HILI SOMO LIMEWEKWA BAADA YA WATAZAMAJI WENGI KUOMBA LIWEKWE UPYA LIKIWA NA SAUTI NZURI MAANA LIMEKUWA BARAKA KWA WENGI!
Пікірлер: 354
@namsijonathan81564 жыл бұрын
Nimejikuta nakuombea maisha marefu pastor maana wewe ndio mfariji wa wengi hasa mimi...Uishi maisha marefu ili uendelee kuongoa roho.....barikiwa
@neemamabala9469 Жыл бұрын
Pastor Mmbanga Mungu wa Ibrahim akupe maisha marefu
@rightonachevi74565 жыл бұрын
Nimebarikiwa kwa fundisho bora la Yesu Kristo. Mchungaji, Bwana akubariki Sana,in Jesus name
@rhinakiza4 жыл бұрын
Mungu mbarikiwe Mtumishi wako ana tubariki sana! Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
@kato_tz5 жыл бұрын
I missed these kind of preaching aisee, Yaani nafanya kazi hapa na kula madini ya bureeee kabisaa
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Amen
@lennybaabrah67524 жыл бұрын
Watu ambao nataka waokolewe. James,chritine,Paul Peter George Brian, Magret secila Adrian
@saulomwaipaja74693 жыл бұрын
87
@fatemajohn31955 ай бұрын
Amen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU nipo na barikiwa sana na mafudisho yako❤
@josephinemwende81865 жыл бұрын
I connect to this man's of God great annoiting know and I receive it with a powerful faith to manifest in my soul, spirit,mind, heart even my entire being,Apoweful message to us be blessed from Nairobi Kenya
@benedictjoakim33282 жыл бұрын
Hdhhdhfh
@jameskenny18085 жыл бұрын
asante sana mtumishi kwa ujumbe mzuri sana te sana ambao umefika kwa mda wake .ila nina ombi tafadhali,mtumishi,si furahishwi na utumiaji wa simu mazabahuni,pahali pa biblia.ila samahani sana baba mtumishi.ktk jina la Yesu uni samehe sana.
@AnnaMwailenge-hy3xg2 ай бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi kwatupatia haya mafundisho mazur 🙏
@damarisangasa97573 жыл бұрын
Barikiwa sana mtumishi .Mafunzo yako mazuri sana ukweli kabisa yamenibadilisha
@janethjafet52615 жыл бұрын
Asante Pr Mwenyezi Mungu akuinue ktk vilele vya mafanikio ,akushike viganjani mwake .songa mbele ktk jina la Yesu.
@getrudenabwayo4754 Жыл бұрын
Naangusha rasha Rasha za Makofi hapa 👏👏👏👏👏👏✊✊✊✊✊Mafundisho dhabiti💪💪👌👌👌👌👌💯💯💯💯💯🌹🌹🌹🌹🌹😇😇😇😇😇😇
@soloartist_ivanvespalusind16095 жыл бұрын
Somo lina upekee.Hongera Fundi Mitambo,sauti imetulia vizuri alna iwe hivi Kwa masomo yote.
@jescaabraham13144 жыл бұрын
Powerful word💪 be blessed servant of GOD
@harrietmmoji84044 жыл бұрын
Asante mchungaji kwa mafundisho yako mazuri hakika ni naenda viwango vaya juu katika imani, ubarikiwe zaidi
@wahidakisingo358810 ай бұрын
Namshukuru Mungu kwa kunipa kibali cha kusikia na kujifunza neno hili la ukombozi maishani Mwangu,,,MUNGU NI MKUBWA ❤🙏MUNGU NI MKUU
@felixsegetse99515 жыл бұрын
Mungu Awabariki saana Pasta Mmbaga kwa huduma uliopewa na Bwana Mungu wetu Baba wa mwokozi wetu Yesu Kristo. Mimi nipo Bujumbura ila nahitaji saana kuwa mwanafunzi wako ila sijuwi itawezekanaje, mahubiri yako yananijenga truly speaking
@emelynemasoyinyana1725 жыл бұрын
Amen Amen
@calorineraphael3173Ай бұрын
mungu okoa dada na wadgo nakaka pia uniponye
@mapendoimani24625 жыл бұрын
Jembe la Kristo wewe kweli ni vizuri kuwa na maandiko matakatifu tafsiri zote ikiwezekana.Amina
@hellenratemo28133 жыл бұрын
AMEN AMEN AMEN I will not complain again , from now I will start praising God for every situation , am so blessed powerful message , God 🙏 bless you pastor
@anglemichael24225 жыл бұрын
Mungu akubarik Sana mtumish kwa neno zur na maombi Kwan nguvu ya Mungu imenishukia nikiwa nyumbn lakn niliamin kutoka ndan ya moyo wangu naenda kupokea muhujza wangu, nayo imekua naamin Mungu anaenda kujibu Zaid y niombavyo katika jina la Yes kristo, lakn nilitaka kujua unapatikana wap maana natafuta kanisa la kiroho lenye nguvu za Mungu muhumba mbingu na nchi, nikaabudu naomba kujua upo wap, Asante.
