Masauni ni mpombavu kama wapombavu wengine tu kwn haiwezekani watu watekwe wapotezwe wauwawe kisha yye aseme ni matukio ya kawaida tu yani cjuwi cku akiskia baba yake au mama yake katekwa cjuwi atasema ni kawaida tu!! Ila nasema wacha pavuje tuone panapo vuja
@emanuelsinyinzaАй бұрын
Kuna mjinga moja anatowa maelezo ya kijinga kuwa vijana wanakemea au kutukana ni sahihi.vijajana hawo ni watumwa fikra.kuna mahakama ndiyo chombo cha kutowa haki.na sivingenevyo..mnawo towa maoni mitandaoni mjikamirishe kiulinzi jino kwa jino