No video

G-NAKO amtetea DIAMOND baada ya WABONGO kukejeli kauli yake ‘WANAIJERIA wameingia kwenye mfumo'

  Рет қаралды 21,449

Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Күн бұрын

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 77
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Ай бұрын
G nako huyu atabaki kuwa juu sana, sikudhani kama anamsikiliza ata NASH MC! One love walawala 🎉🎉
@richardsaikong1138
@richardsaikong1138 Ай бұрын
Sio "wala wala" ni "wara wara" kangkara finest wa R
@thomasgunje7640
@thomasgunje7640 Ай бұрын
Labda kama umemjua G Nako baada Ya weusi Na Sio Nako 2 Nako.
@deniskg310
@deniskg310 Ай бұрын
WEUSI = Pure Talents + Love + Discipline
@JacobMaganga-re9ji
@JacobMaganga-re9ji Ай бұрын
hata wanavozungumza ni kama familia 💪
@user-mb3zq1jr1q
@user-mb3zq1jr1q Ай бұрын
Oya bro nakubali kazi yako,🔥🔥🔥🔥
@adolfmathew9698
@adolfmathew9698 Ай бұрын
Love+ respect+ desclipine= weusi family
@giftchristianmeela1409
@giftchristianmeela1409 Ай бұрын
Napenda G anavyokuwa Flexible kuwaongelea wasanii wengine.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Kaka sky naona office imependeza Sana Yan.. hongera..
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Ай бұрын
Nawakubali sana Weusi. Pia hongera SnS kwa Studio kali, muonekano na sound imeongezeka quality. Nasubiria kwa hamu uchambuzi wa GPS katika Studio mpya Inshallah
@eliasbiya9367
@eliasbiya9367 Ай бұрын
Studio ya kimataifa. Hongera Sky👏
@allycaydo9865
@allycaydo9865 Ай бұрын
bonge moja la interview joh mtulivu sana Gnako anajitahidi sana kutoa darasa haswa miwishoni hapo Lord eyes mniga hip hop kabisaa yupo very free yani, i know hao wawili walidoubt kuhusu dizasta mark this najua dizasta atawaonyesha kitu swala la muda tu ataruka nao tuuuu atawaambia kwa vitendo
@user-nq4md3sj6d
@user-nq4md3sj6d Ай бұрын
SnS bonge moja ya studio HONGERENI SANA 🔥🔥❣️
@issajohn5996
@issajohn5996 Ай бұрын
One love from south Africa
@babel4862
@babel4862 Ай бұрын
Sns mmetisha san studio kali,sound kali,video kali hongera san
@seifally4457
@seifally4457 Ай бұрын
Big up brother G nako nimekuelewa
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
SKY WE NEED DIZASTA VINA TULISHE UBONGO
@njoroboihastla
@njoroboihastla Ай бұрын
🙌🙌🙌
@user-uw7er1ec3v
@user-uw7er1ec3v Ай бұрын
Zee speaking good
@villyupdates457
@villyupdates457 Ай бұрын
HIZI MAIC NDO ZENYEWE KAKA SKY ZINAKUPA SAUTI NZURI SANA HONGERA KWA STUDIO KALI ZA ONLINE BONGO
@SimuliziNaSauti
@SimuliziNaSauti Ай бұрын
Shukrani sana Villy
@paschaldeogratius353
@paschaldeogratius353 Ай бұрын
Sns ❤❤❤❤
@MackameHassani
@MackameHassani Ай бұрын
Sound ipo so quality sn aiseee, safiiii
@msodokidasilva6739
@msodokidasilva6739 Ай бұрын
Unyama uo 🔥🔥🔥
@johnnycynaite8226
@johnnycynaite8226 Ай бұрын
WEUSI on FIre
@flavourboyke
@flavourboyke Ай бұрын
Hawa wanifanya nipende hiphop,,,soon natoa yangu kali
@user-ep3rl5tz6n
@user-ep3rl5tz6n Ай бұрын
Family
@dkensmopainvevo3683
@dkensmopainvevo3683 Ай бұрын
Weusi wana jua saana biashara ya muziki
@shuzashadyproduction8438
@shuzashadyproduction8438 Ай бұрын
Lord anatakiwa asuburi swali lake anadandia sana majibu ya wenzake😂
@epitomeapex
@epitomeapex Ай бұрын
Ye hana Solo trending hits song Ndomaana😂
@topstories2815
@topstories2815 Ай бұрын
Weusiii nyie wana noma since day 1. Nawakubali endeleeni hapo hapo.. kazi juu kazi.. endeleeni kubalisha lock.. shamba la kahawa wale tuu makofiii 😄😄😄
@Joh-p9f
@Joh-p9f Ай бұрын
Weuuusii
@Maxpaul-oi8pw
@Maxpaul-oi8pw Ай бұрын
Miamba ya kaskazini
@Laizer3
@Laizer3 Ай бұрын
Mbona kama lord askilizwi .
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
Dizasta vina kk pls
@bensonswai-hl6fn
@bensonswai-hl6fn Ай бұрын
DIZASTA VINA aje siku moja
@henryedmund1046
@henryedmund1046 Ай бұрын
Unaishi mwembe chai haujanywa chai😅😅😅😅😅😅
@lwengephillip7516
@lwengephillip7516 Ай бұрын
Fid q bora kuliko jo makin hiyo ni fact, wala chid hamuwezi
@kevinjames3177
@kevinjames3177 Ай бұрын
Pigeni Bongo flavour acha kung'ang'ania piano tu
@cornellmallya4455
@cornellmallya4455 Ай бұрын
Comedians wamekuwa km wanasiasa. Lkn Sky, kuna fursa kwenye (PR, public speaking, ethics, nk
