Asante sana muzee wetu kwa uchambuzi na utafiti wa hali ya juu. Muzee tulikuwa tumekukumbuka sana kwa sababu tulikuwa hatupati uchambuzi wako, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸
@kilianjulius98825 ай бұрын
Mzeee warioba ubarikiwe sana kwakutuelemisha,, Mungu akujalie uishi miaka mingi zaidi
@kiweludonald29725 ай бұрын
Oq❤
@justinecom74615 ай бұрын
Katika wanasias ninaowalewa Mzee Warioba ni Jembe,,anajua anachokiongea,,👏👏👏
@JustineMrosso5 ай бұрын
Mwandishi na mwariri bora Ansebert.
@kingmzebez77865 ай бұрын
Mzee we2 jembe letu lililo bakia mungu akupe afya njema mzee walioba msema ukwer ni mpenzi wa mungu dunia tunapita tafakali maneno y mzee walioba ya kujenga taifa lenye usawa kama🇹🇿❤📿🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✌✌💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪✍✍✍✍✍✍✍🤳
@jumamayonga89145 ай бұрын
Ushauri uliotolewa na tume ya Waryoba uzingatiwe
@RamadhanHaruna-di7jk2 ай бұрын
Mungu.akulinde.jaji.mstaaf
@Mkorajr5 ай бұрын
Nimemwelewa jaji warioba, Zanzibar ni nchi na hivyo Tanganyika nae ajitokeze!!!
@EvaKiswaga-j2o4 ай бұрын
Selikali ya tanganyika kwanini wanakataa katiba ya walioba! Jibu ni kweli mafisadi wa najitahidi kukwepesha waendelee ktuibia. Asante ngurumo kwa uchambuzi. Mungu akubariki.
@StephenLetta5 ай бұрын
Huu ndiyo ukweli ambao ukisemwa na watu wasiopendwa wanaonekana kama wanatangaza ubaguzi. Katika hali hiyo Lissu ana makosa gani?
@yusuphabel55305 ай бұрын
Mungu amlinde Mzee wetu.
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Uchambuzi huu mahiri wa mwandishi nguli Ansbert wa historia katika nyakati tofauti juu ya muungano na katiba mpya unafaa uwafikie hawa watawala wetu pengine watazibuka masikio na kuchukua hatua! Kwa umuhimu Watumiwe clip hii wote moja kwa moja bila kungoja mmoja mmoja wakutane nayo mtandaoni...
@edesaron90705 ай бұрын
Ukweli siku zote unasimama wenyewe
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Naunga mkono hoja,serikali tatu ndio suluhisho
@MuhojaMalicho5 ай бұрын
❤❤❤❤❤ kweli mwamba
@rajeshndola5 ай бұрын
Lisu +Mbowe and Kabudi Asante kwa elimu hii ya juu.
@godsson59545 ай бұрын
Hivi Lissu ndo kaibua yote haya
@reginamwendwa67095 ай бұрын
Viva mzee Warioba viva
@omaryyusuph78775 ай бұрын
Ccm toeni pamba masikioni huu mungano uko mbele utaleta shida katika taifa
@luganomwaigomole74415 ай бұрын
MZEE WARIOBA NI AKILI KUBWA NA TUNU YA TAIFA❤
@rahabufilangali-cp6br5 ай бұрын
Ninaitaka Tanganyika yangu tuamke
@edwardmwingira70965 ай бұрын
Serikali 3 ni muhim sana. Serikali ya Tanganyika lazima iwepo!
@EmmanuelSabibi5 ай бұрын
Mzee warioba upo sahihi kusema ukwel ila wanaopenda kula pesa za nchi pasipo haki Yao ,ambao n viongoz hua mtu akiweka Waz au kuzungumza ukwel unakuata wanamchukia, ndio maana nchi hii imejaa umaskin wakat nchi inalasilimal nyingi
@wasengaswillah5 ай бұрын
Namwona profesa kama profesa, ila ukimwuliza leo atakwambia tofauti na yale alisema wakati ule, kwasababu tu anakula mezani pa wakuu, unafiki wa wasomi wa Tz ndiyo kinacholeta matatizo nchi hii!😢😢🇹🇿
@jesaminzo5 ай бұрын
Unamwongelea nani? Kama una maana ya Warioba, utakuwa umekosea sana, hata siku moja hajawahi pindisha maneno.
