Najiandaa kwa kujichanga ili nije kufungua biashara yenye mizizi migumu sana na mikubwa sana itakayotambaa na kufika mbali In shaa allah
@International_Admin4 жыл бұрын
allahumma amiin allahu baarik
@rwetunikamathayo2065 Жыл бұрын
Nakukubali sana bro you are the one huna maneno yasiyoeleweka na mengi kama wengine
@swabrihamismvulla64236 жыл бұрын
Ahsante bro kwa elim unayotoa mola akubarik sana
@amarsohal29296 жыл бұрын
Kwa kweli nimepata faida kubwa ambao sikua na idea nao ila asante sana mr joel arthur na mimi ni mmoja wa mfuasi wako nimeanza wiki saivi kukufatilia na nimeona unatusaidia kwa kweli..
@swabriissa20345 жыл бұрын
Ahsante kwa msaada unaotupa wakufungua akil zetu binafsi nakukubali sana kila unachosomesha kimenikuta nshabdilika kupitia wewe brother j nanauka mola akubarik sana
@abeljohn86074 жыл бұрын
Best Advices for Business thank you brother 👏
@enockmathias34702 жыл бұрын
J , Mungu akubaliki xna nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa Sana kwa elimu yako
@ShukuluMohammed-mc2fy Жыл бұрын
Nakuelewa sana brother
@denniscastory39242 жыл бұрын
Nimekuelewa maana mm mwenyewe nataka kuanzixha biashara umenifungua ahsante mwenyez mungu akubaliki uendee kutufunza ujumbe wewe ndoo tegemez letu la taifa letu tunakupenda xana mwalimu naitwa Denis kutoka kigoma
@alextibamanya52296 жыл бұрын
Asante bro umenifunza kitu maana nilikuwa nafeli sana,god bless u for coach us.
@leticialupembe6956 Жыл бұрын
Asantee sana kaka Joel mi ya kwanza hiyo imenikosha kwa kweli
@mwelamalibila89885 жыл бұрын
Daaaah asante kwa somo hili
@hansramadhan89456 жыл бұрын
napenda sana vipindi vyako,thanks much bro hesha kwako na hiii ndo inaonyesha ni namna gani now vijana tunazid kua naawazo mapana kila kukichaaa
@abelmwilapwa11115 жыл бұрын
Asante kwa ushaur Mungu akubariki
@esterkessy38775 жыл бұрын
Nimejifunza ,Asante ubarikiwe
@malalezengo44056 жыл бұрын
dahh umenikosha sana maana umepitia humo humo nilpo pitiaga mm nilijenga mapwma hata miaka miwili haikufika kilichofuata ni azabu kubwa sana kuupandisha mtajia tena ila nashukuru mungu tena niliibuka kwa hiyo nilishaga jifunza upande huo wew ni mwalimu mzuri sana tena sana na hongera sana ubarikiww sana
@burtonmwakitalim21426 жыл бұрын
hongera kwa kazi nzuri
@georgewilliam73196 жыл бұрын
Asante brother. Matumizi makubwa yalishawah kunikwamisha.
@nasorontayega6634 жыл бұрын
Sababu yakwanza kmnd da Nashukuru Sana Sasa ntafanya aje ili nisitumie
@symoniezekiely28625 жыл бұрын
mimi sababu inayo sababisha ni ferry na thani ni hii ya kwanza kuchanganya matumizi na msingi ina ni galim sana ila kwa kuwa ume ni elewesha kaka nita lifanyia kaz ahsante
@hafidhusulemani82776 жыл бұрын
Ebwana mm nimwanafunziwako mzulisana unanielimisha kilaninapokusikiliza asantekaka mungu akubariki
@Almisbahy95516 жыл бұрын
Aisee Nmekuelew Vzr Bro Mi Hiyo Ya Pili Na Ya Tatu Ndo Zmenifelisha Biashara Hatimae Imekufa Kabisa.
