Watanzania wengi huku South Africa wana masaluni tu watching from South Africa
@Summerbtz2 ай бұрын
Mungu ibariki Tanzania ,Mungu ibariki Africa
@SalumuMmipi2 ай бұрын
mungu akujalie kiboko akujale ufunguliwe utusaidie
@PuzzleMc-zp2lg2 ай бұрын
Acha mkumbo niggar vp
@EmmaKiwango-g6u2 ай бұрын
Amtegemeaeye binadamu amelaaniwa , Mungu yupo tumwambie shida zetu anatutekelezea.
@InjiliyaUfalmetv2 ай бұрын
Mlilieni YESU Wapendwa Atawaokoa na shida zenu zote
@JohnAssey-n8b2 ай бұрын
Tanzania bado sana ukiangalia vzr hapo amna mweny maisha angalau mazur Kun watu wanapoteza mali zao kwa ajil ya ayo makanisa
@snagnax2 ай бұрын
Kuna dada hapo kuhojiwa na media nyingine...katoa story tofauti😂😂...hapo wanataka kulisha watu matango pori,..hongera sana serikali..hawa watu washakuwa mazombie imagine wakiongezeka itakuwa yale ya mckenzie(uza kila kitu ulete kanisani)..hongera mama samia kwa kutulinda wanao
@HawaOmanАй бұрын
Mama tunaomba utufungulie huduma mama
@HawaOmanАй бұрын
Nyenye mkiomba kura zetu tukikataa mtafurahii
@HawaOmanАй бұрын
Selekali tunaomba msamehe nitumishe wangu
@yuzzomanboyАй бұрын
Qmmke daah tunaonekana wa Tz wote hatuna uelewa hiz din n usenge tuh muamin mungu Lakin wao wanamlilia tapeli
@GrevazJoseph2 ай бұрын
Kwani bila kiboko ya wachawi hamna maisha mengine acheni ujinga
@annakletayohana45612 ай бұрын
😂kurogwa kubaya jamani poleni sana Mungu awafungue fahamu zenu nyamazeni uko
@PuzzleMc-zp2lg2 ай бұрын
Wakadange tu af poa tu Kwan ajabu? Wanaomtetea waende Congo
@ShafiiAusi-k7j2 ай бұрын
❤kweli kak
@glorymutalemwa2962 ай бұрын
Mara avae jinzi madhabaoni
@thefinalstand20222 ай бұрын
Nimemkumbuka kamanda wa Mungu Mtumishi John Pombe Magufuli.... Hakika John Pombe ungekuwepo leo, Kiboko cha wachawi asingeguswa kabisa! Mimi niseme, asiporudi sasa, atarudi tena baada ya uchaguzi mkuu wa Mwaka 2025.
@credychipungahelo15152 ай бұрын
Akili ya Dominic ni kubwa sana yote haya alijua kuwa baada ya kufungiwa mtakuja wadangaji wa habari akajiondokea zake huyo endeleeni kuandika uongo na kumchafua na msifulahi kuanguaka kwake Bali atakuja somama tena
@righitkileoАй бұрын
Ila bora uwe maskini lakini uwe na Akili.hawa watu ni vilaza haswa.Akili zimeqanda.mtafuteni Munqu wa kweli acheni kufata miujiza enyi kizazi cha nyoka
Watu wangu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,sala zetu zimefika,tulitoka Arusha tukaja hapo tukatoa hela za kumwona,zikapungua kidogo hazikufika 500,000/= tukaingizwa kwa mtumishi mwingine,tulilia sana,Mungu kapokea maombi yetu wanyonge,je hela zetu zitarudije ?haya ndio malipo tulimwambia yule kiongozi wake msaidizi bongee mweusi kuwa tutalia na Mungu,huu utapeli una mwisho wake,akiwa ndani ya crown yake na kiyoyozi sisi tukiwa kwa miguu😭😭
