Nchi yetu hatuwezi kuendelea kulingana na nature ya viongozi tulionao
@MOSESIMCHUNGUZI28 күн бұрын
SOMALIA,DUH!!!!😢😮😮
@ankoanko-zz7it5 ай бұрын
Hapo nimechoka sana
@Santzmedia5 ай бұрын
😆
@GodfredAlfredNgarama5 ай бұрын
Kupata vyeo Vingi duniani havina maana bila kutenda haki kwani mambo yote yanabaki duniani.
@Santzmedia5 ай бұрын
Sahihi kabisa
@George-jz3jg5 ай бұрын
Kumbe ni jizi toka somalia linaifilisi sana nchi yetu
@Santzmedia5 ай бұрын
🤓🤓
@halimamasai22344 ай бұрын
Jizi mama yako msenge wewe mbaguzi huyu ni mwafrika mwenzako mbona waraarb na wahindi mnawalamba matako shenzi sana
@johnmalale38605 ай бұрын
Dah;! Kumbe ni msomali kabisa jamaa;!
@nestor3845 ай бұрын
Nonsense i remember nothing good, I remember the best Dr Bashiru Ally
@Santzmedia5 ай бұрын
😥😥😥
@epimackjohn4613 ай бұрын
Historia ya huyu haina LADHA !
@AbdallaMwagora-sm1rj5 ай бұрын
NAIJUA HIYO KINANA NI MSOMALI,TENA SHAWELEY.hawa kija zamani Tanzania babaake alikuja kabla ya uhuru lkn ktiba ina sema mtoto mzazi wake akiwa si mtanzania na yeye si raia
@Santzmedia5 ай бұрын
😆
@yusufmohamed88745 ай бұрын
Generali ulimwengu pure bantu anazinguliwa uraia wake wakina kinana wanapeta
@Santzmedia5 ай бұрын
😂😂😂 😂 lakini kumbuka kinana Amezaliwa Arusha " hvy katika umri Aliokuwa nao ,Alikuwa na uwezo wa kuchagua Uraia ni nchi gani Angependa kuishi
@alimuse69805 ай бұрын
Ichi yenyewe ni mashoga na wauza madawa ya kulevya duniani maskini wa akili mdomo mrefu
@stephenndagalla81835 ай бұрын
Mfanya biashara zipi??
@Santzmedia5 ай бұрын
``Kama tulivyosema Awali ,Kinana Mala nyingi huwa Hapendi kuweka vitu vyake hadharani,hivyo Sisi tunaheshimu maamuzi yake
@ahamadarashid87973 ай бұрын
Sio mkoani Moshi..ni Kilimanjaro
@d153555 ай бұрын
umesahau kusema kuwa aliuza ardhi ya tz kwa wafalme wa kiarabu huko loliondo gorge
@Santzmedia5 ай бұрын
Vyote hivyo katika Wasifu wake hatujaviona "Imekuwa Vizuri na wewe kuelezea hisia zako"
@d153555 ай бұрын
umesahau kutaja biashara yake ya meli na ile iliyompatia utajiri mkubwa ya kuuza pembe za ndovu nje kama ilivyo kawaida ya wasomali wenzie
@Santzmedia5 ай бұрын
😂😂 Hayo Sisi Hatuyafahamu !!
@MiriamAbdallah5 ай бұрын
@@Santzmediakwani ni uongo Iko wazi haramia likubwa hili
@walidmgonja36443 ай бұрын
@MiriamAbdallah Asante kwa kutujulisha,uwe tayari tu kutoa ushahidi mahakamani pale tutakapokuhitaji. Tutakuomba utoe ushirikiano ili haki ibainike
@George-jz3jg5 ай бұрын
Ccm ili ifanikiwe lazima iongozwe na majizi kama kinana
@Santzmedia5 ай бұрын
Punguza ukali wa maneno " Hauko peke yako
@walidmgonja36443 ай бұрын
Kakuibia nini?
@chazjerome99995 ай бұрын
Eti Mkoani MOSHI,Daaaaah Kweli We FALA Ni KILAZA
@Santzmedia5 ай бұрын
🫣
@JosephuSwai5 ай бұрын
Kweli kilaza
@Masele852075 ай бұрын
Mkoani Moshi ndio wapi, mazuzu kama nyie ndio mnaochangia wanafunzi wetu kufeli
@Santzmedia5 ай бұрын
Jitahidi kutumia lugha salama hata Kwa kizazi chako cha baadae pindi watakapo Iona video hii , wakisoma kitu kupitia comment wajifunze kitu kupitia wewe nasio Utumbo uliouandika hapo
@husseinkonz51923 ай бұрын
Nchi hii tunasumbuana na wakimbiz kumbe
@d153555 ай бұрын
pia umesahau kusema kuwa mama yake ni msomali pure nababa pia
@Santzmedia5 ай бұрын
Ukisikiliza Vizuri Mwanzoni mwa Makala hii Tumemuelezea Vizuri "Baba Yake Mh; kinana
@nuhumwaisanila22173 ай бұрын
Msomalia kumbe haende kwao
@Santzmedia3 ай бұрын
😆😆😆
@sharifahmed7346Ай бұрын
Wewe mpumbavu sana fikiria kabla ya kuongea akili tope
Huu utamaduni wageni au sijui niite wahamiaji kupewa madaraka makubwa hapa nchini kwetu ulianza miaka mingi, nakumbuka tulikuwa na waziri wa fedha mhindi watu wazima wanafahamu. Na wapo wengine wenye madaraka makubwa tu, siyo wazawa. Mimi ndiyo nafahamu leo kwamba Kinana siyo mzawa..!!! Haya bana mi sielewi..
@Santzmedia5 ай бұрын
Kinana Amezaliwa Tanzania " Mzee wake ndio mtu kutokea Somalia" hivyo kinana Alikuwa na option Achague kuwa Mtanzania au Awe Raia wa Somalia!!!
@halimamasai22344 ай бұрын
We acha ubaguzi msenge nini kwani msomali si mwafrika mkundu we mbona mnawakaribisha wahindi na wa arabu
@halimamasai22344 ай бұрын
Msomali ni mtu hodari na wala hawaogopi ni majemedari
@jumakisailo84964 ай бұрын
Heh, basi yaishe jamani matusi ya nini Tena..!!! Kumbe nimechokoza mijichawa..🤣🤣🤣🤣...samahani nimekoma sirudii Tena..!!!
@halimamasai22344 ай бұрын
@@jumakisailo8496 Ndo ukome leo watanzania tukichunguzana wazawa watakua wachache sana hasa tunao pakana na nchi jirani