Alipata mume kutoka Austria mtandaoni tu, ameamua kusaidia wengine pia, utaipenda story ya Shena

  Рет қаралды 41,013

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Пікірлер: 386
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
Ahsante sana SNS, I am very humbled 🙏 ubarikiwe sana
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
Dada naomba mawasiliano yako😢
@africatanzaniatours
@africatanzaniatours Жыл бұрын
Asante Sana kwa ku share story nzuri . Hongera Sana
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Жыл бұрын
Huyu dada she is so smart and decent, hongera ODA ❤
@shalibrutsch-vlog
@shalibrutsch-vlog Жыл бұрын
Titawaleta wote. Hongera jirani 😍
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Hongera sana
@Witnessvlog
@Witnessvlog Жыл бұрын
Hongera sana Shena. Way to go Interview nzuri sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
Ahsante @witnesvlog
@jacquelinejeff1249
@jacquelinejeff1249 Жыл бұрын
Hongera sana dada na Mungu awape furaha, na mimi pia nina mwanaume kutoka USA namsubiri tuna miezi 9 sasa tuna relationship nzuri sana nimejifunza mengi sana kupitia yule mwanaume na kwako pia
@veronicavalentine2097
@veronicavalentine2097 Жыл бұрын
Naomba tuongee kidogo na shida na ww
@LizycharityHumphrey-mf4fc
@LizycharityHumphrey-mf4fc 9 ай бұрын
I need mzungu
@AminaShakuru
@AminaShakuru 3 ай бұрын
Oooh wowooo
@junkie92
@junkie92 Жыл бұрын
Congrats 👏. You're love story is just like mine. I left Tz after I finished High School 28 years ago to 🇺🇸. Met my husband online. We talked for 3 months then we got married. Has been 15 years since we got married, we have 3 beautiful kids. I am finally planning to take them to Tz ..Inshallah. Good things happened to Good people .. Always wait no need to rush to married, wait till you found your Soul mate.
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 Жыл бұрын
Allah bless you and your family 🙏
@eliwajajacob8569
@eliwajajacob8569 Жыл бұрын
Nice 😅😅
@willykaovela5485
@willykaovela5485 Жыл бұрын
whicch mtandao😅
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 Жыл бұрын
I'm in relationship with a man online he is so lovely from USA I hope we will meet soon inshaAllh
@fortunathabarabara8471
@fortunathabarabara8471 Жыл бұрын
Allah bless you 🙏
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Жыл бұрын
Namshukuru Sana uyo dada Mara ya kwanza alinipa ushauri nikapata mzungu na Sasa nimechumbiwa 🙏🏼
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
😢😢😢 namm nataka mzungu mum
@nicksonmbilinyi5843
@nicksonmbilinyi5843 Жыл бұрын
​@@salmaalimusa6809 😂😂😂😂😂Tulia wagogo wako single wewe
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 Жыл бұрын
@@nicksonmbilinyi5843 😂😂😂😂wallah this to much 😅😅😅
@allahisone6386
@allahisone6386 Жыл бұрын
@@maryamanalisi197 🤣 seriously 🤣
@maryamanalisi197
@maryamanalisi197 Жыл бұрын
@@allahisone6386 yani nmecheka sana
@Tino_Official_tz
@Tino_Official_tz Жыл бұрын
Interviews kama hizi utakuta hazina viewers nyingi ila unakuta mdada au mkaka kutwa anataka mahusiano na mtu wa nje ya jamii zetu. Safi sana Sky
@neemamkakata1574
@neemamkakata1574 11 ай бұрын
Nakupenda sana Dada Shena Fo..i chatted you whatsapp Du una usikivu wa hali ya juu full of wisdom hongera
@shalibrutsch-vlog
@shalibrutsch-vlog Жыл бұрын
Our girl is shining. Hongera kwa hili
@sophiamatonya6067
@sophiamatonya6067 11 ай бұрын
Samahani kusema wakristo ni biashara siyo kweli siyo wakristo wote mimi pia nipo ulaya na naheshimu dini zote
@neemakalugila7674
@neemakalugila7674 3 ай бұрын
Sio kweli ukristo sio biashara, hapo amekosa the right information.
