Рет қаралды 51
Baba wa Taifa Mwl. Julius Nyerere aliamini kuwa Afrika ni moja na binadamu wote ni sawa, misingi hii ndio sababu ya Watanzania kuwa na umoja na mshikamano na hata kujitoa kwa ajili ya Waafrika wenzao katika mapambano dhidi ya ukoloni, Msikilize mzee Francis Semkiwa, Mstaafu Ofisi ya Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali akielezea maadili na misingi na baba wa taifa ambayo imetujenga watanzania mpaka sasa.