Salama Na Fid Q Ep 7 | NGOSHA WA MBASA Part 2

  Рет қаралды 74,285

YahStoneTown

YahStoneTown

Күн бұрын

Пікірлер: 142
@latriciah01augustino67
@latriciah01augustino67 4 жыл бұрын
Mafanikio ni nini? Jitengenezee tafsiri yako kisha ishi nayo🙌🏽🙌🏽🙌🏽 Ahsante fid
@abdulaziz703
@abdulaziz703 4 жыл бұрын
Ngosha, we jamaa nakukubali always. Umenifanya niipe kazi akili yangu kuchanganua maana ya maneno kwenye mistari ya nyimbo zako. Binafsi sijutii kufahamu pamoja na kusikiliza chochote kinachotoka kinywani mwako coz naamini utakuwa hujakitoa kwa bahati mbaya.
@ffredy70
@ffredy70 4 жыл бұрын
Best interview ever Tofauti kabisa na mkasi Yani kama ndo mara ya kwanza fid kuhojiwa na Salama
@afrorango1432
@afrorango1432 4 жыл бұрын
Fid ashawahi kuhojiwa wewe na salama ingia mkasi
@ffredy70
@ffredy70 4 жыл бұрын
Broo jiongeze ...soma upya hiyo comment....#usikurupuke
@christopherjames3684
@christopherjames3684 4 жыл бұрын
Hii ni zaidi ya shule asente salama kwa kutuletea mtu kama hyu anaetujenga kwa maongezi herimu nzuri sana hii...
@joycekinyange6179
@joycekinyange6179 2 жыл бұрын
Yaani Fid Q is so deep, appreciate you sharing your story and experiences especially around single parenthood and blended family life. You are doing a great job and an exemplary role model for others in similar circumstances. Asante bro, continue living your truth 🙏🏽
@abbysauko3725
@abbysauko3725 4 жыл бұрын
Yan muuliza maswal ametulia kwenye kuuliza na anaejibu maswal ametulia kwenye kujibu.. Best interview
@paulolwila4253
@paulolwila4253 4 жыл бұрын
Nampenda Bure salama namna alivyopoz sio wanahabr wengine huwez jua nan ana muitaview muingine coz wote unakuta waongeaz mpka c poah but hapa salama karelax fid Q anaflow vzr sana. Love you all .
@deustrackson6035
@deustrackson6035 4 жыл бұрын
Unaeza mckiliza fid badae ukahisi ulisoma ktabu Cha professor flan.......MAY GOD BLESS U MUCH BRO
@peninaancon1256
@peninaancon1256 4 жыл бұрын
Exactly, Mafanikio ni kujitengenezea tafsiri yako na kuiishi kila siku.. Ila Salama umenichekesha, ukaamua kumalizia na ya Fid eti..
@bonniegtmagabe2009
@bonniegtmagabe2009 4 жыл бұрын
kama kuna kitu mmegundua kweny hii interview...sio intervention ya mwaka huu niya mwaka jana....kwhyo ilkuw imefanywa tayar...🔥🔥🔥
@gthirty
@gthirty 4 жыл бұрын
Ni pale aliposema mwaka huu godzilla amepotea, Kumbe ilikuwa ni mwaka jana yan 2019
@riphatmuhene9615
@riphatmuhene9615 4 жыл бұрын
Ndio kifo cha zilla
@nyemondagalla608
@nyemondagalla608 4 жыл бұрын
Sawa kabisa, Lkn pia kuna madini ambayo si ya Mwaka huu ni ya miaka 100 ijayo.
