LOUI afunguka MAZITO kuhusu nguvu ya DIAMOND, asema kumfikia wengine itawachukua MIAKA 3

  Рет қаралды 7,741

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

11 күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 38
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 9 күн бұрын
Loui talent yake si ya kibongo at all ila ndoivo.. He's really a Grammy Bway🙌.. S/O to u brother Sky.. Studio noma sna S/O to our sis Bby Sky🙌🔥
@yaduniapeter
@yaduniapeter 10 күн бұрын
Hongera kamera quality
@njoroboihastla
@njoroboihastla 6 күн бұрын
Chemistry ya loui & sky kwent interview imekubaliiii🙌🔥🔥🔥
@dullymanso3069
@dullymanso3069 8 күн бұрын
Loui anaongea facts and facts only
@ullyamos4205
@ullyamos4205 8 күн бұрын
Kaka sky hapo loui aliposema kujaza uwanja taifa stadium diamond anajaza fact ni miaka sita iliyopita 28 july 2017 alijaza taifa ,pia ww mwenyewe kupitia sns miaka mnne a Iliyopita alijaza Sierra leone watu 70000 stadium na ni show zake sio matamasha ya kisiasa ,au endorsement za makampuni bas taifa inawezekana embu mkatafute nilivyosema koz ni ukweli mtupu niliosema, huyu diamond wetu tu msupport plan yake ni kujaza nje ya africa kwa wingi huo huo km africa anavyifanya ,about loui nitasema km interview yake alifanya na almando bongo 5 kwamba diamond hakumuona loui na bruce africa akamsign dvoice kweli daah inashangaza japo ni biashar za watuu
@titoamani-e8b
@titoamani-e8b 10 күн бұрын
wasanii wengine kama Harmonize anaamini kuroga youtube account ya Diamond itamufanya atrend sana😅😅😅😅😅
@mkgorilla7200
@mkgorilla7200 9 күн бұрын
Anayeamini hivo ni wewe
@SaidSaid-nr2xe
@SaidSaid-nr2xe 9 күн бұрын
Apo TN bado
@geomangi6123
@geomangi6123 9 күн бұрын
acha nyege
@Ruderapper-hl8ej
@Ruderapper-hl8ej 8 күн бұрын
Unawashwa,una hamu yakukunwa😂😂 uliona lini akoroga...
@ByamunguBatumana-ff9de4zx6p
@ByamunguBatumana-ff9de4zx6p 10 күн бұрын
FALLY IPUPA anayo concert mbele ya watu 16000k kwenye LDCL ARENA ya ufaransa leo usiku tunaomba sky utuleteya abari za iyo concert pls
@HercaIlunga
@HercaIlunga 10 күн бұрын
Miaka tatu ao 30? Miye naona itawachukuwa miaka 100 na zaidi na pengine hatatokea wa kumufikia
@NoName-pp4lo
@NoName-pp4lo 10 күн бұрын
True
@RomanMwinyi
@RomanMwinyi 10 күн бұрын
We una akilii wap kibao wakina konde boy Vani boy Wana kiwasha kushindwa uyo boya wenuuu kafanya nn chaaajabu Kuna watu waliwazaa uka patikana mzikiii WA bongo felevaa we etii mondiii nyinyi ndio mna uwa vipaji vyaa watuu Kuna marioo wa motoo saanaa
@chrispinmkanda6097
@chrispinmkanda6097 10 күн бұрын
Hakuna wa kumfikia
@user-pk1yl7zt8p
@user-pk1yl7zt8p 9 күн бұрын
Xx we shoga hata Kam hujui kusoma ta picha ikuxhnde kuielewa#hao vistul unaowasifu yy nd kawafundsha Kila ki2 kuhusu music afu unatoka na komwe lako ilo ka Tako la mwjk unabwabwaja😂😂😂😂😂😂#in shot atakayekuja kumfunka Simba labda watt watakaozaliwa 9800
@BigZhumbe
@BigZhumbe 9 күн бұрын
​@@RomanMwinyi Vanny na Harmo ni maajabu yake yeye bila yeye wasingefika walipo sasa na wao wamefanya makubwa gani kumzidi Mondi
@mohayussuf2057
@mohayussuf2057 9 күн бұрын
