Рет қаралды 71,943
KASHESHE ya RC MWANRI kwa MADAKTARI "Tutanyooshana Maungo, Ama Zangu Ama Zao"
Mkuu wa mkoa wa Tabora amenazisha kampeni yake ya 'JIONGEZE' maalum kwa ajili ya kupunguza vifo vya mama na mtoto mkoani humo.
RC Mwanri amesema vifo vingi vya wajawazito Tabota vinasababishwa na uzembe wa Madaktari hivyo ametoa maagizo kuwa kila Daktari avae kitambulisho kinachoonesha jina lake ili atakapomfanyia unyama mama mjamzito aweze kumjua jina lake na kutoa rai kwa wakinamama kuwa watakapofanyiwa ukatili na madaktari watoe taarifa na atazishugulikia haraka iwezekanavyo.
RCMWANRI
ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK www.youtube.com/watch?v=L4UGw.
Jiunge na Familia ya Global TV Upande Mtandao wa Mafanikio
Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club
goo.gl/mkvuoB