi kuendesha hiyo mitambo.Kwani mmefungiwa Single Phase? Taasisi kama hizo hufungwa Three Phase ya 415V na inasukuma mzigo wa nguvu, acheni siasa kwenye mji wa Toronto
@zefamange7281
@zefamange7281 4 жыл бұрын
Hakuna hospital yenye single phese, wanatengeneza mpigo
@saidtembele3070
@saidtembele3070 4 жыл бұрын
Duh nilikua najua ni viwandani 2 kumbe mpaka hospital inafungwa three phase
@zefamange7281
@zefamange7281 4 жыл бұрын
@@saidtembele3070 hospital kuna mitambo inatumia umeme mwingi
@saidtembele3070
@saidtembele3070 4 жыл бұрын
@@zefamange7281 anhaa dah shukrani saana kk
@sombimussa1476
@sombimussa1476 4 жыл бұрын
Kwann mzee magu asiteue mkuu wa wakuu wa mikoa afu umpe huyu mzee
@emmanuelthomas7125
@emmanuelthomas7125 4 жыл бұрын
Serikali hii ya awamu ya 5 si ya mchezo! piga kazi mzee.!
@cassimoa9217
@cassimoa9217 4 жыл бұрын
Hongera sn RC MWANRI, nakukubali sn unafanyakazi kiuadilifu sn, c mtu wa kukurupuka na masifa kama baadhi ya maRC wengine. Rc wa Irng, mby na Dar wafuate mfano wako.
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Daaah kifaa kina miaka 4, hakitumiki
@devothamedia5177
@devothamedia5177 4 жыл бұрын
Yani aibu kah
@kizimkazi3443
@kizimkazi3443 4 жыл бұрын
Wafanyakazi Walio wengi wa serikali ni vilaza yani miaka minne vifaa havifanyi kazi ma wapo bery comfortable
@nyaganyaga3876
@nyaganyaga3876 4 жыл бұрын
Hii siyo Sekita ya kwenda kufanyia majaribio kila mtu anafanya kile tu alichosomea ni Sekita ambayo kitu kimoja tu utakacho kosea kinagalimu uhai ama kuatalisha afya ya mtu maisha yake yote ama vinginevyo. Inaumiza kuona miaka minne serikali imejitaidi kuweka vifaa na havitumiki. Kama hakuna mtaalum nashauri visitumike tu mpaka wataalam wapatikane na kama havitumiki na wataalam wapo mganga mkuu wa hospital, wilaya na watu wote wenye mamlaka katika hospital, wilaya na mkoa wawe na la kujibu,.. KILA MTU NI KILAZA KWA NAMNA TOFAUTI
@abednego3876
@abednego3876 4 жыл бұрын
Aisee Tanzanka tunahitaji Viongozi wanaotandika watendaji Viboko ...
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
Kwel kbs had unawaza hao watendeji wanafanya nin? na mishahara wanalipwa vifaa vinanunuliwa kwa bei kubwa wanaweka km mapambo wakat wagonjwa wapo inauna ssna wakitumbuliwa wanalaum serikal
@DADYTV2067
@DADYTV2067 4 жыл бұрын
6:59 😅😅😅😅 Akifa mtu imekula kwako mzee baba 😅
@emanuelmselle637
@emanuelmselle637 4 жыл бұрын
You a trucker?
@elisiasamwel8081
@elisiasamwel8081 4 жыл бұрын
4 years watu wanateseka na vifaa vya kisasa vipo..havifanyi kazi du.. Hatari
@mjeshikijana1774
@mjeshikijana1774 4 жыл бұрын
Ole wako Doctor afe mtu mtu hapo operation na A,K,A 47 mgongoni 🤣🤣🤣🤣
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
😆😆😆
@allymliloh5003
@allymliloh5003 4 жыл бұрын
Alifolela olela 😂😂😂
@klkkklkk1369
@klkkklkk1369 4 жыл бұрын
wizara ya afya ina viraza wengi mbwembwe tu
@mariuscyprian1235
@mariuscyprian1235 4 жыл бұрын
Kweli mzee baba kazi unayo maana miaka minne mashine azifanyi kazi
@adamkiba8082
@adamkiba8082 4 жыл бұрын
Nice nice nice good leader your so strong
@neybenson7881
@neybenson7881 4 жыл бұрын
Esopo ekaya ya abunuasi. Nakupenda sana
@YaNoah-Congo-Bongo
@YaNoah-Congo-Bongo 4 жыл бұрын
KAMATA HUYU MKUU WA MKOA NA WEKA NDANI YA IKULU MAGUFULI AKIMALIZA MIAKA YAKE NANE
@carlosdimosso5516
@carlosdimosso5516 4 жыл бұрын
Exactly the man perfect
@samlush6127
@samlush6127 4 жыл бұрын
A man from Toronto
@japhetkavishe2347
@japhetkavishe2347 4 жыл бұрын
Kanyagia hapo hapo mzee baba
@anthonyfaru9908
@anthonyfaru9908 4 жыл бұрын
RAIS wa wakuu wa mikoa
@BurudaniOfficialTz
@BurudaniOfficialTz 4 жыл бұрын
😂😂😂
@samwelhechei8537
@samwelhechei8537 4 жыл бұрын
Miaka minne bila kufanya kazi? Kwel kuna tatizo, Hongera sana mkuu wa mkoa
@mzeemzee2467
@mzeemzee2467 4 жыл бұрын
hahahhahahaa ole wako mtu afe hapa.