@marymutai1440
@marymutai1440 2 ай бұрын
Shena Fo respect religion. it’s wrong to say Christianity is a business
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 Жыл бұрын
Hongera sana beautiful girl, ni jambo zuri. Vp matokeo ya mradi kutoka kwetu.
@user-np5rm4im1p
@user-np5rm4im1p 5 ай бұрын
Asantee sana dada ❤
@rahmasoliman489
@rahmasoliman489 Жыл бұрын
Mashaallah Shena mungu ukubali sana
@user-fu5vv9qd3s
@user-fu5vv9qd3s 9 ай бұрын
Hello mzima, naomba unisaidie kupata mweza wa maisha kutoka Switzerland, Marekan, canada, Australia mm. Nina miaka 30 dini yangu ni Muslim
@EpiphaniaMallya
@EpiphaniaMallya 11 ай бұрын
Hongera sana Dada Nimekupenda buree
@Tausishaban-he5io
@Tausishaban-he5io 7 ай бұрын
Jmn nyie hatimae nmeona Interview ya da shenaaa uwiiiiiii❤ nmeipnd jmn
@successmbio878
@successmbio878 4 ай бұрын
Hongera dada Shena Fo
@mussajuma9044
@mussajuma9044 Жыл бұрын
Masha Allah
@user-nu9tn4tk8c
@user-nu9tn4tk8c 9 ай бұрын
Mungu akufanyie wepes
@lavieestbelle3263
@lavieestbelle3263 Жыл бұрын
We loves you shena❤️❤️❤️❤️
@nunimwaropia3584
@nunimwaropia3584 Жыл бұрын
MashaAllah interview safi sana
@happinessmarijani2783
@happinessmarijani2783 3 ай бұрын
Shena naomba yako mimi naitwa madam Happiness
@humbleshoal
@humbleshoal 5 күн бұрын
Yako ndio nn
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 Жыл бұрын
Mashaallah Shena
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Жыл бұрын
Mashallah kabadili dini mungu awabariki
@mgenimussa5820
@mgenimussa5820 Жыл бұрын
yesss
@zickmalik4901
@zickmalik4901 Жыл бұрын
😂😂😂😂 wafrika ni upeo wetu ni mdogo sana. Eti wanawake wanawekeza katika kupata wazungu.wanawake fanyeni kazi
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Mtihani kweli Tena wanapongezana kwa mambo ya upuuzi. Unakuta mpaka waandishi wa habari wa Tnz wajinga kupata mzungu wanaona kitu cha kutangaza, ujinga unewashika kuanziq w’ke mpaka w’me, vijanq mpaka wazee wao.
@Farryunique
@Farryunique Жыл бұрын
😅😅😅😅😅😅
@user-iy1np9et3q
@user-iy1np9et3q Ай бұрын
Uko Safi kabisa
@fatmasaid7093
@fatmasaid7093 Жыл бұрын
MashaAllah ❤❤❤
@mariamtumwebaze389
@mariamtumwebaze389 Жыл бұрын
Amazing ❤❤❤❤❤
@czechzyamwaga1021
@czechzyamwaga1021 Жыл бұрын
Nataka mume, naomba nisaidie kuniunganisha na mtu wa huko
@navokisembo
@navokisembo Жыл бұрын
Samahani dada sio wakristo wote wamefanya dini biashara, so ungesema baadhi na sio ohh hii dini yao ni biashara, please. Good that you got a men and married
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Жыл бұрын
Chang amoto mno wazungu sio wote Wenyewe kwanyewe maeleno sio mazuri
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Жыл бұрын
Hakuna ujirani mr Bundara kila mtu na lake unaweza kufa ndani pekeyako
@sarajanuary3516
@sarajanuary3516 Жыл бұрын
Mmh yakweli hayo
@paulinekamau9633
@paulinekamau9633 Жыл бұрын
Tuko 2023 na hii ni kawaida si kitu cha kushangaza aisee
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 11 ай бұрын
Ahsante sana dada kwa kaz yako
@kennedyodera7555
@kennedyodera7555 Жыл бұрын