@nataliaswei14372 жыл бұрын
Habari....Mimi naitwa Mama Natalia,ninaduka la rejareja lakini nikiuza sioni faida yani natumia nguvu nyingi lakini sifaidiki na biashara yangu,naomba ushauri nifanyeje maana inafikia Mda naona kama napoteza Mda
@mobilesolution24136 жыл бұрын
safi kaka joel mafundisho mazuri
@joelnanauka6 жыл бұрын
mobile solution karibu sana,ahsante sana kuendelea kufuatilia
@nereaigogo44426 жыл бұрын
Sikuwahi kujua hazina iliyopo ndani ya huyu kaka Ndo nimesikia leo kupitia clouds fm na kuanza kumtafuta huku you tube God bless you
@joelnanauka6 жыл бұрын
Nerea Igogo ahsante sana,tuendelee kujifunza
@ccmtangamedia2 жыл бұрын
sababu ya mwisho imemfelisha my brother
@ceciliamatiku4426 жыл бұрын
asante sana Joel nimeelewa kwa upande wangu hiyo ya 3 ndo iliyoniathiri nisaidie mawazo nifanyeje
@nicksanga64543 ай бұрын
Nimeelewa somo Asante
@zebyharson55772 жыл бұрын
Akika nimepata kitu , barikiwa 🙏
@ussikhamisussi48826 жыл бұрын
Hapa kwenye business entity kutii hii kanuni ndio kwenye changamoto ya wengi, ahsante sana.
@vicentmatoboki72883 жыл бұрын
One see u big broo
@buruhanimtonya80782 жыл бұрын
Sababu namba 1 iliwahi kuniangusha ila sasa nimekuja na kanuni ya come back
@furahabaraka27054 жыл бұрын
Dah kwel kbs hiz sabab nd zinazofelisha biashara haswa haswa y kwanza
@bakarkhamis77495 жыл бұрын
Asante joel umenifuninua kitu apo maan nilikuwa na pupa ya kutanua biashara kwa haraka nakutakia kaz njema
@Brunotarimo102 жыл бұрын
Tunakushukuru kaka
@InnocentMagoza-pu9wn Жыл бұрын
Hakika Kaka mi nataka kuanzisha biashala na kwa hakika Kuna kitu umenijenga asant Sana mungu akubaliki
@suleimanupunda32653 жыл бұрын
Yan asant saan mm nimejianda vizuli
@zafaranimrisho21116 жыл бұрын
Apo kwenye kuweka mizizi ya biashara sjakuelewa vzr Mizizi ipi labda
@malalezengo44056 жыл бұрын
Zafarani Mrisho zarani mizizi ni kuimarisha
@jeremiahgyunda5632 Жыл бұрын
Vitu muhimu sana kaka pamja sana
@melvinnakhungu25042 жыл бұрын
Vizuri sana
@simonjustin59213 жыл бұрын
Uko vzur mno
@levocatusgatu42955 жыл бұрын
Daaaah ubalikiwe kaka
@irakozemaissarah43256 жыл бұрын
thanks kaka nimejifunza kitu kipya kwenye biashara yangu
@swahabatv486 жыл бұрын
ujumbe, mzur sana
@erickngaponda43122 жыл бұрын
Joel naomba utuletee somo la kudeal na wateja wakopaji katika biashara yako nawezaje kufanikiwa na wateja wanaokopa
@raphiarenatus72594 жыл бұрын
Mimi huwa naferi sana ngj nijifunze
@allyhamad1301 Жыл бұрын
Mm sababu yangu yakufeli nauza sana ila pesa nyingi nazitumia
@fatajoshow86402 жыл бұрын
Napenda kuwa mchumi
@chrismassawe3265 жыл бұрын
Naendelea tu kujifunza mwalimu wangu
@getrudeepafras34166 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka
@shazirymustafa205 жыл бұрын
Sawa nimekuelewa ila sijakusoma vizur hapo pakuchukua pesa ya biashara sasa nitaishi vip wakati mi nimejiajili katika biashara yangu na sina kingne kinachoniingizia fedha na mda wote nipo hapa katika biashara sa nitakula wapi au nivaa wap
@abdinakusaga87275 жыл бұрын
oy bro nimejifunza.
