Рет қаралды 37,647
Tunaishi kwenye jamii yenye watu wengi wanaokuzunguka na wengine hukuonesha hata wanakujua zaidi ya wewe unavyojifahamu. Bila shaka utakuwa ushaanza kuwaelewa watu hawa. Sasa tatizo la hawa binadamu ni kwamba usipokuwa makini unaweza kuendelea kucheza kwenye mistari yao na kujikuta unafanya yote wayatakayo lakini unapokwama kwenye hiyohiyo mipango yao kamwe hautauona ushirikiano wao kukukwamua kwenye tatizo walilokusababishia na kukuacha peke yako ukitaabika.
Sasa somo hili ni muhimu sana katika kuhakikisha linakuweka vizuri kifikra na kukufanya uweze kuyaendea mafanikio bila vikwazo ya wengine ambao tunaweza kuyaepuka mapema kwani una kila sababu ya kuwaepuka au kutowasikiliza watu hawa.
Ungana nami katika somo hili
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Sababu9 #Kutowasikiliza #Wanaokuongelea