RC MWANRI AMSIMAMISHA KAZI MENEJA "TUACHIE, VUA MIWANI SHUKA MTARONI"

  Рет қаралды 260,751

Millard Ayo

Millard Ayo

4 жыл бұрын

Пікірлер: 194
@judithrichard729
@judithrichard729 4 жыл бұрын
gonga like kama unataman mzee wa toronto ahamie dar
@aginiweyessayakyando9855
@aginiweyessayakyando9855 4 жыл бұрын
Watanzania tubadilike jmn mnampigisha kelele mzee kila siku jmn hivi wanatabora hamjamuelewa bado tuu. Pole mzee Mwanri
@cipyen
@cipyen 4 жыл бұрын
We need more Leaders like this, he only wants Numbers, documents and Facts. Thats how it should be.
@brianmekere325
@brianmekere325 4 жыл бұрын
Kaz nzuri sana RC unajitoa kwaajili ya watu unatimiza wajibu wako mungu atakunyooshea katika mambo yako mkuu
@jayjay4313
@jayjay4313 4 жыл бұрын
Miwani ya zamani!🤣🤣🤣🤣😁😁. Nimecheka mpaka watu wamekereka. Huyu mzee nikipata bahati ya kumuona one day, nitafurahi mpaka ataniona chizi. Mzee on point, safi sana
@dinnocelestin1894
@dinnocelestin1894 4 жыл бұрын
😂😂😂 nikatamani niione hiyo miwani ya zamani lkn sikuiona
@petermwamanda6754
@petermwamanda6754 4 жыл бұрын
Huyu mzee nampendaga saanaa yupo moja kwa moja😃😃😃😆😆
@jayjay4313
@jayjay4313 4 жыл бұрын
@@dinnocelestin1894 Haha, angalia angalia utaiona, imepitishwa fastaaaa, kuna watu wanayo hapo🤣
@jayjay4313
@jayjay4313 4 жыл бұрын
@@petermwamanda6754 Ya, naona sikuhizi wanampotezea, wakati anatuongezea sana siku za kuishi kwa actions zake.
@petermwamanda6754
@petermwamanda6754 4 жыл бұрын
Kiukweli huwa nafurahi saanaa.sion Tena clip zake huyu mkuu sijui vipi🤣🤣🤣
@drmuha5419
@drmuha5419 4 жыл бұрын
MKUU WA MKOA UNASTAHILI CHEO HICHO KWA FAIDA NA HESHMA YA NCHI YETU
@carodavies3422
@carodavies3422 4 жыл бұрын
Hardworking.follow suit with raid na motto yake HAPA NIKA Tu Hatutaki wanaokwamisha miradi ya raising Congrates MKUU wako mkoaTABORA mhe MWANRI
@georgiusgotifrid3074
@georgiusgotifrid3074 4 жыл бұрын
Waziri wa ujenzi na miundo mbinu itakufaa sector hiyo
@Micpiu
@Micpiu 4 жыл бұрын
Hapo mwisho amemalizia vizuri sana, "sukuma ndani"😂😂 Kazi nzuri Mheshimiwa, endelea kupiga kazi kwa manufaa ya mkoa wa Tabora na Taifa kwa ujumla.
@BarakaWaya
@BarakaWaya 4 жыл бұрын
The best RC in Tanzania .Nampenda Sana huyu mzee
@husseinshabani9522
@husseinshabani9522 4 жыл бұрын
Sukuma ndani😂Asisubutu mtu kuongea😀 nakukubali sana mkuu chapa kazi.
@lutasmkanula4610
@lutasmkanula4610 4 жыл бұрын
Pp
@jacobmakono389
@jacobmakono389 4 жыл бұрын
..safi kabisa!ndo hiyo inayotamba huku mjini,haifanyi kazi,..mijizi..piga chini!..weka watu wa kweli!
@shebaminde7656
@shebaminde7656 4 жыл бұрын
Mtashushwa kwenye mtarona miwan yenu ya Zaman
@nimujocentre2173
@nimujocentre2173 4 жыл бұрын
Vua Miwani mzee watie.kwenye Mitaroo😂😂😂Sukuma Ndani🔥🔥
@abubakarikisuju5374
@abubakarikisuju5374 4 жыл бұрын
Anafaa sana kuwa waziri wackos ujenzi"big up.sana mwanry
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 жыл бұрын
Mkuu upo vizuri, chapa kazi! Lakini wasomi Watanzania hovyoo sana, ndo utendaji gani wa kazi huo! Mungu atusaidie tunahitaji wataalamu wenye uzalendo na nchi yao!