@samsonmwijage18695 ай бұрын
Asante kwa tafakari hizo ni za msingi. Toleo lijalo hebu jadili na tutafakari kinachoendelea ndani ya chadema kwa wiki kadhaa sasa kama kweli kinaakisi alichosema Sumaye wakati anaondoka chadema baadaye kurudi CCM kwamba alifanyiwa MIZENGWE asigombee nafasi ya M/kiti ili Mbowe abaki madarakani na madai yake kwamba hakuna demokrasia ya kweli ndani ya chadema !!!!! Sababu ambazo pia alisema Katambi aliyekuwa m/kiti wa vijana chadema (BAVICHA) akaicha nafasi hiyo na kuamua kuhamia CCM. Hebu jadili kwa hiki kinachoendelea ndani ya chadema je ni kweli sababu za kufukuzwa ndani ya chadema akina Zito na wenzake zilikuwa na mashiko au fitina za kisiasa tu na madai yake kuwa walifukuzwa bila kupewa nafasi ya kujitetea?
@samsonkatigiri23445 ай бұрын
kama hata hayo ya kina zito na katambi huyajui basi wewe sio mwanasiasa,fuatilia hata mpira nao ni mzuri 😂😂😂😂
@jesaminzo5 ай бұрын
Kama huyajui ya akina Zitto, nitafute inbox nikwambie ninachokifahamu
@MiriamAziz-z5t5 ай бұрын
VIVA MH. MZEE WARIOBA....MZALENDO WA KWELI WA NCHI YETU.
@ChristmasMaheri5 ай бұрын
Tanganyika ibebe majukumu yake kikamilifu.Isidhani muungano na Zanzibar,kwa muundo uliopo kuna faida muhimu sana kwake.Tunajua historia ya mtu mweusi duniani na kazi ya ukombozi iliyofanyika tayari.Kwa sasa,huwezi kuamini kuwa jamii zile tulizopingana nazo katika ukombozi ndiyo zimekuwa kimbilio.Tumeyumba kabisa.Tutulie tujenge nchi yetu Tanganyika.
@edsonnelson44645 ай бұрын
Kwa hilo nimekuelewa Tundu Lisssu na Mbowe kazeni buti tu watu wataelewa
@SarahShao-jw1up5 ай бұрын
Huu MUUNGANO Kuna watu wachache WANAULAZIMISHA kwa makusudi mabaya waliyo nayo sirini ya kuangamiza Tanganyika.....
@jesaminzo5 ай бұрын
Na si kuiangamiza Tanganyika tu, bali pia wao wanafaidi na huo muungano wenye mashaka.
@aminieljohn54755 ай бұрын
Kwa miaka mingi tumekuwa tukitenfenezwa kama kizazi cha wadanyika.....vipofu wa utiaifa wetu na utambulisho wetu....na upofu wa fikra umejengwa na personalities kama mzee wasira na ndugu yangu Abdulraman Elahmedi Kinana...
@aminielkombe665 ай бұрын
Warioba mtu na nusu
@RaymondKilomeye5 ай бұрын
Mungu tusaidie hakika mungano huu nimchongo hauna uwaz Wala usawa hili swala linahtaj ujasiri mkubwa kwa watanganyika
@aminieljohn54755 ай бұрын
Jaji JS Warioba ni political think tank wa Tanzania, ana maarifa makubwa sana. Mawazo yake ndiyo yatakayookoa muungano...tukiziba masikio ya fikra zetu na welewa kwasababu ya kidumu chama chetu tutajuta muda si mrefu ujao. Wanaong'ang'gania mfumo huu dhalili wa muungano tujue "you can fool some of the people some of the time but not all the people all the time....anayoyasema Lissu ni dhahiri....watanzania gawatakua wadanganyika tena wala wagalatania waliorogwa! Wakati hu ndiyo wakati wa kutengeneza.... Mama Samia Suluhu wewe ndiyo suluhu wakati huu....weka historia...weka legacy kama mama....unaitwa mama kuwa mama kweli katika hili...ukiweza hili utaitwa mama wa taifa...!!??....kwanini ccm hawataki huu ukweli?.......