@WilliamJulius-p1q Жыл бұрын
Asante nimeelewa
@chizalukasi11 ай бұрын
safi
@muhsinkombo37364 жыл бұрын
Hii sababu ya pili naomba ifafanue zaidi
@mussalulenga99392 жыл бұрын
Namba 1 inanisumbua
@rebekamtafya73863 жыл бұрын
Thanks bro. Stay blessed
@m-clanofficial61586 жыл бұрын
nimekuelewa sana
@mohammedyassin87865 жыл бұрын
Kaka wee nomah
@deusjohn11074 жыл бұрын
nimekuelewa kaka
@eliudimwigi83686 жыл бұрын
Kaka mimi nitajiandia vizuri ili hizi sababu sisinifelishe mara nikianza tu Biashara yangu. MUNGU akubariki sana.
@victorchiwai88312 жыл бұрын
Niko Kenya pongezi Kwa kipindi
@alysaid49606 жыл бұрын
Boss wangu yupo katik haali kupenda wafanykazi wake
@hassanbakari15096 жыл бұрын
Shukran kwa kutuelimisha, swali langu botany vyako vinapatikana wapi kwa mkowa wa tanga
@joelnanauka6 жыл бұрын
Hassan Bakari nashukuru kwa kutembelea channel Hii,utavipata kupitia 0756094875
@hassanbakari15096 жыл бұрын
Joel Nanauka Asantee sanaa
@jacksonmollel51555 жыл бұрын
ni kweli sana sasa nipigie nipe namba zako ili nipate vitabu mbalimbali
@stephenefilimon55166 жыл бұрын
Nanauka umenifungua kwenye nyanja nyingi kiukweli hata elim yangu ya chuo kikuu nadhani isinge mudu MUNGU akubariki zaidi
@fahadalismaily93705 жыл бұрын
Hebu sababu ya pili ifafanue zaidi sijaelewa...
@barikipeter7216 жыл бұрын
Ya kwnza
@jonathanmabula63386 жыл бұрын
Nimekuewa xna brooo tatizo langu kubwa ni matumizi yaliyo nje na biashara
@AliM-di8dz5 жыл бұрын
Nakuelewaga sana joeli, ni kweli hayo unayoongea.
@euzebiayotham64592 жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka sabab ya kwanza na tatu inanihusu samahani nitafanya nini Ili nisingilie kati ya matumizi ya nyumbani na duka
@mrugamhono94516 жыл бұрын
nzur ,lkn kama mkiwa mmeanzisha kwanzia watu wawili na yeye anataka mkifanya tu na mkapata faida anaitaka hyo faida ili afanyie mambo yake mengine ,he utanisaidiaje ktk hlo Joel
@joelnanauka6 жыл бұрын
mruga mhono kabla haujaanZa biashara na mtu ni lazima mkubaliane kwanza
@piusnjechele38156 жыл бұрын
Biashara za watu wawili zinachangamoto Sana na mbaya zaidi akiwa mmoja wapo anataka mafanikio ndani ya muda mfupi "No expart for five days "
@salmaalimusa5475 жыл бұрын
@@piusnjechele3815 nahazifai mwaeza hata kuumizana mkifanikiwa
@kokudo83895 жыл бұрын
Msisahau mwaka 2019 hakikisha pesa yoyote inayopita mikononi mwako uishike na usiruhusu ikatoka kizembe kwa vitu visivyo na maana Happy new year
@rajabuomari60343 жыл бұрын
Nikweli kaka ata mm mwenyewe nashindwa kukuza biashara yangu
@smartboyzengineering97644 жыл бұрын
Tunashukuru kaka kwaelimu yako
@bibianaalfred84444 жыл бұрын
See youu
@killtime78295 жыл бұрын
ninamtaji lakini sijajuwa biashara ya kufanya kwa sababau ninaogopa kufe niliacha kazi nikaingia kwenye biashara nikafeli nilichekwa sana hidi nilirudi kwenye kazi ya awali
@asidayzsaid96626 жыл бұрын
Mizizi unajengaje?