@gilbertmtoshu4334
@gilbertmtoshu4334 4 жыл бұрын
I think the next president
@nagmynamahin2463
@nagmynamahin2463 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂wallah huyu mzeee ananitoa stress kwa kweliiiii nampendaaa hatrariiiii
@mohamediabdallah9836
@mohamediabdallah9836 4 жыл бұрын
mimi ndo wa kwanza jamani af nipo single
@nestorymsacky6838
@nestorymsacky6838 4 жыл бұрын
Unataka mme au??
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
@@nestorymsacky6838 hahaha atakuwa anataka ukandaras
@zachjoshua5171
@zachjoshua5171 4 жыл бұрын
Kiongozi nimpendaye 👍.
@EK-kp2np
@EK-kp2np 4 жыл бұрын
Inakuwaje wanajua unakuja mkuu halafi hawana makaratasi ya angalizo, wamevaa miwani ya zamani hao mkuu, kwa nini wanarudiarudia lakini? Wanaleta dharau na serikali, nani kawatuma🤔
@otienookeyo1423
@otienookeyo1423 4 жыл бұрын
Nahisi wangepatikana kama kumi hata mikoa mingine wangeozewa waongoze mikoa miwili miwili.
@reubenimalando8792
@reubenimalando8792 4 жыл бұрын
Mh napenda Sana kukusikilza ....HAKIKA unachapa kaz ..miwani ya zaman tupa chin sukuma ndan
@dreamfootballclip1096
@dreamfootballclip1096 4 жыл бұрын
Nani alomkuta mwezKe watu walikuta balabala aua balabala ilikut watu
@musasimba3689
@musasimba3689 4 жыл бұрын
Gonga like kama unatamani Huyu mkuu wa mkoa ahamie mkoani kwako.
@youngdady7901
@youngdady7901 4 жыл бұрын
Akumbukwe hasan 😂😂 aliyeona
@raynelson4231
@raynelson4231 4 жыл бұрын
Huyu agombee ubunge apate uwaziri ashughulikie maji yani shida itakwisha kabisa
@bukaone7507
@bukaone7507 4 жыл бұрын
Kabisa yani
@shufahappy8359
@shufahappy8359 4 жыл бұрын
Yani huyu mkuu wa mkoa wa tabora yuko vizuri na kazi yake♥️
@mwamvuajumanne6090
@mwamvuajumanne6090 4 жыл бұрын
vaaa soksi vua miwan ya zaman..simamisha kazi rubish
@alikhamisame9636
@alikhamisame9636 4 жыл бұрын
Hahaha mzee salute kwako yani napenda sana unavyofanya kazi
@tejah2
@tejah2 4 жыл бұрын
Barua Iandikwe Leo Leo SIMAMISHA KAAAZI
@polotheboy7010
@polotheboy7010 4 жыл бұрын
sukuma ndan hapa kaz tu search polo the boy now enjoy music
@vascokasambala2159
@vascokasambala2159 4 жыл бұрын
Ilikuwaga waziri was temisem
@ezekielbuluba3940
@ezekielbuluba3940 4 жыл бұрын
mzee wetu magufuli atuletee mwanza hili jembe hata kwa mwezi mmoja tu atunyosheee watu
@pasquallungwa3517
@pasquallungwa3517 4 жыл бұрын
Hahaaha kwani mwanza kuna miwani tu za zamani na kofia za kizamani?
@charlesbabag1424
@charlesbabag1424 4 жыл бұрын
Mzee kingereza kinampenda sana hakijawahi kumsaliti😀😀😀😀
@lasteckmmary9741
@lasteckmmary9741 4 жыл бұрын
Hahahahahhahaahaa. Umesikia hiyo, unakuwa na kichwa ngum hapaa?