@sylvestersamwel82104 ай бұрын
Mzee Kinana,Nape na mambulula wengine kazi kwenu, kosoeni na haya sasa!!
@filbertntibasiga80935 ай бұрын
Mbowe kama vile anatusanua tulikuwa wapi mpaka tumefikia hapa tulipo ila kuhusu mali za tanganyika sisi tuna jua zipo hazijapotea ole wao siku muungano ukivujika zanzabar watawajibika kwa kuingia mikataba mibovu kitanuka
@MathewNathan-yb2bz5 ай бұрын
Tunataka serikali tatu na kama itashindikana hizo serikali tatu ni bora Muungano uvunjike kabisa.Muungano uliopo sasa hautendi haki kabisa.
@Thevineyard98895 ай бұрын
Aisee, sasa Jaji Joseph Warioba anafunua mambo kiasi cha kuacha nyeti za kuku kuonekana wazi kabisa. CCM hata wafanyeje, mabadiliko ya mfumo wa muungano na uendeshaji nchi lazima yafanyike na kama sio kwa hiari basi itakuwa ni kwa lazima!
@khamisdaima14554 ай бұрын
Inaonesha tatizo lenu mmeshalielewa, jee sasa mpo tyr kuitwa watanganyika? Maana mnaskia aibu mkiitwa watanganyika
@UlyanusJohn5 ай бұрын
Lisu mungu akulinde zaidi ili utuelimishe mengi juu ya matatizo ya nchi yetu
@philemonsnyanda94505 ай бұрын
Kabudi kabudi, nakuita mara2 hivi huyu kabudi kabla ya kulamba cheo ndiyo huyu🤣
@richardmwandanji655 ай бұрын
Sijui tumelogwa na nani watumilioni hamsini tumeshindwaje kupata Raisi mpaka tunakopeshwa na wazanzibari ee Mungu tuhurumie
@richardnganya23115 ай бұрын
CCM ndiyo inayologa watu.. tumelogeka na kujazwa woga na ujinga..!!
@Lundege_Hips5 ай бұрын
Mupo sahihi Tafuteni Tanganyika yenu
@Sheba46515 ай бұрын
Waongo tu hao, wajanja wajanja tu, kelele hizo za mazimwi, wanaiwinda kuimaliza Zanzibar tu iwe mkoa. Mbona Tanganyika ndio inayofaidika mia percent, wanalohitaji kwa maendeleo yao kwa miaka 60 iliyopita mzanzibari hakusubutu kuwazuiya, hata hayo anayoamua sasa hivi mama na wao wenyewe wamo humo humo. Kero za muungano kila uchwao Zanzibar ndio wanalia, watuposhe uko.