@MariaKisabo6 ай бұрын
Na mm nimmoja wao umenigusa kweli
@jumasaid92126 жыл бұрын
Upo vizuli sana
@jovinbenjamin19586 жыл бұрын
Shat zuri sana umependeza
@wilfredmwambuluma99273 жыл бұрын
Duuu kwel apo kwenye kutanua biashala bila kuweka mizizi
@yasynally19086 жыл бұрын
Nadhani kwa mtizamo wangu pia hili Jambo la kutokufanya utafiti wa biashara sahihi kuifanya kwa muda sitahiki katika eneo lako linadumaza ukuaji na maendeleo ya biashara au we pia unaonaje hii?
@tinamgeni25626 жыл бұрын
Asante Mungu akutunze
@realysoud39196 жыл бұрын
Thanks nimepata Kitu kimpya kwenye biashara
@joelnanauka6 жыл бұрын
Soud beats pamoja sana
@elizabethzabron84896 жыл бұрын
Asante Kaka God bless you
@mariakomba166 Жыл бұрын
kiukweli Mimi ni muhanga wa hili
@princessleonard64153 жыл бұрын
Kuna mama mmoja niliishi nae jaman alimaliza duka kubwa kwa kulipia mtoto ada shuleni. Kiukweli umenifunza sanaaa
@NeroForte_6 жыл бұрын
Kaka habari za siku. nina problem mbili ya kwanza(1). mimi nimeanza mipango ya kuanzisha biashara yangu miezi nane iliyopita. Tatizo mpaka leo sijafanikiwa na nimetumia pesa nyingi kununua vitu vinavyohitajika, kipato changu ni kidogo na mara nyingi kila ninapoona nipo tayari kuanza naona vikwazo vinaongezeka ambavyo vinahitaji pesa zaidi. yapili(2) nahitaji kuajiri mtu afanye hio kazi lakini naona kama inakuwa ni changamoto pia kupata mtu. naomba msaada hapa. nifanye nini ili biashara yangu iingie katika operation.?
@mgejamasanja34274 жыл бұрын
Cjakupata kwenye point ya 3 unpoongelea mizizi unamanisha nn bwn joel
@piusnjechele38156 жыл бұрын
Asee ni ukweli mtupu Binafsi nilipo toka Chuo niliamua kufanya biashara ya popcorn na Kiukweli ilikua vzuri tu ila nikosea pale nilipo chukua pesa ya biashara na kuingiza kwenye mambo ya siasa..... Ila namshukuru MUNGU bado biashara haijatetereka Sana na mpaka sasa naendelea nayo ....
@joseshimba36352 жыл бұрын
Asante sana
@pqschalndonge6252 Жыл бұрын
Sabab zinazonisababisha ni feli katika biashara zangu ni kutotenganisha biashara (biashara kuto kujitegemea yenyewe)
mwlm mm na Rafiki angu tulianzisha biashara ndogo ya kuuza Kuku lakin haikudumu kwan yy alkua anaingiza sana matumz ya nyumban kwenye biashara yetu ndogo mpaka ikapelekea kufa kabsa nawaza kufanya pekee angu make naona ananfelisha tu
@joelnanauka6 жыл бұрын
Denis James pole sana,ni muhimu kuchagua mtu sahihi wa kufanya naye biashara,ukikosa Anza kidogokidogo mwenyewe
@josephmeratah25096 жыл бұрын
Sababu ya kwanza ipo sawa ila kwa mimi mkulima naona kama inakuwa ngumu. Nalima, nauza mazao then inanibidi nitumie kiasi cha pesa katika mauzo kwa ajili ya mahitaji ya familia, kiasi kingine nihifadhi kwa ajili ya kilimo next time.
@erickjuliusejuboytv75054 жыл бұрын
Sababu ya kwanza kka
@YusufuKhalidi-o7e Жыл бұрын
Naomba namba yako ya sim
@matokeojoseph12276 жыл бұрын
Masomo yako yanahitajika sana kwa Vijana hasa katika kipindi kama hiki ambacho ajira zimekuwa ngumu.
@manumbamanuelasaid18104 жыл бұрын
Mimi nina mtaji wa milioni 1 nafani yangu ni fundi seremala fanicha za kisasa vifaa vya kazi ninavyo mashine za kisasa lakini sija lipia eneo bado
@suzanmbele55384 жыл бұрын
Bussnes entity,wengi hiyo inatukwamisha sisi kama wanawake,