Sababu 3 zinazoongoza kuua biashara

  Рет қаралды 58,140

Joel Nanauka

Joel Nanauka

Күн бұрын

Пікірлер: 162
@kingoman7895
@kingoman7895 6 жыл бұрын
Najiandaa kwa kujichanga ili nije kufungua biashara yenye mizizi migumu sana na mikubwa sana itakayotambaa na kufika mbali In shaa allah
@International_Admin
@International_Admin 4 жыл бұрын
allahumma amiin allahu baarik
@rwetunikamathayo2065
@rwetunikamathayo2065 Жыл бұрын
Nakukubali sana bro you are the one huna maneno yasiyoeleweka na mengi kama wengine
@swabrihamismvulla6423
@swabrihamismvulla6423 6 жыл бұрын
Ahsante bro kwa elim unayotoa mola akubarik sana
@amarsohal2929
@amarsohal2929 6 жыл бұрын
Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..
@swabriissa2034
@swabriissa2034 5 жыл бұрын
Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana
@abeljohn8607
@abeljohn8607 4 жыл бұрын
Best Advices for Business thank you brother 👏
@enockmathias3470
@enockmathias3470 2 жыл бұрын
J , Mungu akubaliki xna nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana kwa elimu yako
@ShukuluMohammed-mc2fy
@ShukuluMohammed-mc2fy Жыл бұрын
Nakuelewa sana brother
@denniscastory3924
@denniscastory3924 2 жыл бұрын
Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma
@alextibamanya5229
@alextibamanya5229 6 жыл бұрын
Asante bro umenifunza kitu maana nilikuwa nafeli sana,god bless u for coach us.
@leticialupembe6956
@leticialupembe6956 Жыл бұрын
Asantee sana kaka Joel mi ya kwanza hiyo imenikosha kwa kweli
@mwelamalibila8988
@mwelamalibila8988 5 жыл бұрын
Daaaah asante kwa somo hili
@hansramadhan8945
@hansramadhan8945 6 жыл бұрын
napenda sana vipindi vyako,thanks much bro hesha kwako na hiii ndo inaonyesha ni namna gani now vijana tunazid kua naawazo mapana kila kukichaaa
@abelmwilapwa1111
@abelmwilapwa1111 5 жыл бұрын
Asante kwa ushaur Mungu akubariki
@esterkessy3877
@esterkessy3877 5 жыл бұрын
Nimejifunza ,Asante ubarikiwe
@malalezengo4405
@malalezengo4405 6 жыл бұрын
dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana
@burtonmwakitalim2142
@burtonmwakitalim2142 6 жыл бұрын
hongera kwa kazi nzuri
@georgewilliam7319
@georgewilliam7319 6 жыл бұрын
Asante brother. Matumizi makubwa yalishawah kunikwamisha.
@nasorontayega663
@nasorontayega663 4 жыл бұрын
Sababu yakwanza kmnd da Nashukuru Sana Sasa ntafanya aje ili nisitumie
@symoniezekiely2862
@symoniezekiely2862 5 жыл бұрын
mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante
@hafidhusulemani8277
@hafidhusulemani8277 6 жыл бұрын
Ebwana mm nimwanafunziwako mzulisana unanielimisha kilaninapokusikiliza asantekaka mungu akubariki
@Almisbahy9551
@Almisbahy9551 6 жыл бұрын
Aisee Nmekuelew Vzr Bro Mi Hiyo Ya Pili Na Ya Tatu Ndo Zmenifelisha Biashara Hatimae Imekufa Kabisa.
@nataliaswei1437
@nataliaswei1437 2 жыл бұрын
Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda
@mobilesolution2413
@mobilesolution2413 6 жыл бұрын
safi kaka joel mafundisho mazuri
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
mobile solution karibu sana,ahsante sana kuendelea kufuatilia
@nereaigogo4442
@nereaigogo4442 6 жыл бұрын
Sikuwahi kujua hazina iliyopo ndani ya huyu kaka Ndo nimesikia leo kupitia clouds fm na kuanza kumtafuta huku you tube God bless you
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Nerea Igogo ahsante sana,tuendelee kujifunza
@ccmtangamedia
@ccmtangamedia 2 жыл бұрын
sababu ya mwisho imemfelisha my brother
@ceciliamatiku442
@ceciliamatiku442 6 жыл бұрын
asante sana Joel nimeelewa kwa upande wangu hiyo ya 3 ndo iliyoniathiri nisaidie mawazo nifanyeje
@nicksanga6454
@nicksanga6454 3 ай бұрын
Nimeelewa somo Asante
@zebyharson5577
@zebyharson5577 2 жыл бұрын
Akika nimepata kitu , barikiwa 🙏
@ussikhamisussi4882
@ussikhamisussi4882 6 жыл бұрын
Hapa kwenye business entity kutii hii kanuni ndio kwenye changamoto ya wengi, ahsante sana.