@peterbangari42735 ай бұрын
Ngulumo Asante sana unaufahumu mkubwa sana hasa katika uchambuzi wako ni wa makini na uhalisia mkubwa
@bcozhenry26985 ай бұрын
Ukisikia akili ni mali, basi ni hii ya Mzee Warioba
@malindimalindimerinyo16325 ай бұрын
Kutokana na ukweli huu wote Samia angetakiwa awe wa serikali ya muumgano serikali Zanzibar iwe na rais wao Mzanzibar na serikali Tanganyika iwe na rais mtanganyika ..... Nyerere alikuwa na mawazo mazuri wakati ule leo kuna watu wenye mawazo mazuri zaidi.....alafu kinacho sikitisha nikwamba mtanganyika naona nikipofu haoni ukweli shida sana
@godsson59545 ай бұрын
Ndo maana baada ya kwamba kutoweka kulikua na sinto faham nyng
@bonnkepatrick5 ай бұрын
Kiufupi Mimi sioni faida ya sisi kuungana Zanzibar
@Stonecity015 ай бұрын
SK MEDIA huwa nafwatilia taarifa nyingi ila ni kisikia kwako naelewa kwa kina
@allyomary22715 ай бұрын
Mliokuwa mnampinga lisu kama nawaona maana hoja zote alizozitoa kuhusu muungano warioba kaja kujazia nyama
@edwardmizambwa2375 ай бұрын
Tatizo ambalo haliongelewi sana ni ule woga kwa Watanganika kua Zanzibar na Tanganyika zikiwa nchi mbili tofauti, huu ukanda wa bahari ( tunayo pakana) itakua ni free zone kiasi cha kukosekana kwa usalama wa hizi nchi na ukanda wa bahari ya Hindi kwa kwa ujumla. Je haupo uwezekano wa kukabiliana na hilo? Hofu ta Watanganika ni hiyo.
@EmmanuelJackson-v8f5 ай бұрын
Ok
@kenedysimon35665 ай бұрын
Achana na mizinga wabunge 77 kutoka Zanzibar Ili Hali jmla Yao ni milion Moja
@paschalkimboka46055 ай бұрын
Hapo Kabudi alikuwa alikuwa na akili timamu
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Nape kama unawapenda sana wazanzibar hamia huko na utafukuzwa saa hiyo hoyo kama utahamia usiku utafukuzwa usiku huo huo. Ndiyo utaanza kujifahamu na kuanza kuwa akili timamu.
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Hapo serikali tatu ndio muafaka
@gwantwamwalyaje85155 ай бұрын
Warioba Ninakuelewa Hauja Zeeka Vibaya Unafaa Kuishi Miaka Mingi
@emmanuelsulle9115 ай бұрын
Mwandishi Mzuri Mno
@King_Of_Everything5 ай бұрын
👍👊✌️.
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Watanganyika tuanze kuandamana kudai Tanganyika lazima watanganyika tufikili sana kama tunaaza kuandamana mara moja kudai kudai Tanganyika yetu
@PhilipoMwita-wc1ku5 ай бұрын
Kwakweli lissu ana nyota ya ajabu Yani KAULI yake Moja tu Hadi ccm wanatetemeka wanahangaika
@iddibakari39695 ай бұрын
Hapa hakuna muungano
@agastokissatu26675 ай бұрын
.... tunaomba tuwe na nchi ya ya Tanganyika....ili tuwe na muungano halisi....!!!
@RhodaKibona5 ай бұрын
Heeeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🙄🙄
@frankremishoy57785 ай бұрын
Ccm mnajuwa sema mmeweka pamba makusudi
@peterbangari42735 ай бұрын
Nimeona kwamba Hawa viongozi 4 wete walisema neno Moja ambalo ni sahihi Ila kwa sasa amelisema mweshimiws lisu wanamsakama sana kana kwamba hakuna mtu alishawai kusema haya mneno
@franklinmalugu39345 ай бұрын
Watanganyika tuache uzuzu ....tunataka serikali yetu ya Tanganyika. Tunataka usawa katika Muungano
@malkavoice25705 ай бұрын
Huu muungano hauna faida kwetu sisi watanganyika hata kidogo huu muungano wakiupigaji. Zanzbar wanatupiga tunaona. Kwani tukiuvunja ninani atakayeumia kati yetu bara na visiwani?
@salummohamed26895 ай бұрын
Haya yamesemwa takribani miaka 10 iliyopita, ni haki kuwa tuwe tunarudiarudia kulumbana lumbana Kwa mambo yayolalamikiwa mara Kwa mara?
@AnsbertNgurumo5 ай бұрын
Kulumbana ni muhimu ili kusisitiza hoja. Ukweli usiposemwa, propaganda zitatawala. Hakuna kikomo cha muda wa kuyazungumzia.
