gonga like kama unataman mzee wa toronto ahamie dar
@aginiweyessayakyando98554 жыл бұрын
Watanzania tubadilike jmn mnampigisha kelele mzee kila siku jmn hivi wanatabora hamjamuelewa bado tuu. Pole mzee Mwanri
@cipyen4 жыл бұрын
We need more Leaders like this, he only wants Numbers, documents and Facts. Thats how it should be.
@brianmekere3254 жыл бұрын
Kaz nzuri sana RC unajitoa kwaajili ya watu unatimiza wajibu wako mungu atakunyooshea katika mambo yako mkuu
@jayjay43134 жыл бұрын
Miwani ya zamani!🤣🤣🤣🤣😁😁. Nimecheka mpaka watu wamekereka. Huyu mzee nikipata bahati ya kumuona one day, nitafurahi mpaka ataniona chizi. Mzee on point, safi sana
@dinnocelestin18944 жыл бұрын
😂😂😂 nikatamani niione hiyo miwani ya zamani lkn sikuiona
@petermwamanda67544 жыл бұрын
Huyu mzee nampendaga saanaa yupo moja kwa moja😃😃😃😆😆
@jayjay43134 жыл бұрын
@@dinnocelestin1894 Haha, angalia angalia utaiona, imepitishwa fastaaaa, kuna watu wanayo hapo🤣
@jayjay43134 жыл бұрын
@@petermwamanda6754 Ya, naona sikuhizi wanampotezea, wakati anatuongezea sana siku za kuishi kwa actions zake.
@petermwamanda67544 жыл бұрын
Kiukweli huwa nafurahi saanaa.sion Tena clip zake huyu mkuu sijui vipi🤣🤣🤣
@drmuha54194 жыл бұрын
MKUU WA MKOA UNASTAHILI CHEO HICHO KWA FAIDA NA HESHMA YA NCHI YETU
@carodavies34224 жыл бұрын
Hardworking.follow suit with raid na motto yake HAPA NIKA Tu Hatutaki wanaokwamisha miradi ya raising Congrates MKUU wako mkoaTABORA mhe MWANRI
@georgiusgotifrid30744 жыл бұрын
Waziri wa ujenzi na miundo mbinu itakufaa sector hiyo
@Micpiu4 жыл бұрын
Hapo mwisho amemalizia vizuri sana, "sukuma ndani"😂😂 Kazi nzuri Mheshimiwa, endelea kupiga kazi kwa manufaa ya mkoa wa Tabora na Taifa kwa ujumla.
@BarakaWaya4 жыл бұрын
The best RC in Tanzania .Nampenda Sana huyu mzee
@husseinshabani95224 жыл бұрын
Sukuma ndani😂Asisubutu mtu kuongea😀 nakukubali sana mkuu chapa kazi.
@lutasmkanula46104 жыл бұрын
Pp
@jacobmakono3894 жыл бұрын
..safi kabisa!ndo hiyo inayotamba huku mjini,haifanyi kazi,..mijizi..piga chini!..weka watu wa kweli!
Anafaa sana kuwa waziri wackos ujenzi"big up.sana mwanry
@linkreuben58044 жыл бұрын
Mkuu upo vizuri, chapa kazi! Lakini wasomi Watanzania hovyoo sana, ndo utendaji gani wa kazi huo! Mungu atusaidie tunahitaji wataalamu wenye uzalendo na nchi yao!
@gilbertmtoshu43344 жыл бұрын
I think the next president
@nagmynamahin24634 жыл бұрын
😂😂😂😂😂wallah huyu mzeee ananitoa stress kwa kweliiiii nampendaaa hatrariiiii
Inakuwaje wanajua unakuja mkuu halafi hawana makaratasi ya angalizo, wamevaa miwani ya zamani hao mkuu, kwa nini wanarudiarudia lakini? Wanaleta dharau na serikali, nani kawatuma🤔
@otienookeyo14234 жыл бұрын
Nahisi wangepatikana kama kumi hata mikoa mingine wangeozewa waongoze mikoa miwili miwili.