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
Baba hamia na mradi wa reliii, angalia vizuri
@musawiz2425
@musawiz2425 4 жыл бұрын
Mzee nakwelewa sana baba kazi njema
@agathathobias8690
@agathathobias8690 4 жыл бұрын
Nataman nikutane na huyu baba maana nina shida sana naomben mawasiliano yake jaman
@merygervas6562
@merygervas6562 4 жыл бұрын
Piga kazi baba uko vzr
@ngurelore6031
@ngurelore6031 4 жыл бұрын
Alieona taa ime ninginia gonga like
@kahamaonelive9432
@kahamaonelive9432 4 жыл бұрын
This why we Call TORONTO 😁👍🏽 Chapa kazi Mh Mkuu wa Mkowa Sisi tunakupenda Sana
@almashussein621
@almashussein621 4 жыл бұрын
Nmecheka kwa sauti #miwani ya zamani😂😂
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 4 жыл бұрын
Jembe hilo Kazikazi love Mwanri
@africanhappyadventure6951
@africanhappyadventure6951 4 жыл бұрын
Kazi imepata mwenyewe..Safi sana.Eti miwani ya zamani Haaaahaaaa
@jacobsonson4473
@jacobsonson4473 4 жыл бұрын
Huyu RC yuko makini sana angeifaaa Arusha uuni ungeisha
@peterjohn1969
@peterjohn1969 4 жыл бұрын
Mzee akikisheni mnapata vijana wazalendo kwaajili yanchi ii MUNGU awabaliki
@mangegervas9651
@mangegervas9651 4 жыл бұрын
Saafii Mkuu wangu
@peterbalilemwa9563
@peterbalilemwa9563 4 жыл бұрын
Kwako MH. Raisi, tunaomba miaka mitano ijayo baada ya uchaguzi MPE MH. mwanri nafas ya u waziri mkuu kabisaaaa ili asimamie miradi yoteee ya maendeleo nchi mzima. kwa muda huo mfupi nazani mkuuu kwa kumtumia huyu ataweza kuimaliza miradi yote mapema.
@sirfabiano767
@sirfabiano767 4 жыл бұрын
Peter Balilemwa majaliwa anatosha
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 4 жыл бұрын
Uyu mzee shikamoo mh
@guidoibada1861
@guidoibada1861 4 жыл бұрын
Chuma kinaongea🤓🤓🤓
@michaeljohn3215
@michaeljohn3215 4 жыл бұрын
Tuna kuku bali mkuu wetu wamkowa mungu akupe afya njema
@kyaloronny5407
@kyaloronny5407 4 жыл бұрын
Kiukweli huyu ndiye kioo cha jamii..hataki machezo kabisa.Niko Kenya lakini uaga ananipunga sana kwa mikakati yake ya utawala
@jamalmohamed2382
@jamalmohamed2382 4 жыл бұрын
Mkuu mwanri kawaida ya watu wanawochukua tender ndogo za caravat na vidaraja vidogo huwa wana bid alafu wanauza kazi kwa mafundi ambao hawana qualification ya uinjinia engeeering, mafundi ambao hawajasoma darasa lakini no mafundi wazuri tu lkn huwa wanapewa hela ndogo chini ya 50% , sasa fundi aliyenunua kazi amebanwa na budget ,anashindwa kufanya kazi standard . sasa mafundi wapo was engineering waliyefunza kwa apprenticeship kwa nadharia ila makaratasi hawana na wanaweza kufanya kazi , waukuwe hawo ndio utaikua sekta ya ujenzi . sijui nimeeleweka
@japhetbarton8268
@japhetbarton8268 4 жыл бұрын
Mnawataman sana tarura waje tena halmashaur😂😂
@sansisansi3686
@sansisansi3686 4 жыл бұрын
Haha rubbish completely rubbish hahah kazi nzuri naku rate asilimia 100 kutoka kenya
@daudusanga962
@daudusanga962 4 жыл бұрын
Amwendagi kwenye masaiti mameneja
@joseygaudence1886
@joseygaudence1886 4 жыл бұрын
Mikinanani imetupia miwani ya zamani 😂😂😂😂tuisukumie ndani
@kesterkanyala7718
@kesterkanyala7718 4 жыл бұрын
Kwa kweli MKUU WA MKOA,Hongera kwa usimamizi MZURI...PIA angalia USAFI TABORA...HAO SUKUMA NDANI..
