Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa
@yusuphngwele41903 күн бұрын
Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.
@SaidKaswella3 күн бұрын
Was there any due diligence to the so called voucher companies?
@user-uy5nx1bj5r20 сағат бұрын
Pole sana Mzee wangu Mnakazi ngumu sana kwa watu tunaoishi kwa propaganda " umeongea ukweli kwa ushahidi"
@rajabumtuga73723 күн бұрын
Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.
@godfreymeagisa18713 күн бұрын
Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.
@andrewassey51083 күн бұрын
Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.
@Chrisblaze-beats3 күн бұрын
Kutumbua hapana kukopa aaaah😊
@user-wj6zj1ly4e3 күн бұрын
Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja
@godfreymeagisa18713 күн бұрын
Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu
@vedastusmdapo38373 күн бұрын
Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500
@margarethsolomon98233 күн бұрын
Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼♀️🤷🏼♀️🤷🏼♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.
@abdallahally8423 күн бұрын
Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane
@SaidKaswella3 күн бұрын
Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.
@kenethmaseti89533 күн бұрын
Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊
@abdulhakeem9592 күн бұрын
HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE
@user-uy5nx1bj5r20 сағат бұрын
Huyu Jamaa wa Bodi ya sukari anaonyesha ushahidi unaonekana Mimi nimenunua sukari elfu 7 Jamaa inawauma sana safari hii walitaka sukari ikosekane ili wapandishe bei
@SaidAlly-uh4qw3 күн бұрын
Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa
@TheresiaAndrea-hv9dgКүн бұрын
Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto
@charleslukumai78753 күн бұрын
Kwa issue ni kampuni zil izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?
@devangandhl22553 күн бұрын
Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida
@abeidsanga73613 күн бұрын
Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu
@user-no2ut7yd3e3 күн бұрын
Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.
@issakassim82912 күн бұрын
Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga
@kwisa48993 күн бұрын
munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂
@margarethsolomon98233 күн бұрын
Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga
@Sangaadam3 күн бұрын
Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo
@kwisa48993 күн бұрын
Meli ilipita mlango wa nyuma
@robertphilip3853 күн бұрын
Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini
@beatricehenry67763 күн бұрын
Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi
@user-uy5nx1bj5r21 сағат бұрын
Yule Mzee wa jana nimuongo tokea jana nilipo muona Ishu hii inawatu wanatetea maslahi yao na sisi wananchi hatuko makini na jamaa hao waviwanda kunadili imefeli imekuwa dirisha na wameamua kumtumia yule jamaa wa GANG" kujifanya mzalendo
@yahayaramadhani64183 күн бұрын
Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.
@margarethsolomon98233 күн бұрын
Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.