@vicentmatoboki7288
@vicentmatoboki7288 3 жыл бұрын
One see u big broo
@buruhanimtonya8078
@buruhanimtonya8078 2 жыл бұрын
Sababu namba 1 iliwahi kuniangusha ila sasa nimekuja na kanuni ya come back
@furahabaraka2705
@furahabaraka2705 4 жыл бұрын
Dah kwel kbs hiz sabab nd zinazofelisha biashara haswa haswa y kwanza
@bakarkhamis7749
@bakarkhamis7749 5 жыл бұрын
Asante joel umenifuninua kitu apo maan nilikuwa na pupa ya kutanua biashara kwa haraka nakutakia kaz njema
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 жыл бұрын
Tunakushukuru kaka
@InnocentMagoza-pu9wn
@InnocentMagoza-pu9wn Жыл бұрын
Hakika Kaka mi nataka kuanzisha biashala na kwa hakika Kuna kitu umenijenga asant Sana mungu akubaliki
@suleimanupunda3265
@suleimanupunda3265 3 жыл бұрын
Yan asant saan mm nimejianda vizuli
@zafaranimrisho2111
@zafaranimrisho2111 6 жыл бұрын
Apo kwenye kuweka mizizi ya biashara sjakuelewa vzr Mizizi ipi labda
@malalezengo4405
@malalezengo4405 6 жыл бұрын
Zafarani Mrisho zarani mizizi ni kuimarisha
@jeremiahgyunda5632
@jeremiahgyunda5632 Жыл бұрын
Vitu muhimu sana kaka pamja sana
@melvinnakhungu2504
@melvinnakhungu2504 2 жыл бұрын
Vizuri sana
@simonjustin5921
@simonjustin5921 3 жыл бұрын
Uko vzur mno
@levocatusgatu4295
@levocatusgatu4295 5 жыл бұрын
Daaaah ubalikiwe kaka
@irakozemaissarah4325
@irakozemaissarah4325 6 жыл бұрын
thanks kaka nimejifunza kitu kipya kwenye biashara yangu
@swahabatv48
@swahabatv48 6 жыл бұрын
ujumbe, mzur sana
@erickngaponda4312
@erickngaponda4312 2 жыл бұрын
Joel naomba utuletee somo la kudeal na wateja wakopaji katika biashara yako nawezaje kufanikiwa na wateja wanaokopa
@raphiarenatus7259
@raphiarenatus7259 4 жыл бұрын
Mimi huwa naferi sana ngj nijifunze
@allyhamad1301
@allyhamad1301 Жыл бұрын
Mm sababu yangu yakufeli nauza sana ila pesa nyingi nazitumia
@fatajoshow8640
@fatajoshow8640 2 жыл бұрын
Napenda kuwa mchumi
@chrismassawe326
@chrismassawe326 5 жыл бұрын
Naendelea tu kujifunza mwalimu wangu
@getrudeepafras3416
@getrudeepafras3416 6 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka
@shazirymustafa20
@shazirymustafa20 5 жыл бұрын
Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap
@abdinakusaga8727
@abdinakusaga8727 5 жыл бұрын
oy bro nimejifunza.
@WilliamJulius-p1q
@WilliamJulius-p1q Жыл бұрын
Asante nimeelewa
@chizalukasi
@chizalukasi 11 ай бұрын
safi
@muhsinkombo3736
@muhsinkombo3736 4 жыл бұрын
Hii sababu ya pili naomba ifafanue zaidi
@mussalulenga9939
@mussalulenga9939 2 жыл бұрын
Namba 1 inanisumbua
@rebekamtafya7386
@rebekamtafya7386 3 жыл бұрын
Thanks bro. Stay blessed
@m-clanofficial6158
@m-clanofficial6158 6 жыл бұрын
nimekuelewa sana
@mohammedyassin8786
@mohammedyassin8786 5 жыл бұрын
Kaka wee nomah
@deusjohn1107
@deusjohn1107 4 жыл бұрын
nimekuelewa kaka
@eliudimwigi8368
@eliudimwigi8368 6 жыл бұрын
Kaka mimi nitajiandia vizuri ili hizi sababu sisinifelishe mara nikianza tu Biashara yangu. MUNGU akubariki sana.