@adamayubu157
@adamayubu157 4 жыл бұрын
Makini sana
@erickmbiso9939
@erickmbiso9939 4 жыл бұрын
Interview iko vzr san jinsi unauliza maswali na anavyojibu iko poa sana nadhan ndio salama na best mpaka sasa lakini jaribu kumpa airtime Niki mbishi amwage madini yake
@jasminyiddysulaiman9807
@jasminyiddysulaiman9807 4 жыл бұрын
Haswaaa
@abdallahmakombo3866
@abdallahmakombo3866 4 жыл бұрын
Hiki kichwa hiki ,kweli maisha NI elimu na SI ya darasani NI vitabu tu,Kisha uhalisia !!,
@kapagaanimalcare5523
@kapagaanimalcare5523 4 жыл бұрын
Naenjoy na kujifunza kwenye kila interview ninayo kusikiliz na uwa siachi interview yoyote inipite ambayo umeojiwa. WE NI DARASA LINALOTEMBEA, MZIKI WAKO NI SHULE TOSHA
@shaibumahanda5190
@shaibumahanda5190 4 жыл бұрын
Jamaa nilikuwa simfuatilii ila ep ya kwanza na hii haijaisha nataman kutafuta intview nyingine zaidi umeongea point pia hilo n darasa kabsa
@saddymwamba7072
@saddymwamba7072 4 жыл бұрын
Thanks fid Q God bless you
@elninothetragedy3121
@elninothetragedy3121 4 жыл бұрын
Fid nakuelewa sana... nakumbuka KAN Festival nlivamia jukwaa ulivyopanda tu... duh nakukubali sana bro
@ashasiaga3197
@ashasiaga3197 4 жыл бұрын
Nimempenda sana mama faridi ni mama bora. Huwezi kuweka chuki kwa mtoto kwa matatizo yenu ambayo yy hayamuhusu baba atabaki kua baba na mama atabaki kua mama haiwez kubadirika
@simonsanga2129
@simonsanga2129 4 жыл бұрын
Salama big up,can you bring his friend Nikki wa Pili
@shwahibumassawe2555
@shwahibumassawe2555 4 жыл бұрын
Perfect Conclusion
@philimonsoka2325
@philimonsoka2325 4 жыл бұрын
The best hip hop artist ever in tanzania
@adamidrisa9232
@adamidrisa9232 4 жыл бұрын
sema salama ni kizuri kinyama big up sn kwahuyo muhuni anae ishi na huyu manzi
@bernad_1
@bernad_1 4 жыл бұрын
one of the lately best interview, big up both of y'áll
@eliasmlundwa3880
@eliasmlundwa3880 3 жыл бұрын
safi!
@kijokombao5345
@kijokombao5345 4 жыл бұрын
Nimependa show ilivyoisha 👏👏
@manothorhymes6137
@manothorhymes6137 4 жыл бұрын
Heshima kwako Dada Salama Jabir & Fid Q Ngoshaaa mwanzo mwixho nimeipenda Sana hii interview kinomanoma big up kinomanoma tangu Vina Mwanzo Kati na Mwisho mpaka KitaaOlojia heshima kama zoteeee
@ahmedaziz7853
@ahmedaziz7853 4 жыл бұрын
Nimetaman sana hii interview isiishe madini ya ghali sana yapo humu
@irenegervas8477
@irenegervas8477 4 жыл бұрын
Salam kipind Chako kizur ila Jitahdn Saut Maik Unaziweka Mbalii Sanaa hautisikii Vzr
@patricktravis6575
@patricktravis6575 4 жыл бұрын
Nomaa sanaa hii show ya ngosha
@abduly.snootie
@abduly.snootie 2 жыл бұрын
WoooW Hii ni Moja Kati ya "INTERVIEW" Kaliii Kabisa Kuwai Kuiona 🧠💯. #SalamaNaFidQ ​📌 Maswali Magumu na Mzuri & Majibu Mepesi na Mazuri + MADINI, nime'ENJOY Sana Kuiangalia Hii "CONVO"👑✨ #SalamaNa MOJA KATI YA KIPINDI KIKUBWA KABISA KUWAI KUTOKEA TZ 📌 🎥🎞️🎬📽️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@abduly.snootie
@abduly.snootie 2 жыл бұрын
📽️🎬🎞️🎥🔥🔥🔥🔥🔥
@annamichael1433
@annamichael1433 4 жыл бұрын
lov this women no reason
@fatmasayid8895
@fatmasayid8895 4 жыл бұрын
Best interview salama big up Faridi kubanda
@idditoufiq649
@idditoufiq649 4 жыл бұрын
Entertaining plus Educating Its The best 🔥🔥🔥
@Therealjoh
@Therealjoh 4 жыл бұрын
Muda Kama ni Mdogo sana kuna madini mengi sana yamebaki kwenye hicho kichwa
@veronicadaniel1122
@veronicadaniel1122 4 жыл бұрын
Therealjoh fact
@shaibumahanda5190
@shaibumahanda5190 4 жыл бұрын
Iv ndo inaishia hapa!!??
