Mkutano mkubwa wa Injili waanza Rasmi stendi ya Daladala Kilombero
Пікірлер: 134
@victoriamaige2862Ай бұрын
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@RashidLukindo-yl2ylАй бұрын
NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@smartmwakipesile3842Ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@user-mh2cn3fb6j29 күн бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@user-eg5lt4lu2zАй бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@geofreyngolua9553Ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@marcosearnest361716 күн бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@elishamumba4304Ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@rahabnkya8276Ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@godwinkaunda9516Ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@EllieSammy-tf4gxАй бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@elinaikerichardkisanga9193Ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@rahabnkya8276Ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@BeatriceSangito-gi1ldАй бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@AminielMbise-cl3fqАй бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@user-ep2cm5xo3kАй бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@janemuthui6130Ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@user-gc8vb3gv8cАй бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@DanielMwasenga-bx7bdАй бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@user-godfreyRobertАй бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@JohnMalengua-jh6psАй бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@user-cy6tb1bm4xАй бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@eliphaznkurunziza7405Ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@rahelhango9236Ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@ProsperMbenaАй бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
@user-no2tw5vb8jАй бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@jasperjackson8871Ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@Nazareth8119Ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@ev.samsonrweongachannel658Ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@user-bm6dh8id1hАй бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@PastorlevisIsambechohassan28 күн бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@eunicelukanda1828Ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@jeremialaizer9978Ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@prospermallya3092Ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@ev.samsonrweongachannel658Ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@alexkamba5264Ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@paulkamete2947Ай бұрын
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@user-ri1by1ij4oАй бұрын
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
@NEEMAJames-ns4dsАй бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@user-gu6xy2hf5uАй бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@ChedyMlwale-kx9msАй бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@user-po1qk1jf7vАй бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@lekinyaurey5772Ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@mpinabaharia2247Ай бұрын
Theolojia imelala kichwani
@bensonmoris463Ай бұрын
nimekubali
@gracemachongwe431Ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@tlotwe.01.Ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@user-qt7vs8pq5hАй бұрын
Balikiwa baba magembe
@laizermsagalla29 күн бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@odethamlyuka2552Ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@user-lm7nd9ez2eАй бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@ev.samsonrweongachannel658Ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@shahazarpeter6097Ай бұрын
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
@barakasikuomba7920Ай бұрын
Great servant of God
@rahelkimario1497Ай бұрын
Amen baba.
@mariamndwilo1104Ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@OinothMungaАй бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@vicentmsabila-fl6ujАй бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@user-by6zw5zf4eАй бұрын
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
@martinakyoo148Ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@EliaSaimonАй бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@apostlejacksonkalinga5191Ай бұрын
Asante sana MCH
@awitness9020Ай бұрын
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
@JohnJoel-ro7lcАй бұрын
Ilove this
@user-sm7gj4mn5nАй бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@janemuthui6130Ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@KyongoKyongo-rr8lmАй бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@godfreykawibesele854519 күн бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@ahazichunya4265Ай бұрын
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi
@user-zl8un4xv8r11 күн бұрын
Hii ndio injili ya kweli
@mossessimon249319 күн бұрын
Amen
@user-do4qs8vx2sАй бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
@CalorineMushiАй бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@user-cm5xv7gb2eАй бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
@johnsebastian-bx6qnАй бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@mchungajimpigauzitv5703Ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@ayubumollel3647Ай бұрын
❤❤❤
@frolafelixАй бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@BONIPHACEJOHN-kb1zbАй бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@kilangatz5882Ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@naomichristopher3941Ай бұрын
Baba , Baba yangu , nakusubili MZA injili hii NI Moto motooo utawaka MZA wachawi wooote wa MZA mfungashe vilago vyenu , hawa wazee NI wachache wanao hubiri injili isiyo goshiwa .
@erasmobenardsangu-1854Ай бұрын
pawapawa mpakamafutaa wezi kuubiri
@user-xh5ds2mb5wАй бұрын
AMEEEN.
@jephthahmbise4568Ай бұрын
injili adimu sana,hii baba tunahitaji kupona
@DavidMalimbegu-dq8tpАй бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
@IsayaSchone-kt7uqАй бұрын
Aminaaa kuuu
@user-hu1qm7kj5z17 күн бұрын
Tukipata hata kumi tu kama huyu baba hakika nji hii itapona tunaitaji injiki ya wazee kama Hawa sio wamwaga mafuta kwa watu bila maandiko au kukemea dhambii iwatoroke watu
@user-cs3mp1rc5hАй бұрын
ameeen...💯💯💯💯
@perpetuamuna1633Ай бұрын
Aminaaaaa....
@user-oy7ly5cg5yАй бұрын
Aminaaa!!!!!!
@officialbabaivanАй бұрын
Yupo arusha au aneenda
@AnethSwila-tw9mvАй бұрын
Baba mbona katavi hamjii??tunaomba mtukumbuke
@humphreybilly7437Ай бұрын
Amen Amen.
@NolaskoshayoАй бұрын
Haleluya
@geofreyngolua9553Ай бұрын
Imen Imen
@joelmwamlima5686Ай бұрын
Sumbawanga utakuja lini?
@magogelameck1501Ай бұрын
Ameen
@ryobanchagwa2499Ай бұрын
Najivunia kuwa na baba mzuri kama huyu
@zebedayokatamaduni9676Ай бұрын
Vichwa vya habari muwe mnaandika ujumbe wa Neno la Mungu husika Hapo mnahubiri Injili hamtafuti comment za watu