Tunashukuru kwa simukizi nzuri japo kuna baadhi ya watu wanasema vita ya Uganda ni propaganda kumzuria I'd Amin
@nourannouuran35145 ай бұрын
ALLAH AKUHIFADHI MZEE WANGU,AKUPE MWISHO MWEMA UMEONGEA WASIA MUHIM SANA
@user-gy5ii3ig1d5 ай бұрын
Allah akusamehe mzee wetu umepitia kipindi kigumu sana chamaisha yko,rai yngu kwawazee kama hawa waloshiriki mauwaji ya waislam wenzao wa unganda,kubwa nikurudi kwa Allah nakuomba msamaha kwa makosa yte waliofanya hko kwenye vita,maana kuuwa binaadam bila hatia nidhambi kubwa ktk madhambi makubwa mbele ya Allah 😢😢😢
@abdallahiddy63334 ай бұрын
Na waganda walio huwa waislamu wa Tanzania wapo sawa kabisa
@saleheinnocent76365 ай бұрын
Hongera mshua maisha lazma yaendelee.
@TALLUBOY5 ай бұрын
Mzee wazee wako wamekuferisha Sanaaa duh umekula hasara unahachaje kazi ya jeshi mzee
@salumjumaruhaga25135 ай бұрын
Kweli watu walikuwa hawaoni mbali ,sasa mafao yake aliyapatA kweli yote
@chachawambura40305 ай бұрын
Ajira ni utumwa, nampongeza yeye kujiajiri Sasa Yuko huru na kazi zake.
@omarissamashaallahpresiden29205 ай бұрын
Hawakumfelisha wako sahihi wanajeshi kuuwa huoni tabu wazazi wamemtakia mema mtoto wao
@westerntanganyika5 ай бұрын
Mungu mwema na anakusudi kwa kila mja wake
@zeyanaalgheithy65615 ай бұрын
Kazaliwa pemba na Unguja Zanzibar ni uguja napemba mwandishi w habari usikoroge
@sultansallah87725 ай бұрын
WAJINGA kama huyu wapo wengi sana
@aliabdallah42335 ай бұрын
Muadhini wa jibril
@vicentelias4915 ай бұрын
Yuko unguja, Zanzibar ni muunganiko wa unguja na pemba
@binnyangemedia87565 ай бұрын
Yes
@husseinkonz51925 ай бұрын
Dah maisha bn serikali imwngalie huyo bab mana si kwa hali hyo
@Omarjumanne-zm9zh5 ай бұрын
Ni hatari sana watu kama hawa kuwaacha ovyo ni hatari ktka nchi wakuu huko mbere ni hatari
@othumanlorenzo2605 ай бұрын
Wako wengi kila nchi wapo na wanastaafu mbona sema hawaachwi kama unavyodhani
@user-kr2xi5xw6o5 ай бұрын
kufikia muadhini wa msikiti mkubwa wa jibril mkunazini unguja
@user-kr2xi5xw6o5 ай бұрын
kufika kua muadhini pia wa msikiti mkubwa wa Jibril Mkunazini
@binnyangemedia87565 ай бұрын
STORI IYO INAKUJA HIVI KARIBUN
@adilhabib89885 ай бұрын
hilo suali lako la kwanza halina kichwa wala mikono
@twaibutwabibu88095 ай бұрын
😂
@aliymkuutv43675 ай бұрын
Pemba nayo ni zanzibar
@sultansallah87725 ай бұрын
WAJINGA kama hawa wapo wengi
@ibrahimaziz71585 ай бұрын
Kiufupi mzee umechezea shilingi chooni
@dondallas66835 ай бұрын
Hajachezea maisha iyo tyr God ameshampangia mpango.wake wa maisha .ww utabaki kulaumu kwa kuwa ww hujapata kazi
@abuuaidh65005 ай бұрын
Ulienda Uganda kuuwa ndugu zako
@SaidAli-ou3us5 ай бұрын
Tuwemakini Watangazaji tunapouliza maswali kwani Pemba na Zanzibar kunatofauti gani? Kwanini usimulize mbona umezaliwa "Pemba na hivi sasa unaishi Unguja"?
@binnyangemedia87565 ай бұрын
Ahsante mkuu tunashkuru kwa ilo tutalifanyia kazi
@sultansallah87725 ай бұрын
WAJINGA kama hawa wapo wengi. Mana hadi ticket za meli wanaandika kutoka ZANZBAR kwenda WETE
@abdul-wahidkhamis84555 ай бұрын
Mwandishi hajielewi ivi kwan ni nn maana ya Zanzibar anaonekana ana element za kibaguzi
@kanaanrajab11025 ай бұрын
Hawajui kitu hao kaka😂
@salumjumaruhaga25135 ай бұрын
Uyo ni mwandishi wa iziraeli amekimbia kichapo cha wazee wa gaza kaja tz
@Worldunite5 ай бұрын
Maswali yanapaswa kupimwa hasa anapoulizwa mtu km huyu, sbb pamoja na kuleta hamasa lkn haya mengine si ya kuyajadili kwenye media sbb yanahusu mambo ya ki-intelegensia
@jeffhard57735 ай бұрын
Bongo
@mubajoti7435 ай бұрын
Et umezaliw pemb sas upo znz 😅😅kwnin nyny watangzaj hamjui kueka maelez sw kwni pemb sio znz sem kwnin umezaliw pemb saiv upo unguja
@samxx4115 ай бұрын
Kwani ugomvi
@salumuledisalum80385 ай бұрын
Waandishi hawana elimu ya kutosha
@user-jx7ot4ru7l5 ай бұрын
Mzee.usileze.mambo yalopita jeshini kuna siri sana
@eddiemay5475 ай бұрын
Hapo hakuna jambo la siri aliloongea kawaida tu anajielewa huyo vitu vitatu hiyo kweli kabisa makosa ktk vita hayo machache tu kuna mengi sana asante sana babuu tanzania Zanzibar waanzilishi commandos
@jeffhard57735 ай бұрын
Eeh Kama ilivyo serikali na Siri za upigaji
@NdongaKichwa-hz7jf5 ай бұрын
Mwisho wa maji tope mkiwa Jeshi mnajiona kama Hamufi
@ShamsiaMuhibu-ly9mi5 ай бұрын
Amna komando hapo😂
@TheBastarrrd5 ай бұрын
We choko ni nani?
@MahmoudDouchi5 ай бұрын
Nenda kamjaribu halafu utaenda kuwahadisia wezio
@mbaroukally86555 ай бұрын
Kombando ni ww kibaka
@uklife52325 ай бұрын
😂😂
@vincentcharles43855 ай бұрын
Mbona povu,eti komando labda wa visiwani huko ,au anafundisha karate