@GeofreyKalo-ot3we2 ай бұрын
Duh, pole sana ndug
@hafsalucky10882 ай бұрын
Shida zinatuponza, Nami nilitoa laki 4 kiingilio, kanisikiliza harakaharaka hakujali nimekopa wapi, na akanambia nitoe Tena laki 4 zingine ili anisaidie, nilipotoka niliumia sn nikalia sn, Mungu atusaidie 🙏
@CasmirKiwale2 ай бұрын
Duh kweli wewe ni ndezi ...@@hafsalucky1088
@adamkapolo88172 ай бұрын
Tunamtegemea binadamu kuliko Mungu wengi hapo wanamatatizo ya kisaikolojia
@lusekelowilliam20682 ай бұрын
Muumin mwenyewe mbona kama .... GOD have mercy on us hatujui tulitendalo
@FatiaAhmed-m1u2 ай бұрын
Wate hao ni waislamu😂😂😂
@AlexKimario-be4dd2 ай бұрын
Si aliwaambia hata kama wana michepuko yeye hajali anachojali wamletee sehemu ya fedha wanazopata huko🙄. Sasa unadhani hao wakoje😱
@HawaOmanАй бұрын
Kama hatufungulie huduma basi msituobie kura zetu
@sabrastephen67582 ай бұрын
Maskini wee muhubiri anasema hawezi kuhubiri watu waache dhambi kweli na ukijaa vibaya anakuchungulia ao wanawake Mungu awape ufahamu 🙏
@AlexKimario-be4dd2 ай бұрын
Ni haohao tu. Ndege wanaofanana huruka pamoja. Hata shetani alipoasi aliondoka na theluthi ya malaika.
@AishaMkilindi-s2s2 ай бұрын
Mama tunaomba sikia kilio chetu fungua kanisa la kiboko ya wachawi amekuwa misaada kwetu wanaochangia kukandamiza ujue bado hayajawakuta hao
@ChristinaLema-g5e2 ай бұрын
Apa uyo afai ni friimason ana potosha watu Wala uyo mungu amjui
@AYUBUJAMES-b8u2 ай бұрын
Jaman makanisa nayo yamekua meng
@florianhenry71982 ай бұрын
Waumin wenyewe wengi hopeless
@Seurisailepu2 ай бұрын
Kweli tz wengi ni mazezeta 😁😁
@drdd7742 ай бұрын
Pumbavu sana, Hamna Akili, fukuza hiyo taperi
@wangagirl35082 ай бұрын
😂😂😂😂😂waumini wajinga sana hawaoni mwanaume anajichubua aibu sana kazi ni gloves kwa mikono
@charlesomollo-ui1np2 ай бұрын
Ameeeen
@ZuhuraMarande-fl2zw2 ай бұрын
Usichexe na Iman hiyo ndio iman
@jumas.sendekwa27882 ай бұрын
Sheria zimewekwa ili zifuatwe.
@AlexKimario-be4dd2 ай бұрын
Ndio maana kuna wanaoamini waganga, mizimu, miti, mawe, nk. Lakini wote wanatambuliwa kulingana na utendakazi wao. Sasa tatizo hapa mtu anatumia jina la nabii huku anafanya mambo ya kiganga. Hawa waumini nadhani tatizo ni uelewa. Sio kila mahali unapopata jibu la hitaji lako basi Mungu yupo. Kule misri wachawi na waganga wa Farao walipambana na Musa kwa ishara na miujiza mingi. Na Bado siku za mwisho hizi wale wapenda miujiza wataona mengi Ufunuo 13:13-17. Hawamtaki Yesu wanataka miujiza.