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 жыл бұрын
Huyu kiongozi du! Mtakoma
@omarmohd5678
@omarmohd5678 4 жыл бұрын
Kuna mijitu ina vaa miwan ya zamani 😁😁😁 skuma ndaniiiii
@asukilemwamboma3808
@asukilemwamboma3808 4 жыл бұрын
uyu father anaongeaga kama anachekesha ila yuko makini vibaya mno na huwa haongei pumba katka mambo serious
@fiestatv9372
@fiestatv9372 4 жыл бұрын
Ooooh washamkela uko
@kizungasalum2230
@kizungasalum2230 4 жыл бұрын
Mzee magu ilikua apate hawa jamaa japo watano tu ingekua poa sana
@qurankareem582
@qurankareem582 4 жыл бұрын
huhuhuhu #MIWANI YA ZAMANI vua eka pale
@alijuma6502
@alijuma6502 4 жыл бұрын
Kazi ngumu sana kajitoa kadara huyu mzee kwakuwajali wana nchi wake
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 4 жыл бұрын
Barabara za Tabora mjini nazo zikiwa zinajengwa hasa zinazosimamiwa na manispaa zinachukuaga muda mreeefu mno na kufungafungabarabara hovyo. Na mbaya zaidi hawaruhusu hatabaiskel kupita, la sivyo inatolewa upepo. Hivi hao ni wakandarasi wa wapi?
@amdunshomali3971
@amdunshomali3971 4 жыл бұрын
Viongozi wote wamuige huyu mkuu nchi iwe kama toronto
@paulkisatulusana1142
@paulkisatulusana1142 4 жыл бұрын
Sukuma ndaniiii walizoea wizi wizi Hii ni Tanzania mpyaaaa
@RashidRashid-nc8hq
@RashidRashid-nc8hq 4 жыл бұрын
Sukuma ndani mzeee😀😀😀
@emmanueltarimo4068
@emmanueltarimo4068 4 жыл бұрын
Jamn huyu mzee anatumia cheo chake kunyanyasa wengine. Mtu akikosea hatak kumrekebisha ni kustopisha kazi tuu kingine hajuw akumbuke duniani tunapita tuu😥
@protasmalala7559
@protasmalala7559 4 жыл бұрын
Yaani unasimamishwa kazi huku unafurahi...jamaa namkubali sana
@saadmaridadi1721
@saadmaridadi1721 4 жыл бұрын
soma hiyooooooooooo
@zaheerabbasmehdi9754
@zaheerabbasmehdi9754 4 жыл бұрын
Huyu mkuu ange kuwa dar mapato ya selikali yangeongezeka mno sana sababu hakuna janja janja kwenye uongozi wake
@esromuisrael397
@esromuisrael397 4 жыл бұрын
Noma sana 😂😂😂😂
@rashidibwire429
@rashidibwire429 4 жыл бұрын
MZEE tutakusoma tuu piga kazi jembe
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 4 жыл бұрын
Miwani ya zamani sukuma ndani
@upendohalisi80
@upendohalisi80 4 жыл бұрын
Endeleeni kufanya tu kazi kwa mazoea Tbr na kwingineko, sijui kwanini hamsomi majira na nyakati za kubadilika jamani!! Hata wanaowasimamia mnawapa hasira wenyewe mliopo chini yao kwakutokutii maelekezo na kubadilika, maendeleo hatuwafanyii wazungu ni ss waTz nchi yetu ibadilike, heii kiruuuuuu!!!
@mirajikinuke9849
@mirajikinuke9849 4 жыл бұрын
Akiongea kama masiala masiala hivi komedi nyingi kumbe uku anakulalua kabisa, Safi sana mkuu wa mkoa wa TABORA, tunawataka kama ninyi muwe mikoa karibia yote
@kalengemochi110
@kalengemochi110 4 жыл бұрын
Tsbora imenyoshwa sana
@mumybhay6561
@mumybhay6561 4 жыл бұрын
mkuu mbona anakuchungulia uyooo nyuma yako 😉
@zephaniajosia1077
@zephaniajosia1077 4 жыл бұрын
hii ndo uzuri wa literature reviw b4 survey , unakua na full information kuhusu unachoenda kufanya
@yussufmohd5281
@yussufmohd5281 4 жыл бұрын
Dah Angekuja ZANZIBAR Ktk cku hz
@hilaliabeid1590
@hilaliabeid1590 4 жыл бұрын
noma sana asee
@chiefkimata9731
@chiefkimata9731 4 жыл бұрын
Kunatofaut kubwa katiya ya siasa na uwongozi lazima tujue kutofautisha siasa na viongozi.