Nitafutie mwana dada pia Mimi natoka Kenya God bless you
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Жыл бұрын
Afro introduction, international cupid, Interracial Cupid, OK cupid wazungu wengi tuuu
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Жыл бұрын
Hizo zote zinataka pesa bila pesa haifunguki mimi nimengia imegopa inatak pesa 😅😅😅
@HelenahSian-hl5ue
@HelenahSian-hl5ue Жыл бұрын
@@kanghanhankang1440 inafunguka chat na watu wenye alama ya blue nlau gold inafunguka vizuri tu
@DimahaDimaha-kb2gu
@DimahaDimaha-kb2gu Жыл бұрын
Ahsante ninafarijika sana na nitajifunza mengi kutoka kwako
@user-zy2tr7nz1c
@user-zy2tr7nz1c 6 ай бұрын
Dear Shena naomba unisaidie nataka kama wewe ulichofanikiwa plz
@simulizi2632
@simulizi2632 Жыл бұрын
Hongera. Ila me nina swali🤔 imetokea umebadirisha dini na jina then mmeachana? Utaishi kweli na hiyo dini na hilo jina 🤔🙋🏾‍♂️
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Жыл бұрын
Shenanigans ongera naomba namba zako kama hautojali na mazungumzo kama hautojali natamani nipate mke wa kizungu
@ireensollo4799
@ireensollo4799 Жыл бұрын
Waoo
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 Жыл бұрын
Uko sahihi sanaaa umeongea vizuri sanaa napenda sanaa mazungumzo
@SalamaNauthar
@SalamaNauthar 4 ай бұрын
Mashaallah❤️❤️❤️❤️
@lizzybahati3739
@lizzybahati3739 Жыл бұрын
Ahsante Sana Dada
@NooreynMiddle
@NooreynMiddle 3 ай бұрын
Naomba nambayako ynguhii
@yohanambaga4977
@yohanambaga4977 Жыл бұрын
Nice show
@valenakomba9218
@valenakomba9218 10 ай бұрын
Hilo la dini kama biashara siyo kweli Mama.😮 . Labda kwa huko Austria, au kwake yeye bwana Jamaali. Ndo anaona ukristo ni kama biashara. Mi naona hiyo ni personal way of thinking . Siyo kwa kila mzungu au mtu mweupe.
@peterlaurent5969
@peterlaurent5969 Жыл бұрын
Mwezi mmoja mtu anakuoa na mmedumu ni Mungu alikusaidia.. lkn ukijichanganya kidogo tu utajuta
@user-bq6jv2mh1e
@user-bq6jv2mh1e 4 ай бұрын
Huyu mdada wa Austria hajakosea kusema dini ya kikiristo ya business.Awa wazungu aswa mumewe amemwambia hivyo.Mimi naishi uko ulaya ni jilani zangu na lugha ni hiyo.Niwepesi kubadilisha dini aswa vijana hata kanisani hawahendi ni wazee na watu wamakamu ndio wanakwenda vijana hawana time.Wengi sana niKatolik wanazaliwa katolik .Angalia Amekwenda TZ muda mfupi Kasilimu na kufunga ndoa tena zote mbili wamemconfice unawajua kakubali katailiwa na kufunga ndoa.Wazungu hawatailiwi nivingeni kwao.Ata UK wahislamu wamenunua sana Makanisa nakufanya misikiti.Watu hawaendi makanisani .Na wazungu akisema ndoa basi ni basi hakuna kama nyumbani kwa wazazi peleka ushauli ni No no Finish.Nine nine Ende.
@Dosteasanga
@Dosteasanga 11 ай бұрын
Tunaomba katika interview zako uwe unatuonyesha na picha za hao wanaume Wazungu mlioolewa nao tuwaone sasa! labda Wababu je?
@aminambughi9613
@aminambughi9613 10 ай бұрын
Dada jaribu kuwa na staha unapofanya jambo la kujenga kitu chako kwa kutumia jamii pana yenye mlengo tofauti. Una uhakika dini yako ni sahihi sana?
@valenakomba9218
@valenakomba9218 10 ай бұрын
Msomi huyoo.