@victorchiwai8831
@victorchiwai8831 2 жыл бұрын
Niko Kenya pongezi Kwa kipindi
@alysaid4960
@alysaid4960 6 жыл бұрын
Boss wangu yupo katik haali kupenda wafanykazi wake
@hassanbakari1509
@hassanbakari1509 6 жыл бұрын
Shukran kwa kutuelimisha, swali langu botany vyako vinapatikana wapi kwa mkowa wa tanga
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Hassan Bakari nashukuru kwa kutembelea channel Hii,utavipata kupitia 0756094875
@hassanbakari1509
@hassanbakari1509 6 жыл бұрын
Joel Nanauka Asantee sanaa
@jacksonmollel5155
@jacksonmollel5155 5 жыл бұрын
ni kweli sana sasa nipigie nipe namba zako ili nipate vitabu mbalimbali
@stephenefilimon5516
@stephenefilimon5516 6 жыл бұрын
Nanauka umenifungua kwenye nyanja nyingi kiukweli hata elim yangu ya chuo kikuu nadhani isinge mudu MUNGU akubariki zaidi
@fahadalismaily9370
@fahadalismaily9370 5 жыл бұрын
Hebu sababu ya pili ifafanue zaidi sijaelewa...
@barikipeter721
@barikipeter721 6 жыл бұрын
Ya kwnza
@jonathanmabula6338
@jonathanmabula6338 6 жыл бұрын
Nimekuewa xna brooo tatizo langu kubwa ni matumizi yaliyo nje na biashara
@AliM-di8dz
@AliM-di8dz 5 жыл бұрын
Nakuelewaga sana joeli, ni kweli hayo unayoongea.
@euzebiayotham6459
@euzebiayotham6459 2 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka sabab ya kwanza na tatu inanihusu samahani nitafanya nini Ili nisingilie kati ya matumizi ya nyumbani na duka
@mrugamhono9451
@mrugamhono9451 6 жыл бұрын
nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
mruga mhono kabla haujaanZa biashara na mtu ni lazima mkubaliane kwanza
@piusnjechele3815
@piusnjechele3815 6 жыл бұрын
Biashara za watu wawili zinachangamoto Sana na mbaya zaidi akiwa mmoja wapo anataka mafanikio ndani ya muda mfupi "No expart for five days "
@salmaalimusa547
@salmaalimusa547 5 жыл бұрын
@@piusnjechele3815 nahazifai mwaeza hata kuumizana mkifanikiwa
@kokudo8389
@kokudo8389 5 жыл бұрын
Msisahau mwaka 2019 hakikisha pesa yoyote inayopita mikononi mwako uishike na usiruhusu ikatoka kizembe kwa vitu visivyo na maana Happy new year
@rajabuomari6034
@rajabuomari6034 3 жыл бұрын
Nikweli kaka ata mm mwenyewe nashindwa kukuza biashara yangu
@smartboyzengineering9764
@smartboyzengineering9764 4 жыл бұрын
Tunashukuru kaka kwaelimu yako
@bibianaalfred8444
@bibianaalfred8444 4 жыл бұрын
See youu
@killtime7829
@killtime7829 5 жыл бұрын
ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali
@asidayzsaid9662
@asidayzsaid9662 6 жыл бұрын
Mizizi unajengaje?
@MariaKisabo
@MariaKisabo 6 ай бұрын
Na mm nimmoja wao umenigusa kweli
@jumasaid9212
@jumasaid9212 6 жыл бұрын
Upo vizuli sana
@jovinbenjamin1958
@jovinbenjamin1958 6 жыл бұрын
Shat zuri sana umependeza
@wilfredmwambuluma9927
@wilfredmwambuluma9927 3 жыл бұрын
Duuu kwel apo kwenye kutanua biashala bila kuweka mizizi
@yasynally1908
@yasynally1908 6 жыл бұрын
Nadhani kwa mtizamo wangu pia hili Jambo la kutokufanya utafiti wa biashara sahihi kuifanya kwa muda sitahiki katika eneo lako linadumaza ukuaji na maendeleo ya biashara au we pia unaonaje hii?
@tinamgeni2562
@tinamgeni2562 6 жыл бұрын
Asante Mungu akutunze
@realysoud3919
@realysoud3919 6 жыл бұрын
Thanks nimepata Kitu kimpya kwenye biashara
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Soud beats pamoja sana
@elizabethzabron8489
@elizabethzabron8489 6 жыл бұрын
Asante Kaka God bless you
@mariakomba166
@mariakomba166 Жыл бұрын
kiukweli Mimi ni muhanga wa hili
@princessleonard6415
@princessleonard6415 3 жыл бұрын
Kuna mama mmoja niliishi nae jaman alimaliza duka kubwa kwa kulipia mtoto ada shuleni. Kiukweli umenifunza sanaaa
@NeroForte_
@NeroForte_ 6 жыл бұрын
Kaka habari za siku. nina problem mbili ya kwanza(1). mimi nimeanza mipango ya kuanzisha biashara yangu miezi nane iliyopita. Tatizo mpaka leo sijafanikiwa na nimetumia pesa nyingi kununua vitu vinavyohitajika, kipato changu ni kidogo na mara nyingi kila ninapoona nipo tayari kuanza naona vikwazo vinaongezeka ambavyo vinahitaji pesa zaidi. yapili(2) nahitaji kuajiri mtu afanye hio kazi lakini naona kama inakuwa ni changamoto pia kupata mtu. naomba msaada hapa. nifanye nini ili biashara yangu iingie katika operation.?