@makalijackson1018
@makalijackson1018 4 жыл бұрын
mkuu wa mkoa wa tabora uje na dar es salaam
@adamhassani2391
@adamhassani2391 4 жыл бұрын
Ukweli n ujuzi wa kazi baccccccc!!
@fatmashafi6355
@fatmashafi6355 4 жыл бұрын
Twende twende mkuu wa wilaya 🙋‍♂️
@Ba63828
@Ba63828 4 жыл бұрын
MBONA INATISHA ASINGEENDA RC ILIKUA NDO MASHINE KUFIA MBALI
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
Rc bora zaid Tanzania😼
@stevehiraly9127
@stevehiraly9127 4 жыл бұрын
Hi Munira
@qbcqweful
@qbcqweful 4 жыл бұрын
Hey munira, how's ur day?
@muniraahmed624
@muniraahmed624 4 жыл бұрын
@@qbcqweful was F.N
@cheifmirambo1706
@cheifmirambo1706 4 жыл бұрын
munira mhhh
@ngulathfundikira4205
@ngulathfundikira4205 4 жыл бұрын
Asalam alykum Munira
@klaragreen7999
@klaragreen7999 4 жыл бұрын
YAANI AIBU KWALI...NIMEPENDA HIYO OLE WAKO MTU AFE 😆😆😆😆 KAZI MNAYO.
@francismigongwa4146
@francismigongwa4146 4 жыл бұрын
HONGERA MH RC MWANURI KWA KWELI UNACHAPA KAZI SONGA MBELE
@alimakaba6170
@alimakaba6170 4 жыл бұрын
Nimeipenda hii nione mtu afe hapa.
@shekiffu
@shekiffu 4 жыл бұрын
Ole wako mtu afe apa😂😂😂😂😂
@kuntakinte1223
@kuntakinte1223 4 жыл бұрын
Hahaha, nakubali mkuu
@allyshafi4391
@allyshafi4391 9 ай бұрын
Tenzi Dume apa hatuendi kitete, na ole wke afe mtu,😂😂😂 by Mh Agrey Joshua Mwanri
@abdimakame3655
@abdimakame3655 4 жыл бұрын
Nakukubali sana RC.
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Hapa #tezi dume😂😂😂😂😂
@justinsombe187
@justinsombe187 4 жыл бұрын
Nakuelewa sana
@kingndekeja2425
@kingndekeja2425 4 жыл бұрын
kazi ipo hapo
@makalasaigoni2275
@makalasaigoni2275 4 жыл бұрын
wakuu wa mikowa kama hawa ndio tunawataka. xukuma ndana. tuxhuke nao jumla jumla🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🙏🙏
@emanuelseka7581
@emanuelseka7581 4 жыл бұрын
Huu ni ujinga sna hamuwezu kuwa naakili timamu mnavifaa vina kaa miaka minne jamani watanzania amkeni ina uma sanaaaaaa msaidieni Magufuli analia kila siku watuu waamke jamani hizo niilioni zina haribika huyo doctor mkuu atolewe hapo
@stanleymfikwa8237
@stanleymfikwa8237 4 жыл бұрын
Nakukubali mzee out wenye vyeti feki. Ondoa hao waje kulima viazi kwangu huku.
@shabanichongowe4229
@shabanichongowe4229 4 жыл бұрын
Nadhani kabla haijawashwa na kutumika kwa wagonjwa ikaguliwe kwanza mana miaka mi4 inawezekana kuna mende wamejipatia geto, saf sn Mwanri.
