You can never rewrite the golden history of Zanzibar by assumptions and personal desire for specific satanic alterations
@user-sw6wu7rp6h Жыл бұрын
Si dani kama yanauhakika hayo
@africaonechannel12892 ай бұрын
Mimi nimestaajabu kwa MUANDISHI WA CHOMBO KIKUBWA HIVI KTK TASINIA YA HABARI And hana Maarifa hata Kidogo ya SOMO LA HISTORIA. Maelezo ni kwamba BARGHASHI Ni Mtoto wa SULTAN Said; Then How come aitwe "SAID BARGHASH" NA UZUSHI WA HABARII YA KUFANYA MACHAFU NDANI YA PALACE; That Is Just SIASA CHAFU!. Na Sababu zake Tunazifahamu, THE REST OF THIS VIDEO CLIP IS VERY INFORMATIVE●
@nassorali80402 жыл бұрын
Wazushi wa kubwa wapotoshaji wa taarikh yetu hamuezi kuichafua taarikh yetu na sisi tukaa kimya Hata jina lake hamlifahamu Zanzibar hakukua na mfalme alieitwa Said bin Barghash. Wahenzi wakubwa nyie
@helpers10 Жыл бұрын
Acha tu ukweli uwaingie.
@fatmasaid9765Ай бұрын
Astaghafiru Allah ww unasema uongo utakwenda jibu siku kiyama
@user-gf2qo9ly8k24 күн бұрын
Sultanate Zanziba Is Somalis Djibouti Eritrea
@husseinkonz51923 ай бұрын
Mateja na walev ndio waongoza utalii swaga nying
@sleyumalgheithy32682 ай бұрын
Waongo wakubwa mnaharibu historia ya zanzibar Sayyed barghash ndo Aloondoa utumwa,akitoa Meli kila mwaka kwa mahujaji tena bure,alimentary nyumba mecca ya mahujaji wa zanzibar wakae bure ,uongo wenu ndo mana mmeiharibu zanzibar
@TheTarabistАй бұрын
Huyo Temba ni mtu kutoka Bara. Na huyo kijana wa spice anatoka Kenya. Wote wanashindwa kutamka Kiswahili sawa sawa. Wanataka "Saidi Bargashi". Wanashindwa kusema: "Seyyid Barghash bin Said".
@TheTarabistАй бұрын
Wake 99 walihitaji nafasi kubwa kiasi gani itoshe.
@moomsuya18522 жыл бұрын
KIKULACHO AMETISHA SANA
@ALIKHAMIS-un4fv6 ай бұрын
Eti watu wajinga walevi ndo wanatoa history ya zanzibar inastaajabisha sana
@TheTarabistАй бұрын
M. Kikulacho hujui kiswahili. M-chai chai. Herufi m- hapo sio kama usemavyo. Mti wo wote unaanza na m- katika kiswahili. Mfano: m-paipai, m-popoo, m-nazi, m-komamanga, m-gomba n.k. Vipi weweee?
@alhabsi6430 Жыл бұрын
Jamani haya maneno ya kwelii??au ni uzushiii?subuhana Allah mtakuja kuulizwa nyiee