Kaka asantee sana unatubaliki sana na speech zako nilikuwa naomba utufundishe jinsi ya kuwa watulivu ktk maisha yetu baada ya kupokea tarifa mbaya au nzuri au kwa namna yoyote Ile "UTULIVU "
@LeahMwaipwisiАй бұрын
Kweli nami nalitamani somo hili.Mungu amtumie kaka Joel kwa wakati wake.
@hamisally9745 ай бұрын
good morning team all the way from Zanzibar
@jacksontumaini4895 ай бұрын
Bon voyage
@hekimamyoba-hm5ij5 ай бұрын
Kweli kaka najivunia kukufuatilia
@fedharmmark63985 ай бұрын
Umeendelea kuwa mwalimu wangu bora sana katika maisha yangu, na nimejikuta nafanya yale kwa vitendo unayo fundisha na kuona matokeo yake makubwa; na nimeweza kukuwa kwa hisia, kiakili kimwili na fedha pia. Wewe ni MTEULE.
@paschalmasanilo26175 ай бұрын
Mimi pia yalinikuta na sasa naishi mbali sana na family yangu na kuanza maisha mapya kabisa
@harithwhite5895 ай бұрын
Hili somo limekuja wakati muafaka, yaani kama limeandaliwa kwa ajili yangu.
@olivanooraladin54365 ай бұрын
Kaka Joel mafundisho yako mazuri lkn unapoweka hii sound kubwa naumia Sana masikio
@DanielaSankaАй бұрын
Hiyo sounds inafanya ujumbe unakuwa na maana kubwa sana 😢 hakika amejua kufanya kinachogusa maisha yetu
@devothasimbi64955 ай бұрын
Nilifanikiwa kufanya maamuzi magumu kumuachia kiumbe n'a n'a sasa naona matokeo yake ,uko Sawa kabisa
@JsephJegizh5 ай бұрын
Ni kweli kabisa mwache aende.mwalim Joel thanks
@godfreygerase87135 ай бұрын
Naaam mwalim ni kweli namm iliwai kunitokea kuna binti nilikua naye kimausiano kwa malengo ya kuoana lakini nikipangilia mambo yango yalikua hayaendi kabisaa nilipoanza kukufatilia wewe kuna moja ya maneni unasema fanya maamuzi na nyingine inasema watu hawawez kukuelewa!! Mm nilifanya maamuzi ya kuachana nae niliumia sana lakini kwasasa naona mambo yang yanaenda sawa!! ❤asante mwalim joel mungu akulinde🙏
@eliasmugume2545 ай бұрын
Asante Sana kwaushauri Mkubwa Mungu Akubariki Sana
@annoyua56425 ай бұрын
exactly kaka joel😢.. ni ukweli kabisaa,, ilinihrt kweli karibu hata nipoteze maisha yangu.. ann from kenya
@ReshimaAbdalla5 ай бұрын
Asante umenitia nguvu ya Jambo fulan🙏
@IbrahimuRamadhani-nc4mr5 ай бұрын
Namshukuru sana kaka Joel, i wish long life God bless you 😢
@ashurashabani72495 ай бұрын
Shukrani sana somo limekuja kipindi nimeamua kumuacha aende😢
@MrMireal009235 ай бұрын
I real appreciate you; Life coach and Mentor Mentor naendelea kujifunza na kukua kifikra kupitia wewe, kwakweli stay blessed Man of God🧠💪
@ZATIUNISaidi5 ай бұрын
Ni kweli kabisa,
@hopingtrust12844 ай бұрын
Hili somo limesema uwalisia wa maisha yangu ya sasa ila umenipa nguvu mpya na kukubali kupoteza🥹
@goldiegranted55015 ай бұрын
Shukran sana kwa somo PROFESSOR 🏆
@asiajoseph3145 ай бұрын
😭😭😭mbadala jamani
@matrida.lunyilija51965 ай бұрын
Asante kakaangu umenifumbua macho maana nimeng'ang'ania pasipo pendeka,kuanzia sasa nachukua hatua, ACHA AENDE
@jacobdaud34255 ай бұрын
Kaka Joel umekua mkomboz sana kwang
@shijandobehe49535 ай бұрын
Asantee Sana Mwalimu Kwa ujumbe huu
@godfreygerase87135 ай бұрын
Naa asante kwa kumwita mwali nimekuona ❤
@janetmbwana5535 ай бұрын
Shukran sana 🙏🙏🙏
@NyalingaSamwel4 ай бұрын
Kak ujumbe wako unatunge san endelea kuwa nwalm mwem 🙏
@emmynjau39835 ай бұрын
Ùnajua unajua unajua tena tunajifunza mambo mengi mazur
@imanimwakinga49345 ай бұрын
Emotional dependence 😮😮😮😮 acha kabisa mwalm
@hashimuliloto80175 ай бұрын
Ni kweli kabisa....💪🏻💪🏻💪🏻
@aishaabdallah45605 ай бұрын
Shukran kaka somo limeniingia na n mda muafaka napitia kipindi kigumu lkn cna budi kupingana na ukwl kumuacha aende 😭
@IddiMakungu5 ай бұрын
Hongera kaka kwa kutupa madini
@imanimwakinga49345 ай бұрын
Kuhisi utakosa mbadala daaah 😢😢😢😢😢😢
@saidbanga5 ай бұрын
Ahsante sana japo sauti haikuwa sawa Leo ila ujumbe umetufikia
@theophilwhiteheart19975 ай бұрын
Ahsante mno brother📌
@ananiashibanda34295 ай бұрын
Tunabalikiwa kwa kwel asante
@yusuphmartin99005 ай бұрын
Kaka Kama kunakitabu hiki Cha life wisdom nakihtaji
@Shedrackh5 ай бұрын
Ubarikiwe sana kaka. Umebadilisha maisha yangu kaka
@starafricainc17445 ай бұрын
Barikiwa mwalimu joel
@umojamedia41675 ай бұрын
Mbona yote unayoongea ni mimi kabisa daah 😢
@CatherineJacob-yt5sy5 ай бұрын
Blessed bro joel🙏
@hawakaino82025 ай бұрын
Asante sana nimekuelewa
@JohnDaud-sv1oc5 ай бұрын
Nimejfunza
@kuruthumukondo71495 ай бұрын
Shukrani kaka ❤
@GraceSteven-qq5hn5 ай бұрын
Asant sana
@jacobdaud34253 ай бұрын
Kaka hakika ww ni mteule
@niriacatering1725 ай бұрын
Shukrani
@ClementLeonard-h9m5 ай бұрын
Imeni tokea mke niliye juwa tuta zikana nilimuacha aenda IRA ni maumivu makali mno tuna kupata kaka hazina ya vijana