@zildatwahid
@zildatwahid 4 жыл бұрын
I love salama jabir💕
@nongishishihaule5847
@nongishishihaule5847 4 жыл бұрын
Sio mnaojiwa na wasafi basi kelele nyingi sana
@jamalomar7829
@jamalomar7829 4 жыл бұрын
mmmetisha sana wakongwe
@johnpantaleo6962
@johnpantaleo6962 4 жыл бұрын
Dah nimepata faida kubwa sana kuingalia hii interview kwani nimejifunza kitu kikubwa sana kutoka kwa fid q
@fanuelmtewele5660
@fanuelmtewele5660 Жыл бұрын
Madam unajua sana Mungu akujalie tu
@kingungeii6520
@kingungeii6520 4 жыл бұрын
Fid Q ni chanzo cha busara yangu
@binbaya923
@binbaya923 4 жыл бұрын
Eb mm namkubali sana huyu mzee. Lkn sijui kwanini waafrika walio wengi wakishakua maarufu wanatafuta wanawake au kama ni wanawake wanatafuta wanaume weupe. Japo huyu mzee ameeleza sababu zake. Ila wenzetu weupe inakua ktk 10 basi mmoja ndio atakua kimapenzi na mtu mweusi tena labda awe star🤷🏿‍♂️
@josephatmapesa5171
@josephatmapesa5171 4 жыл бұрын
Fid Q ni mwalimu.
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 жыл бұрын
*FARID UMETISHA* Good job Salama respect 😘
@ezekiambise2595
@ezekiambise2595 4 жыл бұрын
Master mind
@yusuphanyimike9945
@yusuphanyimike9945 4 жыл бұрын
Changa moto IPO kwenye saut hatuwasikii vzr lifanyieni kaz tu enjoy kpind
@ezekiampinga8106
@ezekiampinga8106 4 жыл бұрын
Daah natama niwe naangalia anavyo hojiwa fid q everyday
@judamsaki5609
@judamsaki5609 4 жыл бұрын
Namwelewa sana sana FIDQ
@dannuru6385
@dannuru6385 4 жыл бұрын
igot u broo
@stephanojofrey6757
@stephanojofrey6757 4 жыл бұрын
Salama tuletee mnyamwezi P funk majani militisha sana kwenye Mkasi.