@Kwelihukuwekahuru5 ай бұрын
Natamani Nape amjibu Warioba na Kabudi
@AmourAmour-f4c5 ай бұрын
Utakavo fanya zanzibar ninchi inavielelezo kabisa ila huku tanganyika hakuna utaifa watanganyika naimeuliwa naviongozi nawanajuwa nasijui walimanisha nini inaumiza
@eunho95295 ай бұрын
Muungano una faida kwa zanzibar na siyo Tanganyika
@UlyanusJohn5 ай бұрын
Nashauri uwepo wa serekali tatu ,yaani serekali ya muungano ,serekali ya Tanganyika na serekali ya Zanzibar
@sebastianmwantuge55975 ай бұрын
Kuna viongozi wakuu wa Serikali kutoka Tanganyika wanaisaliti Tanganyika na Watanganyika kwa sababu wao wanakula wanashiba,hawana wasiwasi. Nchi imekuwa masikini kwa sababu ya huu muungano mbovu. Wazanzibari wanatutawala Tanganyika.Tumeshakuwa werevu sasa,tunataka kuwa na Serikali yetu. Mtu from no where anaamua kugawa rasilimali za Tanganyika na viongozi wa Tanzania bara mpo tu!
@daudkondo40695 ай бұрын
Kuna haja ya kufuata ya warioba
@AthumanJuma-iw8fh5 ай бұрын
Tubadiri katiba iwe inahaki sawa
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Wabunge waliojaa bunge la Tanganyika na kula pesa za kodi la watanganyika.
@felixmsengi10845 ай бұрын
Nafurahi kwa hoja hizi, swali Nini kifanyike Sasa kutatua ?
@AliAbdalla-lb8su5 ай бұрын
Ccm ndio ilipotufikisha hapa jamani haya mambo yataleta maafa baadae wasipokua makini ni vyema wakawasikiliza wanaolalamikia muungano
@neliusgosbertbaguma86935 ай бұрын
Haipingiki Samia analo jambo la kufanya, mpaka uchaguzi ukija kukaa sawa atanyooka
@saidiathuman-og6bc5 ай бұрын
Haki hatupat wa Tanganyika kamavipi muungano ufe au tupate selekali tatu3 lakini kwaivi ilivyo mim naona mazng zong,,,
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Kwani muungano mbona haupo tena! Muungano wa Tanzania uliisha wakati Zanzibar walipotoa vipengele kuvipeleka Zanzibar. Arudishe kila alicho gawa cha Tanganyika. Mzanzibari arudi kwao kabla hatujaanza kurudisha KATIBA ya Tanganyika na kufanyika Tanganyika huru awe ameenda kwao si anajua yaliyoandikwa kwenye KATIBA ya kwao Zanzibar. Sasa hapa anafaya nini kama kweli CCM si wanafiki?
@elibarikimollel71495 ай бұрын
Tafakuri yangu inaniambia: hawa watawala wachache wa ccm wanaokataa hoja hizi za umuhimu wa katiba mpya, wanangoja makusudi kwa tamaa ya madaraka idadi ya tunaodai Tanganyika iwe kubwa tuidai kwa miguu yetu ili iweje?! Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa makubaliano ya mgawanyo sawa na serikali tatu ni muhimu sana.