@ramadhaninurrumtungi4474
@ramadhaninurrumtungi4474 4 жыл бұрын
Hahaaaa mzee wa kuuza viaz du
@ringoaskali7625
@ringoaskali7625 4 жыл бұрын
Kwanini raisi asimpe waziri wa ujenzi lazima nchi yetu iwee poa sana tunataka viongozi kama hawa
@maikovineventscompany1180
@maikovineventscompany1180 4 жыл бұрын
Gombea urais nakupa kura yangu 🤣🤣🤣👌
@wemakalamu3538
@wemakalamu3538 4 жыл бұрын
😃😃😃😃hii kali kweli muheshimiwa kiboko
@benjaminzabron5934
@benjaminzabron5934 4 жыл бұрын
let you be blessed by God for what you are doing
@allymapinda8804
@allymapinda8804 4 жыл бұрын
Mashine zimekaa miaka minne zinagongwa vumbi tu kweli nyumbu ni wengi sana! Kazi haziendi bila kuaibishwa hawa, wasomi wa kuchovya. Mpaka watukanwe ndio wafanye kazi 🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️
@ngassamssika2173
@ngassamssika2173 4 жыл бұрын
Ni uzembe wa kupindikia....!!!!!!!
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 жыл бұрын
Hapo kwenye vyeti, ni kama kusubir majibu ya ukimwi vile
@birdmangetore4307
@birdmangetore4307 4 жыл бұрын
Hapo kweli Alex ndiyo patamu miaka 4 kweli machine haijawahi kupata mgonjwa iwashwe hapana hao watumishi wachunguzwe
@kisulaabas2614
@kisulaabas2614 4 жыл бұрын
Sio kosa lao wengi wao BBC (Born Before Computer) sasa acha tu mashine zile vumbi Bado sakata la vyeti lirudiwe wapo wengi wamebaki elimu ya ngumbaru
@godfreykiama1930
@godfreykiama1930 4 жыл бұрын
Nchi nyingine hao wote wanafugwa kwa kusababisha vifo vya watoto,miaka minne ...fuc
@hancboi6603
@hancboi6603 4 жыл бұрын
Inawezekana watu wengi wajakupigia makofi lakini waelewa watakushangaa inawezekana mishine wakati zinaletwa watumishi walikuwa watatu na inawezekana na wataalamu wengin hawakuwepo so hauwez kuvitumia. Leteni wataalamu wakutosha drs , nurses, watu wa usingizi ili watu wafany kaz
@OmanOman-fk7ke
@OmanOman-fk7ke 4 жыл бұрын
Hiyo ndio dawa yenu
@deodatusdeogratius4910
@deodatusdeogratius4910 4 жыл бұрын
utakuwa rais mzee baada ya miaka mingine mitano
@luizabahati5198
@luizabahati5198 4 жыл бұрын
Kwa hiyo kwa miaka 4 wamekufa watoto wa ngapi kwa kukosa oxygen...na mashine ipo...duuh...too sad Yani Mungu ana kazi manake ukifa utasikia mpango wa Mungu lakini tunamdhihaki Mungu aisee
@ayoubabdull1265
@ayoubabdull1265 4 жыл бұрын
Pendekezo kwa namna nyingine maon yang adhabu ya viboko irud mpaka serikarin huu ni kupita uzembe hapa kuchapa viboko tu pumbav angalia wananchi wanyonge walivyo alaf miaka minne kifaa hakifany kaz fukuza wote lete wengine hii mijitu sijui sio mitanzania hii pumbav sana .....tujuzen wakileta vyeti naon wamekwa wekwa tu hapo ndugu na jamaa..
@nyamweririchard5945
@nyamweririchard5945 4 жыл бұрын
Hivi kweli machine zilo miaka minne hazijaanza kufanya kazi na training watu wanapata Kila machine mpya inapoletwa,basi zipekwe maeneno mengine wanapoziitaji na kuzitumia
@irenembura5684
@irenembura5684 4 жыл бұрын
Kwa kweli hao madaktari hawana hata huruma na wagonjwa. Wako busy na extra private hospitals na wagonjwa ndio wanapelekwa huko walipe pesa nyingi. It is a shame miaka 4 machine mpya jamani zipo tuu zinaoza🙆‍♂️🙆‍♂️. Na wagonjwa wangapi wamekufa??? Wakati vifaa vipo na wako kimya wanaangalia. Wauaji wakubwa!!!
