Рет қаралды 108,218
Baada ya kukuta vifaa tiba vimekaa kwa takribani miaka minne bila kutumika katika kituo cha Afya cha Kitunda walayani Sikonge,Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ametaka kufanyaka ukaguzi wa vyeti kwa wataalamu wa Afya mkoani humo
"Haiwezi mashine ikakaa hapa four years hakuna mtu anaoperate nataka ikifika tarehe 10 vyote vinaoparate na ndani yake nataka kila mtu aniletee cheti chake including DMO" RC Mwanri