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Nipo DODOMA karibu sana
@muhindocorantin247211 ай бұрын
Amen Amen Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.
@danielmwakatumaakimu10502 ай бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa BWANA.
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Hili somo limefanya Nipige hatua ambayo nimwaka ss nilikuwa nimeshindwa kuwa na maamuzi, ila nilipockiliza hili somo namshukru Mungu nimefanya kile nilichokihofia nasas Nina Aman moyoni mwangu, Mungu aendelee kuktumia ili niendelee kupiga hatua zaidi, Barikiwa san pastor.
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Mungu akubariki sana
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
Aminaa
@godfreymwacha97015 жыл бұрын
Shimwe Kagwiza
@shimwekagwiza23005 жыл бұрын
@@godfreymwacha9701 nambie
@irenemusembi14205 жыл бұрын
Nimebarikiwa nkiwa Kenya...Mungu akubark sana Pastor.....Kumbka familia yangu ilio kosa amani umoja wala upendo ....nkumbke npate kazi.
@salimamacumbela60215 жыл бұрын
Mchungaji Mungu akubariki sana kwa huduma kubwa nina homba msahada wa mahombi kwa jili ya mama yangu anadumbiluwa na nguvu za kichawi.
@samwelgetocho6913 Жыл бұрын
Mshukuru Mungu kwa hali hiyo nawe utapona
@elizabethmabula1014 жыл бұрын
Kuna mtu mmoja alinifanyia uchawi hahaha ila nikampuzia. Jamani alinisemea ubaya wakati saa hii ananitegemea kwa kuniomba nimsadie. Wala sijachukia nimemsamehe nikampuuzia. Aliniambia sitofanikiwa yeye ndiyo hajafanikiwa. Somo nimelipenda sana..
@user-uh4ro1or9q9 ай бұрын
Jambo Mwalimu asante sana kwa ma ubiri Mungu aku bariki sana
@sadafocas4814 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu aliye hai tupate wapi watumushi kama hawa wanao lisema neno kama lilivyo JEHOVA asnte
@peninabensonpen8702 жыл бұрын
Amen Amen hili neno limenigusa asante Yesu
@janetkahada52063 жыл бұрын
👏👏🙏🙏❤️♥️Ubarikiwa AMEN AMEN.
@roselyneondieki2718 Жыл бұрын
Amen 🙏🙏🙏 very impressive.... I thank God for this inspiration, blessed
@SamuelNgeli-xi6oj4 ай бұрын
Mwenyezi Mungu atukuzwe milele na milele . Mwalimu umefundisha vizuri Sana Yesu aongenze tena na tena ili watu waokolewe .
@omankadara64183 ай бұрын
Mungu akubariki sana pasita kwa mafundisho manzur
@dorcasrhobi8211 Жыл бұрын
Amen saraha kali hiyo asante
@everlyneiminza57223 жыл бұрын
Jamani haya mafundisho yamenikujia tu mmi nimekua mtu wakulalamika Mungu anisamehee 😭😭😭😭kuanzia sasa nitaanza kusifu Mungu eee Yesu nisaidie 🙏🙏🙏
@barakajoseph18164 жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pr,akufanye uwe baraka kwa mataifa
@rosemwangome89963 жыл бұрын
Thanks pastor be blessed & continue with the work of God
@wahidakisingo358810 ай бұрын
Mungu akubarikie na Kukulinda mtumishi
@agnesseunice56324 жыл бұрын
Barikiwa Sana pastor mbaga Kama Mimi nibarikiwavyo na mahubiri yako.Naitwa Agnes Eunice nakupata vizuri tokea mkoani mbeya.amin
@marywaithira6949 Жыл бұрын
Amen Amen. God bless you Pastor. Am blessed through listening to you. Am healed in the Name of God
@user-gn9in9gm1o3 ай бұрын
Fundisho lako mchungaji limenipa ujasiri tena wakusimama,,,,yesu atusaidie sana🙏
@nelsonsalumu30642 жыл бұрын
Barikiwa sana Mlokole wa SDA
@justinbudaho79844 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji, maubiri yako inatujenga sana.