@awadhmohamed7668
@awadhmohamed7668 4 жыл бұрын
Mashaallah utulivu na interview nzurii Sana salama jabir wwe mkongwe na hii kazi big up
@kaskaziniansgang1288
@kaskaziniansgang1288 4 жыл бұрын
Kinachoniumizaga ni watangazaji waloshindwaga kuuliza maswali kuhusu maisha ya fid na rado hadi kufikia kuwa na beef
@khalidsalum1740
@khalidsalum1740 4 жыл бұрын
Rado alikuwa mshikaji wake ijapo sio kivile Ila alitaka kutoka kwa kupitia fid q
@omarikisungu7630
@omarikisungu7630 4 жыл бұрын
Good
@gthirty
@gthirty 4 жыл бұрын
Salama na Mwana FA... Naisubir hii
@amanimushi1466
@amanimushi1466 4 жыл бұрын
Fid katisha sana 😂😂😂👌👌👌👌👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
@twalibabubakar2016
@twalibabubakar2016 4 жыл бұрын
moja safi sana
@mkombozimstaff4830
@mkombozimstaff4830 4 жыл бұрын
Salama umeolewa coz l Love U
@mababiyoo8099
@mababiyoo8099 4 жыл бұрын
One love
@wilsongona8066
@wilsongona8066 3 жыл бұрын
You guys are amazing
@christopherjames3684
@christopherjames3684 4 жыл бұрын
Mrete na joseph kusaga
@yassinkassim5241
@yassinkassim5241 4 жыл бұрын
Two geniuses 👌🏿👌🏿
@mwanaramadhan6670
@mwanaramadhan6670 4 жыл бұрын
Bless up Sana salama
@ayubduma4856
@ayubduma4856 4 жыл бұрын
Madini tosh namkubali ngosha
@joycejohn7754
@joycejohn7754 4 жыл бұрын
Napenda interview za hv sio zile za no comment
@robertandrea9257
@robertandrea9257 4 жыл бұрын
vibe up salama kipindi leo kizur ila vibe up maan
@guccij3549
@guccij3549 4 жыл бұрын
Makin
@allimwakalebella3789
@allimwakalebella3789 4 жыл бұрын
Salama na #Djfetty itakua poa sana
@khadijahbanana5602
@khadijahbanana5602 4 жыл бұрын
True like me napenda sana creole na french zouk halafu sielewi
@nozgeniuz1812
@nozgeniuz1812 4 жыл бұрын
Yahstone nmependa
@saumuhassan6365
@saumuhassan6365 4 жыл бұрын
Shukran my dear brother, kila la khery ndugu zetu 🙏
@wibrotouchz5370
@wibrotouchz5370 4 жыл бұрын
😂😂😂kujifunza na kuburudika Mungu azid kuwasimamia
@jumafanfula5640
@jumafanfula5640 4 жыл бұрын
Mambo zuchu
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
😍😍😍😍😘😘😘 Salama sikuwezi, huwa nakupenda sana. Your interview are awesome
@abuumwichumu5520
@abuumwichumu5520 4 жыл бұрын
Wadau, labda mimi nafikir tofauti , ivi hichi kipindi ni chakutoa siri zako au? Nauliza tu maana mtu anajieleza yote nazani hiii si pow
@alexshallom3094
@alexshallom3094 4 жыл бұрын
Farid kibandan (ELIMU PURE YA KUWA MZAZI BORA)
@Wachuoni
@Wachuoni 4 жыл бұрын
Sauti iko chini sana, ... NO comments
@robsonwisdom2647
@robsonwisdom2647 4 жыл бұрын
Fid q anajib vizur sana
@chumayaoinvestment1647
@chumayaoinvestment1647 4 жыл бұрын
Hip hop has spoken
@mtumweusitv7944
@mtumweusitv7944 4 жыл бұрын
Super interview
@mchomvuhassani8521
@mchomvuhassani8521 4 жыл бұрын
Nimemuelewa sana huyu jamaa
@issaiahjoseph2220
@issaiahjoseph2220 4 жыл бұрын
Bonge moja la interview tunapata shule tosha kupitia kipindi hiki...
@galusmbele5410
@galusmbele5410 4 жыл бұрын
"Kama kilichokutambulisha kwenye jamii ni kiki, endelea kutengeneza kiki nying...." mwisho wa kunukuu
@vedastusmatagi4860
@vedastusmatagi4860 4 жыл бұрын
dah kipindi kizuri
@othumanomary4032
@othumanomary4032 4 жыл бұрын
Majani aise niwe aingie
@doricephineas4262
@doricephineas4262 4 жыл бұрын
Fareed nakuelewa sana.
