SAKATA LA UINGIZAJI WA SUKARI LAIBUA SURA MPYA BODI YA SUKARI WAFUNGUKA/KUMEKUWA NA UPOTOSHAJI

  Рет қаралды 4,763

JAMBO TV

JAMBO TV

5 күн бұрын

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►KZbin: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Пікірлер: 34
@martinkisha6307
@martinkisha6307 3 күн бұрын
Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa
@yusuphngwele4190
@yusuphngwele4190 3 күн бұрын
Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.
@SaidKaswella
@SaidKaswella 3 күн бұрын
Was there any due diligence to the so called voucher companies?
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 20 сағат бұрын
Pole sana Mzee wangu Mnakazi ngumu sana kwa watu tunaoishi kwa propaganda " umeongea ukweli kwa ushahidi"
@rajabumtuga7372
@rajabumtuga7372 3 күн бұрын
Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 3 күн бұрын
Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.
@andrewassey5108
@andrewassey5108 3 күн бұрын
Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 3 күн бұрын
Kutumbua hapana kukopa aaaah😊
@user-wj6zj1ly4e
@user-wj6zj1ly4e 3 күн бұрын
Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja
@godfreymeagisa1871
@godfreymeagisa1871 3 күн бұрын
Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu
@vedastusmdapo3837
@vedastusmdapo3837 3 күн бұрын
Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 күн бұрын
Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.
@abdallahally842
@abdallahally842 3 күн бұрын
Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane
@SaidKaswella
@SaidKaswella 3 күн бұрын
Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.
@kenethmaseti8953
@kenethmaseti8953 3 күн бұрын
Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 2 күн бұрын
HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 20 сағат бұрын
Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 3 күн бұрын
Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa
@TheresiaAndrea-hv9dg
@TheresiaAndrea-hv9dg Күн бұрын
Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto
@charleslukumai7875
@charleslukumai7875 3 күн бұрын
Kwa issue ni kampuni zil izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?
@devangandhl2255
@devangandhl2255 3 күн бұрын
Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida
@abeidsanga7361
@abeidsanga7361 3 күн бұрын
Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu
@user-no2ut7yd3e
@user-no2ut7yd3e 3 күн бұрын
Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.
@issakassim8291
@issakassim8291 2 күн бұрын
Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga
@kwisa4899
@kwisa4899 3 күн бұрын
munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 күн бұрын
Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga
@Sangaadam
@Sangaadam 3 күн бұрын
Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 3 күн бұрын
Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo
@kwisa4899
@kwisa4899 3 күн бұрын
Meli ilipita mlango wa nyuma
@robertphilip385
@robertphilip385 3 күн бұрын
Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini
@beatricehenry6776
@beatricehenry6776 3 күн бұрын
Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi
@user-uy5nx1bj5r
@user-uy5nx1bj5r 21 сағат бұрын
Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo
@yahayaramadhani6418
@yahayaramadhani6418 3 күн бұрын
Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.
@margarethsolomon9823
@margarethsolomon9823 3 күн бұрын
Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.
Raila, Kalonzo present as President Ruto signs IEBC Bill into law
40:07
Citizen TV Kenya
Рет қаралды 71 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 81 МЛН
Получилось у Вики?😂 #хабибка
00:14
ХАБИБ
Рет қаралды 7 МЛН
KINDNESS ALWAYS COME BACK
00:59
dednahype
Рет қаралды 120 МЛН
Sigma Girl Past #funny #sigma #viral
00:20
CRAZY GREAPA
Рет қаралды 34 МЛН
U.S. State Department press briefing: 7/2/24
1:04:05
Associated Press
Рет қаралды 6 М.
DO YOU HAVE FRIENDS LIKE THIS?
00:17
dednahype
Рет қаралды 81 МЛН