@eliabamayi43444 жыл бұрын
Wafuga majini,, waganga na wachawi hamjachoka kugonga dislike kwa mafundisho ya yesu kristo yaani mnachomwa na Moto wa yesu 😂😂😂😂😂
@karlgabrielwilfredkalivuba9274 жыл бұрын
😂😂😂
@MathieuMukaza-ei8wo2 ай бұрын
😅555555555555555@@karlgabrielwilfredkalivuba927
@vailethlazack67524 жыл бұрын
Napokea maneno haya ya ushishindi nashukuru Ee Mungu kwa ajili ya Mtumishi wako nimefunguliwa kwa jina LA Yesu Kristo ameniii
@odettemaman Жыл бұрын
Rafiki mupezi nisaindie n'a Na MBA ya psta mbonga
@odettemaman Жыл бұрын
Naomba namba ya wtsp
@maureenjovial60834 жыл бұрын
Amina hakika nimebarikiwa sana na shetani ameshindwa katika Jina la Yesu hana nafasi tena katika maisha yangu Yesu amemiliki iyo nafasi
@realestjazmine72613 жыл бұрын
Thank you so much man of God. I'm blessed.🙏🏾
@eddahnyongesa70205 жыл бұрын
Ubarikiwe pst naomba Sana utuombee kwenye kesi ya shamba imefanywa more than 30yrs lakini tuna imani tutashinda
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Mungu asimamie haki itendeke
@faithkarema66463 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana pst hili somo waaah linahitaji ufunuo WA ndani sana
@imangregory83925 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu wa mbinguni,nimeouona mkono wa Bwana kupitia mafundisho yako! Ubarikiwe sana kwa jina la Yesu kristo, Amina!
@rayman1112 жыл бұрын
Nilikua na stroke, uli affect mguu wangu, Na sasa mguu unatembea vizuri. Mungu asifiwe. Mchungaji Mungu akubariki.
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Amen!! Mungu akubariki sana
@user-ns1jw3rl3g11 ай бұрын
May God's blessings come into your house because you were really given knowledge
@themessage35083 жыл бұрын
Amina .barikiwa xn pastor
@florenciamassawe49255 жыл бұрын
Nashukuru sana kwa mahubiri mazuri kwamba tumpige shetani kwa kusifu Mungu, badala ya kulalamika tu.
@jaybee55493 жыл бұрын
Amen ,, MUNGU AKUBARIKI NA AKUJAZE NGUVU ZA KU AMINI
@faustermtavangu82124 ай бұрын
Somo hili limekuwa faraja kwangu Asante Mungu kwa Mahubiri ya mchungaji Mmbaga Mungu Nitetee ktk maisha ya mwanangu.
@jeannekatembe63962 жыл бұрын
Asante sana mtumishi hata na mimi nina rafiki yangu kila akipata shida anaitaji msaada kwangu ila mimi nikipata shida ananigombeza na kuongea kwa sauti kubwa akidai ndio sauti yake kati niko nae takribani ya miezi 5 sasa. I agreed with you you’re right God bless you. From USA.
@omantel46802 жыл бұрын
Ndo usha ambiwa kuwa ham endani
@RachaelMbeyu2 ай бұрын
Mungu akubariki pastor
@shideashidea55705 жыл бұрын
Amina nami naamini mlima wangu Mwenyezi Mungu ataniondolea naiombea Familia niondolee pepo wanaosumbua watoto wangu kwa jina la Yesu kristu wa Nazareth
@mariengatia5 жыл бұрын
Watching for the second time. The message is great,i shed tears . I have to come and listen again. Barikiwa sana Pastor
@juanitastopkitchen63335 жыл бұрын
Im here my sister .
@mariengatia5 жыл бұрын
Am glad dear. Barikiwa pia
@fodearenos72855 жыл бұрын
Ahsante Mchungaji kwa somo zur Limenpa kitu kipya, Mungu azid kukutia Nguvu katika Mahbiri yako tzid kjifunza zaid
@estonmnthali37195 жыл бұрын
Amen powerful message , watching you from South Africa Johannesburg
@donaldmwahalende48414 жыл бұрын
Hello dear how are you doing today? May I please get your email there is something I want to ask I'm here in Tanzania
@winnievienda16233 жыл бұрын
Ubarikiwe mchungaji
@stevenluambano50545 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana nimepokea kitu kwa jina la YESU.
@maombijofre230211 ай бұрын
Amen Naamini katika jina la 𝗬𝗘𝗦𝗨 𝗞𝗥𝗜𝗦𝗧𝗢 🙏🙏
@victordavidmmbaga84912 жыл бұрын
Aisee Mchungaji Umejua Kunisema... Abarikiwe Mungu Aliyekusimamisha kusema Badala yake.... Maana unayoyasema Ndiyo ninayopitia Sasa.... Nasikiliza Mpaka nacheka
@eiffelchegere54295 жыл бұрын
Barikiwa Pastor; Ujumbe uliomo katika somo hili una nguvu kwelikweli
@user-kq9je6zf3v2 ай бұрын
Asate mutumishi wa mungu mafundisho mazuri san ❤❤❤😊😊😊
@user-op3zq1vs5c11 ай бұрын
Barikiwa mtumishi nimebarikwa sana
@marymartine48562 жыл бұрын
Kiukweli mchungaji umenfundisha kitu ckuzote nawaona watu lakin tangu Leo ntamwona shetan ubarikiwe sana na Mungu
@mugabhimanono7085 жыл бұрын
PR ubarikiwe na Bwana adumu kukutumia your my ever favorite PR
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Amen
@Jean74etoile5 жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga Napokea neema ya bwana yesu kristo.