@reubenimalando87924 жыл бұрын
Mh napenda Sana kukusikilza ....HAKIKA unachapa kaz ..miwani ya zaman tupa chin sukuma ndan
@dreamfootballclip10964 жыл бұрын
Nani alomkuta mwezKe watu walikuta balabala aua balabala ilikut watu
@musasimba36894 жыл бұрын
Gonga like kama unatamani Huyu mkuu wa mkoa ahamie mkoani kwako.
@youngdady79014 жыл бұрын
Akumbukwe hasan 😂😂 aliyeona
@raynelson42314 жыл бұрын
Huyu agombee ubunge apate uwaziri ashughulikie maji yani shida itakwisha kabisa
@bukaone75074 жыл бұрын
Kabisa yani
@shufahappy83594 жыл бұрын
Yani huyu mkuu wa mkoa wa tabora yuko vizuri na kazi yake♥️
@mwamvuajumanne60904 жыл бұрын
vaaa soksi vua miwan ya zaman..simamisha kazi rubish
@alikhamisame96364 жыл бұрын
Hahaha mzee salute kwako yani napenda sana unavyofanya kazi
@tejah24 жыл бұрын
Barua Iandikwe Leo Leo SIMAMISHA KAAAZI
@polotheboy70104 жыл бұрын
sukuma ndan hapa kaz tu search polo the boy now enjoy music
@vascokasambala21594 жыл бұрын
Ilikuwaga waziri was temisem
@ezekielbuluba39404 жыл бұрын
mzee wetu magufuli atuletee mwanza hili jembe hata kwa mwezi mmoja tu atunyosheee watu
@pasquallungwa35174 жыл бұрын
Hahaaha kwani mwanza kuna miwani tu za zamani na kofia za kizamani?
@charlesbabag14244 жыл бұрын
Mzee kingereza kinampenda sana hakijawahi kumsaliti😀😀😀😀
@lasteckmmary97414 жыл бұрын
Hahahahahhahaahaa. Umesikia hiyo, unakuwa na kichwa ngum hapaa?
@abdulkillya26554 жыл бұрын
Baba hamia na mradi wa reliii, angalia vizuri
@musawiz24254 жыл бұрын
Mzee nakwelewa sana baba kazi njema
@agathathobias86904 жыл бұрын
Nataman nikutane na huyu baba maana nina shida sana naomben mawasiliano yake jaman
@merygervas65624 жыл бұрын
Piga kazi baba uko vzr
@ngurelore60314 жыл бұрын
Alieona taa ime ninginia gonga like
@kahamaonelive94324 жыл бұрын
This why we Call TORONTO 😁👍🏽 Chapa kazi Mh Mkuu wa Mkowa Sisi tunakupenda Sana
@almashussein6214 жыл бұрын
Nmecheka kwa sauti #miwani ya zamani😂😂
@stanleyfocas82504 жыл бұрын
Jembe hilo Kazikazi love Mwanri
@africanhappyadventure69514 жыл бұрын
Kazi imepata mwenyewe..Safi sana.Eti miwani ya zamani Haaaahaaaa
@jacobsonson44734 жыл бұрын
Huyu RC yuko makini sana angeifaaa Arusha uuni ungeisha
@peterjohn19694 жыл бұрын
Mzee akikisheni mnapata vijana wazalendo kwaajili yanchi ii MUNGU awabaliki
@mangegervas96514 жыл бұрын
Saafii Mkuu wangu
@peterbalilemwa95634 жыл бұрын
Kwako MH. Raisi, tunaomba miaka mitano ijayo baada ya uchaguzi MPE MH. mwanri nafas ya u waziri mkuu kabisaaaa ili asimamie miradi yoteee ya maendeleo nchi mzima. kwa muda huo mfupi nazani mkuuu kwa kumtumia huyu ataweza kuimaliza miradi yote mapema.