@taylorkasitu3819
@taylorkasitu3819 Ай бұрын
basata pia ni tatizo wakiguswa ccm tu wimbo hautoki ,uchawa unaaribu hiphop bongo
@hamidamussa-sy4fm
@hamidamussa-sy4fm Ай бұрын
Msanii mkubwa wa bongo diamond wasafi simba
@jamalmakishe4850
@jamalmakishe4850 Ай бұрын
jamaa wanang'aa sana dats Hip Hop
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Ай бұрын
Weusi wakiimba piano wataua Sana...ila lod aiz anasauti nzuri akiongea ...awo jamaa wakiimba piano wataua sana
@user-xn5hw9ss8f
@user-xn5hw9ss8f Ай бұрын
Weusi
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Ай бұрын
DIAMOND PLATNUMZ 25:04"
@Gilgal-fx5sh
@Gilgal-fx5sh Ай бұрын
Sky mlete Vina Basi
@ClassicUsed-jg6ri
@ClassicUsed-jg6ri Ай бұрын
Huyo wa kati kati si jay melody
@mpjozzegalvanize4926
@mpjozzegalvanize4926 Ай бұрын
G nako
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto Ай бұрын
kama hip vs piano so rnb iko wapi,, barnaba, marioo, fobby, belle, mirror, diamond, kiba, harmo, jmerod, au nani?? hajatajwa
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
DIZASTA VINA
@user-pt7lc4xu3d
@user-pt7lc4xu3d Ай бұрын
Lod mbona ampii nafasi ya kuongea
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
Kaka tuletee kichwa chochote kutoka kikosi kazi....nikki mbishi,dizasta vina,one the incredible au stereo,songa,p the mc
@filskischannel9737
@filskischannel9737 Ай бұрын
Sky , umeshacheck Album ya rema ? Album ya Rema imebuma 😂 , ndani ya ma 10 Akuna ata song Moja imefikisha 60K , streaming Iko very slow 😂😂😂😂. Yeye na Harmo ni Sawasawa tu😂😂😂😂😂
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Ай бұрын
We akili huna, acha kuendeshwa na mihemko
@mrenobishoo1118
@mrenobishoo1118 Ай бұрын
Wale Hawana time ma KZbin
@davidsonstevenson2653
@davidsonstevenson2653 Ай бұрын
alafu mwambien joh makini aache kula ugolo
@kizdady2544
@kizdady2544 Ай бұрын
😂😂
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Ай бұрын
😂😂umejuaje
@abuubaqr5808
@abuubaqr5808 Ай бұрын
Sasa ugoro unashida gani na ww😂embu testi uone kama utamjudge mtu
@kassiannyamba805
@kassiannyamba805 Ай бұрын
😂
@joesimba
@joesimba Ай бұрын
1:10:29 lord 😂
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
DiZasTa ViNa
@njoroboihastla
@njoroboihastla Ай бұрын
Kula piano kula michano,acha upanganga☠️🙌😂
@cornellmallya4455
@cornellmallya4455 Ай бұрын
Identity yenu ni ipi?
@joesimba
@joesimba Ай бұрын
1:07:32 samper the great
@BabuuWakitaa-pb6gr
@BabuuWakitaa-pb6gr Ай бұрын
Brother tafuta siku utuletee kichwa chochote kutokea TAMADUNI MUZIK au kundi zima kwa ujumla la KIKOSI KAZI please please please
@francisjoseph1074
@francisjoseph1074 Ай бұрын
Basi 😂😂😂 tufanye Jz aimbe piano au did au Rick Ross afu hip hop sio mziki WA watz , wabongo nyimbo zetu tunazijua basi nawachina wachane au wahindi wachane😂😂😂 Nikitu ambacho hakiwezakani
@MTOTOWAvitoto
@MTOTOWAvitoto Ай бұрын
joh makini aliwahi kumtosa diamond platnumz collabo katika enzi anajitafuta,, lkn pia alipopata nafasi ya kwenda mjini aliwahi kusema moja kati ya imterviews zake b4 so nahisi hy joh hakuichukulia positive ndiomana anapongolewa diamond akiwepo joh basi mrejesho wa joh unakua sio nyoofu
@kennywizy1009
@kennywizy1009 Ай бұрын
Joh huwaga ni boya tu yeye ndio alifanya hip hop ya bongo isiende mbele
@supacklaizer7662
@supacklaizer7662 Ай бұрын
Sasa kama yy aliifanya usiende mbele ipeleke ww broo, kwan mwana hip hop n yy tu? .......... Stupd
@kassiannyamba805
@kassiannyamba805 Ай бұрын
😂😂
@davidlaiser8174
@davidlaiser8174 Ай бұрын
Sns rotation yako ya kuuliza watu maswali sio fair.How come Gnako unamwuliza mara 2 Joh mara mbili hukumuuliza Lord eyes. Hata watoto hujamuuliza lordeyes kuhusu watoto. Next time jiboreshe kwa hilo
@bensonswai-hl6fn
@bensonswai-hl6fn Ай бұрын
DIZASTA VINA aje siku moja
"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati"
33:56
BBC News Swahili
Рет қаралды 150 М.
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН
managed to catch #tiktok
00:16
Анастасия Тарасова
Рет қаралды 44 МЛН
Kids' Guide to Fire Safety: Essential Lessons #shorts
00:34
Fabiosa Animated
Рет қаралды 15 МЛН