Jitaidi kumwalika Mara kwa Mara maaana unatupa TIBAA
@shadyasalum192 Жыл бұрын
😂😂😂 kwa kweli bora iwe hivyo tuu gubu sio zuri jamani tena linakondesha gubu la mume😂😂😂
@tusekonga3030 Жыл бұрын
😂😂😂😂asanteni sana
@irenekamugisha Жыл бұрын
😂😂😂
@directorimmah_vfx304311 ай бұрын
Tunaweza kumuita doctor sukambii?? maan wengne tunatibiwa kiakili bila kujijua... Umenifunza kit kaka MUNGU akubariki unatufunzaa vingi vijana wako
@damariszuckschwert9489 Жыл бұрын
Assumption is the weakest kind of knowledge. Uuwii
@hellen13238 ай бұрын
Dada mtangazaji ulikua ukipendeza sana uvyokua unanyoa na ulikua hupaki mafuta makali ulikua mzuri sana lakin sasa.
@luciamsani Жыл бұрын
Huyo mwanaume ni mbinafsi kwahiyo anataka bajeti ibaki vile kama alivyokuwa pekeyake wakati kashaongeza familia aache uchoyo........
@susans4490 Жыл бұрын
Pastor hajasema kama kamwambia achague,kamtaarifu tu kwamba ana tatizo
@ashireydaimu3148 Жыл бұрын
Kuna ile mtu anakwambia sisi kwetu kuna sikoseli au kuna pumu. Sasa na mimi nataka kukuoa je uko tayari nikuoe? Unakuta unampenda ila ukifikilia kizazi chako uwenda kitapata sikoseli hp unakuta unamkubali huku unamkataa
@NasraNasa-mp7mf11 ай бұрын
Mim mumewangu akianza kulalamika a anyamazi kila cku analamika atakama ukikubali kosa sio lako bado anaenderea kulalamika tu
@NasraNasa-mp7mf11 ай бұрын
Pia unakuta mwanaume anapenda kuhisi kila muda anaongerewa vibaya kila ukiongea na mtu kwenye cm anataka kujua ulikuwa unaongea nanani na ni nin.mlikuwa mnaongerea..na nani.