@publicadvisor6952
@publicadvisor6952 4 жыл бұрын
Kazi IPO. Safari kutokea zero sijui itaanza lini
@ibramzee6686
@ibramzee6686 4 жыл бұрын
Tuseme ukweli tu jmn kuna scarcity ya watumishi waliopo awatoshi kaz n ngum mno
@alexchungu9505
@alexchungu9505 4 жыл бұрын
Ibra Mzee , watoe hizo ajira, vijana tupo mtaani na vyeti
@didimhutila8985
@didimhutila8985 4 жыл бұрын
Walizoea k hawa,miaka minne?
@oparetionmaalum9030
@oparetionmaalum9030 4 жыл бұрын
Viongozi Kama hawa ndio wanao tufaaa katika nchi yetu ya Tanzania maana wafanyakazi waserekali wazembesana
@derickrozy3213
@derickrozy3213 4 жыл бұрын
Miaka minme 🤔
@samstartzmreno4817
@samstartzmreno4817 4 жыл бұрын
Ahhhhah
@maddymreta2369
@maddymreta2369 4 жыл бұрын
Jaman kama kuna mahali panapokera ni hospitalini mpaka ugombane na dokta ndo unatibiwa wakuu hao madokta ni wabayaaaa na hawana huruma
@felixkamkala3303
@felixkamkala3303 4 жыл бұрын
YANI WAFANYAKAZI WANAYUMBA AISEE KWELI KUSOMA SANA SIYO KUJUA MAMBO YOTE AISEEE
@emanuelvincent4020
@emanuelvincent4020 4 жыл бұрын
Ama hakika Kazi tunayo. Labda inawezekana. Hawana anesthetist
@haroubselemani5578
@haroubselemani5578 4 жыл бұрын
Kumbe Kuna jamaa wazembe sn,,eti kifaa kina miaka minne hakijatumika wkt Kuna watu wanakufa!dah hii kweli ndo Tanzania,,,Yani Kama vile cyo pesa zetu!!
@nashirmasoudi
@nashirmasoudi 4 жыл бұрын
Kufanya upasauaji sio kirahisi Kama unavyo dhani lazima idara iwe na wataalamu wa kutosha nasio Kila aina ya upasauaji Kuna daktari wake maalum (specialist) muajiri
@dastunluswaga5182
@dastunluswaga5182 4 жыл бұрын
Ila ni uzembe aise...kwa hiyo ninyi mnaona raha sana watu kwenda kurundikana mhimbili eee..
@cosmasdaud9088
@cosmasdaud9088 4 жыл бұрын
Huu Ni ujinga Sana vifaa vipo Kaz hakuna hapo Kuna mashaka na uwezo wa hao watumishi
@temkezatv4381
@temkezatv4381 4 жыл бұрын
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
@jacobletema3681
@jacobletema3681 4 жыл бұрын
Mimi Naomba Mheshimiwa Aggrey Mwanri awe Waziri Mkuu, utendaji na ufuatiliaji wake ni mzuri mno!!!
@allybakunda1300
@allybakunda1300 4 жыл бұрын
This guy is guuuuud
@shehemnazi127
@shehemnazi127 4 жыл бұрын
Safii Sana.
@Le_petery
@Le_petery 4 жыл бұрын
Katuroga nani.! Mipaka minne..
@amaningonyani2775
@amaningonyani2775 4 жыл бұрын
Duh
@jonasshija6542
@jonasshija6542 4 жыл бұрын
Daaaaaah
@ramamongi3479
@ramamongi3479 4 жыл бұрын
Good
@kingsolomon0
@kingsolomon0 3 жыл бұрын
This is incompetence of the highest order . Hekaya za Abunuasi 😂😂😂
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
albert_cancook
Рет қаралды 100 МЛН
RC MWANRI 'ALIVYOMKABA KOO' MASSAWE "TUMENUSA HARUFU YA RUSHWA"
5:47
"MNAPIGA POMBE SANA HALAFU MNALALAMIKA MAISHA MAGUMU"-RC MWANRI
4:39
KASHESHE ZA RC MWANRI ZINAENDELEA "NAWACHOTA JUMLA JUMLA"
5:55
Global TV Online
Рет қаралды 24 М.
MKUU WA MKOA TABORA, AGGREY MWANRI, ALIVYOONGEA KIINGEREZA.
5:26
50 YouTubers Fight For $1,000,000
41:27
MrBeast
Рет қаралды 206 МЛН