@Hussein-gx4qu2 ай бұрын
Imani Gani hao wote wanalalamika ni watu wake akiwapiga watu na wao anawapa kidogo
@evamsuya88692 ай бұрын
Turudishieni kiboko wetu
@AlexKimario-be4dd2 ай бұрын
Si unaweza kumfuata anakoenda? Au akuhudumie online, dunia Kijiji siku hizi🤔
@dannyking89082 ай бұрын
kwa nini msimuamin Mungu tu kama Ni wa Mungu na amekusudiwa Hawez Fungiwa.,Mungu atetewi na mwanadamu ya Mungu lazima yasimame yenyewe hzio za kupiga debe ni siasa tu
Ikiwa anasaidia watu serikali imrudishe kwa sheria na masharti ya nchi maana kweli kama anaombea watu wanafanikiwa arudishwe ila atii masharti ya nchi
@Hussein-gx4qu2 ай бұрын
Aludishwe wapi hao matapeli wakubwa neno Gani huyo tapeli
@OmanOman-dd5qk2 ай бұрын
Wana yombo hebu acheni ukenya
@WilliamPyuza2 ай бұрын
😢 mbingu inawashangaa nyie watu
@emmanuelthomas10782 ай бұрын
Hawa wafuasi hawana tofauti na Nyumbu🤔🤔
@clemencemkondya85612 ай бұрын
Wachai gani anawaibia watu pesa bure
@thelivingwordchannel90272 ай бұрын
Eti kiboko ya wachawi!
@saimongilala89382 ай бұрын
Ningependa huyo kiboko ya wachaw afutiwe uraia taper kabisa
@richardcastromzena513615 күн бұрын
Kawatukana nyie mnamlilia 😢
@samwelmkilya92362 ай бұрын
Mtakuja kufa vibaya mbuz nyie
@AnthonyChaula-d8l2 ай бұрын
Wapumbavu nyie mahira wakubwa
@SimbaJumanne2 ай бұрын
Danga gan wewe SEMA umezoea kulipwa tafuta kaz ufanye
@alexvenas26992 ай бұрын
Wapuuzi nyinyi wewe dada kama ulikuwa una danga kadange tu kama unataka kudanga.
@CotridaKigwile-d6p2 ай бұрын
Karivyofubaa sasa
@AmonUrassa2 ай бұрын
Wanaomtetea ni wapumbavu watupu aende Congo awauguze m23 hatumtaki hapa
@Dadytamal2 ай бұрын
Wamepotea na imani yao potofu 😂
@MickyMgeri2 ай бұрын
Kwa kweli huyo kiboko ya wachawi sio tu kufungiwa bali afukuzwe kabisa nchini na hao wanaomlilila waende nae,haiwezekan tuonekane wote wajinga kwa sababu ya wajinga wachache.
@barakabusima2 ай бұрын
Yaani hawa ili wasiendelee kuambukiza huu ujinga kizazi kijacho wanatakiwa wafungwe ..hii ni hatari huyu jamaa kawafunga na wamefungika
@FLORAHANSIBERTY2 ай бұрын
Kudanga ni tabiaeyako, Mungu alikuleta duniani udange?,si Akili zenu mbovu, Kaa chini tafakari neno la Mungu
@charlesSomeke2 ай бұрын
Serekari fungeni makanisa yanayodhalilisha imani ya kikristo mbona waislamu hawadhalilishi iman yao
@MRHURUMAHuruma2 ай бұрын
Serekali kujiingiza kwenye mapambano ya kidini kwa sababu ya chuki za wachungaji kila dini ina madhaifu yake kwan kwenye ukatoliki na mabaya mangap tunasiskia nan amewafungia serekali ikae kama zaman hao wachungaji wanao sema huyo ni mchawi wao wenye mungu si wakaombe
@barakachibwana37082 ай бұрын
Mbona kama waumini wenyewe ni kifo Tu .what they blame?
