Loui talent yake si ya kibongo at all ila ndoivo.. He's really a Grammy Bway🙌.. S/O to u brother Sky.. Studio noma sna S/O to our sis Bby Sky🙌🔥
@yaduniapeter10 күн бұрын
Hongera kamera quality
@njoroboihastla6 күн бұрын
Chemistry ya loui & sky kwent interview imekubaliiii🙌🔥🔥🔥
@dullymanso30698 күн бұрын
Loui anaongea facts and facts only
@ullyamos42058 күн бұрын
Kaka sky hapo loui aliposema kujaza uwanja taifa stadium diamond anajaza fact ni miaka sita iliyopita 28 july 2017 alijaza taifa ,pia ww mwenyewe kupitia sns miaka mnne a Iliyopita alijaza Sierra leone watu 70000 stadium na ni show zake sio matamasha ya kisiasa ,au endorsement za makampuni bas taifa inawezekana embu mkatafute nilivyosema koz ni ukweli mtupu niliosema, huyu diamond wetu tu msupport plan yake ni kujaza nje ya africa kwa wingi huo huo km africa anavyifanya ,about loui nitasema km interview yake alifanya na almando bongo 5 kwamba diamond hakumuona loui na bruce africa akamsign dvoice kweli daah inashangaza japo ni biashar za watuu
@titoamani-e8b10 күн бұрын
wasanii wengine kama Harmonize anaamini kuroga youtube account ya Diamond itamufanya atrend sana😅😅😅😅😅
FALLY IPUPA anayo concert mbele ya watu 16000k kwenye LDCL ARENA ya ufaransa leo usiku tunaomba sky utuleteya abari za iyo concert pls
@HercaIlunga10 күн бұрын
Miaka tatu ao 30? Miye naona itawachukuwa miaka 100 na zaidi na pengine hatatokea wa kumufikia
@NoName-pp4lo10 күн бұрын
True
@RomanMwinyi10 күн бұрын
We una akilii wap kibao wakina konde boy Vani boy Wana kiwasha kushindwa uyo boya wenuuu kafanya nn chaaajabu Kuna watu waliwazaa uka patikana mzikiii WA bongo felevaa we etii mondiii nyinyi ndio mna uwa vipaji vyaa watuu Kuna marioo wa motoo saanaa
@chrispinmkanda609710 күн бұрын
Hakuna wa kumfikia
@user-pk1yl7zt8p9 күн бұрын
Xx we shoga hata Kam hujui kusoma ta picha ikuxhnde kuielewa#hao vistul unaowasifu yy nd kawafundsha Kila ki2 kuhusu music afu unatoka na komwe lako ilo ka Tako la mwjk unabwabwaja😂😂😂😂😂😂#in shot atakayekuja kumfunka Simba labda watt watakaozaliwa 9800
@BigZhumbe9 күн бұрын
@@RomanMwinyi Vanny na Harmo ni maajabu yake yeye bila yeye wasingefika walipo sasa na wao wamefanya makubwa gani kumzidi Mondi
@mohayussuf20579 күн бұрын
Uchumi wa Tanzania tatizo wananchi wengi masikini
@Tariq_Tryagain9 күн бұрын
Tushkuru tulichonacho na tuendelee kupambania kizidi.. ila sio kulia eti mziki wa bongo mgumu.. Bro kuna nchi kama Burundi🇧🇮 wanatuangalia sisi kama ma role models though tunalialia
@yohanamwalongo-rx2vt10 күн бұрын
Huwa nafrai kuona msanii ana uwezo flani au maarifa ya kujua mazingira kwa upana wa elim yake anakua mwepesi wakupangilia maudhui
@DoroMally9 күн бұрын
Hongera Diamond
@Wizy_store10 күн бұрын
Ila loui😂
@CamweziKarrashnekov9 күн бұрын
Kwenye muziki acheni tusubiri ujio wa Yesu wenda huko ndo tutamuona Diamond mwengine
@imanimhagama46479 күн бұрын
Rekebisha kauli ile haikua mchana ni usiku ila hakukua giza totoro
@kennedymafole9 күн бұрын
daxo chali like zake hapa
@Robinson245607 күн бұрын
Miaka tatu itawachukua miaka mia tatu hamsini chibudee hashikiki leo walo kesho
@malkavoice25709 күн бұрын
Ujue Sisi hatuwezagi kufungua interview ye yote anayemsema vby Diamond kbs alafu tupo wengi
@johnmichaellukindo219 күн бұрын
Lewis Hamilton alionekana kwenye clip akiisifia ngoma yako selema!
@tagbaya234710 күн бұрын
Loui aanze kujitafuta kuanzia chini ili afanikiwe zaidi ahakikishe kwanza amejulikana Tanzania ndo aupeleke nje aache kudili na mataifa ya nje wakati bongo tu watu awajamjua
@fj83179 күн бұрын
Hiyo point kubwa sana haioni sababu ana numbers nje ila ndani ni muhimu Ili apate endorsement na shows
@rosemahenge90719 күн бұрын
Mimi ndiyo kwanza namwona sijui wimbo wake hata mmoja
@iam_sami9 күн бұрын
Uyu jamaa anajua sema nimjuaji sna aisee na iyo ndo itmkwamisha eti aliyo yafanya diamond kwake atatumia miaka mitatu nakunya ato tokea kama diamond ata akijalibu
@achawanunetv11679 күн бұрын
Nguvu ipi? yani hizi média na watangazaji ndio wanazidi kuwaua wasanii wa Tz kuwasifia uongo. Tz akuna msani ambae anaweza akafanya show Ulaya ama Marekani afu akapata watu 1500 akuna uyo msani Tz nzima hata waungane. sasa mkishashiba munakaa kwenye média mnaanza kusifia uongo
@user-vq3vj4ih6x9 күн бұрын
Sana kaka hakuna jpya hapa
@user-vq3vj4ih6x9 күн бұрын
Kauli za wasanii ambao hamjui mnachotaka ndo itafanya wengine washndwe