Uchumi wa Tanzania tatizo wananchi wengi masikini
@Tariq_Tryagain
@Tariq_Tryagain 9 күн бұрын
Tushkuru tulichonacho na tuendelee kupambania kizidi.. ila sio kulia eti mziki wa bongo mgumu.. Bro kuna nchi kama Burundi🇧🇮 wanatuangalia sisi kama ma role models though tunalialia
@yohanamwalongo-rx2vt
@yohanamwalongo-rx2vt 10 күн бұрын
Huwa nafrai kuona msanii ana uwezo flani au maarifa ya kujua mazingira kwa upana wa elim yake anakua mwepesi wakupangilia maudhui
@DoroMally
@DoroMally 9 күн бұрын
Hongera Diamond
@Wizy_store
@Wizy_store 10 күн бұрын
Ila loui😂
@CamweziKarrashnekov
@CamweziKarrashnekov 9 күн бұрын
Kwenye muziki acheni tusubiri ujio wa Yesu wenda huko ndo tutamuona Diamond mwengine
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 9 күн бұрын
Rekebisha kauli ile haikua mchana ni usiku ila hakukua giza totoro
@kennedymafole
@kennedymafole 9 күн бұрын
daxo chali like zake hapa
@Robinson24560
@Robinson24560 7 күн бұрын
Miaka tatu itawachukua miaka mia tatu hamsini chibudee hashikiki leo walo kesho
@malkavoice2570
@malkavoice2570 9 күн бұрын
Ujue Sisi hatuwezagi kufungua interview ye yote anayemsema vby Diamond kbs alafu tupo wengi
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 9 күн бұрын
Lewis Hamilton alionekana kwenye clip akiisifia ngoma yako selema!
@tagbaya2347
@tagbaya2347 10 күн бұрын
Loui aanze kujitafuta kuanzia chini ili afanikiwe zaidi ahakikishe kwanza amejulikana Tanzania ndo aupeleke nje aache kudili na mataifa ya nje wakati bongo tu watu awajamjua
@fj8317
@fj8317 9 күн бұрын
Hiyo point kubwa sana haioni sababu ana numbers nje ila ndani ni muhimu Ili apate endorsement na shows
@rosemahenge9071
@rosemahenge9071 9 күн бұрын
Mimi ndiyo kwanza namwona sijui wimbo wake hata mmoja
@iam_sami
@iam_sami 9 күн бұрын
Uyu jamaa anajua sema nimjuaji sna aisee na iyo ndo itmkwamisha eti aliyo yafanya diamond kwake atatumia miaka mitatu nakunya ato tokea kama diamond ata akijalibu
@achawanunetv1167
@achawanunetv1167 9 күн бұрын
Nguvu ipi? yani hizi média na watangazaji ndio wanazidi kuwaua wasanii wa Tz kuwasifia uongo. Tz akuna msani ambae anaweza akafanya show Ulaya ama Marekani afu akapata watu 1500 akuna uyo msani Tz nzima hata waungane. sasa mkishashiba munakaa kwenye média mnaanza kusifia uongo
@user-vq3vj4ih6x
@user-vq3vj4ih6x 9 күн бұрын
Sana kaka hakuna jpya hapa
@user-vq3vj4ih6x
@user-vq3vj4ih6x 9 күн бұрын
Kauli za wasanii ambao hamjui mnachotaka ndo itafanya wengine washndwe
THE POLICE TAKES ME! feat @PANDAGIRLOFFICIAL #shorts
00:31
PANDA BOI
Рет қаралды 25 МЛН
Русалка
01:00
История одного вокалиста
Рет қаралды 5 МЛН
One moment can change your life ✨🔄
00:32
A4
Рет қаралды 13 МЛН
JAY MELODY AFICHUA UKWELI KUMVUTA DIAMOND PLATNUMZ, MARIOO NA JUX
26:32
EastAfricaRadio
Рет қаралды 3,8 М.
Тема BMW M5 CS закрыта #shorts
0:53
Level Performance
Рет қаралды 1,9 МЛН
Агрессивный обочечник!
0:33
ДВИЖЕНИЕ С УВАЖЕНИЕМ LIVE
Рет қаралды 1,7 МЛН
Skyfall mit dem Auto 💨💥 #crash #pov
0:26
tomhansenmedia
Рет қаралды 4,4 МЛН
Conquering fears and slippery slopes on two wheels!
0:18
People Are Awesome
Рет қаралды 29 МЛН