@sirfabiano7674 жыл бұрын
Peter Balilemwa majaliwa anatosha
@khaalidcheo53834 жыл бұрын
Uyu mzee shikamoo mh
@guidoibada18614 жыл бұрын
Chuma kinaongea🤓🤓🤓
@michaeljohn32154 жыл бұрын
Tuna kuku bali mkuu wetu wamkowa mungu akupe afya njema
@kyaloronny54074 жыл бұрын
Kiukweli huyu ndiye kioo cha jamii..hataki machezo kabisa.Niko Kenya lakini uaga ananipunga sana kwa mikakati yake ya utawala
@jamalmohamed23824 жыл бұрын
Mkuu mwanri kawaida ya watu wanawochukua tender ndogo za caravat na vidaraja vidogo huwa wana bid alafu wanauza kazi kwa mafundi ambao hawana qualification ya uinjinia engeeering, mafundi ambao hawajasoma darasa lakini no mafundi wazuri tu lkn huwa wanapewa hela ndogo chini ya 50% , sasa fundi aliyenunua kazi amebanwa na budget ,anashindwa kufanya kazi standard . sasa mafundi wapo was engineering waliyefunza kwa apprenticeship kwa nadharia ila makaratasi hawana na wanaweza kufanya kazi , waukuwe hawo ndio utaikua sekta ya ujenzi . sijui nimeeleweka
@japhetbarton82684 жыл бұрын
Mnawataman sana tarura waje tena halmashaur😂😂
@sansisansi36864 жыл бұрын
Haha rubbish completely rubbish hahah kazi nzuri naku rate asilimia 100 kutoka kenya
@daudusanga9624 жыл бұрын
Amwendagi kwenye masaiti mameneja
@joseygaudence18864 жыл бұрын
Mikinanani imetupia miwani ya zamani 😂😂😂😂tuisukumie ndani
@kesterkanyala77184 жыл бұрын
Kwa kweli MKUU WA MKOA,Hongera kwa usimamizi MZURI...PIA angalia USAFI TABORA...HAO SUKUMA NDANI..
@abdulbonomali65484 жыл бұрын
Huyu kiongozi du! Mtakoma
@omarmohd56784 жыл бұрын
Kuna mijitu ina vaa miwan ya zamani 😁😁😁 skuma ndaniiiii
@asukilemwamboma38084 жыл бұрын
uyu father anaongeaga kama anachekesha ila yuko makini vibaya mno na huwa haongei pumba katka mambo serious
@fiestatv93724 жыл бұрын
Ooooh washamkela uko
@kizungasalum22304 жыл бұрын
Mzee magu ilikua apate hawa jamaa japo watano tu ingekua poa sana
@qurankareem5824 жыл бұрын
huhuhuhu #MIWANI YA ZAMANI vua eka pale
@alijuma65024 жыл бұрын
Kazi ngumu sana kajitoa kadara huyu mzee kwakuwajali wana nchi wake
@fredypastoryutd48644 жыл бұрын
Barabara za Tabora mjini nazo zikiwa zinajengwa hasa zinazosimamiwa na manispaa zinachukuaga muda mreeefu mno na kufungafungabarabara hovyo. Na mbaya zaidi hawaruhusu hatabaiskel kupita, la sivyo inatolewa upepo. Hivi hao ni wakandarasi wa wapi?
@amdunshomali39714 жыл бұрын
Viongozi wote wamuige huyu mkuu nchi iwe kama toronto
@paulkisatulusana11424 жыл бұрын
Sukuma ndaniiii walizoea wizi wizi Hii ni Tanzania mpyaaaa
@RashidRashid-nc8hq4 жыл бұрын
Sukuma ndani mzeee😀😀😀
@emmanueltarimo40684 жыл бұрын
Jamn huyu mzee anatumia cheo chake kunyanyasa wengine. Mtu akikosea hatak kumrekebisha ni kustopisha kazi tuu kingine hajuw akumbuke duniani tunapita tuu😥
@protasmalala75594 жыл бұрын
Yaani unasimamishwa kazi huku unafurahi...jamaa namkubali sana
@saadmaridadi17214 жыл бұрын
soma hiyooooooooooo
@zaheerabbasmehdi97544 жыл бұрын
Huyu mkuu ange kuwa dar mapato ya selikali yangeongezeka mno sana sababu hakuna janja janja kwenye uongozi wake
@esromuisrael3974 жыл бұрын
Noma sana 😂😂😂😂
@rashidibwire4294 жыл бұрын
MZEE tutakusoma tuu piga kazi jembe
@khamisrubea50834 жыл бұрын
Miwani ya zamani sukuma ndani
@upendohalisi804 жыл бұрын
Endeleeni kufanya tu kazi kwa mazoea Tbr na kwingineko, sijui kwanini hamsomi majira na nyakati za kubadilika jamani!! Hata wanaowasimamia mnawapa hasira wenyewe mliopo chini yao kwakutokutii maelekezo na kubadilika, maendeleo hatuwafanyii wazungu ni ss waTz nchi yetu ibadilike, heii kiruuuuuu!!!