@janekwahada5805 жыл бұрын
AMEN AMEN a strong teaching and understanding God bless you
@estherbashizi30903 жыл бұрын
Amen
@adelinakastory43372 жыл бұрын
Amana
@adelinakastory43372 жыл бұрын
Amana
@felisianailomo2339 Жыл бұрын
Mchungaji mungu akubaliki napenda sana mahubili yako
@rahelwaitara18854 жыл бұрын
Ubarikiwe pastor kwa mahubiri mazuri, ombi hilo la mwisho limenitoa kifungoni.
@koffianodichisesa2382 жыл бұрын
Amen balikiwa sana mtumishi wa MUNGU BABA wambinguni
@jolizonex91615 жыл бұрын
AMEN am blessed thanks so much pst
@francomukumu3 жыл бұрын
Mariko Mariko Mariko. alikimbia usiku Yesu alishikwa akiwa uchi. Mariko oooo Mariko
@maryshii25475 жыл бұрын
Waoh am blessed.Watching from Bahrain.
@damarisfavour57995 жыл бұрын
Nime barikiwa sana baba God bless you I will praise the living God in the midst of Temptations Amen
@lutemahindiakaje50465 жыл бұрын
Thank You Pr David Azael Mmbaga
@beatricezayumba37085 жыл бұрын
Amen pastor nashukuru nimepona Mungu akubariki maana nimekuwa wa kulalamika sio kuomba
@venancekitobo35025 жыл бұрын
God bless you servant of Almighty God
@maryleonard9549 Жыл бұрын
kweli baba neno ni kwa ajili yangu ubarikiwe mtumishi wa BWANA
@REWARD82474 жыл бұрын
Hili somo limenibariki sana Mchungaji Mungu akubariki sana
@CasianRKomu5 жыл бұрын
aminaaaaaaaa Mchungaji kuna mtu anakupa habari za mambo yangu ??? Naona umemfichua adui anaponitega wakati fulani nilinaswa hapo. Mungu ashukuriwe kwa somo hili
@MahubiriPrMmbaga5 жыл бұрын
Roho MTAKATIFU
@eforddaniel80344 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi nimebalikiwa
@zakayoayaga94213 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pastor kwa mafundisho mazuri
@miriamkarata74955 жыл бұрын
Asante sana mtumishi Wa Mungu Barikiwa sana
@irenejoseph59252 жыл бұрын
asante baba naomba niombee niombee nipate Ada ya chuo
@MahubiriPrMmbaga2 жыл бұрын
Mungu akutendee muujiza
@irenejoseph59252 жыл бұрын
Ameni BaBa nimepokea nasubiri kupokea ili ikawe ushuhuda kwangu na kwa wengine.
@RachaelMbeyu2 ай бұрын
Bakari,fikiri,pande,rehema, mbeyu, Anna ,Grace,Stephen,samson,magg,raivan mwaka,mama kadzo,nyiro
@chancekambale34982 жыл бұрын
maubiri yako naielewa sana. barikiwa
@eunicekhamali72685 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana mchungaji kwa leo nimekuzikiliza video mbili .. Ya zaburi 23 na hii .ubarikiwe sana .
@faithmakena23812 жыл бұрын
Neno nzuri Sana.Am blessed.Amen
@maryndubi57363 жыл бұрын
Thank u pastor God bless u
@claudiasimeo23703 жыл бұрын
Mungu akutumie. Maana tunabarikiwa mtumishi wa mungu
@selfaakinyi78245 жыл бұрын
Mchunga nakushukuru Kwamaana mungu amesema nami kupitia wewe nami kuanzia Leo nitamsifu mungu wakati wowote, ubarikiwe mchungaji.
@janethnikundiwe68905 жыл бұрын
Mungu akubariki na hazidi kukutumia tupone
@happinessmongare4311 Жыл бұрын
Thanks pastor david
@sarahwawuda76385 жыл бұрын
Amen...MUNGU akubariki mch
@joashodongo67025 жыл бұрын
Somo zuri
@happinessmayaka22642 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa sana pastor asante
@barakantigizu63154 жыл бұрын
U keep me near with my lord pastor David "blexxed be you