@mecktridangorongo
@mecktridangorongo Жыл бұрын
Tuamfikkie even cite😊
@rebeccamaunde4085
@rebeccamaunde4085 Жыл бұрын
I love your story sister
@estersaul8180
@estersaul8180 Жыл бұрын
Thanks dear
@kiseke7319
@kiseke7319 Жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@Zenny89
@Zenny89 Жыл бұрын
Wadada wa kibongo..changamkieni tenda hiyooo!!! Si mnatakaga MDhungu..Kitu Austria hiyooo..Huitaji air conditioning unit hukooo..kitu full natural kiyoyozi karibia nusu mwaka. Tena nashauri wadada wa KiJALUO ndo wapply kwa wingi..sababu wanahitaji uweupe kidogo kwenye kabila.
@vanessarobyn4584
@vanessarobyn4584 Жыл бұрын
😂😂😂😂
@pendo8082
@pendo8082 Жыл бұрын
😂😂😂
@annahpmihozi8449
@annahpmihozi8449 Жыл бұрын
Ila wew😂😂😂
@maggiehaule4615
@maggiehaule4615 Жыл бұрын
I also need one...plz do the needfully
@jacklinemrina456
@jacklinemrina456 Жыл бұрын
Good job shena
@maria_mutondioriginal5
@maria_mutondioriginal5 5 ай бұрын
Mngejua wazungu wanawaoa sana miaka hii baada ya kupigwa sana na COVID so wanaogopa kupoteza kizazi chao not because they love you black girls too much please wakeup girls 😢
@jacklinejackline8607
@jacklinejackline8607 Жыл бұрын
Hongera sana
@comfortmunuo5545
@comfortmunuo5545 Жыл бұрын
We dada huna maana umempata boya wako acha kuita wakristo dini ya biashara
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
Pole kwa kunielewa tofauti, Naheshimu sana imani ya kila mtu. Ila nimeongelea asilimia kubwa ya wazungu namna wanavyoichukulia dini kwa mitazamo yao. (Asilimia kubwa) wapo baadhi wanaichukulia kwa uzito sana. Niombe radhi kama kuna Mwingine alielewa tofauti.
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
@@OfficialDatingAssistancewewe umempata boya wako anakugeuza kinyume cha maumbile unajisahau na kuanza kukashifu imani za watu wengine acha upuuzi wako wewe
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
​@@kabwelasutiviraka4765we unahuwakika gani aise kwani ulienda kumshikiya mguu au na hili unalolitaja litaingiya kwa familiya yako nione kama utamuuwa au we utajinyonga
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Aisee sijasililiza nimesoma comment tu Ila kiukweli epuka sn kuongelea Iman za watu ! Sbb Imani ni kitu nyeti! Hao wazungu unaowasemea ni kizazi tu ambacho kilitokea nje ya mstari,na ss Yesu Yuko kazini kinarudia! There's a great revival s coming,Yesu Yuko malangoni
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 Жыл бұрын
Hongera sana my dear nimekupenda umejielewa kwenye msimamo wako wa dini mimi naishi sweden karibu sana
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
Ahsante sana 🙏
@hanifahanifa1010
@hanifahanifa1010 Жыл бұрын
Emu nitafutie my na mm plz my .
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@hanifahanifa1010 😂😂😂😂
@wardawardaarshad
@wardawardaarshad Жыл бұрын
Hongera mamy
@christinenibampa2675
@christinenibampa2675 Жыл бұрын
Nime enjoy sana iyi interview
@jacklinejackline8607
@jacklinejackline8607 Жыл бұрын
Jina la mtandao
@kyleirvine6095
@kyleirvine6095 3 ай бұрын
Naomba nami unitafutie mme wa uko
@user-tm3nv9wr2g
@user-tm3nv9wr2g Жыл бұрын
Jaman naitaj kwel kuchangia ila nashindwa kufungua hay maelekezo yako dada bwn Mimi cy mtundu wa hay mambo
@laurenciazacharia9197
@laurenciazacharia9197 Жыл бұрын
Hongera dear
@mamajaphety1624
@mamajaphety1624 Жыл бұрын
eeh MUNGU nibariki na mm nionane na mtu wangu soon atakuja kuniona
@kanghanhankang1440
@kanghanhankang1440 Жыл бұрын
Akija muulize ana mdogo wake amipe mimi maan nimechoka app kila app nikipita napat wataka uchi tu na video sex na mastabes 😢😢 naumia eti
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Ni vizuri kwa profile yako uandike Usichochataka itakusaidia kuepuka this staff, i have been in the apps like you and nikakutana na changamoto za hivyo but nilipobadili profile yangu na kuandika nachotaka serious na nisichotaka at the i was successful nilipata and I am Switzerland 🇨🇭 now.