@mirajikinuke98494 жыл бұрын
Akiongea kama masiala masiala hivi komedi nyingi kumbe uku anakulalua kabisa, Safi sana mkuu wa mkoa wa TABORA, tunawataka kama ninyi muwe mikoa karibia yote
@kalengemochi1104 жыл бұрын
Tsbora imenyoshwa sana
@mumybhay65614 жыл бұрын
mkuu mbona anakuchungulia uyooo nyuma yako 😉
@zephaniajosia10774 жыл бұрын
hii ndo uzuri wa literature reviw b4 survey , unakua na full information kuhusu unachoenda kufanya
@yussufmohd52814 жыл бұрын
Dah Angekuja ZANZIBAR Ktk cku hz
@hilaliabeid15904 жыл бұрын
noma sana asee
@chiefkimata97314 жыл бұрын
Kunatofaut kubwa katiya ya siasa na uwongozi lazima tujue kutofautisha siasa na viongozi.
Safi sana lkn mnachelewa kukagua miradi. Mradi ukaguliwe kila phase.
@selemanmussa34594 жыл бұрын
Haha haha...sisi wengine penguin...ukiwa unajua utawapa watu tabu sana...
@dn.n49834 жыл бұрын
Lazima wajifunze maendeleo hawezi waache wenyewe uvivu umewajaa wazembe wewe ungekuwa rais nchi ingenyooka dk 5 tu hata makufuli kweli mpole wanamuonea safi sana tena huko vijiji watu wazembe sana ndio maana wote wanamia mijini kwa sababu hakuna maendeleo nikija nitakununu wine wezi wote ndani hakuna mchezo mchezo
@mankamathayo40074 жыл бұрын
mko ndani ya serikali
@mohammedabdallah63904 жыл бұрын
Hakuna kuniangalia kwa huruma hapa halafu sukuma ndani
@mwamvuajumanne60904 жыл бұрын
simamisha kazi
@carodavies34224 жыл бұрын
Sorry l met piga kazi bwana namhe wawanyonge.fukuza wanaokwamisha miradi nawengine waheshimiwa wajue siyo kukaa ofisin MNA enjoy kikombe cha chai NONo No hapa kaz bwana
@mhojajoseph71014 жыл бұрын
STAY IN BLESSING 🙏
@davidjohn25354 жыл бұрын
muheshimiwa rais mpe cheo kikubwa ikiwezekana 2020 agombee ubung kisha awe wazr mkuu asimamie milad yot nchi nzima
@simonimawenya11814 жыл бұрын
nakukubali mkuu tabora itakua toronto
@kiatu4 жыл бұрын
Ukiwa “Toronto” we lipa kodi, inaenda kufanya kazi halali 🤣
@hongeramgaya7144 жыл бұрын
Welcome to Toronto
@kizafashionselepa1414 жыл бұрын
Hngera baba wengi wameshindwa ww umethubutu
@mwanaisha5224 жыл бұрын
😀😀😀 yaan unaniacha hoi sukuma ndan
@kelvinkkwayunkilema30614 жыл бұрын
👊👊👊👍👍👍
@abdulkillya26554 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 hiv mwalim dotto ni nani, mbona anahusika saana
@meshack7034 жыл бұрын
Boycoin Micharazo mwalimu dotto kila sehemu anatajwa aiseee na mkuu 🤣🤣🤣