@shairanadam1443
@shairanadam1443 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌😂😂😂w mzeeeee usifee
@makusujohn743
@makusujohn743 4 жыл бұрын
Noma sana
@kyambarungwe4453
@kyambarungwe4453 4 жыл бұрын
haaahaaaaa haaahaaaaa haaahaaaaa haaahaaaaa mkuuu bwan ataleee
@lawmaina78
@lawmaina78 4 жыл бұрын
Safi sana.
@hajihassan5433
@hajihassan5433 4 жыл бұрын
Safi sana lkn mnachelewa kukagua miradi. Mradi ukaguliwe kila phase.
@selemanmussa3459
@selemanmussa3459 4 жыл бұрын
Haha haha...sisi wengine penguin...ukiwa unajua utawapa watu tabu sana...
@dn.n4983
@dn.n4983 4 жыл бұрын
Lazima wajifunze maendeleo hawezi waache wenyewe uvivu umewajaa wazembe wewe ungekuwa rais nchi ingenyooka dk 5 tu hata makufuli kweli mpole wanamuonea safi sana tena huko vijiji watu wazembe sana ndio maana wote wanamia mijini kwa sababu hakuna maendeleo nikija nitakununu wine wezi wote ndani hakuna mchezo mchezo
@mankamathayo4007
@mankamathayo4007 4 жыл бұрын
mko ndani ya serikali
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 4 жыл бұрын
Hakuna kuniangalia kwa huruma hapa halafu sukuma ndani
@mwamvuajumanne6090
@mwamvuajumanne6090 4 жыл бұрын
simamisha kazi
@carodavies3422
@carodavies3422 4 жыл бұрын
Sorry l met piga kazi bwana namhe wawanyonge.fukuza wanaokwamisha miradi nawengine waheshimiwa wajue siyo kukaa ofisin MNA enjoy kikombe cha chai NONo No hapa kaz bwana
@mhojajoseph7101
@mhojajoseph7101 4 жыл бұрын
STAY IN BLESSING 🙏
@davidjohn2535
@davidjohn2535 4 жыл бұрын
muheshimiwa rais mpe cheo kikubwa ikiwezekana 2020 agombee ubung kisha awe wazr mkuu asimamie milad yot nchi nzima
@simonimawenya1181
@simonimawenya1181 4 жыл бұрын
nakukubali mkuu tabora itakua toronto
@kiatu
@kiatu 4 жыл бұрын
Ukiwa “Toronto” we lipa kodi, inaenda kufanya kazi halali 🤣
@hongeramgaya714
@hongeramgaya714 4 жыл бұрын
Welcome to Toronto
@kizafashionselepa141
@kizafashionselepa141 4 жыл бұрын
Hngera baba wengi wameshindwa ww umethubutu
@mwanaisha522
@mwanaisha522 4 жыл бұрын
😀😀😀 yaan unaniacha hoi sukuma ndan
@kelvinkkwayunkilema3061
@kelvinkkwayunkilema3061 4 жыл бұрын
👊👊👊👍👍👍
@abdulkillya2655
@abdulkillya2655 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hiv mwalim dotto ni nani, mbona anahusika saana
@meshack703
@meshack703 4 жыл бұрын
Boycoin Micharazo mwalimu dotto kila sehemu anatajwa aiseee na mkuu 🤣🤣🤣
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 32 МЛН
Пранк пошел не по плану…🥲
00:59
Саша Квашеная
Рет қаралды 6 МЛН
What it feels like cleaning up after a toddler.
00:40
Daniel LaBelle
Рет қаралды 83 МЛН
RC MWANRI ALIVYOMBANA INJINIA MPAKA KAMKATAA BOSI WAKE "
6:21
Millard Ayo
Рет қаралды 187 М.
BARAKA MAGUFULI AMVUNJA MBAVU WAZIRI MKUU,AWAITA WABUNGE
6:30
Global TV Online
Рет қаралды 493 М.
"NENDA KAMKAMATE SASA HIVI, UMUWEKE NDANI HARAKA" - JPM
8:41
Global TV Online
Рет қаралды 1,1 МЛН
Secret Experiment Toothpaste Pt.4 😱 #shorts
00:35
Mr DegrEE
Рет қаралды 32 МЛН