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Жыл бұрын
Uwe tu mvumilivu utafanikiwa
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 Жыл бұрын
@@upendogreutert199 kivipi love naomba mawasiliano yako
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Жыл бұрын
@@upendogreutert199 upitie Milano uje kutupa hi
@kyleirvine6095
@kyleirvine6095 3 ай бұрын
Nimependa story yako ubarikiwe
@mariahornig3766
@mariahornig3766 Жыл бұрын
Kaka Frederic Bundala..naomba tuwasiliane..niko Austria..kuna Story itakayokupendeza May be
@alphaigogo787
@alphaigogo787 Жыл бұрын
Hongera zake!
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Жыл бұрын
Bye shena
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 5 ай бұрын
Wewe ulitumia mtandao gani kumpata huyo mzungu. Je ni Free au ulikuwa wa kulipia tupe link plse
@mjumbemwanda9666
@mjumbemwanda9666 Жыл бұрын
Good video
@leahzuu6468
@leahzuu6468 Жыл бұрын
Afu munaotoa mapovu munateseka mukiwa wapi? Kwani lazima kumuonyesha mume au mpenzi mitandaoni?awe mzee,awe kijana,kilema au mzima,kafata mapenzi au pesa ni yeye na wakwake,ivi kumfanyia chuki mtu haumjui na hakusaidii na haimsumbui ni ujinga wa akili,dada mungu akutunzie chako enjoy wa bwinde endeleeni kuteseka🤣🤣🤣🤣
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
Ahsante Unajua kuna watu hawajui vitu lakini wanajiona wanajua kila kitu… hii ni Diaspora Talk ni kipindi ambacho sns wanafanya kujua maisha ya wanaoishi ughaibuni.. Kama wazungu wanawapa homa basi ni vizuri wasifatilie tu 😁
@mmasipeter4157
@mmasipeter4157 Жыл бұрын
watu wanamnena mtu vibaya sana aisee mpaka imeniuma lkn huwezi juwa labda anaye elezeya vibaya yamemfika lkn but siyo wazungu wote wabaya.
@zarrykaidza2359
@zarrykaidza2359 Жыл бұрын
nami natafuta mzungu nafanyaje
@furahabahati8432
@furahabahati8432 10 ай бұрын
🥰🥰
@user-tm3nv9wr2g
@user-tm3nv9wr2g Жыл бұрын
Jaman dada shena nashindwa ata kupata no yak nifanyeje Mimi ???hii akaunt n ya kaka yang nimekutumia tuu ili nipate mawasiliano yako najaribu kuingia nashindwa
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Жыл бұрын
Wajerumani wengi wanajua kijerumani. Lakini hawataki kuongea wanataka wewe uongee kijerumani
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
Kumbe tupo nchi moja Austria 🇦🇹
@zahrababygarl1568
@zahrababygarl1568 Жыл бұрын
Na wewe umeolewa huko
@OfficialDatingAssistance
@OfficialDatingAssistance Жыл бұрын
I am glad to hear Upo state gani ?
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
@@OfficialDatingAssistance VORARLBERG
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Жыл бұрын
@@zahrababygarl1568 ndio
@isunga1964
@isunga1964 Жыл бұрын
Niko Dubai na mtandao wa Tagged dah nakutana na wabangali na parksatan na wahindi tu 😂😂😂😂😊
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 Жыл бұрын
Rekebisha hapo unapoongelea imani ya kikristo, and be careful unapoongelea imani za watu
@ashangonyani7989
@ashangonyani7989 Жыл бұрын
Kazi yako ni njema sana.
@monicacyprian9137
@monicacyprian9137 Жыл бұрын
Nimekuja mbio eeh hao wazungu wako wapi sasa na mm namtaka mzungu labda hawatatupiga vitu vizitoo
@subbyluckson6231
@subbyluckson6231 Жыл бұрын
Shena naomba no yako
@claudiangowi9628
@claudiangowi9628 11 ай бұрын
Eti dini wamefanya kama biashara, jamani waislam😩😩🙌
@rosiehayatta2619
@rosiehayatta2619 5 ай бұрын
Ungefunga ndoa ya bomani kuliko kumlazimisha mume awe Jamal... its intimidation of high level. Let everyone of you retain own name appearing on all papers.