@starford
@starford 4 жыл бұрын
Hey Salama. Could you raise that volume a little bit on that please
@Jxcjs
@Jxcjs 4 жыл бұрын
Sasa tuletee na mwana fa yaaani daah mtatisha sana
@danathemaster2753
@danathemaster2753 4 жыл бұрын
Dada Salama nataka kujuwa iyingoma ulimalizanayo kipindi ni yanani naomba kujuwa inaitwaje
@scripturetz1056
@scripturetz1056 4 жыл бұрын
#madsoft
@nelsonmwombeki5243
@nelsonmwombeki5243 4 жыл бұрын
Heee kanywa zoteee??
@mtumweusitv7944
@mtumweusitv7944 4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 Leo mmekutana wana appetite
@samwelmussa5794
@samwelmussa5794 4 жыл бұрын
Duh nashkuru sana fid q mafanikio sio magorofa na magari
@innocentmushi1550
@innocentmushi1550 4 жыл бұрын
ongeza bando inaendelea😂😂
@kinigarm8239
@kinigarm8239 4 жыл бұрын
Kama nakuona Sine Club miaka ya 2004 vile. Uligayanda ga nguzu nkoi.
@convilsabato7596
@convilsabato7596 2 жыл бұрын
" Bill Naz or Zizi?Zizi anytime " a good one
@johnleonard6894
@johnleonard6894 4 жыл бұрын
Mkal wa rap tz
@magulumakenzi5342
@magulumakenzi5342 4 жыл бұрын
Musukuma utampindisha hivi na vile ila hawezi kusahau chakula Just tease on you ngosha
@maalimmwenge5002
@maalimmwenge5002 4 жыл бұрын
13:24
@Jxcjs
@Jxcjs 4 жыл бұрын
Mbn hii interview fupi asee
@sassboy9360
@sassboy9360 4 жыл бұрын
Salama na x wake
@Basagamp4
@Basagamp4 4 жыл бұрын
Hahaha
@emmanuelmchomvu2676
@emmanuelmchomvu2676 4 жыл бұрын
Kweli hahhahahahha
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 4 жыл бұрын
Really waliisha toka? I love Salama
@zainabumtubwi263
@zainabumtubwi263 4 жыл бұрын
Hii maojiana imenifungua imenigusa na imenitia moyo.
@nicksonjohn5676
@nicksonjohn5676 4 жыл бұрын
Fid q mwn hisabati
@lujobilz7482
@lujobilz7482 4 жыл бұрын
Sorry madame Salama nakutafuta nikupe madini usikilize unipe madini niyafanyie kazi excuse madame
@freduallughano2301
@freduallughano2301 3 жыл бұрын
Why you didn't ask your common question about his religious belief like u do in all previous interview if necessary or not?
Salama Na Idris Ep 8 | TROOPER Part 1
33:07
YahStoneTown
Рет қаралды 315 М.
Salama Na Fid Q Ep 7 | NGOSHA WA MBASA Part 1
29:51
YahStoneTown
Рет қаралды 146 М.
Their Boat Engine Fell Off
0:13
Newsflare
Рет қаралды 15 МЛН
Почему Катар богатый? #shorts
0:45
Послезавтра
Рет қаралды 2 МЛН
ROMY JONS: ALIKIBA, MAISHA YAKO MAGUMU/ RICH MAVOKO , MLEVI SANA
28:07
Fid Q Ampandisha Stamina | Imepigwa Free style battle Uspime
23:57
CLOUDSMEDIA
Рет қаралды 122 М.
Semitic Languages Comparison
3:47
Yucalyptus
Рет қаралды 19 М.
Sitaki kua tajiri, nataka kufanikiwa
55:54
MSASA PODCAST
Рет қаралды 65 М.
MREMBO wa Burundi Anayekipiga SIMBA QUEENS, Ataja Mwanaume Anayemtaka!
28:47
RADO MIMI NA FID Q BADO HATUJA YAMALIZA ALINIIBIA VESI YANGU
5:50
LOFI Quran • Get Instant Relief From Mental Fatigue and Overthinking ✦ NOOR
3:04:08