@HassanAbdallah-f6o2 ай бұрын
Dunia inaenda mbele ila Tz inarudi nyuma watu wake kujitambua miaka ijayo kutakuwa na kizazi kibaya sana cha kuamini mambo ya kijinga
@muromuro80372 ай бұрын
Plumbavu sana nyie
@EnjoyReonald2 ай бұрын
Mmmhhh
@angolina17682 ай бұрын
Tunaomba mumuqche jaman kiboko ya wachawi anatusaidia watu jamani tunaomba jamani
@AlexKimario-be4dd2 ай бұрын
Mithali 27:22
@mathewlive772 ай бұрын
Sikieni nyie mnaolialia, nyie ni wapumbavu, kwasabau mnatoa hoja ambazo serikal haiwez kuziskiliza, eti nilkua mdangaji, so what!!? Watu ambao hawajasoma wana hoja dhaifu sana. Toeni hoja nzito zinazoishwishi serikal , kwaio kuacha kudanga ni muujiza!!🤣 , Kiboko mwenyew anajua kwamba amekiuka nn, na ataongea nao tu waelewane.. Kama hoja ni kuacha kudanga bas kaendeleen na kazi polis wawakamate.... Alafu mbona hamna kiti hata kimoja!?
@aediayumgo85462 ай бұрын
Acheni ujinga nyie 🐓👹👹
@AsiaShaban-zz4yr2 ай бұрын
Mtapeli huyo fukuza amenitapeli laki tano usheiiii kaka yangu hajapona malipo ni hapahapa duniani kwendraaa
@Ethanmwageni2 ай бұрын
Mzee ukiona mtu wamemstukia Hilo tatizo
@lindakapongo84212 ай бұрын
Keele mwandishi necklace hayo matusii kumbe mkongo sikujua tanzania sio damp o sitaki hata kusikia asntee KUFUNGAA SIO KANISA WALA SIO DINI NI UCHAFU TU ASANTE T Z YANGU
@lindakapongo84212 ай бұрын
washable nyie
@hafsalucky10882 ай бұрын
Kuna Mambo ya kurekebisha kidogo hapo, mbona Kuna makanisa mengi TU hayajafungwa, Serikali sio wajinga wafunge bila sabb,
@SeifJuma-yt1pk2 ай бұрын
Atarudi Kwa Kasi Tena Kasi ya ajabu shetani anataka kumuangusha tu
@Hussein-gx4qu2 ай бұрын
Shetani yupi na wakati ye ndio shetani anatapeli watu
@Ibrahim-ne3in2 ай бұрын
Panya kweli nyie
@AbdallahBakar-oc3ue2 ай бұрын
Kila mtu anauhuru Tanzania hata kama mchawi jamani eleweni njoni mlime mashamba yapo tokeni dar
@samwelmatemu88732 ай бұрын
Nyie wajinga tuu
@lisawilliam24912 ай бұрын
🤣🤣🤣kaz ipo
@binsherbal60892 ай бұрын
Kweli Tanganyika bado watu wana safari ndefu sana. Dhima hii Viongozi wa Serikali inawahusu. Hawa ni Wajinga wakipewa Elimu ujinga utawatoka. Hawa walihitaji Elimu ya Saikolojia ili wajitambue kwa sasa hawajitambui masikini. Daah Allah atusalim salama lakini hali ni mbaya. Mtu anadai kaacha kudanga kwa sababu ya Kiboko ya Wachawi, Inalillah wainaillaih rajiun.
@ShedrackChitema2 ай бұрын
Shtukeni ww
@willymdeka60342 ай бұрын
Watanzania kweli wajinga
@samirakashililika42232 ай бұрын
Awa wametumwa wamseme awa wajinga sana
@helencyprian87452 ай бұрын
Ujinga mtupu .
@deogratiusyudatadei56582 ай бұрын
Yani hata hao wanao hojiwa ni. Matapeli tu😂😂
@annaTemu-wx2rc2 ай бұрын
Wametengenezwa
@sigfridchristian18902 ай бұрын
HaaaAaaaaa haaaaaaa yan nahisi kama wamewekewa vitu wamekua mazyezyeta
@ismailkissigaye72692 ай бұрын
118🎉🎉
@GrevazJoseph2 ай бұрын
Kwani bila kiboko ya wachawi hamna maisha mengine acheni ujinga