Mungu akupe maisha marefu yenye kheri na baraka Mr Joel nanauka nakukubali Sana Allah akuzidishie hotuba na speach zako nzuri kuliko kawaida . naitwa issa nassor naishi zenj , karibu Sana.
@khamiomar78442 ай бұрын
Mr Joel mm nakupa big up San uko vym .🙏
@marymkamwa377910 ай бұрын
Am 50 yrs old now Nimekufahamu since 2 weeks ago,nakusikiliza speech zako tangu za miaka 3 iliyopita mpaka sasa nahisi sijachelewa na nitaweza kutimiza ndoto. zangu
@enockiradukunda1174 Жыл бұрын
Asante sana Mr Joel , Nina mshukuru Mngu mwenye kutupa mutu kama wewe🙏 (ENOCK from Rwand🇷🇼)
@mahambagislain9618 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana wasema kweli umeniumbia kitu ndani ya maisha ya ngu🇨🇩
@FANUELTITUS7 ай бұрын
Fact😢😢😢
@veronicawangari8089 Жыл бұрын
Ukweli kabisa mungu akubaliki sana . Kupitia mafudisho yako sai najitabua sana .
@ArafatiDua4 ай бұрын
Umeua kwenye hii elimu unayotupatia bureee Arafati Tz nanyumbu mtwara
@ibrahimshakha Жыл бұрын
naitaji namba zako braza joel
@filipetoll6112 Жыл бұрын
Maneno ya kiingereza mm cyaelewi, muwe mnajikita kwenye lugha zetu zilizonyooka ili tuwe tunaelewa zaidi.
@NickGamba-ft8tl2 ай бұрын
ASANTE MENTOR, MASTER ARTHUR NANAUKA JOEL 🙏🙏🙏
@DoctorEvarist Жыл бұрын
You never disappointed daddy 👏🏼👏🏼🙏🏻 be blessed
@LeoLucas-j3k8 ай бұрын
Vitabu vinapatikana wapi na vinauzwaje
@christophermlaki5828 Жыл бұрын
Nimekuelewa sana kaka
@aliyukagambo Жыл бұрын
Noel tunashukuru Tanzania lazima tupambane tuzishinde roho za umasikini 😢
@wilbertmlyuka5723 Жыл бұрын
Kiukweli speech zako huwa nazikubali sana. Hasa kwa jinsi unavyotoa mifano
@theodosiaramadhan56266 ай бұрын
Kweli kabisa
@neemalyimo92449 ай бұрын
Ahsante sana kaka Joel leo nimejifunza kitu kikubwa sana MUNGU akubariki
@mozolijei11 ай бұрын
Kaka nilikuwa naomba unisaidie kwa kutoa ushauri kuhusu upambanaji kwa eneo la shule
@shigongodaniel-uz3vz11 ай бұрын
Asante kwa mafundisho yako Mr.Joel
@IsabelaMdolo Жыл бұрын
Jamani uko sahihi mmmh penye kusaidia ndugu hapo hakika yakikukuata hata kama uliwasaidia vipi hawakusaidii dah Wacha nichukue hatua binafsi nimeshuhudia
@AizackKalenge-ro5rc Жыл бұрын
Unatakiwa utumie Lugha moja wapo,Kama Kiingereza au kiswahili
@GerigaJoram9 ай бұрын
Unanifungua Sana ubongo na maneno yako na vitabu vyako usichoke kutupa maarifa
@MwanaishaHemed-xi6rj Жыл бұрын
Asante sana
@PiusTagasАй бұрын
Saf brother
@FloraFlora-i9n6 ай бұрын
Ni kweli baba mafundisho yako mazuri sana
@matengamboho5098 Жыл бұрын
Watu watatu kama wewe dunia inakuwa sehemu nzuri yaku ishi 🤝❤️🫴
@ShuwenaHajji-zc5hz Жыл бұрын
Asante san umetfunua san mung akuwek maish marefu
@Nguzofurniture Жыл бұрын
Ahsante sana kaka nina jambo langu nitakushirikisha kama unaniruhusu maana umekua mtu muhimu sana kwangu. Ahsante 🙏
@pontianrweyongeza624011 ай бұрын
Kaka nakupenda sana unafundisha Mambo mazurió sana
@Makofiatz6 ай бұрын
That's what you said ni vizuri ❤
@Nicholousmwanyangala Жыл бұрын
Brave one day I'll meet with you for more conversation sir brace
@DanielMbaka-qw3uf Жыл бұрын
we jamaa uishi milele najivunia sana kuwa haki kipindi kimoja n wwe
@Makofiatz6 ай бұрын
That's what you said ni vizuri ❤
@WaziriAlly-h3f11 ай бұрын
Kaka Mung anakutumia kushape zone
@MaryGodfrey-hd9bn Жыл бұрын
Ubarikiwe sana kaka joel umekuwa ni baraka kubwa mno kwetu na kuna watu walikata tamaa lakini baada ya kusikiliza mafundisho yako wameona wana sababu zaid ya elf 10 za kuishi 🙏🙏
@EstherAlphonce-bm2kj Жыл бұрын
Uko vzr unafaa kuwa kiongoz wa taifa
@annedaniel4451 Жыл бұрын
Barikiwa sana kaka,na Mungu azidi kukujaza maarifa ili wengine tunufaike❤❤❤
@aksapeter5181 Жыл бұрын
Mungu akubariki sana sana ki ukweli Huwa unanifanya kupiga hatua kubwa
@methuselasamson26118 ай бұрын
Brain Vitamins from this man is such an awesome❤
@AizackKalenge-ro5rc Жыл бұрын
Tatizo Unachanganya Lugha,
@GivenMwakalikene-xb1ww10 ай бұрын
Good advice broh I want to be alike oneday🙏🙏
@ShafiiAmisi-h3w7 ай бұрын
Mm nilikua nataka no Yako kaka
@zabrongermanus-co1jj11 ай бұрын
Safi sana okoa jamii n kazi ya Mungu iyo
@modestaflowin-iz9ok10 ай бұрын
Hakika umenifungua Leo
@GeophreyMwalyolo-hi9vy Жыл бұрын
Thanks a lot a man of God
@HildaPetro11 ай бұрын
Mi nakukubali sana mungu akubariki
@ndimyakekapusi8146 Жыл бұрын
Barikiwa Sana bro unatupa madini imara
@UshindiBulambo Жыл бұрын
Facts and inspires for really get u from malawi as a refugee in dzaleka dowa
@ZIP255-j6r7 ай бұрын
KAKA WEWE MTU BORA SANA
@kwangukazungu82998 ай бұрын
My MENTOR, God bless you
@NdyankaBulengo8 ай бұрын
Kweli ndugu yangu
@ThureyaHassan-w2g Жыл бұрын
Brother Mungu akubariki sana
@khamisomarhassan648310 ай бұрын
Nakutakia kila la kher
@JoelsisluLimbe11 ай бұрын
Fact sana bro
@VeronikaBaltazar11 ай бұрын
Kaka ubarikiwe sana
@chegemazuku262311 ай бұрын
Mungu akubaliki sana!
@mozoupcommingartist7779 Жыл бұрын
Mwalimu wanqu huyu 👨🏫
@NeemaMinga-pl8ty Жыл бұрын
Kila siku napenda kuchukua point zako, napenda unachokifanya bro. Mungu akubariki sana Ili uzidi na uzidi kutupa hayo madini.