@mgejamasanja3427
@mgejamasanja3427 4 жыл бұрын
Cjakupata kwenye point ya 3 unpoongelea mizizi unamanisha nn bwn joel
@piusnjechele3815
@piusnjechele3815 6 жыл бұрын
Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa..... Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....
@joseshimba3635
@joseshimba3635 2 жыл бұрын
Asante sana
@pqschalndonge6252
@pqschalndonge6252 Жыл бұрын
Sabab zinazonisababisha ni feli katika biashara zangu ni kutotenganisha biashara (biashara kuto kujitegemea yenyewe)
@esteramon6474
@esteramon6474 6 жыл бұрын
Imeningusa no 1 nitajitahidi kubadilika
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Ester Amon nakutakia mafanikio ,tuendelee Kujifunza
@kelvinnyambo3076
@kelvinnyambo3076 6 жыл бұрын
sababu hiyo ya tatu
@denisrenatus4935
@denisrenatus4935 6 жыл бұрын
mwlm mm na Rafiki angu tulianzisha biashara ndogo ya kuuza Kuku lakin haikudumu kwan yy alkua anaingiza sana matumz ya nyumban kwenye biashara yetu ndogo mpaka ikapelekea kufa kabsa nawaza kufanya pekee angu make naona ananfelisha tu
@joelnanauka
@joelnanauka 6 жыл бұрын
Denis James pole sana,ni muhimu kuchagua mtu sahihi wa kufanya naye biashara,ukikosa Anza kidogokidogo mwenyewe
@josephmeratah2509
@josephmeratah2509 6 жыл бұрын
Sababu ya kwanza ipo sawa ila kwa mimi mkulima naona kama inakuwa ngumu. Nalima, nauza mazao then inanibidi nitumie kiasi cha pesa katika mauzo kwa ajili ya mahitaji ya familia, kiasi kingine nihifadhi kwa ajili ya kilimo next time.
@erickjuliusejuboytv7505
@erickjuliusejuboytv7505 4 жыл бұрын
Sababu ya kwanza kka
@YusufuKhalidi-o7e
@YusufuKhalidi-o7e Жыл бұрын
Naomba namba yako ya sim
@matokeojoseph1227
@matokeojoseph1227 6 жыл бұрын
Masomo yako yanahitajika sana kwa Vijana hasa katika kipindi kama hiki ambacho ajira zimekuwa ngumu.
@manumbamanuelasaid1810
@manumbamanuelasaid1810 4 жыл бұрын
Mimi nina mtaji wa milioni 1 nafani yangu ni fundi seremala fanicha za kisasa vifaa vya kazi ninavyo mashine za kisasa lakini sija lipia eneo bado
@suzanmbele5538
@suzanmbele5538 4 жыл бұрын
Bussnes entity,wengi hiyo inatukwamisha sisi kama wanawake,
SABABU YA BIASHARA KUFA SEHEMU YA 1: JOEL NANAUKA
11:35
Joel Nanauka
Рет қаралды 9 М.
LIFE WISDOM : FANYA MABADILIKO HAYA UFANIKIWE - JOEL NANAUKA
14:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 26 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН
How to whistle ?? 😱😱
00:31
Tibo InShape
Рет қаралды 22 МЛН
How it feels when u walk through first class
00:52
Adam W
Рет қаралды 26 МЛН
LAZIMA USHINDE HOFU HIZI - JOEL NANAUKA
10:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 71 М.
KANUNI MUHIMU ZA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA
11:59
Joel Nanauka
Рет қаралды 89 М.
TABIA 11 ZINAZOZUIA MAFANIKIO   - SEHEMU YA  KWNZA (1)
12:43
Joel Nanauka
Рет қаралды 82 М.
Mafanikio Yako Yanatokana Na Ujasiri Wako  - Joel  Arthur Nanauka
7:19
Kanuni Tatu (3) Za  Fedha  (Three Laws of Money)
5:40
Joel Nanauka
Рет қаралды 105 М.
Njia Tano (5) Unazoweza Kuzitumia Kuongeza Ujasiri
9:37
Joel Nanauka
Рет қаралды 187 М.
Siri Tano (5 ) Za Kuwa Mzungumzaji Mzuri
7:56
Joel Nanauka
Рет қаралды 97 М.
How I Turned a Lolipop Into A New One 🤯🍭
00:19
Wian
Рет қаралды 13 МЛН