@VeronicaMwakimbingi5 ай бұрын
Viongozi wetu msijitoe ufahamu, tunataka Tanganyika yetu sisi watanganyika, sisi watanganyika siyo wabaguzi wabaguzi ni wazanzi bar ndo walio tugawa watanganyika, Jamani watanganyika tuamke tuidai katiba na Tanganyika yetu kwa nguvu zetu zote na kwa akili zetu zote,tuamke Jamani watanganyika kudai haki yetu km wat
@christosiadanieli6512Ай бұрын
tangayika ni koloni la nchi ndogo ya zanziba
@abdulrahmankhamis40995 ай бұрын
mbowe anakosea sana, huwezi kuilinganisha Zanzibar na Tanga kwasababu Tanga haijwahi kuwa dola huru, hata hao wa .... kuoka zanzibar bado ni kidgo kasababu issue ya 2 third majority haifanyi kazi. Wazanzibar walitowa soverenity yao na bado wamekubali kuwa na wabunge wachache kwenye bunge. lakini pia hata hao wapiga kura wa waanzibar ambao wameamuwa kutowa hadhi ya nchi yao na kumpa raisi ya wa jamuhuri ya muungano hawana say katika kumchaguwa huyo mtu waliyempa haki yao. kama wazanzibar wote watamkataa mtu aliyechaguliwa na watanganyika bado atakuwa raisi ya muungano. hli mbowe mbona hulisemi.
@geofreyyotham5025 ай бұрын
Serikali tatu ndio suruhisho
@robertnkyalu32415 ай бұрын
Kiongozi ambaye akifa nitalia machozi ni Joseph sinde warioba tu Kwa nini , sbb yangu pekee nimzee ambaye sio mwongo ndio sifa yake nzuri nayo Iona ambayo wengine hawana
@robertmagubu45865 ай бұрын
Yaani kiukweli una uwezo mkubwa sana wa kuona mambo. Kimsingi yaliyosemwa na wasemaji wa miaka 10 iliyopita na ambayo Serekali miaka yote wamekuwa wakiyakataa ndio yanaenda kutokea. Tanganyika inaenda kudaiwa kwa nguvu kubwa sana. Watawala wasiposoma alama za nyakati muungano utavunjika siku si nyingi na wakati hayo yakitokea huwenda ikawa kwa mzozo mkubwa sana. Watu wanaosimamia vitengo nyeti wanatakiwa kuyaona haya na kuwashauri watawala nini cha kufanya. Kushupaza shingo jambo litaharibika tu na ni suala la muda.
@rebekakulwa61595 ай бұрын
Fisiyemu hautaweza watu washaanza kujua haki zao kama kudanganya. Danganya misukule wenzio
@MikaLepilal4 ай бұрын
Duh! mada ngumu
@christinenyagiro66625 ай бұрын
Sasa Samia anasimamisha mishipa kutaka kuwa Raisi ya Tanganyika hivi kweli tu wapumbavu?
@maisarirajab48465 ай бұрын
Akili nyingi mbele kiza 😂😂😂 si mulisema zanzibar sio nchi
@simonnaivasha63935 ай бұрын
Mheshimiwa Kabudi, mara nyingi unatumiwa elimu yako ya ujerumani kusaidia Taifa, Jaji Warioba na mheshimiwa Tundu Lissu saidieni kamati kuu ya chama maji yako shingoni.
@venancebanda2915 ай бұрын
Hakuna muungano hapo kila mtu ashike lake
@jastinmodest80735 ай бұрын
Huyu Mzee licha ya kwamba ni mwanasheria pia ana hekima busara na akili nying aise
@rebekakulwa61595 ай бұрын
Tunataka Tanganyika yetu na kitaeleweka
@richardmwandanji655 ай бұрын
Kunawatu nchi hii wanaishi kwa uchawa kama Alina nape na Alina mwigilu na wanao tushambulia tunao dai KATIBA MPYA na tanganyika yetu sijui wanataka tudai Tanganyika yetu kwa nguvu au Nini sisi ni wazalendo tunataka watusikilize tunataka Taifa letu na mungano wa makubaliano sio kwa lazima
@MWIGAADAM-r3e5 ай бұрын
LAZIMA TURUDI KTK MKATABA WA MUUNGANO
@frankremishoy57785 ай бұрын
Mkataba haupo haujulikani ulipo
@malkavoice25705 ай бұрын
Mbona Kabudi haeleweki!
@richardnganya23115 ай бұрын
Vipande vya pesa vilimtembelea
@ConfusedDaisies-rb55 ай бұрын
Tatizo la wasomi na viongozi wetu ni wanafiki wanajali matumbo yao tu