@bushzerahamusic4762
@bushzerahamusic4762 Жыл бұрын
Niambie dadaangu mbona pia mimi nami natafuta nami nitafutie basi
@user-bo9vv9wl6e
@user-bo9vv9wl6e Жыл бұрын
Mashallah
@Winniequinepretty-wm7rr
@Winniequinepretty-wm7rr Жыл бұрын
Niunganinishe mm pia
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Жыл бұрын
Mr Bundara uwazi kufanya chochote ujerumani bila kusoma 1year
@BonyDaniel-ix1lk
@BonyDaniel-ix1lk 11 ай бұрын
Naitaji nafasi iyo nitapaje msichan waugaibun
@fridahnkatha8962
@fridahnkatha8962 Жыл бұрын
What's the same of dating app mm mambo na kuchange dini siwezi
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Жыл бұрын
Nimalize kunyonyesha nitafte mzungu mie
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Жыл бұрын
😂😂😂😂olewq na baba toto bna
@mariyamsalalah8204
@mariyamsalalah8204 Жыл бұрын
Olewa na mtoto Kwan Kuna ubaya gan 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@KamugishaErnest-zj2pm
@KamugishaErnest-zj2pm Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂aisee watu wengine!
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Жыл бұрын
Mimi naomba tu anitafutie kazi yeyote hiyo sichagui ila tu isiwe ni yq kumuudhi Allaah napenda kujitafutia sio kuomba omba au kuoata vya bure hivyo naomba anisaidieni kwa mwenye no yakeee
@Fear_Allah394
@Fear_Allah394 Жыл бұрын
Unataka mzungu halafu usimuudhi Allah? Uchafu mkubwa wanaoupenda wazungu nyuma.
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Жыл бұрын
@@Fear_Allah394 mm mwanume yeyote atakaeonesha upendo tu ndio naezana nae amabe ana hofu ya mungu mambo ya kutaka wazungu wakati mm si mzungu sio poa hawa wa kwetu wataoa kina nani?
@ghelimafilemon9653
@ghelimafilemon9653 Жыл бұрын
Google aupea visa in German. Utafute familia inayohitaji mtu wa kukaa nao kuwasaidia kazi
@munaahmed8499
@munaahmed8499 Жыл бұрын
@@ghelimafilemon9653 sijui na sina rafik napata je?
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 Жыл бұрын
​@@munaahmed8499 mbona simpo tu mpenz nchi za ughaibuni safar chapu maisha yasongeeee
@mamaafrica-kq6ni
@mamaafrica-kq6ni 6 ай бұрын
❤❤❤❤
@saramartine7330
@saramartine7330 Жыл бұрын
Nielekeze pia
@merinakassembe118
@merinakassembe118 Жыл бұрын
Deutshe Sprache
@user-nu9tn4tk8c
@user-nu9tn4tk8c 9 ай бұрын
Nielekeze namie
@amysafi3032
@amysafi3032 Жыл бұрын
💓
@salmaprecious5774
@salmaprecious5774 Жыл бұрын
Kama mtu ajui English je ataongeaje na huyo mnzungu
مسبح السرير #قصير
00:19
سكتشات وحركات
Рет қаралды 11 МЛН
WILL IT BURST?
00:31
Natan por Aí
Рет қаралды 42 МЛН
Unaenda Marekani Unarudi Tanzania???--My Real American Experience
9:34
NILIENDA ZANZIBAR KUSAKA MZUNGU | NILIJIFANYA YATIMA | WAZUNGU WATAKUTUMIA WAKUACHIE UKIMWI
1:21:05
UPWEKE ULINILETEA MSONGO WA MAWAZO | NILIKUA NATAKA KURUDI TANZANIA TU
48:51
Official Dating Assistance
Рет қаралды 14 М.
VITU VYA KUOKOTA MAREKANI (USA) UNAWEZA UZA MTUMBNA TANZANIA
14:00